Watanzania tulio wengi tunampenda Hayati Rais Magufuli, hamtafanikiwa kubadilisha ukweli huo kamwe!

Watanzania tulio wengi tunampenda Hayati Rais Magufuli, hamtafanikiwa kubadilisha ukweli huo kamwe!

Taifa la Usa ambalo ndio linajinasibu kuwa kinara wa demokrasia hapa duniani ndio linaongoza kuua watu wengi ambao kwao ni wasaliti.

Huko Israel ukiwa msaliti wa taifa hilo kwa namna yoyote lazima uuliwe. Huko china na Urusi ndio hubakizwi.

Magufuli alikuwa sawa kudili na wasaliti wa taifa hili kwa namna yoyote ile. Na ndio maana hachafuki kwa hili hata kidogo.

Wasaliti wa taifa hili ni wengi sana. Mafisadi, wapuuzi na wapumbavu ambao wao huwadharau watanzania na kuwaona kama wajinga ndio wasaliti wakubwa wa taifa hili. Ndio maana wananchi wanakumbuka alivyowabana na kuwaletea maendeleo wananchi kuliko kucheka na wasaliti.
Kila wakati ni kumtaja marehebu tu hamchoki?Wanamponda na wanamsifia na kumfananisha na huyu mnapata nin?.Yapo mambo mengi ya kujadili.
 
Unaifahamu Miga wewe??

Je, unawafahamu wanasheria uchwala na watu wa mazingira waliotaka kukwamisha ujenzi wa bwawa la umeme Rufiji? N.k

Na bila shaka unawafahamu waliokuwa wakifaidi Kwa mgongo wa wafanyakazi hewa!!
- Miga ni multilateral investment guarantee agency
-Hawakuwa Wanasheria Uchawara Walikuwa ni Wanasheria wabobezi kina Dr. Advocate.Nshala(PhD), na hoja zao ( za kupinga) kwenye huo mradi wa Kamba zilikuwa za Msingi
-Waliokuwa Wananufaika na Wafanyakazi hewa ni Wangapi hapa Nchini si kikundi kidogo cha Watumishi wa serikali na CCM
- Jiulize swali kwa nini Serikali ya Awamu ya Tano ilihamishia Fungu la ACTL Kwenda Tanzania Government Flight Agency Ikulu ili kuzuia CAG asikague mahesabu ya ATCL
 
Taifa la Usa ambalo ndio linajinasibu kuwa kinara wa demokrasia hapa duniani ndio linaongoza kuua watu wengi ambao kwao ni wasaliti.

Huko Israel ukiwa msaliti wa taifa hilo kwa namna yoyote lazima uuliwe. Huko china na Urusi ndio hubakizwi.

Magufuli alikuwa sawa kudili na wasaliti wa taifa hili kwa namna yoyote ile. Na ndio maana hachafuki kwa hili hata kidogo.

Wasaliti wa taifa hili ni wengi sana. Mafisadi, wapuuzi na wapumbavu ambao wao huwadharau watanzania na kuwaona kama wajinga ndio wasaliti wakubwa wa taifa hili. Ndio maana wananchi wanakumbuka alivyowabana na kuwaletea maendeleo wananchi kuliko kucheka na wasaliti.
Sawa sawa umesikika msalimie musiba
 
Nirudie hapa Kwa msisitizo!

Ni wapumbavu, mafisadi, vyeti feki, mashoga, na waliolelewa kimamama ndio wenye chuki na kiongozi halisi na mwenye wivu na mwenye nia ya dhati wa kuiletea nchi maendeleo ya kweli, si mwingine, ni Hayati JPM!!

Naelewa, wote wenye kuni Quote na kutukana, ndio hao walengwa ninaowasema hapa!!
Hatarudi hata ubinuke
 
Hiyo kangala itakuwa kuwa imekulewesha.
Taja msaliti aliyebanwa na magufuli hata mmoja. Utuambie alisalitije taifa.
Kwa mifano uliyotoa unakiri magufuli aliua 'wasaliti'. Je wasaliti hao ni Ben Saanane? Ni Alphonse Mawazo? Ni wale maiti zao ziliokotwa kwenye viroba? Ni wale waliopotea? Au ni wale walionusurika kina Tundu Lissu?
Hujiulizi kwa nini baada ya shetani kurudi kwao jehanam hatujasikia Tena watu kupotea, kutekwa, kuuwawa au kupigwa risasi?
Unadhani uzi huu unaweza kumsafisha mtu anayenuka damu ya binadamu?!
Hawa sukuma gang ni kuwapotezea tu
 
Taifa la Usa ambalo ndio linajinasibu kuwa kinara wa demokrasia hapa duniani ndio linaongoza kuua watu wengi ambao kwao ni wasaliti.

Huko Israel ukiwa msaliti wa taifa hilo kwa namna yoyote lazima uuliwe. Huko china na Urusi ndio hubakizwi.

Magufuli alikuwa sawa kudili na wasaliti wa taifa hili kwa namna yoyote ile. Na ndio maana hachafuki kwa hili hata kidogo.

Wasaliti wa taifa hili ni wengi sana. Mafisadi, wapuuzi na wapumbavu ambao wao huwadharau watanzania na kuwaona kama wajinga ndio wasaliti wakubwa wa taifa hili. Ndio maana wananchi wanakumbuka alivyowabana na kuwaletea maendeleo wananchi kuliko kucheka na wasaliti.
Watu wanachapa Kazi hawana mda na marehemu..

Ila reference ikitakiwa hasa mbaya atatajwa tuu.
 
Unaifahamu Miga wewe??

