Watanzania tumekosa mtetezi kwenye suala la umeme, sasa tunaangamia

Watanzania tumekosa mtetezi kwenye suala la umeme, sasa tunaangamia

Ndicho nachoweza kusema, machozi ya Watanzania kuhusu kero mbalimbali kwa sasa hayana mtu wa kuyafuta. Sio watawala, sio wapinzani, sio taasisi za kidini Wala yeyote yule. Watanzania tunapigwa bakora za ukosefu wa maji ya uhakika,kupanda kwa gharama za maisha(sukari) kupanda kwa bei za vifurushi vya simu, ukosefu kabisa wa umeme n.k .

kusema kweli kero zote za ukosefu wa maji, kupanda kwa gharama za maisha na uhuni tunaofanyiwa kwenye mitandao ya simu ni kama Watanzania tumekubaliana nayo. Ila hili la umeme kwa kweli hapana.

jamani umeme umekua kero na unatuumiza sana sisi Watanzania wa chini hakika tunaumia tunaumia tunaumia haswa!!!!

Jambo la kusikitisha ni kwamba naona viongozi sio wa upinzani Wala watawala wanaoguswa na hili tatizo, nchi iko gizani karibia mwaka mzima sasa lkn watu wako kimya kana kwamba hakuna kitu chochote kinacholisumbua taifa.

Viongozi wa upinzani nawambieni ktk jambo ambalo inabidi mlivalie njuga ni hili la umeme hakika litapa credit kubwa sana kuelekea mwaka wa uchaguzi 2025.

Watanzania hawana hamu Tena na huyu mama, sio vijijini wa mjini hakika nawambieni. Biashara haziendi watu wanapata hasara kweli kweli! Samaki wanaharibikia kwenye mafriji, nyama zinaoza mabuchani, wauza maziwa nadhani mnanielewa vzr vile mnapata hasara!

Wapi wanangu wa kuchomelea (welding) hasara mnayopata Sina haja ya kuwasimulia, mafundi aluminium, viwanda vidogo vidogo na vikubwa, watu wa saloon (Berber shop), mama ntilie nk. nk....!!
aisee hakika tunalia machozi ya samaki.

Sometime najiuliza hivi kweli viongozi wetu wanakaa kwa amani kbs maofisini kwao ili Hal, Watanzania wenzao wanateseka kiasi hiki na umeme?? Wasivyo na mishipa ya aibu Bado wanapita kudai Kodi kwenye biashara za saloon na mabucha ya samaki na biashara nyingine zinazo athiliwa Moja kwa Moja na ukosefu wa umeme, jamani chonde chonde mtatuuaaaaa.

Mwisho :sasa nimeuona umuhimu wa upinzani kwa usitawi wa nchi, kumbe upinzani ni wamuhimu sana hasa kwenye vyombo vya maamuzi tusichukulie poa! Tunahitaji upinzani dhabiti ktk nchi yetu. Leo hii mwaka unaenda kukata nchi iko gizani lkn husikii mbunge yeyote akisemea swala la umeme, husikii diwani yeyote akisemea swala umeme, hatusikii mwenyekiti Wala kigoda wote kimyaaa!! Kazi kubwa walioambiwa ni kusifu kisichokuepo.

Lkn naamini wapinzani wangekua kwenye vyombo vya maamuzi makelele Yao yangewashitua watawala wangetafuta namna ya kulishughulikia swala hili na Watanzania tungepata afueni.

Kumbuleni mpaka sasa hakuna mwenye jibu ni lini mgao (Mimi nauita ukose wa umeme kbs) tutaondokana nao.

Poleni waganga njaa wenzegu kwa bakora za mgongo hakika chozi letu ni lasamaki.

By kinyozi wa saloni mtoni mtongani.
suala la umeme ni dhahiri kuna tatizo,na serikali wanachukua hatua zinazostahili,halitatuliwi kwa kelele
 
Hivi shida ni nini jamani?kuna kitu kinaendelea upande wa umeme,kuna mchezo mchafu,maana ,kwaninj kipindi cha kiangazi mgao,kipindi cha mvua mgao,sababu wanazotoa ni sababu za kishetani,haziingi akilini,wanataka wafanye hii ndo iwe style,msipoongea na kuwakumbusha hali itakuwa hivi maisha yoote,watuambie sababu zenye mashiko ili tuwaamini
 
Ndicho nachoweza kusema, machozi ya Watanzania kuhusu kero mbalimbali kwa sasa hayana mtu wa kuyafuta. Sio watawala, sio wapinzani, sio taasisi za kidini Wala yeyote yule. Watanzania tunapigwa bakora za ukosefu wa maji ya uhakika,kupanda kwa gharama za maisha(sukari) kupanda kwa bei za vifurushi vya simu, ukosefu kabisa wa umeme n.k .

kusema kweli kero zote za ukosefu wa maji, kupanda kwa gharama za maisha na uhuni tunaofanyiwa kwenye mitandao ya simu ni kama Watanzania tumekubaliana nayo. Ila hili la umeme kwa kweli hapana.

jamani umeme umekua kero na unatuumiza sana sisi Watanzania wa chini hakika tunaumia tunaumia tunaumia haswa!!!!

