Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,503
- 13,463
Hakuna yeyote alitunufaisha! Awe mzungu au mwarabu wote wanafanya sehemu hizo kama lango la wezi tuHila wakipewa wazungu fresh tuu.. shida akija mwarabu.. chuki dhidi ya Uislamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna yeyote alitunufaisha! Awe mzungu au mwarabu wote wanafanya sehemu hizo kama lango la wezi tuHila wakipewa wazungu fresh tuu.. shida akija mwarabu.. chuki dhidi ya Uislamu
Nina taarifa za Ndani kabisa watu wa karibu na Rais Samia wameshaingia Makubaliano ya awali na Kampuni kutoka OMAN ya kuchukua Shughuli za uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa KIA. Hata ile danganya toto ya Waziri MBARAWA kuwa shughuli za KADCO zi merejeshwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ni hadaa tupu.
Watanzania wenzangu tukatae sasa Kila rasilimali za Nchi hii kupewa Waaarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe OMAN. Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.
KIA haitoki kwa Mwarabu, hila zenu tumezijua.
KIA huduma ni za ovyo sana. Kama hao Oman wanapewa kwa uwazi na wanaweza kuweka kila kitu sawa shida ipo wapi?Nina taarifa za Ndani kabisa watu wa karibu na Rais Samia wameshaingia Makubaliano ya awali na Kampuni kutoka OMAN ya kuchukua Shughuli za uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa KIA. Hata ile danganya toto ya Waziri MBARAWA kuwa shughuli za KADCO zi merejeshwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ni hadaa tupu.
Watanzania wenzangu tukatae sasa Kila rasilimali za Nchi hii kupewa Waaarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe OMAN. Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.
KIA haitoki kwa Mwarabu, hila zenu tumezijua.
Haswaaaah!!Wasiusahau na mlima Kilimanjaro hata hilo bwawa la nyumbayamungu uzeni.
Bila ncha ya mtutu hatutoboi.
Tunaelekea kuchoka.
Duuuh watu wana pesaa aseeeh.Kigwangala- Nimesikia kuna kiongozi ana nyumba huko Dubai tena ufukweni yenye thamani ya USD 6 milion.
Nina taarifa za Ndani kabisa watu wa karibu na Rais Samia wameshaingia Makubaliano ya awali na Kampuni kutoka OMAN ya kuchukua Shughuli za uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa KIA. Hata ile danganya toto ya Waziri MBARAWA kuwa shughuli za KADCO zi merejeshwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ni hadaa tupu.
Watanzania wenzangu tukatae sasa Kila rasilimali za Nchi hii kupewa Waaarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe OMAN. Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.
KIA haitoki kwa Mwarabu, hila zenu tumezijua.
Mbona kawaida tu hiyo kingwa ndy kajuwa leo hiiDuuuh watu wana pesaa aseeeh.
Hila wakipewa wazungu fresh tuu.. shida akija mwarabu.. chuki dhidi ya Uislamu
Samia ni janga la kitaifa mpaka aondoke nchi itakuwa mikononi mwa waarabuNina taarifa za Ndani kabisa watu wa karibu na Rais Samia wameshaingia Makubaliano ya awali na Kampuni kutoka OMAN ya kuchukua Shughuli za uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa KIA. Hata ile danganya toto ya Waziri MBARAWA kuwa shughuli za KADCO zi merejeshwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ni hadaa tupu.
Watanzania wenzangu tukatae sasa Kila rasilimali za Nchi hii kupewa Waaarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe OMAN. Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.
KIA haitoki kwa Mwarabu, hila zenu tumezijua.
Kama unauchungu nenda ukawekeze ww kama huwezi wala babako acha wenye mpunga watumie fursa ww tafuta kula ykoNina taarifa za Ndani kabisa watu wa karibu na Rais Samia wameshaingia Makubaliano ya awali na Kampuni kutoka OMAN ya kuchukua Shughuli za uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa KIA. Hata ile danganya toto ya Waziri MBARAWA kuwa shughuli za KADCO zi merejeshwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ni hadaa tupu.
Watanzania wenzangu tukatae sasa Kila rasilimali za Nchi hii kupewa Waaarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe OMAN. Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.
KIA haitoki kwa Mwarabu, hila zenu tumezijua.
Tukatae kuoitia keybord? Mbowe anavyo itsha maandamano si mnamkejeli? Nchi in raia wapumbavu wacha wapigeNina taarifa za Ndani kabisa watu wa karibu na Rais Samia wameshaingia Makubaliano ya awali na Kampuni kutoka OMAN ya kuchukua Shughuli za uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa KIA. Hata ile danganya toto ya Waziri MBARAWA kuwa shughuli za KADCO zi merejeshwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ni hadaa tupu.
Watanzania wenzangu tukatae sasa Kila rasilimali za Nchi hii kupewa Waaarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe OMAN. Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.
KIA haitoki kwa Mwarabu, hila zenu tumezijua.
Je wangepewa Wamarekani au Waingereza ungeandika hii thread?Nina taarifa za Ndani kabisa watu wa karibu na Rais Samia wameshaingia Makubaliano ya awali na Kampuni kutoka OMAN ya kuchukua Shughuli za uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa KIA. Hata ile danganya toto ya Waziri MBARAWA kuwa shughuli za KADCO zi merejeshwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ni hadaa tupu.
Watanzania wenzangu tukatae sasa Kila rasilimali za Nchi hii kupewa Waaarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe OMAN. Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.
KIA haitoki kwa Mwarabu, hila zenu tumezijua.
Kama zilivyo nyingine ambazo ni vigumu sana kuzitofautisha na ushogaKn dini nyingine ni vigumu kuzitofautisha na ugaidi
Wakati mwingine najiuliza maswali magumu sana sana!! Mama ana tatizo Gani lakini? Mbona anataka Sasa tuvirejee vitabu vitakatifu kuona jinsi hivi viumbe vilileta majanga duniani.Huyu Mama atatuachia mashimo!
Dah!! Hivi nyie wenzetu katika Imani mna akili Gani? DahHila wakipewa wazungu fresh tuu.. shida akija mwarabu.. chuki dhidi ya Uislamu