Watanzania tuige mfano wa Ujerumani, tunapaswa kumsahau Magufuli na kuweka bidii kusonga mbele

Watanzania tuige mfano wa Ujerumani, tunapaswa kumsahau Magufuli na kuweka bidii kusonga mbele

Utamkumbuka we na malofa wenzako.
Lofa Mama yako
Nendeni mkaanike dagaa Chato intl Airport, mkatibiwe ile hosp ya rufaa. Katilii Burigi-Chato, yule ni mhutu muuaji,
Huo ni Uwongo, tena Wakupitiliza. Usha Futuru sasa?
wako wapi wapendwa wetu Alfred Mawazo, Ben saanane, Azory Gwanda?
Usijifanye kuwa una uchungu mkubwa zaidi ya Familia yake-Nenda Ikulu Ukaulize haya maswali, hapa sio pahale pake.

Vijana wenye akili km wale ametupotezea kwa inferiority complex zake.
Wange kuwa na akili wasingepotea.
Yule shetani ashukuru kaburi lake linalindwa na serikali.
Kwamba ndio Ungefanya nini? Huna lolote wewe zaidi ya Ugaidi wa Mtandaoni.

Hovyo kabisa Nyie. Umekula Futari lakini?
 
Yes alikua mzalendo ndio maana alianzisha expansionist policy ili ujerumani irudi kwenye ukubwa wake kabla ya versailles treaty!!
Umesema vema Mkuu. Kuna watu wanafikiri uzalendo maana yake kufanya matendo mazuri. Uzalendo has nothing to do with matendo mazuri, bali unaweza kutoa definition ya matendo maovu na kuyapa uzuri, ikiwa yanafanyika kwa kile kinachoonwa ni maslahi ya nchi
 
Enlighten us please on philosophy
Google

Philosophy = a theory or attitude that acts as a guiding principle for behavior.

Eg, "don't expect anything and you won't be disappointed, that's my philosophy"
 
Sidhani kama kuna Mtanzania ambae hajui mazuri ya Magufuli akiwa raisi wa Tanzania, atapinga kwamba Magufuli hakuwa na roho ya uzalendo kwa Tanzania, alichukia ufisadi, alichukia watu ambao anawaona walikwamisha bidii zake za kuindeleza Tanzania. Hakuna Mtazania atakaepinga kwamba Magufuli alikuwa mchapa kazi kweli kweli, mwenye kupenda nchi yake na raia wa Tanzania, mzalendo namba moja.

Lakini hilo linakukumbusha nini?

Linatukumbusha kiongozi aliewahi kuwa na hulka ya Magufuli pale Germany, Adolf Hitler. Hitler alikuwa mzalendo kweli kweli. Alisimamia Germany na kuifanya Germany kuwa taifa lenye uchumi wenye nguvu kuliko mataifa yote. Alipenda uzalendo, alichukia ufisadi na usaliti dhidi ya nchi yake. Hitler alikuwa muasisi wa gari za VW, Volks Wagen (People's Car) ili kila raia wa Germany aweze kumudu kuwa na gari. Hakuna kiongozi katika Germany anaeweza kusemwa alileta maendeleo kwa nchi yake kama alivyofanya Hitler, mzalendo namba moja wa nchi yake.

Lakini sasa, nani leo unamsikia akimsifia Hitler kwa makubwa aliyoifanyia Germany? Hakuna, kwa sababu hakuna mtu aliyesahau machungu yaliyosababishwa na Hitler.

Hakuna mtu hapa Tanzania asiyejua machungu yaliyoletwa na Magufuli katika azma yake ya kuiendeleza Tanzania, machungu ambayo hayana utetezi hata uyaangalie kwa mtazamo upi. Hayana justification.

Hata hivyo, kwa tulio hai, kuwachukia Hitler au Magufuli, ambao tayari wamekufa, ni dalili kwamba tuna matatizo ya afya ya akili, tunahitaji psychiatric help. Kuwasifia pia ni tatizo, kwa sababu tunaumiza wale walioumizwa nao, ambao bado wapo hai pamoja nasi. Tutapanda gari za VW za Hitler, tutapita kwenye flyover za Magufuli, lakini hatutaimba sifa zao.

Kama Germany ilivyoamua kumsahau Hitler pamoja na mazuri aliyoifanyia nchi yake, Tanzania tunapaswa kumsahau Magufuli pamoja na mazuri aliyoifanyia nchi yetu.

Tuangalie mbele sasa. Tusahau yaliyopita, tuachane na kulinganisha uongozi wa sasa na uliopita. Tuvunje magenge. Tuanze upya.