Jambo la kusikitisha ni kwamba naona viongozi sio wa upinzani Wala watawala wanaoguswa na hili tatizo, nchi iko gizani karibia mwaka mzima sasa lkn watu wako kimya kana kwamba hakuna kitu chochote kinacholisumbua taifa.

Viongozi wa upinzani nawambieni ktk jambo ambalo inabidi mlivalie njuga ni hili la umeme hakika litapa credit kubwa sana kuelekea mwaka wa uchaguzi 2025.

Watanzania hawana hamu Tena na huyu mama, sio vijijini wa mjini hakika nawambieni. Biashara haziendi watu wanapata hasara kweli kweli! Samaki wanaharibikia kwenye mafriji, nyama zinaoza mabuchani, wauza maziwa nadhani mnanielewa vzr vile mnapata hasara!

Wapi wanangu wa kuchomelea (welding) hasara mnayopata Sina haja ya kuwasimulia, mafundi aluminium, viwanda vidogo vidogo na vikubwa, watu wa saloon (Berber shop), mama ntilie nk. nk....!!
aisee hakika tunalia machozi ya samaki.

Sometime najiuliza hivi kweli viongozi wetu wanakaa kwa amani kbs maofisini kwao ili Hal, Watanzania wenzao wanateseka kiasi hiki na umeme?? Wasivyo na mishipa ya aibu Bado wanapita kudai Kodi kwenye biashara za saloon na mabucha ya samaki na biashara nyingine zinazo athiliwa Moja kwa Moja na ukosefu wa umeme, jamani chonde chonde mtatuuaaaaa.

Mwisho :sasa nimeuona umuhimu wa upinzani kwa usitawi wa nchi, kumbe upinzani ni wamuhimu sana hasa kwenye vyombo vya maamuzi tusichukulie poa! Tunahitaji upinzani dhabiti ktk nchi yetu. Leo hii mwaka unaenda kukata nchi iko gizani lkn husikii mbunge yeyote akisemea swala la umeme, husikii diwani yeyote akisemea swala umeme, hatusikii mwenyekiti Wala kigoda wote kimyaaa!! Kazi kubwa walioambiwa ni kusifu kisichokuepo.

Lkn naamini wapinzani wangekua kwenye vyombo vya maamuzi makelele Yao yangewashitua watawala wangetafuta namna ya kulishughulikia swala hili na Watanzania tungepata afueni.

Kumbuleni mpaka sasa hakuna mwenye jibu ni lini mgao (Mimi nauita ukose wa umeme kbs) tutaondokana nao.

Poleni waganga njaa wenzegu kwa bakora za mgongo hakika chozi letu ni lasamaki.

By kinyozi wa saloni mtoni mtongani.
Kosa la watanzania ni kujifungia ndani na kusubiri eti ''mtetezi''. Maweee! Changamkeni ndugu, tujitetee wenyewe, nani alikuambia kwenye maisha unakaa na kusubiri watu wa kukutetea! Hii misemo ya ''tumekosa mtetezi'', ''hatuna mtu wa kutusemea'', ''wananchi wanyonge'', haitasaidia lolote. Amkeni, jiteteeni wenyewe. Shirikini kwenye harakati zote za kuibana serikali bila kujali itikadi wala dini. Ohooooooo!
 
Hivi shida ni nini jamani?kuna kitu kinaendelea upande wa umeme,kuna mchezo mchafu,maana ,kwaninj kipindi cha kiangazi mgao,kipindi cha mvua mgao,sababu wanazotoa ni sababu za kishetani,haziingi akilini,wanataka wafanye hii ndo iwe style,msipoongea na kuwakumbusha hali itakuwa hivi maisha yoote,watuambie sababu zenye mashiko ili tuwaamini
Shida ni sisi wananchi. TUmekaa eti wanasubiri mtetezi. Tutasubiri sana................
 
...ukinunua sola, au ukafunga motor mbili zinazotegemeana, utapata infinity electric charge(umeme usio na kikomo). Utasahau mambo ya TANESCO, nakwambia watakusanya nguzo wauze mbao
Mkuu kama hautajali nakusihi.
Hebu tuwekee mchoro hata wa kwenye karatasi hatua kwa hatua tufanye majaribio huku mtaani. Umeme ni muhimu sana sana. Wahuni hawa TANESCO wamejitwalia nafasi ya kutupatisha taabu kwa sababu nchi kwa kutumia sheria zilizopo imezuia eneo la ubunifu kushamiri
 
Unajua nimekuja kugundua shida ya umeme/ ukosefu wa umeme tusilaumu shirika la Tanesco, shida iko kwa viongozi wetu wa kisiasa hasa kiongozi mkuu. Ukituliza kichwa vzr utanielewa. Mimi nahisi Tanesco wanafanya kazi kwa maelekezo ya mtu au watu flani. Watanzania tujiulize kwa Nini shida ya umeme inakuepo au kutokuepo kutegemea na kiongozi anaengoza nchi???

