Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Nikupe gari, mshahara halafu umtangaze mpinzani mshindi! (habagui vyama, dini, kabila)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikupe gari, mshahara halafu umtangaze mpinzani mshindi! (habagui vyama, dini, kabila)
Mabeberu ni kama kinyonga. Leo wana rangi ya ubaya kesho wana rangi ya uzuri/wema hasa unapowahitaji.Ameenda kutibiwa na mabeberu?!.... Maawee'..
Unafiki...unafiki...unafikiEeeee mungu msaidie mjori wako mh.jpm arejee katika afya yake,mabaya yote yanayonenwa dhidi yake yasimfike.Wasamehe wale wote wanao mwinukia.Amen
Mi nadhani kwa yalipompata ni "Wake up call" (kama kweli anaumwa )Hata kama angekuwa mzima, huo mwaliko asingeenda.
Miaka 5 inakata hajawahi kwenda nje ya Bara la Afrika.
Leo nii kiberiti kimetingishwa, eti unasema alikuwa ana dhamira ya kukwea pipa hadi kwa mabeberu...
Ajitahidi kupata somo kulingana na hiyo misukosuko aliyoipata na aimarishe nafsi yake
Mataga mmojawapo lekibamia yupo anampost jiwe kule insta.mimi nashangaa kwanini mmlaka zipo kimya hadi uzushi huu unazidi kusambaa
Umeongea kweliWatumishi wa umma hakuna nyongeza ya mishahara miaka 4 sasa. Bodi ya mikopo tumeongezewa makato toka asilimia 8 mpka 15. Nyongeza ya mishahara ya kila mwaka imefutwa. Hakuna kupanda vyeo.Kutukana watumishi wa umma hadharani sasa kumekithiri. Wafanya biashara wanabambikiwa kodi. Watu wanapotea na kuwekwa ktk viroba. Siasa haifanyiki tena ni wew pke ako uonekane.
Korosho zetu tumepolwa.
Hata mimi ningekuwa Mungu aah hapana ningesikiliza kilio cha Mtu Mnyonge. Maandiko yapo wazi tuu. Biblia inasema siku zao watu watendao Mabaya zitafupishwa. Na Mungu sio mwanadamu hata aseme uongo.
Utasubiri sana...Membemtoto wa wazee wa pwani(Lindi) na Kikwete mtoto wa wazee wa pwani(Bagamoyo).Wazee wangu wa mitaa hiyo hawajawahi kukosa shabaha zao.
Nani Mgonjwa ?Yani utadhani humu hakuna wagonjwa
Pumbavu!Mnaosema nchi ina chuki,hivi chuki mnayosema itakapofika nadhani watu tutaftana,nadhani mnaotamka kuhusu chuki,mnaitaka,kwani mlinenalo ndilo mnalopewa.
Chuki zipo nchi za Somalia,DRC Congo,Libya na nyinginezo ambazo kila kukicha kunasikika milio ya risasi na mabomu,hivyo raia hawawezi hata kupata usingizi.
Wewe ambaye unauhakika wakulala bila wasiwasi,ukaenda mahali popote ukarudi nyumbani usiku wa manane kwa usalama kabisa bado unasema nchi ina chuki kweli umefikiri sawasawa?
Nchi ipo salama kabisaa
Cha msingi tuombe tu mungu atende haki...kila mtu apate malipo yake hapahapa duniani...kuna watu hawana roho ya huruma kabisa...alipigwa mbunge risasi dodoma mchana kweupe miaka miwili kalala kitandani anapambania uhai juzi namsikia mtu anasema eti huyo mbunge alitelekeza jimbo anajifanya kabisa kuwa hamjui...MUNGU BABA TUNAOMBA ATENDE TU HAKI WATU WOTE TULIPWE HAPAHAPA DUNIANIDah Mungu amponye na arejee kwenye majukumu.
Let it not be.
Gerson tunasubiri utuambie Rais anendelea vizuri..come on guy.
I thing ki usalama kuna sababu muhimu. Mfano katka nch yeyote kifo cha ghafla cha president hakiwezi kutangazwaa kwa jamii hapo hapo. Kunataratibu za kudesignate uongozi. Kuna watu hutumia muda huo kufanya maoinduzi.Nadhani ni mwendo wa sisi raia kutayarishwa kisakolojia.
Mwanzoni tuliaminishwa kwamba hakuna lililotokea na kwamba Raisi wetu yupo ofisini kama kawaida yake anatengua na kuchagua!
Sasa wameanza kutuaminisha kwamba ni kweli ameumwa na labda yuko kwenye hatua za kupatiwa huduma ya matibabu na labda ni kweli nje ya nchi!
Hatua itakayoufuata ni kujulishwa kwamba Mheshimiwa wetu ame... na hivyo mambo mengine yatafuatia baadae.
Kwa kumalizia tuwaombe tu waungwana kwamba sisi watanzania sasa tumekuwa wakubwa, sisi ni watu wazima sasa na si wajinga kihivyo mnavyotufikiria! haina haja ya kutupeleka hatua moja moja, I mean for God sake we can handle this!
Ratiba yake wewe haikuhusu.Kama magufuli haumwi kwanini asijitokeze.?
Kusini karudi lini?
Hata hapa ipo na ishafika ni vile tuu watu hawajapata vitendea kazi na vile vijana mtaani wapo kibao wanaozijua hizo silaha ndo serikali itakoma bomu inalofugaMnaosema nchi ina chuki,hivi chuki mnayosema itakapofika nadhani watu tutaftana,nadhani mnaotamka kuhusu chuki,mnaitaka,kwani mlinenalo ndilo mnalopewa.
Chuki zipo nchi za Somalia,DRC Congo,Libya na nyinginezo ambazo kila kukicha kunasikika milio ya risasi na mabomu,hivyo raia hawawezi hata kupata usingizi.
Wewe ambaye unauhakika wakulala bila wasiwasi,ukaenda mahali popote ukarudi nyumbani usiku wa manane kwa usalama kabisa bado unasema nchi ina chuki kweli umefikiri sawasawa?
Nchi ipo salama kabisaa
Mpaka atolewe mmoja ndiyo watu wataheshimu mamlakaKabla ya kumtoa mmoja kafara mtoe Taarifa ya kukanusha hayo yanayosemwa kuhusu raisi