Je, unawafahamu wanasheria uchwala na watu wa mazingira waliotaka kukwamisha ujenzi wa bwawa la umeme Rufiji? N.k

Na bila shaka unawafahamu waliokuwa wakifaidi Kwa mgongo wa wafanyakazi hewa!!
Acha kubwabwaja wewe unamfahamu Deo Mwanyika??
 
Taifa la Usa ambalo ndio linajinasibu kuwa kinara wa demokrasia hapa duniani ndio linaongoza kuua watu wengi ambao kwao ni wasaliti.

Huko Israel ukiwa msaliti wa taifa hilo kwa namna yoyote lazima uuliwe. Huko china na Urusi ndio hubakizwi.

Magufuli alikuwa sawa kudili na wasaliti wa taifa hili kwa namna yoyote ile. Na ndio maana hachafuki kwa hili hata kidogo.

Wasaliti wa taifa hili ni wengi sana. Mafisadi, wapuuzi na wapumbavu ambao wao huwadharau watanzania na kuwaona kama wajinga ndio wasaliti wakubwa wa taifa hili. Ndio maana wananchi wanakumbuka alivyowabana na kuwaletea maendeleo wananchi kuliko kucheka na wasaliti.
Nani anatakiwa aamue nini ni usaliti na nani ni msaliti, Rais wa nchi?! May God Almighty have mercy on your soul.
 
Nirudie hapa Kwa msisitizo!

Ni wapumbavu, mafisadi, vyeti feki, mashoga, na waliolelewa kimamama ndio wenye chuki na kiongozi halisi na mwenye wivu na mwenye nia ya dhati wa kuiletea nchi maendeleo ya kweli, si mwingine, ni Hayati JPM!!

Naelewa, wote wenye kuni Quote na kutukana, ndio hao walengwa ninaowasema hapa!!
Trillion 1.5 iliyeyukia wapi ile mpaka mkamla mzee wa watu kichwa
 
- Miga ni multilateral investment guarantee agency
-Hawakuwa Wanasheria Uchawara Walikuwa ni Wanasheria wabobezi kina Dr. Advocate.Nshala(PhD), na hoja zao ( za kupinga) kwenye huo mradi wa Kamba zilikuwa za Msingi
-Waliokuwa Wananufaika na Wafanyakazi hewa ni Wangapi hapa Nchini si kikundi kidogo cha Watumishi wa serikali na CCM
- Jiulize swali kwa nini Serikali ya Awamu ya Tano ilihamishia Fungu la ACTL Kwenda Tanzania Government Flight Agency Ikulu ili kuzuia CAG asikague mahesabu ya ATCL
Hoja za kijinga kabisa hizi,

Hata hivyo, umesema kweli, ni kikundi kidogo tuu kilichokuwa kikinufaika na mgongo wa wafanyakazi hewa, na ndio hao wachache wanaoendelea kumponda Jembe!
 
Hoja za kijinga kabisa hizi,

Hata hivyo, umesema kweli, ni kikundi kidogo tuu kilichokuwa kikinufaika na mgongo wa wafanyakazi hewa, na ndio hao wachache wanaoendelea kumponda Jembe!
  • Kama ni hoja za kijinga mbona umeshindwa kuzijibu
  • Kwa hiyo hicho kikundi ndiyo wamejaa huku jf?
  • Kwa Nini CAG Hakumaliza muda wake?
 
Unaifahamu Miga wewe??

Je, unawafahamu wanasheria uchwala na watu wa mazingira waliotaka kukwamisha ujenzi wa bwawa la umeme Rufiji? N.k

Na bila shaka unawafahamu waliokuwa wakifaidi Kwa mgongo wa wafanyakazi hewa!!
Hayati Magufuli alifanya kazi yake ya Urais wa Tanzania kwa kadiri alivyoweza.
Kuna mazuri ya kupongezwa na kuigwa, pia mabaya au mapungufu ya kurekebishwa kama ilivyo kwa binadamu.
Mashindano ya kijinga ya kushabikia mauaji ni kumdhalilisha zaidi.
Unataka kuthibitisha kuwa aliwaua watu kwa ajili ya MIGA, wanasheria wa mazingira na waliokuwa wakifaidi kupitia wafanyakazi hewa?
Hii ni akili ya namna gani?
 
Taifa la Usa ambalo ndio linajinasibu kuwa kinara wa demokrasia hapa duniani ndio linaongoza kuua watu wengi ambao kwao ni wasaliti.

Huko Israel ukiwa msaliti wa taifa hilo kwa namna yoyote lazima uuliwe. Huko china na Urusi ndio hubakizwi.

Magufuli alikuwa sawa kudili na wasaliti wa taifa hili kwa namna yoyote ile. Na ndio maana hachafuki kwa hili hata kidogo.

Wasaliti wa taifa hili ni wengi sana. Mafisadi, wapuuzi na wapumbavu ambao wao huwadharau watanzania na kuwaona kama wajinga ndio wasaliti wakubwa wa taifa hili. Ndio maana wananchi wanakumbuka alivyowabana na kuwaletea maendeleo wananchi kuliko kucheka na wasaliti.
Mchafu huwa hachafuki kwa sababu ni mchafu tayari
 
Hayati Magufuli alifanya kazi yake ya Urais wa Tanzania kwa kadiri alivyoweza.
Kuna mazuri ya kupongezwa na kuigwa, pia mabaya au mapungufu ya kurekebishwa kama ilivyo kwa binadamu.
Mashindano ya kijinga ya kushabikia mauaji ni kumdhalilisha zaidi.
Unataka kuthibitisha kuwa aliwaua watu kwa ajili ya MIGA, wanasheria wa mazingira na waliokuwa wakifaidi kupitia wafanyakazi hewa?
Hii ni akili ya namna gani?
Huwezi kunilisha maneno mjinga wewe!!
 
Back
Top Bottom