DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Nimebua chombo leo mlima wa motoKuua wengine na kuombea wengine mabaya kipi kibaya zaidi.
Kama kufa afe tu mbona watu wengi tu wanakufa kwani yeye malaika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimebua chombo leo mlima wa motoKuua wengine na kuombea wengine mabaya kipi kibaya zaidi.
Kama kufa afe tu mbona watu wengi tu wanakufa kwani yeye malaika?
Pole MkuuKIGOGO 2014
Unajua ye ni kiongozi wa malaikaNajaribu kuwaza, malaika akimtokea na kumwambia ili kikombe hiki kisikupitie unapewa dakika 10 kumrudishia ubunge yule jamaa na kumwita nyumbani pia watumishi wa vyeti fake walipe stahili zao.
Nini kitatokea ndani ya dakika hizo 10?
babananajajjjajI can't
Mybe si uzushimimi nashangaa kwanini mmlaka zipo kimya hadi uzushi huu unazidi kusambaa
[emoji120][emoji120]Mabeberu watusaidie tu jamaa awahi kuwaongoza malaika huko juu
Na ikitokea kavuta ghafla nchi za wenzetu humuwahisha fasta hata kama hatakiMtu mwenye roho mbaya.huwaga na uhai mrefu sana.
Ni maoni yako ndugu japo naweza kusema ni ya kipumbavuuuuu! Una furaha?? Upumbuvu uliokithiriHv kwann mm leo nafuraha sana kila napoingia twitter yaan kila nikijiforce huzuni haiji aiseee
Kuuwa watu, kuteka,kutuibia hela zetu n.k unadhani kuna mtu atakupenda? Bola afe tu mtu huyo*Wapiga madili
*Wapinzani
*Wasomi wanaosubiria ajira zaidi ya miaka mi4
*Waliotumbuliwa
*Vyeti feki
*Wasifiaji wanafki wenye uchu wa madaraka
Bado tu unadhani ataendelea kupendwa na kila Mtu ?
Tumuombee Rais wetu maana vita aliyonayo si ya kitoto hata kidogo.
Tusimlaumu Pogba kwa kauli zake chafu. Tuwalaumu waliomlea kwa kumfanya hakose mapenzi ya kiutu kwa binadamu wenzake.Kuna jamaa alikuwa anauliza "nani yule aliyetelekeza jimbo" anajifanya hamfahamu kwa jina wakati mwenzake amepoteza zaidi ya mwaka kitandani kutoka katika jaribio la kuuawa. Sio poa kwa kweli . Binafsi namuombea Heri Mr President. Vyovyote iwavyo naamini kuna la kujifunza kuhusu thamani ya UHAI.
Kumbe kuna binadamu wenye akili kiasi hiki.... Basi kumbe watanzania wanao uwezo mkubwaa wa kufikiri.... Sema hawajulikanagi... Hata ukitumia hisia tu unaweza kujua jambo...
Shida na yy alikufuru mbele ya viumbe wa mungu... Alisema kamsamehe nape madhambi yake... Sasa c mungu ndio anaye samehe mtu dhambi.. Mara aseme kama nikifa leo hakuna wa kuja kufanana na mm..
Mzee wangu kanisimulia kwamba, hata nyerere aliwahi kukufuru kwenye mkutano wa CCM kwamba hata rais wa awamu ya nne nitamuona... Atanikuta nikiwa hai... Ndio hivyo mungu akamchukua mapema...
Kwa jinsi ninavyomjua mungu wa kweli.. Muumba wa mbingu na nchi na vyote vilivyomo... Mungu wa milele, mfalme wa wafalme... Bwana wa mabwana... Baba mtakatifu... Mungu aliye hai milele na milee... Alfa na omega... Huwa havumilii mtu anapochukua nafasi yake kwa wanadamu.... Immediately huwa anafanya jambo kukufundisha kama atakupenda... Au anakupa adhabu ya moja kwa mojaa.. Kama ataona huna muda wa kujifunza...
Hivi vitu vipo... Wala msijisahau... Kujimwambafy maana yake ni kujiinua na kuliko kawaida... Kikwete alisema alikuwa hujui kama katumiwa na mungu kumjulishaa. Mungu amsamehe kama nyie mtaonesha moyo wa kumuhitaji.... Kama mtamuombea mabaya kwa mungu.... Anaweza kuwajibu mpaka mkashangaa... But mm naomba mungu umpe muda tena kiumbe wako.... Ajifunzee... Usimchukue mungu wetu mwenye rehema... Unayetoa nafasi ya pili.... Tunaomba umpe muda tena.
Nakubaliana na maoni yako kabisa... Rais ameishafanya makubwa sana na malengo na maono yake tayari yako bayana hivyo apunguze kasi kwa asilimia kama 20 hivi,... aanze kufaidi matunda ya urais, aanze kutumia nafasi za mialiko anayopewa kwa sababu usafiri anao, vifungu vya taasisi yake vipo... Kifupi awe mbinafsi na aanze kula bata!!!.... Hii habari ya siasa kwa watu wasiotaka kubadilika awaachie kina Zitto Mbowe na kundi lake...Ale nchi tu!......Kama mnasubiri avute basi naomba kuwa taarifu Milango yakuzimu kamwe haitomuweza Rais wa jamuhuri Ya muungano wa Tanzania.
Atatikiswa ila hawawezi kuigusa roho yake. Nikweli nimkali ila ni kiongoz shupavu alie na maono ya kweli kwa taifa letu.
Chuki na hasira sio za wananchi ila kundi lawapumbavu na n vilaza fulani. Ndugu zangu kama vile jina lilivyopita ndivyo usalama wake utakuwa naye. Wanyonge wengi sana wamepata haki zao utawala huu na sishangai chuki hii nikwa kaz nzuri anafanya.
Rais amkuwa na ratiba ambayo sio yakawaida nauwenda imemchosha. Kiufupi uwenda sasa atafuwata ratiba nakupunguza kazi. Pia ningeshauri wafanyakaz wa Ikulu wampeleke watoto acheze nao huwa ni wazuri sana kupunguza stress.
Naiman baada ya mapumziko rais wetu atarud kulitumikia taifa lake.
Mungu ibariki tanzania na watu wake na Viongoz wake. Amen
Sasa mkuu mimi kua nafuraha ni upumbafuu wajameni? Hv huyaoni maajabu ya kishindo ya awamu ya tano yale yaliyoshindwa kufanyika miaka 30 lkn leo yamefanyika ndan ya 4 yrs unanionea bure mkuu tuendelee kunywa mtori mkuuNi maoni yako ndugu japo naweza kusema ni ya kipumbavuuuuu! Una furaha?? Upumbuvu uliokithiri
Eeeee mungu msaidie mjori wako mh.jpm arejee katika afya yake,mabaya yote yanayonenwa dhidi yake yasimfike.Wasamehe wale wote wanao mwinukia.AmenTusimlaumu Pogba kwa kauli zake chafu. Tuwalaumu waliomlea kwa kumfanya hakose mapenzi ya kiutu kwa binadamu wenzake.