Tetesi: Watanzania tukatae Uwanja wa KIA kupewa Oman

Tetesi: Watanzania tukatae Uwanja wa KIA kupewa Oman

ndugu zako walipewa wakaua kila kitu, uwanja umekua kama wa kufugia mbuzi. Acheni wenye ujuzi na nia ya kufanya biashara wafanye kazi yao ili muone matunda ya uwekezaji.
 
Nina taarifa za Ndani kabisa watu wa karibu na Rais Samia wameshaingia Makubaliano ya awali na Kampuni kutoka OMAN ya kuchukua Shughuli za uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa KIA. Hata ile danganya toto ya Waziri MBARAWA kuwa shughuli za KADCO zi merejeshwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ni hadaa tupu.

Watanzania wenzangu tukatae sasa Kila rasilimali za Nchi hii kupewa Waaarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe OMAN. Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.

KIA haitoki kwa Mwarabu, hila zenu tumezijua.
Na hawa wazungu tena wenye uzoefu na mambo ya uwanja wa ndege ila muarabu ndio ame takeover
 

Attachments

  • Screenshot_20240115-124653_Chrome.jpg
    Screenshot_20240115-124653_Chrome.jpg
    147.4 KB · Views: 4
Unajua kwamba uwanja unaoongoza kwa ubora duniani yaani uwanja wa kimataifa wa uingereza heathrow airport amepewa muarabu auendeshe sasa kuna ajabu gani kiwanja kama kia ambacho kimekaa kwa famila chache miaka yote huku serikali haipati chochote wala haujaboreshwa miaka yote hiyo kupewa mbia mwingine aendeshe?

Yani kuna watu chuki zimejaa vifuani mwao dhidi ya waarabu, ni upumbavu tu.
 
Kama mwarabu keshapewa loliondo na ngorongoro, ili aweze kupitisha wanyamapori hai kwa ajili ya ibada ya kuchinja lazima apewe kiwanja cha ndege na bandari......yaani watanganyika tumekubali kuburuzwa na wazanzibari, inasikitisha sana.​
 
Nina taarifa za ndani kabisa watu wa karibu na Rais Samia wameshaingia Makubaliano ya awali na Kampuni kutoka Oman ya kuchukua shughuli za uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa KIA. Hata ile danganya toto ya Waziri Mbarawa kuwa shughuli za KADCO zimerejeshwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ni hadaa tupu.

Watanzania wenzangu tukatae sasa kila rasilimali za nchi hii kupewa Waarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe Oman? Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.

KIA haitoki kwa Mwarabu, hila zenu tumezijua!
Umeona transaction ya mauzo?
 
ndugu zako walipewa wakaua kila kitu, uwanja umekua kama wa kufugia mbuzi. Acheni wenye ujuzi na nia ya kufanya biashara wafanye kazi yao ili muone matunda ya uwekezaji.
Sasa TAA wanashindwa nn ? Hawa jamaa nawalaumu kwamb TAA na TCAA hawawezi kuset standard za kimataifa kuendesha uwanja mkubwa kama wa Kilimanjaro? Au wazee wa elimu za kuokota.
 
Unajua kwamba uwanja unaoongoza kwa ubora duniani yaani uwanja wa kimataifa wa uingereza heathrow airport amepewa muarabu auendeshe sasa kuna ajabu gani kiwanja kama kia ambacho kimekaa kwa famila chache miaka yote huku serikali haipati chochote wala haujaboreshwa miaka yote hiyo kupewa mbia mwingine aendeshe?
With respect sir
unless you have other reasons don't under estimate oman running airports
may be you need this from Canadian news
YVR and Canadian airports rank in bottom third of global airports list
also Japanese
 
Nina taarifa za ndani kabisa watu wa karibu na Rais Samia wameshaingia Makubaliano ya awali na Kampuni kutoka Oman ya kuchukua shughuli za uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa KIA. Hata ile danganya toto ya Waziri Mbarawa kuwa shughuli za KADCO zimerejeshwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ni hadaa tupu.

Watanzania wenzangu tukatae sasa kila rasilimali za nchi hii kupewa Waarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe Oman? Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.

KIA haitoki kwa Mwarabu, hila zenu tumezijua!
Kwanza tudai Katiba mpya !
Umesahau Dipiwedi ??
Hata ukikataa na wenzako bado itakuwa kazi bure tu !
Katiba mpya bora kwanza !!
 
Nina taarifa za ndani kabisa watu wa karibu na Rais Samia wameshaingia Makubaliano ya awali na Kampuni kutoka Oman ya kuchukua shughuli za uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa KIA. Hata ile danganya toto ya Waziri Mbarawa kuwa shughuli za KADCO zimerejeshwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ni hadaa tupu.

Watanzania wenzangu tukatae sasa kila rasilimali za nchi hii kupewa Waarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe Oman? Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.

KIA haitoki kwa Mwarabu, hila zenu tumezijua!
hebu tuache uongo,hizo hanari za ndani kitoka kwa nani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom