Watanzania Tufanye Maombi ya Kitaifa kumwomba Mwenyezi Mungu atupatie Mvua zenye Baraka na Neema

Watanzania Tufanye Maombi ya Kitaifa kumwomba Mwenyezi Mungu atupatie Mvua zenye Baraka na Neema

Acha kumsumbua Mungu na mambo yanayotokana na ujinga wetu wenyewe.Mungu alishatuumba akatuwekea vichwa vyenye ubongo kama hatutumii bongo zetu vizuri sasa yeye afanyaje tena.Matatizo na changamoto zetu zote zinahitaji matumizi ya akili sio maombi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Acha kumsumbua Mungu na mambo yanayotokana na ujinga wetu wenyewe.Mungu alishatuumba akatuwekea vichwa vyenye ubongo kama hatutumii bongo zetu vizuri sasa yeye afanyaje tena.Matatizo na changamoto zetu zote zinahitaji matumizi ya akili sio maombi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hakuna lisilo wezekana mbele za Mwenyezi Mungu, akili zetu pekee pasipo uwepo wa Mwenyezi Mungu Ni sawa na kipofu atembeaye gizani hawezi kufika kokote
 
Hakuna lisilo wezekana mbele za Mwenyezi Mungu, akili zetu pekee pasipo uwepo wa Mwenyezi Mungu Ni sawa na kipofu atembeaye gizani hawezi kufika kokote
Hivi unajua kuna nchi hazina kabisa hizo mvua unazozililia wewe kwa Mungu ba bado wamefanya makubwa.hao ndio waliopaswa wamuombe Mungu sio sisi wenye neema yakila namna.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu Nikiwa Kama mkulima naona Hali ya hewa imekuwa siyo nzuri, inatutisha wakulima, inatupa wasiwasi,mashaka na hofu. Mpaka Leo tunapoelekea kuumaliza mwezi huu bado hatujaona mvua, bado ardhi Haijapata mvua, bado tunaendelea kuangalia angani kila kukicha kuona Hali ya mawingu, Bado ardhi Ni ngumu Sana, bado imekauka Sana, Bado majembe yetu yanatuumiza mbavu na kuchosha miili yetu wakati huu tunapo endelea kulima taratibu wakati tunasubili mvua

Ikumbukwe kuwa mpaka mwezi huu sisi wakulima hasa huku mkoani Songwe huwa tunakuwa tumepata mvua ambazo huwa tunasema kuwa Ni mvua za kahawa, lakini mpaka Sasa mvua hizo hazijanyesha katika maeneo mengi na hivyo kuwaathiri na kutetelesha wakulima wa kahawa hasa wilaya yetu ya Mbozi,

Sote Tunajuwa kuwa asilimia kubwa Sana ya watanzania wanyonge tunategemea kilimo Cha mvua, Mvua ndio kila kitu kwetu, ndio mrija wa hewa kwetu, ndio jeuri yetu, Ndio fahari yetu, hatuoni shida kulima huku mvua ikinyesha maana tulishazoea kufanya hivyo,

Mbele za Mwenyezi Mungu Hakuna lisilo wezekana, Hata Hili linawezekana mbele za Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema na Fadhira ambaye amekuwa akituvusha katika nyakati zote ngumu tulizowahi kupitia Watanzania, Mungu wetu Ni msikivu na Mwenye upendo Na sisi Watanzania, Mungu wetu Hawezi kutuacha, Tupige magoti Tumlilie kwa Imani zetu ili apokee maombi yetu, Tujongee na kujinyenyekeza mbele zake, Twendeni mbele zake tukiwa Tumelibeba Taifa letu mabegani mwetu ili Tukamkabidhi mikononi mwake,

Mvua Ni Neema na baraka kwetu watanzania, Tunahitaji Baraka na Neema hizo kwa Sasa, Tunahitaji mkono wa MWENYEZI MUNGU uweze kushusha neema ya mvua hapa nchini, Tunahitaji mvua ili mabwawa yetu ya maji yajae ili tupate umeme wa uhakika wakati wote na kuliangazia Taifa letu saa 24, Tunahitaji mvua ili tupate maji Safi na salama kwa ajili ya matumizi yetu watanzania

Sanjari na Hilo tuhakikishe tunatunza mazingira yetu kwa kadri ya uwezo wetu,tupande Miti katika maeneo yetu , tusikate Miti hovyo Wala kuchoma misitu yetu, tusilime kando kando ya vyanzo vya maji yetu na tupeana elimu juu ya utunzaji wa mazingira yetu wakati wote, Tuyatunze na kuyalinda mazingira yetu kwa nguvu zetu zote na kwa gharama zote ili yatutunze na kutulinda zidi ya mabadiliko ya Hali ya hewa

