Watanzania tumsaidie kumtajia viongozi wasiofaa Rais anapokwenda kuisuka upya Serikali

Watanzania tumsaidie kumtajia viongozi wasiofaa Rais anapokwenda kuisuka upya Serikali

Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza rasmi mpango wake wa kuisuka upya Serikali yake baada ya kubaini baadhi ya watu hawaendani na kasi wanayoitaka wananchi katika kujiletea maendeleo.

Kama watanzania utendaji wa viongozi wetu hasa wateule wa Mh Rais wote tunaufahamu kuanzia Waziri Mkuu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na Wakuu wa Mashirika.

Tutumie jukwaa hili kuwataja viongozi ambao tunaamini hawamsaidii Rais na wanamleta shida kubwa kwa wananchi.

1. Ashatu Kijaji (Waziri wa Viwanda na Uwekezaji) kusimamia mfumko wa bei na bidhaa bandia kuingia sokoni na kuleta madhara makubwa kwa wananchi.

2. Angelina Mabula (Waziri wa Ardhi) ameshindwa kusimamia mpango wa matumizi bora ya ardhi wakulima na wafugaji wanauana kila leo.

3. Jenista Mhagama (Waziri wa Utumishi) ameshindwa kusimamia agizo la Rais la kuwalipa Bilioni 47 watumishi walifutwa kazi kwa kuwa na vyeti Feki

wengine tuendeleee.....
Amtoe Jenista Mhagama haraka sana ni mdudi fulani asiefaa ni hovyo sana, Simbachawene aondoke akavimbiwe na Mtoto wake
 
Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza rasmi mpango wake wa kuisuka upya Serikali yake baada ya kubaini baadhi ya watu hawaendani na kasi wanayoitaka wananchi katika kujiletea maendeleo.

Kama watanzania utendaji wa viongozi wetu hasa wateule wa Mh Rais wote tunaufahamu kuanzia Waziri Mkuu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na Wakuu wa Mashirika.

Tutumie jukwaa hili kuwataja viongozi ambao tunaamini hawamsaidii Rais na wanamleta shida kubwa kwa wananchi.

1. Ashatu Kijaji (Waziri wa Viwanda na Uwekezaji) kusimamia mfumko wa bei na bidhaa bandia kuingia sokoni na kuleta madhara makubwa kwa wananchi.

2. Angelina Mabula (Waziri wa Ardhi) ameshindwa kusimamia mpango wa matumizi bora ya ardhi wakulima na wafugaji wanauana kila leo.

3. Jenista Mhagama (Waziri wa Utumishi) ameshindwa kusimamia agizo la Rais la kuwalipa Bilioni 47 watumishi walifutwa kazi kwa kuwa na vyeti Feki

wengine tuendeleee.....
Mimi naona anajikwamisha mwenyewe
 
Huwa najiuliza sana, sisi watanzania ni wapi ambapo angalau tumefanikiwa hata kwa 70% tuuu
Je ni afya? elimu?, kupambana na ufisadi na rushwa? umeme? maji? ni wapi haswa sijawahi kupata majibu
 
Huwa najiuliza sana, sisi watanzania ni wapi ambapo angalau tumefanikiwa hata kwa 70% tuuu
Je ni afya? elimu?, kupambana na ufisadi na rushwa? umeme? maji? ni wapi haswa sijawahi kupata majibu
ujinga tuko 90%
 
Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza rasmi mpango wake wa kuisuka upya Serikali yake baada ya kubaini baadhi ya watu hawaendani na kasi wanayoitaka wananchi katika kujiletea maendeleo.

Kama watanzania utendaji wa viongozi wetu hasa wateule wa Mh Rais wote tunaufahamu kuanzia Waziri Mkuu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na Wakuu wa Mashirika.

Tutumie jukwaa hili kuwataja viongozi ambao tunaamini hawamsaidii Rais na wanamleta shida kubwa kwa wananchi.

1. Ashatu Kijaji (Waziri wa Viwanda na Uwekezaji) kusimamia mfumko wa bei na bidhaa bandia kuingia sokoni na kuleta madhara makubwa kwa wananchi.

2. Angelina Mabula (Waziri wa Ardhi) ameshindwa kusimamia mpango wa matumizi bora ya ardhi wakulima na wafugaji wanauana kila leo.

