Watanzania Tujitokeze Kulaani na Kukemea Vikali kauli Chafu za Mdude Nyagali kwa Rais Wetu

Nadhani tatizo la malezi Kwa wazazi wako walipuyanga sana Lukas haiwezekan ulelewe vyema then uwe chawa inasikitisha mno.
 
Mlaani mwenyewe na wapuuzi wenzako. Unafikiri wahusika hawajaona, una kiherehere chaa kijinga sana
Hakuna mwenye akili Timamu anayeweza kuunga mkono kauli na lugha chafu za Mdude Nyagali.hiyo siyo demokrasia wala uhuru wa maoni.kila kitu kina mipaka yake.
 
Hakuna mwenye akili Timamu anayeweza kuunga mkono kauli na lugha chafu za Mdude Nyagali.hiyo siyo demokrasia wala uhuru wa maoni.kila kitu kina mipaka yake.
Je, uchawa una mipaka au hauna mipaka? Mipaka ya uchawa umeshaivuka au bado?

NB: Hakuna binadamu aliyepata malezi bora toka kwa wazazi na jamii yake, halafu akaishia kuwa chawa. Kuwa chawa ni lazima kwanza ukose malezi bora, pili uwe na upungufu wa akili, na mwisho kabisa uwe umekata tamaa ya maisha.
 
Exactly 💯 💯 💯

Lukas Nina wasi wasi na jinsia yake. Tangu ulimwengu huu uumbwe sijawahi ona mwanaume makini Kawa chawa sijawahi
 
Nchi inadaiwa trillion 2+ kwa kuvunja mkataba wa gas ww unaleta habari za mdude we ni jinga kbsa,
Mdude ni nani katika nchi hii mdude anamadhara au anadhari gan ktk nchi hii.

Umeandika uzi mrefu ulojaa pumba na mavi mavi tu

Mungu ndo muumba wa binaadam lakin bado binadamu wanamkashifu na wengne wanamkata ije kua uyo kiongozi wako
Huwezi penda na kila mtu ata mohammad na Yesu walileta uokovu ila binadamu wanadhihaki
 
Mimi siyo chawa.mimi ni msema kweli
 
Samia anaiharibia Tanzania heshima yoyote iliyobaki kimataifa.

Na anajiharibia hadithi yake kwamba yeye ni reformer anayerekebisha pale alipoharibu Magufuli.

Leo nilikuwa nasikiliza BBC World Service, nimesikia wametangaza habari kwamba Tundu Lissu na wenzake wamekamatwa wakiwa wanaenda kwenye mkutano.

Tanzania inaanikwa kama repressive police state.
 
nashauri Jeshi imara la polisi kuchukua hatua kwa uhaini huu wa huyo kijana japo inafahamika ana matatizo ya afya ya akili kutokana na ubwiaji madawa ya kulevya 🐒
 
WeKa hapamfano wa hayo maneno machafu,aliyetukanwa yuko kimya we chawa unaumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…