Watanzania Tufanye Maombi ya Kitaifa kumwomba Mwenyezi Mungu atupatie Mvua zenye Baraka na Neema

Watanzania Tufanye Maombi ya Kitaifa kumwomba Mwenyezi Mungu atupatie Mvua zenye Baraka na Neema

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Nikiwa Kama mkulima naona Hali ya hewa imekuwa siyo nzuri, inatutisha wakulima, inatupa wasiwasi, mashaka na hofu. Mpaka Leo tunapoelekea kuumaliza mwezi huu bado hatujaona mvua, bado ardhi Haijapata mvua, bado tunaendelea kuangalia angani kila kukicha kuona Hali ya mawingu, Bado ardhi Ni ngumu Sana, bado imekauka Sana, Bado majembe yetu yanatuumiza mbavu na kuchosha miili yetu wakati huu tunapo endelea kulima taratibu wakati tunasubili mvua

Ikumbukwe kuwa mpaka mwezi huu sisi wakulima hasa huku mkoani Songwe huwa tunakuwa tumepata mvua ambazo huwa tunasema kuwa Ni mvua za kahawa, lakini mpaka Sasa mvua hizo hazijanyesha katika maeneo mengi na hivyo kuwaathiri na kutetelesha wakulima wa kahawa hasa wilaya yetu ya Mbozi,

Sote Tunajuwa kuwa asilimia kubwa Sana ya watanzania wanyonge tunategemea kilimo Cha mvua, Mvua ndio kila kitu kwetu, ndio mrija wa hewa kwetu, ndio jeuri yetu, Ndio fahari yetu, hatuoni shida kulima huku mvua ikinyesha maana tulishazoea kufanya hivyo,

Mbele za Mwenyezi Mungu Hakuna lisilo wezekana, Hata Hili linawezekana mbele za Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema na Fadhira ambaye amekuwa akituvusha katika nyakati zote ngumu tulizowahi kupitia Watanzania, Mungu wetu Ni msikivu na Mwenye upendo Na sisi Watanzania, Mungu wetu Hawezi kutuacha, Tupige magoti Tumlilie kwa Imani zetu ili apokee maombi yetu, Tujongee na kujinyenyekeza mbele zake, Twendeni mbele zake tukiwa Tumelibeba Taifa letu mabegani mwetu ili Tukamkabidhi mikononi mwake,

Mvua Ni Neema na baraka kwetu watanzania, Tunahitaji Baraka na Neema hizo kwa Sasa, Tunahitaji mkono wa MWENYEZI MUNGU uweze kushusha neema ya mvua hapa nchini, Tunahitaji mvua ili mabwawa yetu ya maji yajae ili tupate umeme wa uhakika wakati wote na kuliangazia Taifa letu saa 24, Tunahitaji mvua ili tupate maji Safi na salama kwa ajili ya matumizi yetu watanzania

Sanjari na Hilo tuhakikishe tunatunza mazingira yetu kwa kadri ya uwezo wetu, tupande Miti katika maeneo yetu , tusikate Miti hovyo Wala kuchoma misitu yetu, tusilime kando kando ya vyanzo vya maji yetu na tupeana elimu juu ya utunzaji wa mazingira yetu wakati wote, Tuyatunze na kuyalinda mazingira yetu kwa nguvu zetu zote na kwa gharama zote ili yatutunze na kutulinda zidi ya mabadiliko ya Hali ya hewa

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania wanyonge kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
 
Mvua haiji kwa kufanya maombi wewe! Hayo maombi walifanya watu wa Middle Ages! Enzi ambazo imani ilipewa kipaumbele, kuliko Sayansi.

Kinachotakiwa kwa serikali yako ni kuhakikisha wananchi wake wananufaika na ile gesi yetu ya Mtwara kwa ajili ya nishati majumbani! Na hivyo kuachana kabisa na nishati ya kuni na mkaa!

Wakati mwingine tunakosa mvua kwa sababu tu ya ukataji wa hovyo wa miti, na uchomaji wa hovyo wa misitu! Lakini usisahau pia kuna changamoto za mabadiliko ya tabia nchi! Hivyo hata uwaite akina Masanja Mkandamizaji kukupigia maombi mwezi mzima, bado haitasaidia kitu.
 
Mvua haiji kwa kufanya maombi wewe! Hayo maombi walifanya watu wa Middle Ages! Enzi ambazo imani ilipewa kipaumbele, kuliko Sayansi.

Kinachotakiwa kwa serikali yako ni kuhakikisha wananchi wake wananufaika na ile gesi yetu ya Mtwara kwa ajili ya nishati majumbani! Na hivyo kuachana kabisa na nishati ya kuni na mkaa!

Wakati mwingine tunakosa mvua kwa sababu tu ya ukataji wa hovyo wa miti, na uchomaji wa hovyo wa misitu! Lakini usisahau pia kuna changamoto za mabadiliko ya tabia nchi! Hivyo hata uwaite akina Masanja Mkandamizaji kukupigia maombi mwezi mzima, bado haitasaidia kitu.
Hayo yote uliyoyaeleza juu ya utunzaji wa mazingira yetu nimeshayaeleza vizuri Sana kwenye uzi wangu huu
 
Hayo yote uliyoyaeleza juu ya utunzaji wa mazingira yetu nimeshayaeleza vizuri Sana kwenye uzi wangu huu
Sasa ndiyo serikali yako ya ccm inatakiwa iwekeze nguvu kubwa huko kwenye kutoa elimu, na pia kuja na sera ya kuhamasisha wananchi kutumia gesi yao, badala ya kuwapelekea Wakenya!

Huwezi ukaharibu mwenyewe mazingira kupitia shughuli zako mbalimbali! Halafu unakuja kusumbua watu kumuomba Mungu atatue matatizo ambayo umeyatengeneza mwenyewe.
 
Achaneni na Kilimo cha Kutegemea mvua

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Imagine nchi imezungukwa na Maziwa, Mito, Mabwawa, na Bahari, kila upande! Halafu hawa ccm wanatuambia eti tufanye maombi ili Mungu alete mvua!!

Yaani nchi ina miaka zaidi ya 60 sasa tangu ipate Uhuru, lakini bado kilimo chake kwa zaidi ya 90% eti kinategemea mvua!

Imagine mpaka leo Misri wanatumia maji ya Mto Nile kwa ajili ya kuendeshea kilimo cha umwagiliaji, lakini maji hayo hayo ambayo chanzo chake kimojawapo ni Ziwa Victoria, eti hayaruhusiwi kutumiwa na nchi nyingine zeny chanzo cha huo Mto! Tena ni kwa kupitia mikataba iliyosainiwa na Waingereza enzi za Ukoloni!
 
Mvua haiji kwa kufanya maombi wewe! Hayo maombi walifanya watu wa Middle Ages! Enzi ambazo imani ilipewa kipaumbele, kuliko Sayansi.

Kinachotakiwa kwa serikali yako ni kuhakikisha wananchi wake wananufaika na ile gesi yetu ya Mtwara kwa ajili ya nishati majumbani! Na hivyo kuachana kabisa na nishati ya kuni na mkaa!

Wakati mwingine tunakosa mvua kwa sababu tu ya ukataji wa hovyo wa miti, na uchomaji wa hovyo wa misitu! Lakini usisahau pia kuna changamoto za mabadiliko ya tabia nchi! Hivyo hata uwaite akina Masanja Mkandamizaji kukupigia maombi mwezi mzima, bado haitasaidia kitu.
Nakubaliana na wewe. Kama mabadiliko ya tabia nchi yanatokana na matendo ya binadamu ni lazima matendo mbadala ya binadamu tena ndiyo yatakuwa tiba na si maombi. Sababu si Mungu aliyeleta ukame bali vitendo vya binadamu.
 
Mvua haiji kwa kufanya maombi wewe! Hayo maombi walifanya watu wa Middle Ages! Enzi ambazo imani ilipewa kipaumbele, kuliko Sayansi.

Kinachotakiwa kwa serikali yako ni kuhakikisha wananchi wake wananufaika na ile gesi yetu ya Mtwara kwa ajili ya nishati majumbani! Na hivyo kuachana kabisa na nishati ya kuni na mkaa!

