Watanzania tuige mfano wa Ujerumani, tunapaswa kumsahau Magufuli na kuweka bidii kusonga mbele

Watanzania tuige mfano wa Ujerumani, tunapaswa kumsahau Magufuli na kuweka bidii kusonga mbele

Mkuu,

Mimi huwa napenda kufanya "immanent critique". Yani kupinga kwa kuanza kukubaliana nawe, hata pale ambapo sikubaliani nawe, ili kuonesha ukubwa wa makosa yako, hata kama nataka kukubaliana nawe. Kuonesha internal contradictions katika hoja zako hata kama nataka kuanza kukubaliana nawe.

Hata kama nataka kukubaliana nawe kwamba Magufuli alikuwa rais mzuri (kitu ambacho sikubaliani nacho), Magufuli ali fail kuweka mabadiliko ya kimsingi ma kimfumo kuzuia mabaya anayoyafanya Samia.

Magufuli ndiye aliyesisitiza ukubwa wa Rais na kuponda utawala wa sheria.

Hata pale alipofanya marekebisho ya sheria kuweka ulinzi wa rasikimali za kitaifa kishwria, hakuondoa mfumo wa rais mwenye nguvu sana na uchawa uliosababisha Samia aweze kurudi bungeni na kutengua sheria hizo.

Tena Magufuli alikuwa anasema kabisa kwamba inawezekana rais anayekuja akaharibu mambo, lakininas long as yeye ni rais hatakubali mambo yaharibike. Hiyo ni kauki ya rais ambaye amekubali kuwa hawezi kuweka mfumo endelevu. Rais asiyeele2a kuwa urais ni taasisi na si mtu mmoja.

Hilo ni tatizo, hata kwa anayekubali mazuri ya Magufuli niblazima aone kuwa Magufuli hakuwa broad minded enough kuweka mabadiliko ya kimfumo, alikuwa anacheza na akiki za watu tu kufanya maigizo ya mabadiliko wakati kwenye mambo ya msingibkama katiba mpya kakataa mabadiliko.

Na ikiwa kuna mambo ya kimsingi Rais akikosea anakuwa si Rais mzuri, na hili la kujenga mambo endelevu ni miongoni mwa hayo, basi Rais Magufuli hawezi kuepuka lawama kwenye madudu yanayoendelea leo.
💐🎁🛡️
 
Kati ya uzalendo wa Magufuli ni kuhamisha fedha ya ujenzi wa ndege wa Kajunguti (bukoba) hadi Chato. Matokeo yake uwanja wa Bukoba ukabaki hatarishi, ajali ya ndege ya Precision mwaka 2022 Kati ya mambo mengine ilisababishwa na uwanja kukosa taa wakati wa mvua. Pia na kukosa tawa la kuongoza kutua na kuruka kwa ndege kutokana na ufisadi wa Magu.
 
Ujinga wa mtu sio kipimo cha uzalendo. Hitler alikuwa mzalendo kweli kweli, labda kama una maana nyingine ya uzalendo. Lolote alilofanya alifanya kwa nguvu zote kwa ajili ya mapenzi kwa nchi yake. Na katika Wa-Germany aliowaua Hitler, aliwaona kuwa sio wazalendo, wasaliti.
Mkuu tafuta maandiko kuhusu Germany (19th&20th centuries), Hitler, the NAZI Party na the SS ujielimishe kikamilifu kuhusu unachoongea.

Halafu nenda taratibu na dhana ya uzalendo. Hiyo ni propaganda illusion inayotumika sana na madikteta kuwamaliza mahasimu wao.
 
Kuna kumsahu Magufuli, na kusahu historia. Hakuna mahali nimesema tusahau historia ya Tanzania. Usichanganye haya mambo mawili.
Kwanini unatulazimisha tumsahau?

Mbona Nyerere, Mkapa ,Mwinyi hatulazimishwi kuwasahau?

Hili jina linawatetemesha sana.
Popote linapotajwa unafiki na utapeli wenu unawahukumu mioyoni mwenu.
Na bado!
 
