Watanzania tumsaidie kumtajia viongozi wasiofaa Rais anapokwenda kuisuka upya Serikali

Watanzania tumsaidie kumtajia viongozi wasiofaa Rais anapokwenda kuisuka upya Serikali

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza rasmi mpango wake wa kuisuka upya Serikali yake baada ya kubaini baadhi ya watu hawaendani na kasi wanayoitaka wananchi katika kujiletea maendeleo.

Kama watanzania utendaji wa viongozi wetu hasa wateule wa Mh Rais wote tunaufahamu kuanzia Waziri Mkuu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na Wakuu wa Mashirika.

Tutumie jukwaa hili kuwataja viongozi ambao tunaamini hawamsaidii Rais na wanamleta shida kubwa kwa wananchi.

1. Ashatu Kijaji (Waziri wa Viwanda na Uwekezaji) kusimamia mfumko wa bei na bidhaa bandia kuingia sokoni na kuleta madhara makubwa kwa wananchi.

2. Angelina Mabula (Waziri wa Ardhi) ameshindwa kusimamia mpango wa matumizi bora ya ardhi wakulima na wafugaji wanauana kila leo.

3. Jenista Mhagama (Waziri wa Utumishi) ameshindwa kusimamia agizo la Rais la kuwalipa Bilioni 47 watumishi walifutwa kazi kwa kuwa na vyeti Feki

wengine tuendeleee.....
 
Ondoa,
1. January Makamba
2. Nape Moses Nauye.
3. Mwingulu Nchemba.
5. Amos Makala.
6. Dorothy Gwajima.
7. Riz moko.

Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza rasmi mpango wake wa kuisuka upya Serikali yake baada ya kubaini baadhi ya watu hawaendani na kasi wanayoitaka wananchi katika kujiletea maendeleo.

Kama watanzania utendaji wa viongozi wetu hasa wateule wa Mh Rais wote tunaufahamu kuanzia Waziri Mkuu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na Wakuu wa Mashirika.

Tutumie jukwaa hili kuwataja viongozi ambao tunaamini hawamsaidii Rais na wanamleta shida kubwa kwa wananchi.

1. Ashatu Kijaji (Waziri wa Viwanda na Uwekezaji) kusimamia mfumko wa bei na bidhaa bandia kuingia sokoni na kuleta madhara makubwa kwa wananchi.

2. Angelina Mabula (Waziri wa Ardhi) ameshindwa kusimamia mpango wa matumizi bora ya ardhi wakulima na wafugaji wanauana kila leo.

3. Jenista Mhagama (Waziri wa Utumishi) ameshindwa kusimamia agizo la Rais la kuwalipa Bilioni 47 watumishi walifutwa kazi kwa kuwa na vyeti Feki

wengine tuendeleee.....
 
Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza rasmi mpango wake wa kuisuka upya Serikali yake baada ya kubaini baadhi ya watu hawaendani na kasi wanayoitaka wananchi katika kujiletea maendeleo.

Kama watanzania utendaji wa viongozi wetu hasa wateule wa Mh Rais wote tunaufahamu kuanzia Waziri Mkuu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na Wakuu wa Mashirika.

Tutumie jukwaa hili kuwataja viongozi ambao tunaamini hawamsaidii Rais na wanamleta shida kubwa kwa wananchi.

1. Ashatu Kijaji (Waziri wa Viwanda na Uwekezaji) kusimamia mfumko wa bei na bidhaa bandia kuingia sokoni na kuleta madhara makubwa kwa wananchi.

2. Angelina Mabula (Waziri wa Ardhi) ameshindwa kusimamia mpango wa matumizi bora ya ardhi wakulima na wafugaji wanauana kila leo.

3. Jenista Mhagama (Waziri wa Utumishi) ameshindwa kusimamia agizo la Rais la kuwalipa Bilioni 47 watumishi walifutwa kazi kwa kuwa na vyeti Feki

wengine tuendeleee.....
Kwa jinsi sirikali ilivyoshindwa kutatua changamoto za wananchi,

Nashauri akae pembeni Ili aje mwingine kuisuka Serikali mpya.

Mwaka mpya na mambo mapya.

Ni ushauri tu lakini!!!
 
Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza rasmi mpango wake wa kuisuka upya Serikali yake baada ya kubaini baadhi ya watu hawaendani na kasi wanayoitaka wananchi katika kujiletea maendeleo.

Kama watanzania utendaji wa viongozi wetu hasa wateule wa Mh Rais wote tunaufahamu kuanzia Waziri Mkuu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na Wakuu wa Mashirika.

Tutumie jukwaa hili kuwataja viongozi ambao tunaamini hawamsaidii Rais na wanamleta shida kubwa kwa wananchi.

1. Ashatu Kijaji (Waziri wa Viwanda na Uwekezaji) kusimamia mfumko wa bei na bidhaa bandia kuingia sokoni na kuleta madhara makubwa kwa wananchi.

2. Angelina Mabula (Waziri wa Ardhi) ameshindwa kusimamia mpango wa matumizi bora ya ardhi wakulima na wafugaji wanauana kila leo.

3. Jenista Mhagama (Waziri wa Utumishi) ameshindwa kusimamia agizo la Rais la kuwalipa Bilioni 47 watumishi walifutwa kazi kwa kuwa na vyeti Feki

wengine tuendeleee.....
Mwigulu kashindwa kusimamia matumizi ya ovyo ya fedha wazirani kwake mpaka tunamuona waziri mkuu anashughulia wizi huo wa mamilioni wanayolipana kwa hili tunamuomba rais aifumue wizara yote na aiweke chini ya waziri mkuu kwa sababu huyu jamaa yuko makini kweli kufatilia matumizi ya ovyo ya fedha zetu.
 