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania wanyonge kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Maombi yaliyo Bora kuliko yote ni kuwa na Imani huku ukitumia akili uliyopewa na Mungu.
Kuomba bila kutumia akili ni kumkosea Mungu.
Matumizi ya sayansi ni mpango wa Mungu kutuwezeza kutawala ulimwengu tukiwa watu aliotuumba kwa mfano wake.
Kufanana kwetu na Mungu siyo kwa sura au umbo, bali utashi na akili kidogo kutoka ya kwake ipitayo zote.
Kitu muhimu cha kujua ni kuwa watu wajinga na wapumbavu siyo wana wa Mungu, labda baali.
 
Ndugu zangu Nikiwa Kama mkulima naona Hali ya hewa imekuwa siyo nzuri, inatutisha wakulima, inatupa wasiwasi,mashaka na hofu. Mpaka Leo tunapoelekea kuumaliza mwezi huu bado hatujaona mvua, bado ardhi Haijapata mvua, bado tunaendelea kuangalia angani kila kukicha kuona Hali ya mawingu, Bado ardhi Ni ngumu Sana, bado imekauka Sana, Bado majembe yetu yanatuumiza mbavu na kuchosha miili yetu wakati huu tunapo endelea kulima taratibu wakati tunasubili mvua

Ikumbukwe kuwa mpaka mwezi huu sisi wakulima hasa huku mkoani Songwe huwa tunakuwa tumepata mvua ambazo huwa tunasema kuwa Ni mvua za kahawa, lakini mpaka Sasa mvua hizo hazijanyesha katika maeneo mengi na hivyo kuwaathiri na kutetelesha wakulima wa kahawa hasa wilaya yetu ya Mbozi,

Sote Tunajuwa kuwa asilimia kubwa Sana ya watanzania wanyonge tunategemea kilimo Cha mvua, Mvua ndio kila kitu kwetu, ndio mrija wa hewa kwetu, ndio jeuri yetu, Ndio fahari yetu, hatuoni shida kulima huku mvua ikinyesha maana tulishazoea kufanya hivyo,

Mbele za Mwenyezi Mungu Hakuna lisilo wezekana, Hata Hili linawezekana mbele za Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema na Fadhira ambaye amekuwa akituvusha katika nyakati zote ngumu tulizowahi kupitia Watanzania, Mungu wetu Ni msikivu na Mwenye upendo Na sisi Watanzania, Mungu wetu Hawezi kutuacha, Tupige magoti Tumlilie kwa Imani zetu ili apokee maombi yetu, Tujongee na kujinyenyekeza mbele zake, Twendeni mbele zake tukiwa Tumelibeba Taifa letu mabegani mwetu ili Tukamkabidhi mikononi mwake,

Mvua Ni Neema na baraka kwetu watanzania, Tunahitaji Baraka na Neema hizo kwa Sasa, Tunahitaji mkono wa MWENYEZI MUNGU uweze kushusha neema ya mvua hapa nchini, Tunahitaji mvua ili mabwawa yetu ya maji yajae ili tupate umeme wa uhakika wakati wote na kuliangazia Taifa letu saa 24, Tunahitaji mvua ili tupate maji Safi na salama kwa ajili ya matumizi yetu watanzania

Sanjari na Hilo tuhakikishe tunatunza mazingira yetu kwa kadri ya uwezo wetu,tupande Miti katika maeneo yetu , tusikate Miti hovyo Wala kuchoma misitu yetu, tusilime kando kando ya vyanzo vya maji yetu na tupeana elimu juu ya utunzaji wa mazingira yetu wakati wote, Tuyatunze na kuyalinda mazingira yetu kwa nguvu zetu zote na kwa gharama zote ili yatutunze na kutulinda zidi ya mabadiliko ya Hali ya hewa

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania wanyonge kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Katika

Thread zako zote ulizowai kuandika

Hii ndio pekee umetumia akili.

Huko kwingine umekuwa ukimbwelambwela tuu .

Tuu kama hawa wanaosema Kuna umeme wa kutosha lkn umeme unakatika Siku mbili.

Bei ya bandle ni ndogo tz lkn kilakukicha gharama zinaongezeka.