Asante Mkuu. Ndio maana nasema ili kwenda mbele, ni lazima kudraw neutral line. Historia itaandika mazuri na mabaya ya Magufuli, lakini katika kushughulika na yanayotukabili sasa, hatuhitaji kumtaja, kumlinganisha nk. Tunahitaji kwenda mbele pamoja, la sivyo tofauti kati yetu hazitaisha. Siku zote tutakuwa na watu wa Magufuli na watu wa Samia, kutegemea jinsi watu walivyoguswa na mambo ya Mafuli na wanavyoguswa na mambo ya Samia.

In fact, japo sipendi kuchagua pande, kama ningeombwa ushauri, ningesema labda hata katika uchaguzi wa 2025 tuwe na candidate ambae hana legacy ya Magufuli, ili ku-drive home sense ya kwamba tunaanza upya.
🙏👏🛡️
 
Kati ya uzalendo wa Magufuli ni kuhamisha fedha ya ujenzi wa ndege wa Kajunguti (bukoba) hadi Chato. Matokeo yake uwanja wa Bukoba ukabaki hatarishi, ajali ya ndege ya Precision mwaka 2022 Kati ya mambo mengine ilisababishwa na uwanja kukosa taa wakati wa mvua. Pia na kukosa tawa la kuongoza kutua na kuruka kwa ndege kutokana na ufisadi wa Magu.
Hizi porojo zilizhafeli kitambo sana

Wanainama, wanainuka wanaona haya haooo!
 
Dunia ya kichwani mwake labda.

Waliotaka kuziweka nchi zao top ten za dunia tumewaona kwenye stages za kimataifa.

Wakati Magufuli anajifungia kwake Tanzania kama mwali wa Kizaramo anayesubiri kuchezwa.
🤣 🤣 🤣
 
Ninavyozidi kupumua ndivyo ninavyozidi kumkumbuka JPM. Na umri nilio nao, sisi ni wazaliwa wakati wa uhuru, sijawahi ona kiongozi mzalendo kama JPM, kumsahau sio rahisi.
 
Sidhani kama kuna Mtanzania ambae hajui mazuri ya Magufuli akiwa raisi wa Tanzania, atapinga kwamba Magufuli hakuwa na roho ya uzalendo kwa Tanzania, alichukia ufisadi, alichukia watu ambao anawaona walikwamisha bidii zake za kuindeleza Tanzania. Hakuna Mtazania atakaepinga kwamba Magufuli alikuwa mchapa kazi kweli kweli, mwenye kupenda nchi yake na raia wa Tanzania, mzalendo namba moja.

Lakini hilo linakukumbusha nini?

Linatukumbusha kiongozi aliewahi kuwa na hulka ya Magufuli pale Germany, Adolf Hitler. Hitler alikuwa mzalendo kweli kweli. Alisimamia Germany na kuifanya Germany kuwa taifa lenye uchumi wenye nguvu kuliko mataifa yote. Alipenda uzalendo, alichukia ufisadi na usaliti dhidi ya nchi yake. Hitler alikuwa muasisi wa gari za VW, Volks Wagen (People's Car) ili kila raia wa Germany aweze kumudu kuwa na gari. Hakuna kiongozi katika Germany anaeweza kusemwa alileta maendeleo kwa nchi yake kama alivyofanya Hitler, mzalendo namba moja wa nchi yake.

Lakini sasa, nani leo unamsikia akimsifia Hitler kwa makubwa aliyoifanyia Germany? Hakuna, kwa sababu hakuna mtu aliyesahau machungu yaliyosababishwa na Hitler.

Hakuna mtu hapa Tanzania asiyejua machungu yaliyoletwa na Magufuli katika azma yake ya kuiendeleza Tanzania, machungu ambayo hayana utetezi hata uyaangalie kwa mtazamo upi. Hayana justification.

Hata hivyo, kwa tulio hai, kuwachukia Hitler au Magufuli, ambao tayari wamekufa, ni dalili kwamba tuna matatizo ya afya ya akili, tunahitaji psychiatric help. Kuwasifia pia ni tatizo, kwa sababu tunaumiza wale walioumizwa nao, ambao bado wapo hai pamoja nasi. Tutapanda gari za VW za Hitler, tutapita kwenye flyover za Magufuli, lakini hatutaimba sifa zao.

