Watanzania Tufanye Maombi ya Kitaifa kumwomba Mwenyezi Mungu atupatie Mvua zenye Baraka na Neema

Sijaongelea habari za akina Mnyika hapa, maana suala lililopo hapa halichagua chama Cha mtu na Wala halihitaji kuleta uchama hapa, uwe unajuwa masuala ya kitaifa
Namaanisha hiyo nguvu inayotumika huko barabarani tuitumie kufanya mkesha wa kuomba mvua....
 
Rubbish
 
Mkuu Mimi Ni mtu wa maombi Sana na Mwenye hofu ya Mwenyezi Mungu Ndio maana unaona hata michango yangu humu haina matusi Wala dharau, ndio maana unaona hata ukinitukana Mimi siwezi nikakutukana maana moyo wangu umejaa hofu ya Mwenyezi Mungu

Kwa tabia yako ya kutetea mabaya ya CCM na kukataa kusema ukweli wewe sio mtu wa maombi. Mtu wa maombi hukemea maonevu na kusema ukweli muda wote.
 
Mkuu Mimi Ni mtu wa maombi Sana na Mwenye hofu ya Mwenyezi Mungu Ndio maana unaona hata michango yangu humu haina matusi Wala dharau, ndio maana unaona hata ukinitukana Mimi siwezi nikakutukana maana moyo wangu umejaa hofu ya Mwenyezi Mungu

Nani amekutukana na ni lini nimekutukana. Shida yako ukiambiwa ukweli unasema umetukanwa. Mimi nasisitiza maombi na uchawa havikai sehemu moja.
 
Nani amekutukana na ni lini nimekutukana. Shida yako ukiambiwa ukweli unasema umetukanwa. Mimi nasisitiza maombi na uchawa havikai sehemu moja.
Hapana mkuu kwa upande wako haujawahi kunitukana na Wala sijasema kuwa wewe umewahi nitukana, lakini pia naelewa tofauti ya kukosolewa na kutukanwa
 
Kwa tabia yako ya kutetea mabaya ya CCM na kukataa kusema ukweli wewe sio mtu wa maombi. Mtu wa maombi hukemea maonevu na kusema ukweli muda wote.
Hapana mkuu Mimi nasema ukweli wa wazi kuwa CCM ndio Tumaini la Watanzania nikiwepo mini mwenyewe Hilo siwezi nikakataa na nitaendelea kuitetea CCM wakati wote maana Ni chama kilichoonyesha kuwa na uchungu na maisha ya watanzania
 
hili jukwaa zamani lilikuwa na vichwa kwelikweli ma great thinker, kwa sasa wamevamia vijana wenye macho mekundu,kila uzi unaowekwa hapa wao ni kuupinga tu !mtoa mada katoa wazo zuri sana! ila kwa sababu vijana wengi humu wako mijini hata kushika jembe hawajui wanaona kila kiv ni taarabu!
 

Ujinga mtupu na full rubbish.
 
Kwa tabia yako ya kutetea mabaya ya CCM na kukataa kusema ukweli wewe sio mtu wa maombi. Mtu wa maombi hukemea maonevu na kusema ukweli muda wote.
Kinacho nishangaza na kunitisha, hawa watu wanaojiita wana maombi na wenye hofu ya Mungu lakini wa sasa.. nitabia yao ya JAZBA.. ukiongea kinyume na wanachoamini wana jaa upepo hadi unajiuliza wanahofu ya Mungu yupi maana miungu wako wengi....
 
Tutaomba sana lakini tukiwa hatuna mipango mizuri hakuna mabadiliko yatakayotokea
 
Tutaomba sana lakini tukiwa hatuna mipango mizuri hakuna mabadiliko yatakayotokea
Mipango mikakati Ni pamoja na kuweka juhudi endelevu za ulindaji na utunzaji wa mazingira yetu,ikiwemo upandaji Miti wa kutosha na utolewaji wa Elimu ya mazingira pamoja na utekelezaji wa Sheria za ulinzi wa mazingira na utunzaji wa vyanzo vya maji
 
Mijalaana nyie waTanzania
 
Ukame ni kiashiria cha utawala uliokosa kibali mbele za Mungu.

 
Sidhani kama Mungu atatusikiliza kwasababu wizi wa kura 2022 ulimchukuza sana.
 
Mtanikumbuka
 

Attachments

  • 2A39BE2E-68B2-46B2-8F95-C1C42AA83354.jpeg
    87.7 KB · Views: 3
Viongozi waache rushwa mambo yawe sawa....

Mahakamani Kuna rushwa na haki zinageuzwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…