Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hawa wazungu tena wenye uzoefu na mambo ya uwanja wa ndege ila muarabu ndio ame takeoverNina taarifa za Ndani kabisa watu wa karibu na Rais Samia wameshaingia Makubaliano ya awali na Kampuni kutoka OMAN ya kuchukua Shughuli za uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa KIA. Hata ile danganya toto ya Waziri MBARAWA kuwa shughuli za KADCO zi merejeshwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ni hadaa tupu.
Watanzania wenzangu tukatae sasa Kila rasilimali za Nchi hii kupewa Waaarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe OMAN. Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.
KIA haitoki kwa Mwarabu, hila zenu tumezijua.
huyu ni Abiria wa mabus tu, hajui kero za Airport ndio maana hawezi kuja elewa umuhimu wa muwekezaji wa airportKama unauchungu nenda ukawekeze ww kama huwezi wala babako acha wenye mpunga watumie fursa ww tafuta kula yko
Jifunze kuheshimu imani za watu!Kama zilivyo nyingine ambazo ni vigumu sana kuzitofautisha na ushoga
Unajua kwamba uwanja unaoongoza kwa ubora duniani yaani uwanja wa kimataifa wa uingereza heathrow airport amepewa muarabu auendeshe sasa kuna ajabu gani kiwanja kama kia ambacho kimekaa kwa famila chache miaka yote huku serikali haipati chochote wala haujaboreshwa miaka yote hiyo kupewa mbia mwingine aendeshe?
Hapana ila tukatae chuki zisizokuwa na tija kwa taifa na kwa kizazi chetu, kama huyo muarabu ana vigezo apewe ila hatuwezi kumnyima mtu kisa muarabu, hawa waarabu wanaendesha hadi viwanja vya ndege vya ulaya ambako ndio mifumo hii ilianza ila wamewapa hao waarabu sembuse sisiWaislamu wanawaabudu waarabu.
Waislamu wanawaabudu waarabu.
Jifunze kuheshimu imani za watu!
Only those who failed to live up to the principles of their faith can dare to attack other religious faith, sasa angalia namna mjinga mmoja anaeitwa Mahindi mabichi anachojibu!Kn dini nyingine ni vigumu kuzitofautisha na ugaidi
Umeona transaction ya mauzo?Nina taarifa za ndani kabisa watu wa karibu na Rais Samia wameshaingia Makubaliano ya awali na Kampuni kutoka Oman ya kuchukua shughuli za uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa KIA. Hata ile danganya toto ya Waziri Mbarawa kuwa shughuli za KADCO zimerejeshwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ni hadaa tupu.
Watanzania wenzangu tukatae sasa kila rasilimali za nchi hii kupewa Waarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe Oman? Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.
KIA haitoki kwa Mwarabu, hila zenu tumezijua!
Hapo sasa😁 %100 hatakuja na jibuUmeona transaction ya mauzo?
Sasa TAA wanashindwa nn ? Hawa jamaa nawalaumu kwamb TAA na TCAA hawawezi kuset standard za kimataifa kuendesha uwanja mkubwa kama wa Kilimanjaro? Au wazee wa elimu za kuokota.ndugu zako walipewa wakaua kila kitu, uwanja umekua kama wa kufugia mbuzi. Acheni wenye ujuzi na nia ya kufanya biashara wafanye kazi yao ili muone matunda ya uwekezaji.
Mkuu ni yeye alianza na ndio nikamjibu, pole sanaJifunze kuheshimu imani za watu!
Watanzania jaman imetushinda mwendokasi tutaweza uwanja wa ndege jaman huyo jamaa cjui ana mawazo gani au hajui kama dunia inaenda kasi sanahuyu ni Abiria wa mabus tu, hajui kero za Airport ndio maana hawezi kuja elewa umuhimu wa muwekezaji wa airport
Uisilamu ni tatizo duniani kazi wanayoiweza ni kuchinjana na kujilipua,Hila wakipewa wazungu fresh tuu.. shida akija mwarabu.. chuki dhidi ya Uislamu
With respect sirUnajua kwamba uwanja unaoongoza kwa ubora duniani yaani uwanja wa kimataifa wa uingereza heathrow airport amepewa muarabu auendeshe sasa kuna ajabu gani kiwanja kama kia ambacho kimekaa kwa famila chache miaka yote huku serikali haipati chochote wala haujaboreshwa miaka yote hiyo kupewa mbia mwingine aendeshe?
Kwanza tudai Katiba mpya !Nina taarifa za ndani kabisa watu wa karibu na Rais Samia wameshaingia Makubaliano ya awali na Kampuni kutoka Oman ya kuchukua shughuli za uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa KIA. Hata ile danganya toto ya Waziri Mbarawa kuwa shughuli za KADCO zimerejeshwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ni hadaa tupu.
Watanzania wenzangu tukatae sasa kila rasilimali za nchi hii kupewa Waarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe Oman? Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.
KIA haitoki kwa Mwarabu, hila zenu tumezijua!
hebu tuache uongo,hizo hanari za ndani kitoka kwa naniNina taarifa za ndani kabisa watu wa karibu na Rais Samia wameshaingia Makubaliano ya awali na Kampuni kutoka Oman ya kuchukua shughuli za uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa KIA. Hata ile danganya toto ya Waziri Mbarawa kuwa shughuli za KADCO zimerejeshwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ni hadaa tupu.
Watanzania wenzangu tukatae sasa kila rasilimali za nchi hii kupewa Waarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe Oman? Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.
KIA haitoki kwa Mwarabu, hila zenu tumezijua!