Wakati mwingine tunakosa mvua kwa sababu tu ya ukataji wa hovyo wa miti, na uchomaji wa hovyo wa misitu! Lakini usisahau pia kuna changamoto za mabadiliko ya tabia nchi! Hivyo hata uwaite akina Masanja Mkandamizaji kukupigia maombi mwezi mzima, bado haitasaidia kitu.
Kodi na Tozo zitolewe kwenye Ku import gas LNG ,ili gharama za ununuzi wa ges ziwe chini ya bei ya mkaa ,
Vinginevyo huwezi kumlazimisha au kumuelimisha MTU anunue gesi , wakati Kwa upande wake Hana hiyo pesa ,
 
Ndugu zangu Nikiwa Kama mkulima naona Hali ya hewa imekuwa siyo nzuri, inatutisha wakulima, inatupa wasiwasi,mashaka na hofu. Mpaka Leo tunapoelekea kuumaliza mwezi huu bado hatujaona mvua, bado ardhi Haijapata mvua, bado tunaendelea kuangalia angani kila kukicha kuona Hali ya mawingu, Bado ardhi Ni ngumu Sana, bado imekauka Sana, Bado majembe yetu yanatuumiza mbavu na kuchosha miili yetu wakati huu tunapo endelea kulima taratibu wakati tunasubili mvua

Ikumbukwe kuwa mpaka mwezi huu sisi wakulima hasa huku mkoani Songwe huwa tunakuwa tumepata mvua ambazo huwa tunasema kuwa Ni mvua za kahawa, lakini mpaka Sasa mvua hizo hazijanyesha katika maeneo mengi na hivyo kuwaathiri na kutetelesha wakulima wa kahawa hasa wilaya yetu ya Mbozi,

Sote Tunajuwa kuwa asilimia kubwa Sana ya watanzania wanyonge tunategemea kilimo Cha mvua, Mvua ndio kila kitu kwetu, ndio mrija wa hewa kwetu, ndio jeuri yetu, Ndio fahari yetu, hatuoni shida kulima huku mvua ikinyesha maana tulishazoea kufanya hivyo,

Mbele za Mwenyezi Mungu Hakuna lisilo wezekana, Hata Hili linawezekana mbele za Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema na Fadhira ambaye amekuwa akituvusha katika nyakati zote ngumu tulizowahi kupitia Watanzania, Mungu wetu Ni msikivu na Mwenye upendo Na sisi Watanzania, Mungu wetu Hawezi kutuacha, Tupige magoti Tumlilie kwa Imani zetu ili apokee maombi yetu, Tujongee na kujinyenyekeza mbele zake, Twendeni mbele zake tukiwa Tumelibeba Taifa letu mabegani mwetu ili Tukamkabidhi mikononi mwake,

Mvua Ni Neema na baraka kwetu watanzania, Tunahitaji Baraka na Neema hizo kwa Sasa, Tunahitaji mkono wa MWENYEZI MUNGU uweze kushusha neema ya mvua hapa nchini, Tunahitaji mvua ili mabwawa yetu ya maji yajae ili tupate umeme wa uhakika wakati wote na kuliangazia Taifa letu saa 24, Tunahitaji mvua ili tupate maji Safi na salama kwa ajili ya matumizi yetu watanzania

Sanjari na Hilo tuhakikishe tunatunza mazingira yetu kwa kadri ya uwezo wetu,tupande Miti katika maeneo yetu , tusikate Miti hovyo Wala kuchoma misitu yetu, tusilime kando kando ya vyanzo vya maji yetu na tupeana elimu juu ya utunzaji wa mazingira yetu wakati wote, Tuyatunze na kuyalinda mazingira yetu kwa nguvu zetu zote na kwa gharama zote ili yatutunze na kutulinda zidi ya mabadiliko ya Hali ya hewa

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania wanyonge kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Ni vyema viongozi wa dini wahamasishe watu kuomba katika imani zao. Licha ya kuthibitika kisayansi suala la mabadiliko ya tabia nchi yenye athari za moja kwa moja katika hali ya hewa. Lakini kiroho bado suala la maombi ya dhati kwa Mungu Muumba pale taifa linapopitia katika kipindi cha mashaka kama hiki ni jambo muhimu sana kufanyika.
 