The world and your country need YOU now, not Hitler, not Magufuli.
Ni matusi Kwa wafuasi wa Mwendazake kufananishwa na Hitler anaechukiwa Dunia nzima.

Madikteta wote Huwa wanategemea propaganda kama silaha Yao kuu.

Mwisho habari za Mwendesha haziwezi katika Leo maana pamoja na unayoita mazuri ambayo sijui hata kama yapo ila aliwaharibia wengi sana.

Labda baada ya uchaguzi Mkuu kuisha ndio stori zake zitapungua.

Kuna watu wanamkumbuka Sokoine sembuse Mwendazake aliyefia madarakani?
 
Kuna mambo uwezi kulinganisha you know nothing about NAZI concentration camps and they were about.

Kufananisha masahiba waliyopitia Jews kwenye utawala wa NAZi with their Aryan race obesslon; jumlisha hizo baseless accusation zako za Magufuli umeonyesha kiwango cha ujinga wako.

Hitler kabisa unaweza kutoka mbele ya dunia na kumsifia, you must be very stupid.
Afadhali hata usingejibu, maana jibu lako linazidi kufunua upeo wako mdogo wa elimu.

Mie nalinganisha philosophy ya uzalendo ya Magufuli na Hitler wewe unaeleta mambo ya concentration camps kama point zako kwamba hawapaswi kulinganishwa? I say, kakojoe uende kulala
 
Okay, sawa, ume-reply post ya jibu nililotoa kwa swali la mtu mwingine. Umeshinda basi
20141018_MAP004_0.jpg

Haya yapingwe na yakemehewe popote pale.

Magulification must go on...
 
Uzalendo ni dhana inayobidi kurejewa na kuangaliwa kwa kina.

Hitler alikuwa mzalendo?

Ukianzisha vita ya kijinga itakayoifanya nchi yako iangamizwe na watu wako wengi kuuawa, ukawabagua raia wa nchi yako wengi na kuwaua, je, wewe ni mzalendo?
Kuna mtu anayeanzisha ugomvi kwa kudhani atapigwa.?
 
Ni matusi Kwa wafuasi wa Mwendazake kufananishwa na Hitler anaechukiwa Dunia nzima.

Madikteta wote Huwa wanategemea propaganda kama silaha Yao kuu.

Mwisho habari za Mwendesha haziwezi katika Leo maana pamoja na unayoita mazuri ambayo sijui hata kama yapo ila aliwaharibia wengi sana.

Labda baada ya uchaguzi Mkuu kuisha ndio stori zake zitapungua.

Kuna watu wanamkumbuka Sokoine sembuse Mwendazake aliyefia madarakani?
I say, waalimu wana kazi sana. Waongezewe mishahara jamani!
 
Kuna mtu anayeanzisha ugomvi kwa kudhani atapigwa.?
Ni mara chache huwa nacheka na leo wewe umefanikiwa kunichekesha, hasa nikikumbuka mlevi mmoja pale Sinza alieamua kuliazisha, akatupa ngumi na kuanguka yeye!
 
Povu likutoke wewe, uniambie mimi nimekaukiwa na koo. Tulia wewe ni Kibaraka tu, Unakarisrishwa maneno hujui kwamba unabeba Laana.

Hovyo
Laana anazo huyo jiwe wako pamoja nawe kibaraka wake kiazi
 
Yes alikua mzalendo ndio maana alianzisha expansionist policy ili ujerumani irudi kwenye ukubwa wake kabla ya versailles treaty!!
Expansionist policy si lazima iwe uzalendo.

Inaweza kuwa kichaa, inaweza kuwa ufashisti, inaweza kuwa udikteta.

Your argument is a logical fallacy, logical non sequitur.

Uzalendo ni kuipenda nchi yako, hiyo haimaanishi ni lazima utake dunia nzima iwe nchi yako.
 
Afadhali hata usingejibu, maana jibu lako linazidi kufunua upeo wako mdogo wa elimu.

Mie nalinganisha philosophy ya uzalendo ya Magufuli na Hitler wewe unaeleta mambo ya concentration camps kama point zako kwamba hawapaswi kulinganishwa? I say, kakojoe uende kulala
Don’t kid youself you don’t know you’re Plato from your Betrand

IMG_7355.jpeg


We actually read around here

Mchana mwema

Nikuuliza hata influence za Nietzsche kwa NAZI na associated classical music wa NAZI movement uwezi jibu.

If you wanna go philosophical try me; huku kwetu atusomi vitabu on how to be a millionaire.

👋
 
Kuna mtu anayeanzisha ugomvi kwa kudhani atapigwa.?
Ukianzisha ugomvi ambao ni rahisi sana kuona kuwa utapigwa, ukaisababishia nchi yako madhara makubwa, wewe si mzalendo.

