Watanzania tulio wengi tunampenda Hayati Rais Magufuli, hamtafanikiwa kubadilisha ukweli huo kamwe!

Watanzania tulio wengi tunampenda Hayati Rais Magufuli, hamtafanikiwa kubadilisha ukweli huo kamwe!

Taifa la Usa ambalo ndio linajinasibu kuwa kinara wa demokrasia hapa duniani ndio linaongoza kuua watu wengi ambao kwao ni wasaliti.

Huko Israel ukiwa msaliti wa taifa hilo kwa namna yoyote lazima uuliwe. Huko china na Urusi ndio hubakizwi.

Magufuli alikuwa sawa kudili na wasaliti wa taifa hili kwa namna yoyote ile. Na ndio maana hachafuki kwa hili hata kidogo.

Wasaliti wa taifa hili ni wengi sana. Mafisadi, wapuuzi na wapumbavu ambao wao huwadharau watanzania na kuwaona kama wajinga ndio wasaliti wakubwa wa taifa hili. Ndio maana wananchi wanakumbuka alivyowabana na kuwaletea maendeleo wananchi kuliko kucheka na wasaliti.
 
Taifa la Usa ambalo ndio linajinasibu kuwa kinara wa demokrasia hapa duniani ndio linaongoza kuua watu wengi ambao kwao ni wasaliti.

Huko Israel ukiwa msaliti wa taifa hilo kwa namna yoyote lazima uuliwe. Huko china na Urusi ndio hubakizwi.

Magufuli alikuwa sawa kudili na wasaliti wa taifa hili kwa namna yoyote ile. Na ndio maana hachafuki kwa hili hata kidogo.

Wasaliti wa taifa hili ni wengi sana. Mafisadi, wapuuzi na wapumbavu ambao wao huwadharau watanzania na kuwaona kama wajinga ndio wasaliti wakubwa wa taifa hili. Ndio maana wananchi wanakumbuka alivyowabana na kuwaletea maendeleo wananchi kuliko kucheka na wasaliti.
Aya
 
Nirudie hapa Kwa msisitizo!

Ni wapumbavu, mafisadi, vyeti feki, mashoga, na waliolelewa kimamama ndio wenye chuki na kiongozi halisi na mwenye wivu na mwenye nia ya dhati wa kuiletea nchi maendeleo ya kweli, si mwingine, ni Hayati JPM!!

Naelewa, wote wenye kuni Quote na kutukana, ndio hao walengwa ninaowasema hapa!!
 
Taifa la Usa ambalo ndio linajinasibu kuwa kinara wa demokrasia hapa duniani ndio linaongoza kuua watu wengi ambao kwao ni wasaliti.

Huko Israel ukiwa msaliti wa taifa hilo kwa namna yoyote lazima uuliwe. Huko china na Urusi ndio hubakizwi.

Magufuli alikuwa sawa kudili na wasaliti wa taifa hili kwa namna yoyote ile. Na ndio maana hachafuki kwa hili hata kidogo.

Wasaliti wa taifa hili ni wengi sana. Mafisadi, wapuuzi na wapumbavu ambao wao huwadharau watanzania na kuwaona kama wajinga ndio wasaliti wakubwa wa taifa hili. Ndio maana wananchi wanakumbuka alivyowabana na kuwaletea maendeleo wananchi kuliko kucheka na wasaliti.
Hiyo kangala itakuwa kuwa imekulewesha.
Taja msaliti aliyebanwa na magufuli hata mmoja. Utuambie alisalitije taifa.
Kwa mifano uliyotoa unakiri magufuli aliua 'wasaliti'. Je wasaliti hao ni Ben Saanane? Ni Alphonse Mawazo? Ni wale maiti zao ziliokotwa kwenye viroba? Ni wale waliopotea? Au ni wale walionusurika kina Tundu Lissu?
Hujiulizi kwa nini baada ya shetani kurudi kwao jehanam hatujasikia Tena watu kupotea, kutekwa, kuuwawa au kupigwa risasi?
Unadhani uzi huu unaweza kumsafisha mtu anayenuka damu ya binadamu?!
 
