Iruru
JF-Expert Member
- Jan 27, 2014
- 1,471
- 2,891
[emoji41]Hataishi milele yes kama ilivyo kwako na kwa binadamu yeyote yule. Ila jamaa bado anadunda na ataendelea kudunda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji41]Hataishi milele yes kama ilivyo kwako na kwa binadamu yeyote yule. Ila jamaa bado anadunda na ataendelea kudunda.
karma tayariFunguka basi kidogo mkuu
Na mm nimekutana nayo haya ya msafara wa pili nikiwa hapa mti pesa mkuranga.Msafara wa kwanza ambao nahis rais alikuwepo nilikutana nao mbagala rangi 3Jana niliona yale magari yanaludi dar nikiwa mkuranga
To me who has lost my beloved one it remains a lifetime pain. I do not pray for that, but if it happens that one of your beloved one goes through the same path, I guess you will have a different outlook!Should we stick in the past forever ? Rwanda didnt chose that path and made it
Nilishawahi kuandika comment kama hii siku moja nikala ban ndefu sana.nimesikia mods wanafuta uzi in few minutes to come
Mkuu umeyatwika uzito maneno yako unaweza fikiri kuna lolote serious ...bt i hope ni ni drama za huyo kigogo as usualKuna mazito yanaendelea yanatisha mzee
Hayaelezeki elewa hivyo
jamani kutabiri kuwa this is a sensitive thread ambayo inaweza kuwaweka matatani ni kubaya?Nilishawahi kuandika comment kama hii siku moja nikala ban ndefu sana.
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]kwani kafwa tayari?Anamaanisha nini huyu ndugu na haya mafumbo yake, hata Zitto nae simwelewi leo kapost picha ya mama Samia, sijui hata
View attachment 1237147View attachment 1237148
hafi mtu hapa[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]kwani kafwa tayari?
Nakazia hapo hapoKumuamini kigogo na stori zake za kutunga tunga ni kujikosea heshima.
Watanzania amkeni. Sio kila mtu anastahili attention yenu. Hao wapuuzi type ya kigogo wamegundua vilaza wengi wanaotumia mitandao wanapenda story za umbea umbea na wao wanapita humo humo.
Unajipenedkeza kwa makabila ya maana😀😀😀😀. Kuna makabila ukitaja mtu anasema unamtukana wakati ni kabila lake!😎😎😎mtani wangu ni mjita, mkurya ...
Sikuwa najua kuwa wajita na wakurya ni makabila la maana! yana umaana gani? Wajita? Wakurya?Unajipenedkeza kwa makabila ya maana😀😀😀😀. Kuna makabila ukitaja mtu anasema unamtukana wakati ni kabila lake!😎😎😎
Yupo chumba cha siri akitoka watu fulani kaz hakuna...... Ila ni zaid ya tuwazavyoAnamaanisha nini huyu ndugu na haya mafumbo yake, hata Zitto nae simwelewi leo kapost picha ya mama Samia, sijui hata
View attachment 1237147View attachment 1237148
Endelea kufuatilia utajuaSikuwa najua kuwa wajita na wakurya ni makabila la maana! yana umaana gani? Wajita? Wakurya?
Leo nimeshtuka hakuna Live pale ikulu mawasiliano You tube.Get well soon Mr president.
Ujinga tu. Jana kasafiri kwa gari kutoka lindi hadi dar. Na ndege ikaondoka na pm mchana. Msipende udaku sana.Why is this statement?
Reli ipi ?Mbona kama unataka kutuoa kwenye reli
Watu wenye roho mbaya huwa wanaishi kwa muda mrefu sana!