Kwa Nini kipindi cha magu hakukua na mgao then now mgao ni wakutisha ilihali shirika ni lile lile???

Mzee magu alifanya Nini kuhakikisha Kuna kuwa na umeme wa uhakika ambacho huyu mama hawezi kukifanya?? Tujiulize kwa pamoja
Inasikitisha.
 
Mpinzani akutetee kivipi wakati wewe mwenyewe autetei upinzani?! Yakija maandamano unaungana na wakatili wako, shida zikikufata unataka mpinzani akutetee,
Hivi mtajifunza lini kutafuta haki zenu bila lawama?! Kibaya zaidi mnalalamikia chooni ambako uko peke yako nani atakusikia?!!
Bahati mbayaa umesikika, utaikana hata sauti yako udanganye labda ulikuwa unaota au majini yalipanda
Simamieni haki zenu kwa nguvu, zote, hak aiombwi, haki inachukuliwa
Acheni uchawa, uchawa ni unafikk na ukiuchunguza vizuri una hakisiana na ushoga
Hivyo tu
Pamoja mkuu
 
Mkuu kama hautajali nakusihi.
Hebu tuwekee mchoro hata wa kwenye karatasi hatua kwa hatua tufanye majaribio huku mtaani. Umeme ni muhimu sana sana. Wahuni hawa TANESCO wamejitwalia nafasi ya kutupatisha taabu kwa sababu nchi kwa kutumia sheria zilizopo imezuia eneo la ubunifu kushamiri
sina kalamu hapa nilipo ila karatas ninayo, unaweza kusearch google "make your own infinity energy at home" then utaona wameweka motor mbili
 
Ndicho nachoweza kusema, machozi ya Watanzania kuhusu kero mbalimbali kwa sasa hayana mtu wa kuyafuta. Sio watawala, sio wapinzani, sio taasisi za kidini Wala yeyote yule. Watanzania tunapigwa bakora za ukosefu wa maji ya uhakika,kupanda kwa gharama za maisha(sukari) kupanda kwa bei za vifurushi vya simu, ukosefu kabisa wa umeme n.k .

kusema kweli kero zote za ukosefu wa maji, kupanda kwa gharama za maisha na uhuni tunaofanyiwa kwenye mitandao ya simu ni kama Watanzania tumekubaliana nayo. Ila hili la umeme kwa kweli hapana.

jamani umeme umekua kero na unatuumiza sana sisi Watanzania wa chini hakika tunaumia tunaumia tunaumia haswa!!!!

Jambo la kusikitisha ni kwamba naona viongozi sio wa upinzani Wala watawala wanaoguswa na hili tatizo, nchi iko gizani karibia mwaka mzima sasa lkn watu wako kimya kana kwamba hakuna kitu chochote kinacholisumbua taifa.

Viongozi wa upinzani nawambieni ktk jambo ambalo inabidi mlivalie njuga ni hili la umeme hakika litapa credit kubwa sana kuelekea mwaka wa uchaguzi 2025.

Watanzania hawana hamu Tena na huyu mama, sio vijijini wa mjini hakika nawambieni. Biashara haziendi watu wanapata hasara kweli kweli! Samaki wanaharibikia kwenye mafriji, nyama zinaoza mabuchani, wauza maziwa nadhani mnanielewa vzr vile mnapata hasara!

Wapi wanangu wa kuchomelea (welding) hasara mnayopata Sina haja ya kuwasimulia, mafundi aluminium, viwanda vidogo vidogo na vikubwa, watu wa saloon (Berber shop), mama ntilie nk. nk....!!
aisee hakika tunalia machozi ya samaki.

Sometime najiuliza hivi kweli viongozi wetu wanakaa kwa amani kbs maofisini kwao ili Hal, Watanzania wenzao wanateseka kiasi hiki na umeme?? Wasivyo na mishipa ya aibu Bado wanapita kudai Kodi kwenye biashara za saloon na mabucha ya samaki na biashara nyingine zinazo athiliwa Moja kwa Moja na ukosefu wa umeme, jamani chonde chonde mtatuuaaaaa.

