Tetesi: Watanzania tukatae Uwanja wa KIA kupewa Oman

Tetesi: Watanzania tukatae Uwanja wa KIA kupewa Oman

Wacha uzushi wewe uwanja wa ndege hauwezi kuuzwa ni uhaini kufanya hivyo
 
Watauzaje kipande cha ardhi ndani ya Tz.
Jeshi letu limepewa kazi ya kufanya usafi badala ya kulinda mali za nchi
 
Watanzania wenzangu tukatae sasa kila rasilimali za nchi hii kupewa Waarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe Oman? Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.
Jana kulikuwa na uzi unasema kuna viongozi wanunua majumba Dubai kwa Bil 25 na wengine Masaki kwa Bil 6
 
Nina taarifa za ndani kabisa watu wa karibu na Rais Samia wameshaingia Makubaliano ya awali na Kampuni kutoka Oman ya kuchukua shughuli za uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa KIA. Hata ile danganya toto ya Waziri Mbarawa kuwa shughuli za KADCO zimerejeshwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ni hadaa tupu.

Watanzania wenzangu tukatae sasa kila rasilimali za nchi hii kupewa Waarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe Oman? Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.

KIA haitoki kwa Mwarabu, hila zenu tumezijua!
Kama wenyewe tumeshindwa kuuendesha kwa faida kwanini wasipewe wanaoweza tukapata faida?

Mnaleta ya DP World, sasa hivi tunaona bandari inaingiza faida kubwa serikalini, mizigo na meli zimeongezeka kuwapa tugati 4 DP World. Tena nashauri wapewe bandari yote kuiendesha.


Hiyo KIA wapewe haraka sana waOman waiendeshe kama bado hawajapewa.

Kwanza hao utakuta wanaokuja kufanya kazi wote wana nasaba kubwa za Kitanzania.
 
Nina taarifa za ndani kabisa watu wa karibu na Rais Samia wameshaingia Makubaliano ya awali na Kampuni kutoka Oman ya kuchukua shughuli za uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa KIA. Hata ile danganya toto ya Waziri Mbarawa kuwa shughuli za KADCO zimerejeshwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ni hadaa tupu.

Watanzania wenzangu tukatae sasa kila rasilimali za nchi hii kupewa Waarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe Oman? Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.

KIA haitoki kwa Mwarabu, hila zenu tumezijua!
Ujilaumu wewe kwa kuichagua ccm
 
Kama wenyewe tumeshindwa kuuendesha kwa faida kwanini wasipewe wanaoweza tukapata faida?

Mnaleta ya DP World, sasa hivi tunaona bandari inaingiza faida kubwa serikalini, mizigo na meli zimeongezeka kuwapa tugati 4 DP World. Tena nashauri wapewe bandari yote kuiendesha.


Hiyo KIA wapewe haraka sana waOman waiendeshe kama bado hawajapewa.

Kwanza hao utakuta wanaokuja kufanya kazi wote wana nasaba kubwa za Kitanzania.
watanzania mnachojuwa sahvi ni kukatika uno misomisondo na maapiqno na maumbea tu

Ova
 
Acha muhemko leta hoja kwani wanauziwa au wanapewa tenda ya kuendesha uwanja. Nchi inahitaji mapato kutokana na kodi kama mpaka leo unaendeshwa kwa hasara kuna ubaya gani kama una binafisichwa, kwa mwekezaji, yoyote mwenye uwezo ata kama sio muarabu au muarabu,........tatizo lako ni chuki na muarabu sio kingine.
Kwa maoni yako ni kwamba nchi haina uwezo wa kuendesha viwanja hivyo! Yaani,hata akili ya kuajili watu wa kusaidizana na wa ndani kuviendesha,haipo!! Mwisho wa siku kuna watu wenu mtatoa kwa sababu kuwashughulikia mmeshindwa. Mnaogopaga nini kujifunza kwa waliopatia? Sisi ndo sisi, sisi tunajua,sisi tunaweza,sisi tutapatamo nini, ndo inayowaponza
 
Nina taarifa za ndani kabisa watu wa karibu na Rais Samia wameshaingia Makubaliano ya awali na Kampuni kutoka Oman ya kuchukua shughuli za uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa KIA. Hata ile danganya toto ya Waziri Mbarawa kuwa shughuli za KADCO zimerejeshwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ni hadaa tupu.

Watanzania wenzangu tukatae sasa kila rasilimali za nchi hii kupewa Waarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe Oman? Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.

KIA haitoki kwa Mwarabu, hila zenu tumezijua!
Mbona KIA ina MOU muda tu na hao jamaa kama sikosei mwaka jana au hii ni mpya? [emoji28] same as shirika la posta.
 
Dah!! Hivi nyie wenzetu katika Imani mna akili Gani? Dah
Mjibu kwanza ndio umulizie akili zake, mbona kauliza swali la msingi tu?

Tatizo lenu mnakimbia ukweli
Kisa udini, halafu nyie nyie ndio mnaita wenzenu wadini

Jibu swali lake, je ingekuwa wazungu ni sawa tu?
 
Back
Top Bottom