Ndugu zangu Nikiwa Kama mkulima naona Hali ya hewa imekuwa siyo nzuri, inatutisha wakulima, inatupa wasiwasi,mashaka na hofu. Mpaka Leo tunapoelekea kuumaliza mwezi huu bado hatujaona mvua, bado ardhi Haijapata mvua, bado tunaendelea kuangalia angani kila kukicha kuona Hali ya mawingu, Bado ardhi Ni ngumu Sana, bado imekauka Sana, Bado majembe yetu yanatuumiza mbavu na kuchosha miili yetu wakati huu tunapo endelea kulima taratibu wakati tunasubili mvua

Ikumbukwe kuwa mpaka mwezi huu sisi wakulima hasa huku mkoani Songwe huwa tunakuwa tumepata mvua ambazo huwa tunasema kuwa Ni mvua za kahawa, lakini mpaka Sasa mvua hizo hazijanyesha katika maeneo mengi na hivyo kuwaathiri na kutetelesha wakulima wa kahawa hasa wilaya yetu ya Mbozi,

Sote Tunajuwa kuwa asilimia kubwa Sana ya watanzania wanyonge tunategemea kilimo Cha mvua, Mvua ndio kila kitu kwetu, ndio mrija wa hewa kwetu, ndio jeuri yetu, Ndio fahari yetu, hatuoni shida kulima huku mvua ikinyesha maana tulishazoea kufanya hivyo,

Mbele za Mwenyezi Mungu Hakuna lisilo wezekana, Hata Hili linawezekana mbele za Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema na Fadhira ambaye amekuwa akituvusha katika nyakati zote ngumu tulizowahi kupitia Watanzania, Mungu wetu Ni msikivu na Mwenye upendo Na sisi Watanzania, Mungu wetu Hawezi kutuacha, Tupige magoti Tumlilie kwa Imani zetu ili apokee maombi yetu, Tujongee na kujinyenyekeza mbele zake, Twendeni mbele zake tukiwa Tumelibeba Taifa letu mabegani mwetu ili Tukamkabidhi mikononi mwake,

Mvua Ni Neema na baraka kwetu watanzania, Tunahitaji Baraka na Neema hizo kwa Sasa, Tunahitaji mkono wa MWENYEZI MUNGU uweze kushusha neema ya mvua hapa nchini, Tunahitaji mvua ili mabwawa yetu ya maji yajae ili tupate umeme wa uhakika wakati wote na kuliangazia Taifa letu saa 24, Tunahitaji mvua ili tupate maji Safi na salama kwa ajili ya matumizi yetu watanzania

Sanjari na Hilo tuhakikishe tunatunza mazingira yetu kwa kadri ya uwezo wetu,tupande Miti katika maeneo yetu , tusikate Miti hovyo Wala kuchoma misitu yetu, tusilime kando kando ya vyanzo vya maji yetu na tupeana elimu juu ya utunzaji wa mazingira yetu wakati wote, Tuyatunze na kuyalinda mazingira yetu kwa nguvu zetu zote na kwa gharama zote ili yatutunze na kutulinda zidi ya mabadiliko ya Hali ya hewa

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania wanyonge kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Mkuu mvua inanyeshaje wakati wenye vyeti feki wanaendelea kulipwa mafao? Tulitegemea waambiwe warudishe kwanza ile mishahara waliolipwa kwa kipindi hicho chote lakini cha ajabu wanaongezewa na mafao tena juu halafu utegemee mvua inyeshe kwa lipi labda.
 
Ndugu zangu Nikiwa Kama mkulima naona Hali ya hewa imekuwa siyo nzuri, inatutisha wakulima, inatupa wasiwasi,mashaka na hofu. Mpaka Leo tunapoelekea kuumaliza mwezi huu bado hatujaona mvua, bado ardhi Haijapata mvua, bado tunaendelea kuangalia angani kila kukicha kuona Hali ya mawingu, Bado ardhi Ni ngumu Sana, bado imekauka Sana, Bado majembe yetu yanatuumiza mbavu na kuchosha miili yetu wakati huu tunapo endelea kulima taratibu wakati tunasubili mvua

