Mkuu, Ile kampuni yetu ipo? Nilikuwa napenda sana vipindi vyake, na uwasilishaji wako.You are very wrong about this lady!, hebu msikilize hapa
You are very wrong about this lady, hebu msikilize
P
Yeye mwenyewe hafai, kiatu cha u Rais kimempwaya.Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza rasmi mpango wake wa kuisuka upya Serikali yake baada ya kubaini baadhi ya watu hawaendani na kasi wanayoitaka wananchi katika kujiletea maendeleo.
Kama watanzania utendaji wa viongozi wetu hasa wateule wa Mh Rais wote tunaufahamu kuanzia Waziri Mkuu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na Wakuu wa Mashirika.
Tutumie jukwaa hili kuwataja viongozi ambao tunaamini hawamsaidii Rais na wanamleta shida kubwa kwa wananchi.
1. Ashatu Kijaji (Waziri wa Viwanda na Uwekezaji) kusimamia mfumko wa bei na bidhaa bandia kuingia sokoni na kuleta madhara makubwa kwa wananchi.
2. Angelina Mabula (Waziri wa Ardhi) ameshindwa kusimamia mpango wa matumizi bora ya ardhi wakulima na wafugaji wanauana kila leo.
3. Jenista Mhagama (Waziri wa Utumishi) ameshindwa kusimamia agizo la Rais la kuwalipa Bilioni 47 watumishi walifutwa kazi kwa kuwa na vyeti Feki
wengine tuendeleee.....
Huyu huyu ndiye mwenye kujenga uwanja wa mpira pale Singida ataka kushindana na Azam ajieleze wapi Katoa pesa hiyo akiwa mwajiriwa wa Serikali na Wala sio mfanyiBiashara!!Mwigulu kashindwa kusimamia matumizi ya ovyo ya fedha wazirani kwake mpaka tunamuona waziri mkuu anashughulia wizi huo wa mamilioni wanayolipana kwa hili tunamuomba rais aifumue wizara yote na aiweke chini ya waziri mkuu kwa sababu huyu jamaa yuko makini kweli kufatilia matumizi ya ovyo ya fedha zetu.
Wasiofaa kwako/kwetu wanafaa kwakeRais Samia Suluhu Hassan ametangaza rasmi mpango wake wa kuisuka upya Serikali yake baada ya kubaini baadhi ya watu hawaendani na kasi wanayoitaka wananchi katika kujiletea maendeleo.
Kama watanzania utendaji wa viongozi wetu hasa wateule wa Mh Rais wote tunaufahamu kuanzia Waziri Mkuu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na Wakuu wa Mashirika.
Tutumie jukwaa hili kuwataja viongozi ambao tunaamini hawamsaidii Rais na wanamleta shida kubwa kwa wananchi.
1. Ashatu Kijaji (Waziri wa Viwanda na Uwekezaji) kusimamia mfumko wa bei na bidhaa bandia kuingia sokoni na kuleta madhara makubwa kwa wananchi.
2. Angelina Mabula (Waziri wa Ardhi) ameshindwa kusimamia mpango wa matumizi bora ya ardhi wakulima na wafugaji wanauana kila leo.
3. Jenista Mhagama (Waziri wa Utumishi) ameshindwa kusimamia agizo la Rais la kuwalipa Bilioni 47 watumishi walifutwa kazi kwa kuwa na vyeti Feki
wengine tuendeleee.....
Mwingulu ana kopa sanaHawa makosa yao ni yepi ili tuyajue wote
Ule uwanja wa Namfua (LITI) unajengwa na Mwekezaji wa kigeni kupitia CSR.Huyu huyu ndiye mwenye kujenga uwanja wa mpira pale Singida ataka kushindana na Azam ajieleze wapi Katoa pesa hiyo akiwa mwajiriwa wa Serikali na Wala sio mfanyiBiashara!!
Fei toto ameshajiondoaKibu Denis
John Boko
Mzamiru
Is there relation btn professional and being minister. My small search I have concluded that there no significance difference, because a minister is political figure those with professional are working under him. His or her major role is to supervise the team. Ktk utumishi wangu nimeona hata makatibu wakuu wakiwa na taaluma ya wizara Hali inakuwa mbaya sana anaona anajua yote hivyo hashauriki. Take that noteM. Mchengerwa arudi Wizara ya Utumishi anafaa sana pale kwa kuzifahamu na kuzitekeleza sheria za utumishi wa umma.
Waziri na taaluma kuwe na relationship, tuache siasa kwenye kazi.
There is, more especially kwa Tanzania yetu.Is there relation btn professional and being minister. My small search I have concluded that there no significance difference, because a minister is political figure those with professional are working under him. His or her major role is to supervise the team. Ktk utumishi wangu nimeona hata makatibu wakuu wakiwa na taaluma ya wizara Hali inakuwa mbaya sana anaona anajua yote hivyo hashauriki. Take that note
Hao wapo kwa kazi maalum hata wakivurunda, ulimuona babake january alivyokuwa akifura kwa waandishi wa habari??Naunga mkono hoja ya Emmanuel Misalaba kwa 100%
1. J. Makamba.
2. Madilu system.
3. Ridh Moko.
4. Nape
Hawa wote Mama fyeka kabisa, hawatakusaidia kwa lolote.
Chuki tu na husda bila kusahau kufata mkumbo hakuna zaidi ya hilo
Do you want her to touch the untouchables? This is impossible, impossible, impossibleOndoa,
1. January Makamba
2. Nape Moses Nauye.
3. Mwingulu Nchemba.
5. Amos Makala.
6. Dorothy Gwajima.
7. Riz moko.
Sisi tunaweza kuona hawafai yeye akaona wanamfaa. Hilo ni lake mwenyewe!Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza rasmi mpango wake wa kuisuka upya Serikali yake baada ya kubaini baadhi ya watu hawaendani na kasi wanayoitaka wananchi katika kujiletea maendeleo.
Kama watanzania utendaji wa viongozi wetu hasa wateule wa Mh Rais wote tunaufahamu kuanzia Waziri Mkuu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na Wakuu wa Mashirika.
Tutumie jukwaa hili kuwataja viongozi ambao tunaamini hawamsaidii Rais na wanamleta shida kubwa kwa wananchi.
1. Ashatu Kijaji (Waziri wa Viwanda na Uwekezaji) kusimamia mfumko wa bei na bidhaa bandia kuingia sokoni na kuleta madhara makubwa kwa wananchi.
2. Angelina Mabula (Waziri wa Ardhi) ameshindwa kusimamia mpango wa matumizi bora ya ardhi wakulima na wafugaji wanauana kila leo.
3. Jenista Mhagama (Waziri wa Utumishi) ameshindwa kusimamia agizo la Rais la kuwalipa Bilioni 47 watumishi walifutwa kazi kwa kuwa na vyeti Feki
wengine tuendeleee.....
Hao WOTE hawakupewa wizara ili wasaidie.Naunga mkono hoja ya Emmanuel Misalaba kwa 100%
1. J. Makamba.
2. Madilu system.
3. Ridh Moko.
4. Nape
Hawa wote Mama fyeka kabisa, hawatakusaidia kwa lolote.