NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Kio kwamba wakiingia kila kitu kinanyooka, la hasha!! Kuna Madudu huwa yanaendelea ila ukiweka mzani unaona wao wana nafuu hasa linapokuja suala la aman, demokrasia na maendeleo.
Mwinyi mzee wa ruksa alitutoa kwenye ujamaa wa Nyerere watu wakaanza kumiliki hata Tv (wakati huo Zanzibar washazizoea), Pia ni Mwinyi ndie alie assist kuwe na mfumo wa vyama vingi kwa mara ya kwanza nchi hii, kiuchumi nako watu walizikimata pesa aisee.
Kikwete aliweka historia ya democracy tangu tupate uhuru ndio kipindi ambacho demokrasia ya uhuru wa maoni na ushindani wa vyama vya siasa ilikuwa kubwa. Eote ni mashahidi hata kwenye suala la Katiba mpya Kikwete aliweza angalau kuruhusu kuwe na makongamano, kiuchumi vijana wengi walilamba ajira si ualimu si jeshini, pesa mtaani ilikuwepo.
Kaja Mama Samia nae tunaona nchi imerudi kwenye amani, tunaona jinsi mambo yanavyoanza kujirudi, Wapinzani wengi waliobambikiwa kesi wanaachiwa huru kwa spidi, mikutano ya hadhara pia iliyofungiwa kaanza kuifungulia, ni huyu huyu mama licha ya kuwa CCM aliweza kuweka siasa pembeni na kuwa na utu wa kwenda kumjulia hali Tundu Lissu aliefanyiwa unyama wa kutisha mno, kiuchumi nako pesa imeanza kuzunguka mitaani, zile hofu za task force zimepungua.
Mwinyi mzee wa ruksa alitutoa kwenye ujamaa wa Nyerere watu wakaanza kumiliki hata Tv (wakati huo Zanzibar washazizoea), Pia ni Mwinyi ndie alie assist kuwe na mfumo wa vyama vingi kwa mara ya kwanza nchi hii, kiuchumi nako watu walizikimata pesa aisee.
Kikwete aliweka historia ya democracy tangu tupate uhuru ndio kipindi ambacho demokrasia ya uhuru wa maoni na ushindani wa vyama vya siasa ilikuwa kubwa. Eote ni mashahidi hata kwenye suala la Katiba mpya Kikwete aliweza angalau kuruhusu kuwe na makongamano, kiuchumi vijana wengi walilamba ajira si ualimu si jeshini, pesa mtaani ilikuwepo.
Kaja Mama Samia nae tunaona nchi imerudi kwenye amani, tunaona jinsi mambo yanavyoanza kujirudi, Wapinzani wengi waliobambikiwa kesi wanaachiwa huru kwa spidi, mikutano ya hadhara pia iliyofungiwa kaanza kuifungulia, ni huyu huyu mama licha ya kuwa CCM aliweza kuweka siasa pembeni na kuwa na utu wa kwenda kumjulia hali Tundu Lissu aliefanyiwa unyama wa kutisha mno, kiuchumi nako pesa imeanza kuzunguka mitaani, zile hofu za task force zimepungua.