Ikumbukwe kuwa mpaka mwezi huu sisi wakulima hasa huku mkoani Songwe huwa tunakuwa tumepata mvua ambazo huwa tunasema kuwa Ni mvua za kahawa, lakini mpaka Sasa mvua hizo hazijanyesha katika maeneo mengi na hivyo kuwaathiri na kutetelesha wakulima wa kahawa hasa wilaya yetu ya Mbozi,

Sote Tunajuwa kuwa asilimia kubwa Sana ya watanzania wanyonge tunategemea kilimo Cha mvua, Mvua ndio kila kitu kwetu, ndio mrija wa hewa kwetu, ndio jeuri yetu, Ndio fahari yetu, hatuoni shida kulima huku mvua ikinyesha maana tulishazoea kufanya hivyo,

Mbele za Mwenyezi Mungu Hakuna lisilo wezekana, Hata Hili linawezekana mbele za Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema na Fadhira ambaye amekuwa akituvusha katika nyakati zote ngumu tulizowahi kupitia Watanzania, Mungu wetu Ni msikivu na Mwenye upendo Na sisi Watanzania, Mungu wetu Hawezi kutuacha, Tupige magoti Tumlilie kwa Imani zetu ili apokee maombi yetu, Tujongee na kujinyenyekeza mbele zake, Twendeni mbele zake tukiwa Tumelibeba Taifa letu mabegani mwetu ili Tukamkabidhi mikononi mwake,

Mvua Ni Neema na baraka kwetu watanzania, Tunahitaji Baraka na Neema hizo kwa Sasa, Tunahitaji mkono wa MWENYEZI MUNGU uweze kushusha neema ya mvua hapa nchini, Tunahitaji mvua ili mabwawa yetu ya maji yajae ili tupate umeme wa uhakika wakati wote na kuliangazia Taifa letu saa 24, Tunahitaji mvua ili tupate maji Safi na salama kwa ajili ya matumizi yetu watanzania

Sanjari na Hilo tuhakikishe tunatunza mazingira yetu kwa kadri ya uwezo wetu,tupande Miti katika maeneo yetu , tusikate Miti hovyo Wala kuchoma misitu yetu, tusilime kando kando ya vyanzo vya maji yetu na tupeana elimu juu ya utunzaji wa mazingira yetu wakati wote, Tuyatunze na kuyalinda mazingira yetu kwa nguvu zetu zote na kwa gharama zote ili yatutunze na kutulinda zidi ya mabadiliko ya Hali ya hewa

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania wanyonge kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
MMEKATA MITI ALIYOPANDA MUNGU HALAFU MNATAKA KUMCHOSHA MUNGU
 
Mkuu mvua inanyeshaje wakati wenye vyeti feki wanaendelea kulipwa mafao? Tulitegemea waambiwe warudishe kwanza ile mishahara waliolipwa kwa kipindi hicho chote lakini cha ajabu wanaongezewa na mafao tena juu halafu utegemee mvua inyeshe kwa lipi labda.
Embu acha utani wako mkuu, vyeti vinazuiaje mvua
 
Ni vyema viongozi wa dini wahamasishe watu kuomba katika imani zao. Licha ya kuthibitika kisayansi suala la mabadiliko ya tabia nchi yenye athari za moja kwa moja katika hali ya hewa. Lakini kiroho bado suala la maombi ya dhati kwa Mungu Muumba pale taifa linapopitia katika kipindi cha mashaka kama hiki ni jambo muhimu sana kufanyika.
Nakuunga mkono mkuu
 
Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo, naomba utusamehe maovu yetu sisi kama nchi ya Tanzania na watu watu wote waliomo nchini, viongozi wetu kuanzia rais mpaka mjumbe wa nyumba kumi, wewe Mungu uliyeahidi katika neno lako kwamba majira ya nchi hayatakoma mpaka mwisho wa dahali kwa kutuletea mvua za vuli na masika kwa wakati,tena neno lako linatuambia unawanyeshea mvua wema na waovu nakuomba ee Mungu utupe mvua hizo kwa wakati kwenye kila mkoa wa nchi yetu, ee Mungu naamini umesikia maombi ya watanzania kwa jina la Yesu naamini hakutakuwa na ukame kwenye nchi yetu. Naam baada ya kufanikiwa kwenye kazi zetu zinazohitaji mvua i.e kilimo, viwanda n.k tukuletee sifa wewe.
 
Back
Top Bottom