Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
🙏🏾22 yeye hufunua mambo ya fumbo na ya siri; huyajua yaliyo gizani, na nuru hukaa kwake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙏🏾22 yeye hufunua mambo ya fumbo na ya siri; huyajua yaliyo gizani, na nuru hukaa kwake.
Tunasubiri kufarijiwa
Jana watu walipiga pombe vibaya mno.Tunasubiri kufarijiwa
Jana pombe zilinyweka sanaBado siamini, nitaendelea kusubiri official news kuhusu hili.
Yani mmeshaambiwa na hamsikitiki jamani?!
If it is true, I am saddened in my heart.
Mkuu kuna wadudu Na magunzi pia...Tuombeane heri,sisi wote Watanzania.
Leo makanisani kutakuwa na watu wachache Sana, hata hao watakaoenda, watahakikisha hawabanduki onlineJana watu walipiga pombe vibaya mno.
Leo makanisani kutakuwa na watu wachache Sana, hata hao watakaoenda, watahakikisha hawabanduki online
Msikilize Na mwenyekiti Wa ccm aitwaye heri Jemsi utaona uharo wake full ujinga..Umenena ndugu hasa BAVICHA yaani walowapo kwakweli inabidi milembe iongezwe vitanda Kwa MA BAVICHA hayajielew
Umesha panicAcha uchuro we mganga.
Kwani nani hataugua maisha yale yote?
Kwani nani ataishi milele na hatakufa?
Daniel 2:14-23, psalm 36:9.Jana pombe zilinyweka sana
Ni Roma tu bado tunasoma Misale ya waumini, makanisa ya Pentecost mnasoma Bible kwenye I-Pad unaweza kuchungulia JFLeo makanisani kutakuwa na watu wachache Sana, hata hao watakaoenda, watahakikisha hawabanduki online
M mwenyewe sielew, bila shaka kuna jambo limenipita kushoto....Nilikuwa wapi sijuwi..... nipo gizani tiiiiiii
Best, tumuombee mema tu. Siasa zisitutoe utu.Jana pombe zilinyweka sana
hahaaaa hii kitu hiiii, anasikika mchungaji akisemaa 'haya chukueni smartphone zenu.......'Ni Roma tu bado tunasoma Misale ya waumini, makanisa ya Pentecost mnasoma Bible kwenye I-Pad unaweza kuchungulia JF
Mimi nmeanza leo naunganisha na Christ Mass mumo kwa mumoJana watu walipiga pombe vibaya mno.