Kama Germany ilivyoamua kumsahau Hitler pamoja na mazuri aliyoifanyia nchi yake, Tanzania tunapaswa kumsahau Magufuli pamoja na mazuri aliyoifanyia nchi yetu.

Tuangalie mbele sasa. Tusahau yaliyopita, tuachane na kulinganisha uongozi wa sasa na uliopita. Tuvunje magenge. Tuanze upya.

The world and your country need YOU now, not Hitler, not Magufuli.
Mimi hapa sijui mazuri ya Magufuli zaidi ya yeye kutekeleza majukumu yake ka Rais. Kusema kupita kwenye flyover za Magufuli ni UKENGE wa hali ya juu.

Kwa hiyo ninaposafiri kwenda Mbeya niseme napita barabara ya Nyerere?? Au ninapokwenda Mwanza niseme napita barabara ya Mkapa.

Mtoa mada inawezekana umri wako ni mdogo sana yaaani umezaliwa after 1990 ndiyo maana unaona huyu mwendawazimu Magufuli kafanya makubwa kwa kujenga flyover. Kuna waliomtangulia kama Mkapa na Kikwete walifanya makubwa sana wala hawakukandamiza demokrasia au kuua watu.

Acha UPIMBI
 
Sidhani kama kuna Mtanzania ambae hajui mazuri ya Magufuli akiwa raisi wa Tanzania, atapinga kwamba Magufuli hakuwa na roho ya uzalendo kwa Tanzania, alichukia ufisadi, alichukia watu ambao anawaona walikwamisha bidii zake za kuindeleza Tanzania. Hakuna Mtazania atakaepinga kwamba Magufuli alikuwa mchapa kazi kweli kweli, mwenye kupenda nchi yake na raia wa Tanzania, mzalendo namba moja.

Lakini hilo linakukumbusha nini?

Linatukumbusha kiongozi aliewahi kuwa na hulka ya Magufuli pale Germany, Adolf Hitler. Hitler alikuwa mzalendo kweli kweli. Alisimamia Germany na kuifanya Germany kuwa taifa lenye uchumi wenye nguvu kuliko mataifa yote. Alipenda uzalendo, alichukia ufisadi na usaliti dhidi ya nchi yake. Hitler alikuwa muasisi wa gari za VW, Volks Wagen (People's Car) ili kila raia wa Germany aweze kumudu kuwa na gari. Hakuna kiongozi katika Germany anaeweza kusemwa alileta maendeleo kwa nchi yake kama alivyofanya Hitler, mzalendo namba moja wa nchi yake.

Lakini sasa, nani leo unamsikia akimsifia Hitler kwa makubwa aliyoifanyia Germany? Hakuna, kwa sababu hakuna mtu aliyesahau machungu yaliyosababishwa na Hitler.

Hakuna mtu hapa Tanzania asiyejua machungu yaliyoletwa na Magufuli katika azma yake ya kuiendeleza Tanzania, machungu ambayo hayana utetezi hata uyaangalie kwa mtazamo upi. Hayana justification.

Hata hivyo, kwa tulio hai, kuwachukia Hitler au Magufuli, ambao tayari wamekufa, ni dalili kwamba tuna matatizo ya afya ya akili, tunahitaji psychiatric help. Kuwasifia pia ni tatizo, kwa sababu tunaumiza wale walioumizwa nao, ambao bado wapo hai pamoja nasi. Tutapanda gari za VW za Hitler, tutapita kwenye flyover za Magufuli, lakini hatutaimba sifa zao.

Kama Germany ilivyoamua kumsahau Hitler pamoja na mazuri aliyoifanyia nchi yake, Tanzania tunapaswa kumsahau Magufuli pamoja na mazuri aliyoifanyia nchi yetu.

Tuangalie mbele sasa. Tusahau yaliyopita, tuachane na kulinganisha uongozi wa sasa na uliopita. Tuvunje magenge. Tuanze upya.

The world and your country need YOU now, not Hitler, not Magufuli.
Auto Google translator :

Tanzanians should follow the example of Germany, we should forget Magufuli and put effort to move forward​


I don't think there is a Tanzanian who does not know the good things about Magufuli as the president of Tanzania, he will protest that Magufuli had no patriotism for Tanzania, he hated corruption, he hated the people who he sees hindered his efforts to develop Tanzania. No Tanzanian will deny that Magufuli was a true hard worker, loved his country and Tanzanian citizens, the number one patriot.