M. Mchengerwa arudi Wizara ya Utumishi anafaa sana pale kwa kuzifahamu na kuzitekeleza sheria za utumishi wa umma.

Waziri na taaluma kuwe na relationship, tuache siasa kwenye kazi.
 
M. Mchengerwa arudi Wizara ya Utumishi anafaa sana pale kwa kuzifahamu na kuzitekeleza sheria za utumishi wa umma.

Waziri na taaluma kuwe na relationship, tuache siasa kwenye kazi.
ataweza kusimamia kulipwa watumishi wa vyeti feki maana wenzake wanaogopa kufungwa baada ya regime hii kuondoka madarakani kwa sababu ni jambo ambalo liko nje ya sheria.
 
Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza rasmi mpango wake wa kuisuka upya Serikali yake baada ya kubaini baadhi ya watu hawaendani na kasi wanayoitaka wananchi katika kujiletea maendeleo.

Kama watanzania utendaji wa viongozi wetu hasa wateule wa Mh Rais wote tunaufahamu kuanzia Waziri Mkuu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na Wakuu wa Mashirika.

Tutumie jukwaa hili kuwataja viongozi ambao tunaamini hawamsaidii Rais na wanamleta shida kubwa kwa wananchi.

1. Ashatu Kijaji (Waziri wa Viwanda na Uwekezaji) kusimamia mfumko wa bei na bidhaa bandia kuingia sokoni na kuleta madhara makubwa kwa wananchi.

2. Angelina Mabula (Waziri wa Ardhi) ameshindwa kusimamia mpango wa matumizi bora ya ardhi wakulima na wafugaji wanauana kila leo.

3. Jenista Mhagama (Waziri wa Utumishi) ameshindwa kusimamia agizo la Rais la kuwalipa Bilioni 47 watumishi walifutwa kazi kwa kuwa na vyeti Feki

wengine tuendeleee.....
ULIOWATAJA HAO HAKUNA WAKUWAONDOA KAMWE
 
Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza rasmi mpango wake wa kuisuka upya Serikali yake baada ya kubaini baadhi ya watu hawaendani na kasi wanayoitaka wananchi katika kujiletea maendeleo.

Kama watanzania utendaji wa viongozi wetu hasa wateule wa Mh Rais wote tunaufahamu kuanzia Waziri Mkuu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na Wakuu wa Mashirika.

Tutumie jukwaa hili kuwataja viongozi ambao tunaamini hawamsaidii Rais na wanamleta shida kubwa kwa wananchi.

1. Ashatu Kijaji (Waziri wa Viwanda na Uwekezaji) kusimamia mfumko wa bei na bidhaa bandia kuingia sokoni na kuleta madhara makubwa kwa wananchi.
You are very wrong about this lady!, hebu msikilize hapa




P
 
Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza rasmi mpango wake wa kuisuka upya Serikali yake baada ya kubaini baadhi ya watu hawaendani na kasi wanayoitaka wananchi katika kujiletea maendeleo.

Kama watanzania utendaji wa viongozi wetu hasa wateule wa Mh Rais wote tunaufahamu kuanzia Waziri Mkuu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na Wakuu wa Mashirika.

Tutumie jukwaa hili kuwataja viongozi ambao tunaamini hawamsaidii Rais na wanamleta shida kubwa kwa wananchi.

1. Ashatu Kijaji (Waziri wa Viwanda na Uwekezaji) kusimamia mfumko wa bei na bidhaa bandia kuingia sokoni na kuleta madhara makubwa kwa wananchi.

2. Angelina Mabula (Waziri wa Ardhi) ameshindwa kusimamia mpango wa matumizi bora ya ardhi wakulima na wafugaji wanauana kila leo.

3. Jenista Mhagama (Waziri wa Utumishi) ameshindwa kusimamia agizo la Rais la kuwalipa Bilioni 47 watumishi walifutwa kazi kwa kuwa na vyeti Feki

wengine tuendeleee.....
Namba 3 huwa hateuliwi kwa sababu ya utendaji , ana kazi maalum , hasa kutokana na uwezo wa mizizi ya ukanda anaotoka
 
Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza rasmi mpango wake wa kuisuka upya Serikali yake baada ya kubaini baadhi ya watu hawaendani na kasi wanayoitaka wananchi katika kujiletea maendeleo.

Kama watanzania utendaji wa viongozi wetu hasa wateule wa Mh Rais wote tunaufahamu kuanzia Waziri Mkuu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na Wakuu wa Mashirika.

Tutumie jukwaa hili kuwataja viongozi ambao tunaamini hawamsaidii Rais na wanamleta shida kubwa kwa wananchi.

1. Ashatu Kijaji (Waziri wa Viwanda na Uwekezaji) kusimamia mfumko wa bei na bidhaa bandia kuingia sokoni na kuleta madhara makubwa kwa wananchi.
You are very wrong about this lady!, hebu msikilize hapa





Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza rasmi mpango wake wa kuisuka upya Serikali yake baada ya kubaini baadhi ya watu hawaendani na kasi wanayoitaka wananchi katika kujiletea maendeleo.

Kama watanzania utendaji wa viongozi wetu hasa wateule wa Mh Rais wote tunaufahamu kuanzia Waziri Mkuu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na Wakuu wa Mashirika.

Tutumie jukwaa hili kuwataja viongozi ambao tunaamini hawamsaidii Rais na wanamleta shida kubwa kwa wananchi.

3. Jenista Mhagama (Waziri wa Utumishi) ameshindwa kusimamia agizo la Rais la kuwalipa Bilioni 47 watumishi walifutwa kazi kwa kuwa na vyeti Feki
You are very wrong about this lady, hebu msikilize


P
 
Back
Top Bottom