Hiyo kangala itakuwa kuwa imekulewesha.
Taja msaliti aliyebanwa na magufuli hata mmoja. Utuambie alisalitije taifa.
Kwa mifano uliyotoa unakiri magufuli aliua 'wasaliti'. Je wasaliti hao ni Ben Saanane? Ni Alphonse Mawazo? Ni wale maiti zao ziliokotwa kwenye viroba? Ni wale waliopotea? Au ni wale walionusurika kina Tundu Lissu?
Hujiulizi kwa nini baada ya shetani kurudi kwao jehanam hatujasikia Tena watu kupotea, kutekwa, kuuwawa au kupigwa risasi?
Unadhani uzi huu unaweza kumsafisha mtu anayenuka damu ya binadamu?!
Unaifahamu Miga wewe??

Je, unawafahamu wanasheria uchwala na watu wa mazingira waliotaka kukwamisha ujenzi wa bwawa la umeme Rufiji? N.k

Na bila shaka unawafahamu waliokuwa wakifaidi Kwa mgongo wa wafanyakazi hewa!!
 
Taifa la Usa ambalo ndio linajinasibu kuwa kinara wa demokrasia hapa duniani ndio linaongoza kuua watu wengi ambao kwao ni wasaliti.

Huko Israel ukiwa msaliti wa taifa hilo kwa namna yoyote lazima uuliwe. Huko china na Urusi ndio hubakizwi.

Magufuli alikuwa sawa kudili na wasaliti wa taifa hili kwa namna yoyote ile. Na ndio maana hachafuki kwa hili hata kidogo.

Wasaliti wa taifa hili ni wengi sana. Mafisadi, wapuuzi na wapumbavu ambao wao huwadharau watanzania na kuwaona kama wajinga ndio wasaliti wakubwa wa taifa hili. Ndio maana wananchi wanakumbuka alivyowabana na kuwaletea maendeleo wananchi kuliko kucheka na wasaliti.
Kesha chafuka tangu 2015 saa hizi keshaoza.
Sukuma gang endeleeni kuota atafufuka

Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
 
Taifa la Usa ambalo ndio linajinasibu kuwa kinara wa demokrasia hapa duniani ndio linaongoza kuua watu wengi ambao kwao ni wasaliti.

Huko Israel ukiwa msaliti wa taifa hilo kwa namna yoyote lazima uuliwe. Huko china na Urusi ndio hubakizwi.

Magufuli alikuwa sawa kudili na wasaliti wa taifa hili kwa namna yoyote ile. Na ndio maana hachafuki kwa hili hata kidogo.

Wasaliti wa taifa hili ni wengi sana. Mafisadi, wapuuzi na wapumbavu ambao wao huwadharau watanzania na kuwaona kama wajinga ndio wasaliti wakubwa wa taifa hili. Ndio maana wananchi wanakumbuka alivyowabana na kuwaletea maendeleo wananchi kuliko kucheka na wasaliti.
Wacha ngonjera zako. Magufuli ndiye mwenye rekodi kubwa ya ufisadi. Ni maendeleo gani alikuletea zaidi ya kukijengea airport yake kijijini kwake Chato.

Hii nchi inachelewa maendeleo kwa kuwa Ina wajinga wengi kama vwewe Muuza Kangala.
 
Wacha ngonjera zako. Magufuli ndiye mwenye rekodi kubwa ya ufisadi. Ni maendeleo gani alikuletea zaidi ya kukijengea airport yake kijijini kwake Chato.

Hii nchi inachelewa maendeleo kwa kuwa Ina wajinga wengi kama vwewe Muuza Kangala.
Wewe ni miongoni mwa hao hao!!

Hata hivyo, wewe unamchango upi ktk taifa hili mkuu!!

Nauliza, kufanyike jambo gani ili achukiwe na wote??
 
Nirudie hapa Kwa msisitizo!

Ni wapumbavu, mafisadi, vyeti feki, mashoga, na waliolelewa kimamama ndio wenye chuki na kiongozi halisi na mwenye wivu na mwenye nia ya dhati wa kuiletea nchi maendeleo ya kweli, si mwingine, ni Hayati JPM!!

Naelewa, wote wenye kuni Quote na kutukana, ndio hao walengwa ninaowasema hapa!!
Punguza jazba chalii,kesha kufa na hatarudi mnaompenda na wanaomchukia hambadilishi chochote kwa uzuri na unabaya wake
NB: Hata TBC hawarushi tena hotuba zake
 
Back
Top Bottom