Wewe ni mjinga. Ni muhaini. Kinyume cha mzalendo.
 
Muhimu kusoma na kupenda somo la historia ili mfano mambo ya utawala wa 2015 - 2021 Yasitokee:

14 April 2023
🔴LIVE: UZINDUZI KITABU CHA MAGUFULI "I AM THE STATE" || KIBANDA, MBOWE WASHUSHA NONDO


View: https://m.youtube.com/watch?v=DQHdpRARpV8


Search

Book ‘I AM THE STATE: A President’s Whisper From Chato’ Launched​

View attachment 2959515
Written by Tanzanian journalists, the book details the contested legacy of former leader John Magufuli.

The Chanzo Reporter


Dar es Salaam. A book launched here on Friday examines the legacy of former leader John Magufuli, looking specifically at the late president’s attempts to develop his hometown of Chato, a town in northwestern Tanzania, a decision that authors claim raised many questions.
Titled I AM THE STATE, A President’s Whisper From Chato, the book is a joint effort by veteran Tanzanian journalists – Ansbert Ngurumo, Jesse Kwayu, Neville Meena, and Absalom Kibanda – to document Magufuli’s legacy for posterity.
Magufuli, the fifth-phase president of Tanzania, died on March 17, 2021, leaving behind a contested legacy. While some extol him as an anti-corruption tsar, others have criticised him for overseeing a dictatorial regime that violated fundamental human rights.

Edited by veteran journalist and trainer Ndimara Tegambwage, the book contains six chapters by different authors which examine Magufuli’s legacy from various perspectives by detailing what happened during his five-year administration, 2015-2021.
Bishop Benson Bagonza of the Evangelical Lutheran Church in Tanzania (ELCT), Karagwe Diocese, was the guest of honour during a function to launch the 75-page book at the Peacock Hotel in Dar es Salaam.


Senior journalists and editors, CHADEMA national chairperson Freeman Mbowe, and Secretary of the Council of Islamic Organisations in Tanzania, Sheikh Issa Ponda, were among many other dignitaries that blessed the event.

Speaking shortly before launching the book, Bagonza applauded the journalists for their initiative, noting that the book serves as a reminder of the importance of Tanzania in evaluating itself as a nation.
Bagonza, a constant commentator on the country’s affairs, noted that any country needs people, no matter their number, who are brave enough to present the public with alternative information amidst emotional celebratory and congratulatory mood.

“This book demands us to stop congratulating each other and discuss complex issues for the future of our country,” Bagonza said in his speech.

“We must remember that Tanzanians never elected angels to be their leaders,” the cleric said. “They elected fallible people. Evaluating ourselves is an important element in the process of governing ourselves.”

He said the book details how it was normal under the previous administration to spend taxpayers’ money outside of the budget approved by the parliament, a decision he described as a “blow” to the lawmaking body.

“[The book] is part of the movement to demand the establishment of strong check and balance institutions capable of holding our leaders to account when they knowingly violate the country’s laws,” Bagonza explained.

On his part, Mr Mbowe congratulated the journalists for writing the book, something he thinks breaks the tradition of typical Tanzanian journalists.
According to Mr Mbowe, journalists in the country are not implementing their role to inform the public effectively, noting that that has to change if Tanzania is to register any positive developments.

He pointed to the recent revelations by the Controller and Auditor General (CAG) on the massive corruption and misuse of public funds within the government as an example, thinking that the media are yet to inform the public of the gravity of the situation.

“If journalists are bitter about this level of corruption, they’re better placed to shape this nation’s future,” Mr Mbowe told journalists.

Speaking about the book, one of the authors, Kibanda, said the book seeks to attack no one, explaining that they were moved to write it to fulfil their social responsibility as journalists.

Kibanda said that as journalists, they observed how Mr Magufuli was determined to develop his hometown of Chato, which not only exposed the late president as brave, creative, and daring but also self-centred and tribalistic.

“We saw with our own eyes how developments were directed to Chato: banks, an international airport, and even wild animals,” Kibanda said. “Some critics even started changing Chato’s name to Gbadolite.”

Gbadolite was the ancestral home and residence of Mobutu Sese Seko of Zaire, now the Democratic Republic of Congo (DRC), where he built an airport, colleges, malls, supermarkets and libraries in a program of modernisation.

“Our book looks at the status of many of these projects invested in Chato during the previous administration,” Kibanda said. “We reveal how and why these projects came into existence and what remains of them now.”
“We are not doing this to reopen old wounds,” Kibanda cautioned. “No, we are doing this as part of the process to build a strong foundation for the future of our country.”

The book is available at bookstores across the country and sells at Sh15,000. It is available in English, but its authors said its Kiswahili translation is in the offing.