But what does that remind you of?

It reminds us of a leader who once had the quality of Magufuli in Germany, Adolf Hitler. Hitler was truly a patriot. He managed Germany and made Germany a nation with a stronger economy than all nations. He loved patriotism, he hated corruption and betrayal against his country. Hitler was the founder of VW cars, Volks Wagen (People's Car) so that every German citizen could afford to own a car. No leader in Germany can be said to have brought progress to his country like Hitler, the number one patriot of his country.

But now, who do you hear today praising Hitler for the great things he did for Germany? No, because no one has forgotten the pain caused by Hitler.

There is no one here in Tanzania who does not know the pains brought by Magufuli in his quest to develop Tanzania, pains that have no defense no matter how you look at them. It has no justification.

However, for those who are alive, hating Hitler or Magufuli, who are already dead, is a sign that we have mental health problems, we need psychiatric help. Praising them is also a problem, because we hurt those who were hurt by them, who are still alive with us. We will ride in Hitler's VW cars, we will pass through Magufuli's flyovers, but we will not sing their praises.

As Germany decided to forget Hitler with the good things he did for his country, in Tanzania we should forget Magufuli with the good things he did for our country.

Let's look ahead now. Let's forget the past, stop comparing the current leadership with the past. Let's break up the gangs. Let's start over.

The world and your country need YOU now, not Hitler, not Magufuli
 
Ninavyozidi kupumua ndivyo ninavyozidi kumkumbuka JPM. Na umri nilio nao, sisi ni wazaliwa wakati wa uhuru, sijawahi ona kiongozi mzalendo kama JPM, kumsahau sio rahisi.
Uzalendo wenyewr ni dhana iliyokuwa iverrated.

Yani uke uzakendo pure, achana na huu wa Magufuki uzakendo feki wa kupata mileage za kisiasa.

Yani ni hivi, Magufuki hakuwa mzakendo, alikuwa actir wa uzalendo.

Lakini, hata angekuwa mzalendo kweli, uzalendo wenyewe katika dunia hii ya leo ya competency and competition, ni ujinga tu.
 
Mpe viwango vya kupima utendaji wa kazi kama raisi bila kumtaja Magufuli halafu ndio um-judge kufaulu au kufeli kwake. Hilo haliwezekani?

Nilipokuwa UDSM, sikuambiwa ili ufaulu lazima uwe kama Palamagamba Kabudi, upate first class kama Prof. Kabudi. Sikuhitaji mtu anitajie Kabudi ili nifaulu mitihani yangu.
Kwa viwango tulivyompima tayari ameshafeli pakubwa!
 
Kwanini unatulazimisha tumsahau?

Mbona Nyerere, Mkapa ,Mwinyi hatulazimishwi kuwasahau?

Hili jina linawatetemesha sana.
Popote linapotajwa unafiki na utapeli wenu unawahukumu mioyoni mwenu.
Na bado!
Kwa sababu suala la Magufuli Vs Samia linaleta mgawanyiko na makundi, hatujawa kitu kimoja. ndio maana tunapaswa kumsahau.

Hao kina Nyerere, Mkapa, Mwinyi tulishawasahau, tunachokumbuka kwa sasa ni historia zao. Na pia hawakuwa na issue za kuumiza au kufaidisha kama ilivyokuwa kwa Magufuli, kiasi kwamba vifo vyao vionwe kuwa sherehe kwa baadhi ya watu. Wewe ulishasikia katika zama hizi za Samia kuna watu wa kundi la Nyerere?
 
Mkuu,

Mimi huwa napenda kufanya "immanent critique". Yani kupinga kwa kuanza kukubaliana nawe, hata pale ambapo sikubaliani nawe, ili kuonesha ukubwa wa makosa yako, hata kama nataka kukubaliana nawe. Kuonesha internal contradictions katika hoja zako hata kama nataka kuanza kukubaliana nawe.

