Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana kulikuwa na uzi unasema kuna viongozi wanunua majumba Dubai kwa Bil 25 na wengine Masaki kwa Bil 6Watanzania wenzangu tukatae sasa kila rasilimali za nchi hii kupewa Waarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe Oman? Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.
Kama wenyewe tumeshindwa kuuendesha kwa faida kwanini wasipewe wanaoweza tukapata faida?Nina taarifa za ndani kabisa watu wa karibu na Rais Samia wameshaingia Makubaliano ya awali na Kampuni kutoka Oman ya kuchukua shughuli za uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa KIA. Hata ile danganya toto ya Waziri Mbarawa kuwa shughuli za KADCO zimerejeshwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ni hadaa tupu.
Watanzania wenzangu tukatae sasa kila rasilimali za nchi hii kupewa Waarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe Oman? Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.
KIA haitoki kwa Mwarabu, hila zenu tumezijua!
Ebu nawe ficha uchi wa akili yako. Uislam umeingiaje hapa? Pumbavu kabisa wewe.Hila wakipewa wazungu fresh tuu.. shida akija mwarabu.. chuki dhidi ya Uislamu
Hatuwataki magaidi ya kiislamu hamasHila wakipewa wazungu fresh tuu.. shida akija mwarabu.. chuki dhidi ya Uislamu
Ujilaumu wewe kwa kuichagua ccmNina taarifa za ndani kabisa watu wa karibu na Rais Samia wameshaingia Makubaliano ya awali na Kampuni kutoka Oman ya kuchukua shughuli za uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa KIA. Hata ile danganya toto ya Waziri Mbarawa kuwa shughuli za KADCO zimerejeshwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ni hadaa tupu.
Watanzania wenzangu tukatae sasa kila rasilimali za nchi hii kupewa Waarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe Oman? Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.
KIA haitoki kwa Mwarabu, hila zenu tumezijua!
Mtanzania anachojuwa ni mambo ya misomisondo tuDaah ni hatari sana wacha tukae kimya tuu..
watanzania mnachojuwa sahvi ni kukatika uno misomisondo na maapiqno na maumbea tuKama wenyewe tumeshindwa kuuendesha kwa faida kwanini wasipewe wanaoweza tukapata faida?
Mnaleta ya DP World, sasa hivi tunaona bandari inaingiza faida kubwa serikalini, mizigo na meli zimeongezeka kuwapa tugati 4 DP World. Tena nashauri wapewe bandari yote kuiendesha.
Hiyo KIA wapewe haraka sana waOman waiendeshe kama bado hawajapewa.
Kwanza hao utakuta wanaokuja kufanya kazi wote wana nasaba kubwa za Kitanzania.
Kwa raha zetu:watanzania mnachojuwa sahvi ni kukatika uno misomisondo na maapiqno na maumbea tu
Ova
Kwa maoni yako ni kwamba nchi haina uwezo wa kuendesha viwanja hivyo! Yaani,hata akili ya kuajili watu wa kusaidizana na wa ndani kuviendesha,haipo!! Mwisho wa siku kuna watu wenu mtatoa kwa sababu kuwashughulikia mmeshindwa. Mnaogopaga nini kujifunza kwa waliopatia? Sisi ndo sisi, sisi tunajua,sisi tunaweza,sisi tutapatamo nini, ndo inayowaponzaAcha muhemko leta hoja kwani wanauziwa au wanapewa tenda ya kuendesha uwanja. Nchi inahitaji mapato kutokana na kodi kama mpaka leo unaendeshwa kwa hasara kuna ubaya gani kama una binafisichwa, kwa mwekezaji, yoyote mwenye uwezo ata kama sio muarabu au muarabu,........tatizo lako ni chuki na muarabu sio kingine.
Mbona KIA ina MOU muda tu na hao jamaa kama sikosei mwaka jana au hii ni mpya? [emoji28] same as shirika la posta.Nina taarifa za ndani kabisa watu wa karibu na Rais Samia wameshaingia Makubaliano ya awali na Kampuni kutoka Oman ya kuchukua shughuli za uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa KIA. Hata ile danganya toto ya Waziri Mbarawa kuwa shughuli za KADCO zimerejeshwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ni hadaa tupu.
Watanzania wenzangu tukatae sasa kila rasilimali za nchi hii kupewa Waarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe Oman? Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.
KIA haitoki kwa Mwarabu, hila zenu tumezijua!
Hamiyamungu kutoka rohoni mi sielekei kichoka nshachoka muda mrefuWasiusahau na mlima Kilimanjaro hata hilo bwawa la nyumbayamungu uzeni.
Bila ncha ya mtutu hatutoboi.
Tunaelekea kuchoka.
Mjibu kwanza ndio umulizie akili zake, mbona kauliza swali la msingi tu?Dah!! Hivi nyie wenzetu katika Imani mna akili Gani? Dah
Kwa hesabu za haraka haraka tu ni 75% waislamMmezidi mno kuwachukia waarabu na kuupiga vita uislamu ndio maana tupo nyuma kimaendeleo, halafu kaa ukijua hii nchi waislamu ni wengi zaidi ya wakristo!!!!