Mwisho :sasa nimeuona umuhimu wa upinzani kwa usitawi wa nchi, kumbe upinzani ni wamuhimu sana hasa kwenye vyombo vya maamuzi tusichukulie poa! Tunahitaji upinzani dhabiti ktk nchi yetu. Leo hii mwaka unaenda kukata nchi iko gizani lkn husikii mbunge yeyote akisemea swala la umeme, husikii diwani yeyote akisemea swala umeme, hatusikii mwenyekiti Wala kigoda wote kimyaaa!! Kazi kubwa walioambiwa ni kusifu kisichokuepo.

Lkn naamini wapinzani wangekua kwenye vyombo vya maamuzi makelele Yao yangewashitua watawala wangetafuta namna ya kulishughulikia swala hili na Watanzania tungepata afueni.

Kumbuleni mpaka sasa hakuna mwenye jibu ni lini mgao (Mimi nauita ukose wa umeme kbs) tutaondokana nao.

Poleni waganga njaa wenzegu kwa bakora za mgongo hakika chozi letu ni lasamaki.

By kinyozi wa

Huyu pia wamemkamata
 

Attachments

  • VID-20240206-WA0002.mp4
    5.2 MB
Ndicho nachoweza kusema, machozi ya Watanzania kuhusu kero mbalimbali kwa sasa hayana mtu wa kuyafuta. Sio watawala, sio wapinzani, sio taasisi za kidini Wala yeyote yule. Watanzania tunapigwa bakora za ukosefu wa maji ya uhakika,kupanda kwa gharama za maisha(sukari) kupanda kwa bei za vifurushi vya simu, ukosefu kabisa wa umeme n.k .

kusema kweli kero zote za ukosefu wa maji, kupanda kwa gharama za maisha na uhuni tunaofanyiwa kwenye mitandao ya simu ni kama Watanzania tumekubaliana nayo. Ila hili la umeme kwa kweli hapana.

jamani umeme umekua kero na unatuumiza sana sisi Watanzania wa chini hakika tunaumia tunaumia tunaumia haswa!!!!

Jambo la kusikitisha ni kwamba naona viongozi sio wa upinzani Wala watawala wanaoguswa na hili tatizo, nchi iko gizani karibia mwaka mzima sasa lkn watu wako kimya kana kwamba hakuna kitu chochote kinacholisumbua taifa.

Viongozi wa upinzani nawambieni ktk jambo ambalo inabidi mlivalie njuga ni hili la umeme hakika litapa credit kubwa sana kuelekea mwaka wa uchaguzi 2025.

Watanzania hawana hamu Tena na huyu mama, sio vijijini wa mjini hakika nawambieni. Biashara haziendi watu wanapata hasara kweli kweli! Samaki wanaharibikia kwenye mafriji, nyama zinaoza mabuchani, wauza maziwa nadhani mnanielewa vzr vile mnapata hasara!

Wapi wanangu wa kuchomelea (welding) hasara mnayopata Sina haja ya kuwasimulia, mafundi aluminium, viwanda vidogo vidogo na vikubwa, watu wa saloon (Berber shop), mama ntilie nk. nk....!!
aisee hakika tunalia machozi ya samaki.

Sometime najiuliza hivi kweli viongozi wetu wanakaa kwa amani kbs maofisini kwao ili Hal, Watanzania wenzao wanateseka kiasi hiki na umeme?? Wasivyo na mishipa ya aibu Bado wanapita kudai Kodi kwenye biashara za saloon na mabucha ya samaki na biashara nyingine zinazo athiliwa Moja kwa Moja na ukosefu wa umeme, jamani chonde chonde mtatuuaaaaa.

Mwisho :sasa nimeuona umuhimu wa upinzani kwa usitawi wa nchi, kumbe upinzani ni wamuhimu sana hasa kwenye vyombo vya maamuzi tusichukulie poa! Tunahitaji upinzani dhabiti ktk nchi yetu. Leo hii mwaka unaenda kukata nchi iko gizani lkn husikii mbunge yeyote akisemea swala la umeme, husikii diwani yeyote akisemea swala umeme, hatusikii mwenyekiti Wala kigoda wote kimyaaa!! Kazi kubwa walioambiwa ni kusifu kisichokuepo.

Lkn naamini wapinzani wangekua kwenye vyombo vya maamuzi makelele Yao yangewashitua watawala wangetafuta namna ya kulishughulikia swala hili na Watanzania tungepata afueni.

Kumbuleni mpaka sasa hakuna mwenye jibu ni lini mgao (Mimi nauita ukose wa umeme kbs) tutaondokana nao.

Poleni waganga njaa wenzegu kwa bakora za mgongo hakika chozi letu ni lasamaki.

By kinyozi wa saloni mtoni mtongani.
Mtanikumbuka
 
sina kalamu hapa nilipo ila karatas ninayo, unaweza kusearch google "make your own infinity energy at home" then utaona wameweka motor mbili
Mkuu shukrani.
hata hayo maelezo yanasaidia kufikia lengo la ufahamu.

thanks
 
Back
Top Bottom