Tanzania kuna chakula cha kutosha

Bei ya maharage ambayo ndio chakula cha Mtanzania wa kawaida kabisa kilo 4500tsh

Jibu kwa hoja
 
Kikubwa ni kumwomba Mwenye Enzi Mungu atuzidishie HEKIMA NA MAARIFA ya hii Dunia nzuri aliyo tukabithi sisi wanadamu walahi [emoji2972]
 
Hatukufanya makosa 2020 Bali tulionyesha faida ya chama kuwekeza kwa wanyonge ambao ndio waliyopiga Kura kwa wingi
Pamoja na kuwekeza kwa wanyonge hilo tayari ni kosa kwa Muumba wetu. Mnawafanya watu wanyonge ili wawape kura? Isitoshe sijui kama unajua wizi ulivyofanyika! Bao la mkono la Bwana Nape si unalikumbuka? Mimi nasema aliyeshinda kwa haki apewe ushindi wake awe CCM au chama kingine lakini figisu nyingi kwa kisingizio cha kutumia wanyonge si tija.
 
Pamoja na kuwekeza kwa wanyonge hilo tayari ni kosa kwa Muumba wetu. Mnawafanya watu wanyonge ili wawape kura? Isitoshe sijui kama unajua wizi ulivyofanyika! Bao la mkono la Bwana Nape si unalikumbuka? Mimi nasema aliyeshinda kwa haki apewe ushindi wake awe CCM au chama kingine lakini figisu nyingi kwa kisingizio cha kutumia wanyonge si tija.
Ni CCM Ndio ilihoshinda na ndio maana iliunda serikali na Kuendelea kuungwa mkono na watanzania wote mpaka sasa
 
Ndugu zangu Nikiwa Kama mkulima naona Hali ya hewa imekuwa siyo nzuri, inatutisha wakulima, inatupa wasiwasi, mashaka na hofu. Mpaka Leo tunapoelekea kuumaliza mwezi huu bado hatujaona mvua, bado ardhi Haijapata mvua, bado tunaendelea kuangalia angani kila kukicha kuona Hali ya mawingu, Bado ardhi Ni ngumu Sana, bado imekauka Sana, Bado majembe yetu yanatuumiza mbavu na kuchosha miili yetu wakati huu tunapo endelea kulima taratibu wakati tunasubili mvua

Ikumbukwe kuwa mpaka mwezi huu sisi wakulima hasa huku mkoani Songwe huwa tunakuwa tumepata mvua ambazo huwa tunasema kuwa Ni mvua za kahawa, lakini mpaka Sasa mvua hizo hazijanyesha katika maeneo mengi na hivyo kuwaathiri na kutetelesha wakulima wa kahawa hasa wilaya yetu ya Mbozi,

Sote Tunajuwa kuwa asilimia kubwa Sana ya watanzania wanyonge tunategemea kilimo Cha mvua, Mvua ndio kila kitu kwetu, ndio mrija wa hewa kwetu, ndio jeuri yetu, Ndio fahari yetu, hatuoni shida kulima huku mvua ikinyesha maana tulishazoea kufanya hivyo,

Mbele za Mwenyezi Mungu Hakuna lisilo wezekana, Hata Hili linawezekana mbele za Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema na Fadhira ambaye amekuwa akituvusha katika nyakati zote ngumu tulizowahi kupitia Watanzania, Mungu wetu Ni msikivu na Mwenye upendo Na sisi Watanzania, Mungu wetu Hawezi kutuacha, Tupige magoti Tumlilie kwa Imani zetu ili apokee maombi yetu, Tujongee na kujinyenyekeza mbele zake, Twendeni mbele zake tukiwa Tumelibeba Taifa letu mabegani mwetu ili Tukamkabidhi mikononi mwake,

Mvua Ni Neema na baraka kwetu watanzania, Tunahitaji Baraka na Neema hizo kwa Sasa, Tunahitaji mkono wa MWENYEZI MUNGU uweze kushusha neema ya mvua hapa nchini, Tunahitaji mvua ili mabwawa yetu ya maji yajae ili tupate umeme wa uhakika wakati wote na kuliangazia Taifa letu saa 24, Tunahitaji mvua ili tupate maji Safi na salama kwa ajili ya matumizi yetu watanzania

Sanjari na Hilo tuhakikishe tunatunza mazingira yetu kwa kadri ya uwezo wetu, tupande Miti katika maeneo yetu , tusikate Miti hovyo Wala kuchoma misitu yetu, tusilime kando kando ya vyanzo vya maji yetu na tupeana elimu juu ya utunzaji wa mazingira yetu wakati wote, Tuyatunze na kuyalinda mazingira yetu kwa nguvu zetu zote na kwa gharama zote ili yatutunze na kutulinda zidi ya mabadiliko ya Hali ya hewa

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania wanyonge kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
TUPANDE NA MITI
 
Back
Top Bottom