The Chanzo Reporter​


Nilisoma kitabu cha Ludovick Mwijage kuna mengi aliyaandika nilikuwepo wakati wa utawala wa mwalimu ila mengi tu sikuyajua hadi baada ya kusoma hiki kitabu na baba yangu aliyekuwa mtumishi katika utawala ule aliponiambia mengine mengi baadae.

Ukiangalia aliyoandika Ludovick ni 90% yalijirudia katika utawala wa Magufuli walau tu zama hizi za miaka 6 kutokana na teknolojia ndio tulifahamu mengi na watu kupata mahali pa kusemea.

Nyerere pengine kwa kujua au kutokujua kuna madhila mengi sana alituachia kuna familia hawataki hata kumsikia je ni watu walifanya kwa amri yake au walifanya bila yeye kujua??

Nyerere kipindi cha mwishoni mwa uongozi wake alikiri katiba hii inampa madaraka makubwa sana na tusipokuwa makini mbeleni huko kuna mtu ataitumia vibaya (japo naye aliitumia vibaya pengine hakuwa anajiona anaitumia vibaya)

Rai yangu kama watu hawakujifunza na kufanya reform za katiba hii kutokana na nyakati ngumu nchi ilipopita 2015-2021 basi watanzania wajiandae kwa tufani nyingine pengine tunaweza kushuhudia au tusishuhudie kutokana na kutokuwa hai.

61XDJFqsq-L._AC_UF1000,1000_QL80_.jpg
 
Nilisoma kitabu cha Ludovick Mwijage kuna mengi aliyaandika nilikuwepo wakati wa utawala wa mwalimu ila mengi tu sikuyajua hadi baada ya kusoma hiki kitabu na baba yangu aliyekuwa mtumishi katika utawala ule aliponiambia mengine mengi baadae.

Ukiangalia aliyoandika Ludovick ni 90% yalijirudia katika utawala wa Magufuli walau tu zama hizi za miaka 6 kutokana na teknolojia ndio tulifahamu mengi na watu kupata mahali pa kusemea.

Nyerere pengine kwa kujua au kutokujua kuna madhila mengi sana alituachia kuna familia hawataki hata kumsikia je ni watu walifanya kwa amri yake au walifanya bila yeye kujua??

Nyerere kipindi cha mwishoni mwa uongozi wake alikiri katiba hii inampa madaraka makubwa sana na tusipokuwa makini mbeleni huko kuna mtu ataitumia vibaya (japo naye aliitumia vibaya pengine hakuwa anajiona anaitumia vibaya)

Rai yangu kama watu hawakujifunza na kufanya reform za katiba hii kutokana na nyakati ngumu nchi ilipopita 2015-2021 basi watanzania wajiandae kwa tufani nyingine pengine tunaweza kushuhudia au tusishuhudie kutokana na kutokuwa hai.

View attachment 2959595
Unaweza nisaidia pdf yake ?
 
Nilisoma kitabu cha Ludovick Mwijage kuna mengi aliyaandika nilikuwepo wakati wa utawala wa mwalimu ila mengi tu sikuyajua hadi baada ya kusoma hiki kitabu na baba yangu aliyekuwa mtumishi katika utawala ule aliponiambia mengine mengi baadae.

Ukiangalia aliyoandika Ludovick ni 90% yalijirudia katika utawala wa Magufuli walau tu zama hizi za miaka 6 kutokana na teknolojia ndio tulifahamu mengi na watu kupata mahali pa kusemea.

Nyerere pengine kwa kujua au kutokujua kuna madhila mengi sana alituachia kuna familia hawataki hata kumsikia je ni watu walifanya kwa amri yake au walifanya bila yeye kujua??

Nyerere kipindi cha mwishoni mwa uongozi wake alikiri katiba hii inampa madaraka makubwa sana na tusipokuwa makini mbeleni huko kuna mtu ataitumia vibaya (japo naye aliitumia vibaya pengine hakuwa anajiona anaitumia vibaya)

Rai yangu kama watu hawakujifunza na kufanya reform za katiba hii kutokana na nyakati ngumu nchi ilipopita 2015-2021 basi watanzania wajiandae kwa tufani nyingine pengine tunaweza kushuhudia au tusishuhudie kutokana na kutokuwa hai.

View attachment 2959595
Mwijage aliandika pia "The Dark Side of Nyerere's Legacy". Nilikisoma.

Kumbe wale kina Sheikh Yahya Hussein wote walikuwa ma informer wa Usalama wa Taifa. Mtu unaenda kwa mnajimu akutengenezee mipango yako, kumbe mwenzako anaenda kutoa taarifa kwa Usalama.

 
Back
Top Bottom