Hata kama nataka kukubaliana nawe kwamba Magufuli alikuwa rais mzuri (kitu ambacho sikubaliani nacho), Magufuli ali fail kuweka mabadiliko ya kimsingi ma kimfumo kuzuia mabaya anayoyafanya Samia.

Magufuli ndiye aliyesisitiza ukubwa wa Rais na kuponda utawala wa sheria.

Hata pale alipofanya marekebisho ya sheria kuweka ulinzi wa rasikimali za kitaifa kishwria, hakuondoa mfumo wa rais mwenye nguvu sana na uchawa uliosababisha Samia aweze kurudi bungeni na kutengua sheria hizo.

Tena Magufuli alikuwa anasema kabisa kwamba inawezekana rais anayekuja akaharibu mambo, lakininas long as yeye ni rais hatakubali mambo yaharibike. Hiyo ni kauki ya rais ambaye amekubali kuwa hawezi kuweka mfumo endelevu. Rais asiyeele2a kuwa urais ni taasisi na si mtu mmoja.

Hilo ni tatizo, hata kwa anayekubali mazuri ya Magufuli niblazima aone kuwa Magufuli hakuwa broad minded enough kuweka mabadiliko ya kimfumo, alikuwa anacheza na akiki za watu tu kufanya maigizo ya mabadiliko wakati kwenye mambo ya msingibkama katiba mpya kakataa mabadiliko.

Na ikiwa kuna mambo ya kimsingi Rais akikosea anakuwa si Rais mzuri, na hili la kujenga mambo endelevu ni miongoni mwa hayo, basi Rais Magufuli hawezi kuepuka lawama kwenye madudu yanayoendelea leo.
Kwahiyo Magufuli ndiye Rais WA Kwanza, makosa yake ni ku-crake down rushwa siyo na kuwaudhi wakubwa

Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
 
Mimi hapa sijui mazuri ya Magufuli zaidi ya yeye kutekeleza majukumu yake ka Rais. Kusema kupita kwenye flyover za Magufuli ni UKENGE wa hali ya juu.

Kwa hiyo ninaposafiri kwenda Mbeya niseme napita barabara ya Nyerere?? Au ninapokwenda Mwanza niseme napita barabara ya Mkapa.

Mtoa mada inawezekana umri wako ni mdogo sana yaaani umezaliwa after 1990 ndiyo maana unaona huyu mwendawazimu Magufuli kafanya makubwa kwa kujenga flyover. Kuna waliomtangulia kama Mkapa na Kikwete walifanya makubwa sana wala hawakukandamiza demokrasia au kuua watu.

Acha UPIMBI
Unajua, naweza kuwa nimezaliwa mwaka after 1990, lakini na wewe pia niseme huelewi kabisa maana ya fasihi. Nikiongelea kupita kupita kwenye flyover za Magufuli that is symbolic language, flyover hapo kiwakilishi cha lolote zuri alilofanya Magufuli, iwe Nyerere dam, iwe Tanzanite bridge, iwe barabara sijui ipi, iwe ndege za ATCL nk

Sasa wewe unachoona ukenge ni tatizo lako tu la kutokuwa umeenda shule, unachukulia sentensi kama ilivyoandikwa. Wewe ni aina ya mtu nikisema jamaa yuko majuu anakula bata, utaona ajabu sana mtu anaishi kwa kula nyama ya bata tu! Kweli elimu mali.
 
Unajua, naweza kuwa nimezaliwa mwaka after 1990, lakini na wewe pia niseme huelewi kabisa maana ya fasihi. Nikiongelea kupita kupita kwenye flyover za Magufuli that is symbolic language, flyover hapo kiwakilishi cha lolote zuri alilofanya Magufuli, iwe Nyerere dam, iwe Tanzanite bridge, iwe barabara sijui ipi, iwe ndege za ATCL nk

Sasa wewe unachoona ukenge ni tatizo lako tu la kutokuwa umeenda shule, unachukulia sentensi kama ilivyoandikwa. Wewe ni aina ya mtu nikisema jamaa yuko majuu anakula bata, utaona ajabu sana mtu anaishi kwa kula nyama ya bata tu! Kweli elimu mali.
Pumba tupu, peleka zizi la nguruwe
 
Back
Top Bottom