3. Jenista Mhagama (Waziri wa Utumishi) ameshindwa kusimamia agizo la Rais la kuwalipa Bilioni 47 watumishi walifutwa kazi kwa kuwa na vyeti Feki

wengine tuendeleee.....
Mh.. labda yeye mwenyewe mdo aafanyiwe mabadiliko
 
Baraza lake la mawaziri wote ni chenga tu. Bora kuwa na watu wapya ambao atawamudu kuliko kubeba magunia ya chawa ambayo hawezi kuyawajibisha
 
Mchengerwa angerudi Utumishi, yaani Mh. Rais fanya kila hali Mh. Mchengerwa awasaidie watumishi wa umma, Jenista hapana hapana hapana kabisa
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Baraza lake la mawaziri wote ni chenga tu. Bora kuwa na watu wapya ambao atawamudu kuliko kubeba magunia ya chawa ambayo hawezi kuyawajibisha
Ukute hayo magunia ya chawa ndio yamemsaidia kufika hapo[emoji848]
 
M. Mchengerwa arudi Wizara ya Utumishi anafaa sana pale kwa kuzifahamu na kuzitekeleza sheria za utumishi wa umma.

Waziri na taaluma kuwe na relationship, tuache siasa kwenye kazi.
Hata mimi namwomba Mungu sana huyu jamaa arudi utumishi. Kwanza anahaiba ya utumishi wa umma, yupo humble na hata kama hatatulipa angalau analugha nzuri ya kueleweka na watumishi
 
Kama jamaa wa Lushoto asipoondolewa pamoja na fundi wa kukopa Madilu mabadiliko hayo hayatakua na maana.
 
Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza rasmi mpango wake wa kuisuka upya Serikali yake baada ya kubaini baadhi ya watu hawaendani na kasi wanayoitaka wananchi katika kujiletea maendeleo.

Kama watanzania utendaji wa viongozi wetu hasa wateule wa Mh Rais wote tunaufahamu kuanzia Waziri Mkuu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na Wakuu wa Mashirika.

Tutumie jukwaa hili kuwataja viongozi ambao tunaamini hawamsaidii Rais na wanamleta shida kubwa kwa wananchi.

1. Ashatu Kijaji (Waziri wa Viwanda na Uwekezaji) kusimamia mfumko wa bei na bidhaa bandia kuingia sokoni na kuleta madhara makubwa kwa wananchi.

2. Angelina Mabula (Waziri wa Ardhi) ameshindwa kusimamia mpango wa matumizi bora ya ardhi wakulima na wafugaji wanauana kila leo.

3. Jenista Mhagama (Waziri wa Utumishi) ameshindwa kusimamia agizo la Rais la kuwalipa Bilioni 47 watumishi walifutwa kazi kwa kuwa na vyeti Feki

wengine tuendeleee.....
Mlishapata kuonywa kuwa kushinikiza ni kuharibu zaidi; yule msiyemtaka ndiye anayeteuliwa! Raia gani alipenyeza Afande Kingai apate uteuzi? Kelele zilizoigwa alipoteuliwa zilifika wapi?waache wafu wazike wafu wafu wao!
 
Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza rasmi mpango wake wa kuisuka upya Serikali yake baada ya kubaini baadhi ya watu hawaendani na kasi wanayoitaka wananchi katika kujiletea maendeleo.

Kama watanzania utendaji wa viongozi wetu hasa wateule wa Mh Rais wote tunaufahamu kuanzia Waziri Mkuu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na Wakuu wa Mashirika.

Tutumie jukwaa hili kuwataja viongozi ambao tunaamini hawamsaidii Rais na wanamleta shida kubwa kwa wananchi.

1. Ashatu Kijaji (Waziri wa Viwanda na Uwekezaji) kusimamia mfumko wa bei na bidhaa bandia kuingia sokoni na kuleta madhara makubwa kwa wananchi.

2. Angelina Mabula (Waziri wa Ardhi) ameshindwa kusimamia mpango wa matumizi bora ya ardhi wakulima na wafugaji wanauana kila leo.

3. Jenista Mhagama (Waziri wa Utumishi) ameshindwa kusimamia agizo la Rais la kuwalipa Bilioni 47 watumishi walifutwa kazi kwa kuwa na vyeti Feki

wengine tuendeleee.....
Yeye rais mwenyewe anafaa?
 
Back
Top Bottom