Watanzania Tujitokeze Kulaani na Kukemea Vikali kauli Chafu za Mdude Nyagali kwa Rais Wetu

Wewe ni msengerema sana mamayooh
 
Kwanza huyo Jamaa anatishia viongozi,Toka apate wafadhili wa Nje anaona Tanzania na watu wake ni Mali yake binafsi anaweza sema na kutenda lolote.
 
mkemee mwenyewe, mimi maisha magumu sifanyi kazi hiyo..hata akimpiga teke sawa tu 😎 . Kwani amezungumza hoja za uongo?mpeni majibu kama ana hoja. Alafu mtu akikosa adabu na malezi mazuri pia huwa anakuwa MWIZI, MUONGO...kwenye mali za umma anazopewa asimamie...kuwa makini..huu ni wizi mkubwa sana
 
Tujenge utamaduni wa kuheshimiana
Sativa alikuwa na kosa gani hata Rais Samia na wenzake huko CCM wampe mateso na ulemavu?

Huyo Rais wako anastahili heshima gani kwa matendo yake hayo?

Vipi kuhusu kuamuru polisi wawakamate na kuwatesa vijana wa CHADEMA waliokuwa wanakusanyana Mbeya kutumia uhuru wao kujadili mambo ya nchi yao?

Katika mazingira haya unataka mama yako huyu aheshimiwe? Unaweza vipi kumheshimu mtu ambaye yeye mwenyewe hajiheshimu wala kuheshimu taratibu na sheria na katiba?

By the way, hayo matusi ya Mdude Nyagali kwa Rais wako ni yepi kwa mfano? Maana umelalamika tu pasipo ku - justify malalamiko yako?

Chawa mkubwa Lucas Mwashambwa
 
ephen wanguu lazizi wangu karibu sana waridi wangu nakupenda mpaka nashindwa kuweka vituo katika kuandika
 
Usinifananishe na Mdude Nyagali.huko ni kunidhalilisha mimi.
Hudhalilishwi, unajidhalilisha mwenyewe kutetea ujinga na upumbavu toka kwa Rais wako na serikali yake iliyokosa mwelekeo badala ya kuukemea..

Mdude Nyagali amekemea kwa lugha kali. Bahati mbaya kwako ni kuwa umeona ni matusi kwa mama yako..!
 
Hudhalilishwi, unajidhalilisha mwenyewe kutetea ujinga na upumbavu toka kwa Rais wako na serikali yake iliyokosa mwelekeo badala ya kuukemea..

Mdude Nyagali amekemea kwa lugha kali. Bahati mbaya kwako ni kuwa umeona ni matusi kwa mama yako..!
Muwe na adabu kwa Mheshimiwa Rais hata kama mlikosa malezi ya wazazi wenu.asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na Ulimwengu.
 
Jipambanue kama wewe si chawa ili tujue kama una moral authority ya kumsema Mdude.
Je wewe unaona yanayofanywa dhidi ya wapinzani ni sahihi? Mbona aliyechoma picha alishitakiwa, unadhani kama Mdude anatenda kosa serikali itashindwa kumshitaki? Kama wewe umemchukia usitushawishi watu wote tumchukie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…