Sidhani kama kuna Mtanzania ambae hajui mazuri ya Magufuli akiwa raisi wa Tanzania, atapinga kwamba Magufuli hakuwa na roho ya uzalendo kwa Tanzania, alichukia ufisadi, alichukia watu ambao anawaona walikwamisha bidii zake za kuindeleza Tanzania. Hakuna Mtazania atakaepinga kwamba Magufuli alikuwa mchapa kazi kweli kweli, mwenye kupenda nchi yake na raia wa Tanzania, mzalendo namba moja.
Lakini hilo linakukumbusha nini?
Linatukumbusha kiongozi aliewahi kuwa na hulka ya Magufuli pale Germany, Adolf Hitler. Hitler alikuwa mzalendo kweli kweli. Alisimamia Germany na kuifanya Germany kuwa taifa lenye uchumi wenye nguvu kuliko mataifa yote. Alipenda uzalendo, alichukia ufisadi na usaliti dhidi ya nchi yake. Hitler alikuwa muasisi wa gari za VW, Volks Wagen (People's Car) ili kila raia wa Germany aweze kumudu kuwa na gari. Hakuna kiongozi katika Germany anaeweza kusemwa alileta maendeleo kwa nchi yake kama alivyofanya Hitler, mzalendo namba moja wa nchi yake.
Lakini sasa, nani leo unamsikia akimsifia Hitler kwa makubwa aliyoifanyia Germany? Hakuna, kwa sababu hakuna mtu aliyesahau machungu yaliyosababishwa na Hitler.
Hakuna mtu hapa Tanzania asiyejua machungu yaliyoletwa na Magufuli katika azma yake ya kuiendeleza Tanzania, machungu ambayo hayana utetezi hata uyaangalie kwa mtazamo upi. Hayana justification.
Hata hivyo, kwa tulio hai, kuwachukia Hitler au Magufuli, ambao tayari wamekufa, ni dalili kwamba tuna matatizo ya afya ya akili, tunahitaji psychiatric help. Kuwasifia pia ni tatizo, kwa sababu tunaumiza wale walioumizwa nao, ambao bado wapo hai pamoja nasi. Tutapanda gari za VW za Hitler, tutapita kwenye flyover za Magufuli, lakini hatutaimba sifa zao.
Kama Germany ilivyoamua kumsahau Hitler pamoja na mazuri aliyoifanyia nchi yake, Tanzania tunapaswa kumsahau Magufuli pamoja na mazuri aliyoifanyia nchi yetu.
Tuangalie mbele sasa. Tusahau yaliyopita, tuachane na kulinganisha uongozi wa sasa na uliopita. Tuvunje magenge. Tuanze upya.
The world and your country need YOU now, not Hitler, not Magufuli.
Auto Google translator :
Tanzanians should follow the example of Germany, we should forget Magufuli and put effort to move forward
I don't think there is a Tanzanian who does not know the good things about Magufuli as the president of Tanzania, he will protest that Magufuli had no patriotism for Tanzania, he hated corruption, he hated the people who he sees hindered his efforts to develop Tanzania. No Tanzanian will deny that Magufuli was a true hard worker, loved his country and Tanzanian citizens, the number one patriot.
But what does that remind you of?
It reminds us of a leader who once had the quality of Magufuli in Germany, Adolf Hitler. Hitler was truly a patriot. He managed Germany and made Germany a nation with a stronger economy than all nations. He loved patriotism, he hated corruption and betrayal against his country. Hitler was the founder of VW cars, Volks Wagen (People's Car) so that every German citizen could afford to own a car. No leader in Germany can be said to have brought progress to his country like Hitler, the number one patriot of his country.
But now, who do you hear today praising Hitler for the great things he did for Germany? No, because no one has forgotten the pain caused by Hitler.
There is no one here in Tanzania who does not know the pains brought by Magufuli in his quest to develop Tanzania, pains that have no defense no matter how you look at them. It has no justification.
However, for those who are alive, hating Hitler or Magufuli, who are already dead, is a sign that we have mental health problems, we need psychiatric help. Praising them is also a problem, because we hurt those who were hurt by them, who are still alive with us. We will ride in Hitler's VW cars, we will pass through Magufuli's flyovers, but we will not sing their praises.
As Germany decided to forget Hitler with the good things he did for his country, in Tanzania we should forget Magufuli with the good things he did for our country.
Let's look ahead now. Let's forget the past, stop comparing the current leadership with the past. Let's break up the gangs. Let's start over.
The world and your country need YOU now, not Hitler, not Magufuli