Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,251
- 6,299
Tukiweka ushabiki pembeni,hii kesi inazungumzwa Sana huko mitaani.Inazungumzwa na wanachadema,wanaccm na wasio na chama chochote.Vyovyote itakavyoisha,itaacha majeraha ya kisiasa nchini.definition ya gaidi ama ugaidi wazungu ndiyo wametufundisha. kwamba ili mtu awe gaidi ni lazma awe na sifa kadhaa pengine ikiwapo awe na ukaribu na makundi fulani ya kigaidi.
wakatrain watu wetu na wakutagawia facilities ikiwemo kushea intel na wao..
cha ajabu waliotufundisha, na wanaoujua huyu ni gaidi ama laa, wapo upande wa huyo gaidi na kusema aachiwe huru siyo gaidi..
hapa panae shida, ama mfundishwa hajaelewa somo la gaidi, au mfundisha kasahau alicho kifundisha.
kuomba msamaha ni admission kuwa ulikosea, hivyo kwa mbowe kuomba msamaha maana yake amekiri kosa, kwamba alikuwa gaidi.
isitoshe, kila msamaha una masharti yake..
rugemalulila alikomaa, hakukiri kosa, leo hii yupo kwny mipango ya kutonyoosha kama serikali kwny mahakama, si unajua wahaya na wapare vile wanapenda kesi..
kesi ina ichafua serikali, inachafua utalii wa nchi, inaifanya dunia ione kuwa ccm haiwezi kushindana kwa hoja, tunaanza kufananishwa na kagame, museveni nk ambao husigina wapinzani wao wa kisiasa.
Polisi walimfuatilia bosi waomstaafu toka Dar mpaka Moshi wakampiga risasi na kudai wamemuua jambazi mwizi wa magari white kumbe bosi wao! Alikuwa mkuu wa chuo cha polisi Kurasini.Hakika lkn tuliambiwa gaidi kapigwa risasi
hakuna mtu mnafiki km ww pView attachment 2050551
Wanabodi,
Hii ni makala yangu ya Wiki hii ya Christmas.
Kunapotokea kosa lolote, mkosaji ana wajibu wa kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria, hivyo kinachoendelea sasa ni kwa sheria kuachwa kufuata mkondo wake, ila sasa kuna kelele nyingi, hivyo hili ni bandiko la swali.
"Watanzania tumshukuru sana Mungu kumpata kiongozi Mkuu mwenye moyo wa kusamehe, na roho ya samaha!. Jee tumuombe asamehe tuu hata bila ya kuombwa msamaha, au au tumwache shujaa wetu aendelee kukomaa nao kwa kusota gerezani hadi kieleweke?
Kuna wahusika wakuu watatu katika issue hii.
My Take.
- Kuna Serikali imesema ina ushahidi wa uhusika wa mtuhumiwa fulani kupanga kutenda jinai ya ugaidi, ikaamua kutumia sheria kufuata mkondo wake, kuuthibitisha huo ugaidi, na ndicho kitu kinachoendelea mahakamani.
- Wakati kesi ikiendelea, kukajitokeza 'Askofu Makarios' wetu (Zitto Kabwe), akaomba nafuu za kisheria zitumike kumwachia mwenzao ili kuendelea na harakati za kisiasa na kidemokrasia kwa mustakabali mwema wa siasa za nchi yetu. Jibu lililopatikana ni "Kusamehe Kupo". Hili ni neno kubwa sana lenye maana kubwa, na thamani kubwa sana, na kitu kikubwa zaidi kuhusu neno hilo sio kutamkwa kwa matamshi ya neno hilo, bali ni moyo wa kusamehe alionao mtamkaji. Hili ni jambo la kushukuru sana, na kiukweli Watanzania, tumshukuru sana Mungu, kumpata mtu mwenye moyo wa kusamehe.
- Kuna Mtuhumiwa ni mtu mkubwa sana na mwenye heshima sana katika jamii, ni Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Tanzania, alikamatwa baada ya kuanza harakati za kudai Katiba mpya, hivyo wanachama wake, wafuasi wake, washabiki wake, wanaamini kabisa kuwa kiongozi wao sio gaidi, hiyo ya kesi ya kubambikiwa hivyo wanamchagiza asikubali suluhu yoyote au msamaha wa aina yoyote, kesi iendelee kusikilizwa hadi mwisho, ili mahakama ndio ithibitishe kuwa kiongozi wao ni gaidi au sii gaidi.
- Sote tunafahamu sisi binadamu ni viumbe dhaifu, hakuna mkamilifu, na kuna wakati, umdhanie ndie siye, na usiye mdhania kabisa, ukakuta ndie. Jee tumuombe tuu Mama asamehe tuu, hata kama mtuhumiwa hajaitambua jinai yake, na kuomba kusamehewa?. Kwa mujibu wa katiba yetu, sheria zetu, taratibu na kanuni, nchi yetu inaendeshwa kwa mihimili mitatu ya serikali, Bunge na Mahakama ambayo haipaswi kuingiliwa. Hivyo hapo kesi ilipofikia, hata kama Mama ana moyo wa kusamehe na yuko tayari kusamehe, akisamehe tuu kama ule msamaha wa Mwalimu Nyerere kumsamehe yule mshenzi aliyesema serikali yote ya Tanzania iko mfukoni kwangu, baada ya kuombwa na Askofu Makarios wa Cyprus, Mama atakuwa ameingilia uhuru wa mahakama.
- Mtu pekee mwenye nguvu hizo, uwezo huo na mamlaka hiyo kwa mujibu wa katiba yetu na sheria zetu, taratibu na kanuni ni DPP, ila nae anatakiwa kufanya kazi independently bila kuingiliwa na yeyote, ila Mama akiamua, DPP atafanya kinachopaswa kufanyika!.
- Mwalimu Nyerere alikuwa ni mtu mwenye moyo wa msamaha, ila alikuwa ni mtu mkali sana kwenye mambo ya kijinga jinga. Katika utawala wake wa miaka 22, alisweka watu wengi tuu kizuizini, ila katika utekelezwaji wa hukumu ya kifo kwa kunyongwa hadi kufa, Mwalimu Nyerere alisaini death warrant mbili tuu, ile ya Mwamwindi, na yule mhindi aliyeua mke na kuteketeza familia ili alipwe bima!.
- Kwenye hili la moyo wa kusamehe, naomba nisilizungumze kipindi cha Mwinyi, wale waliojiriwa kwa kazi kunyonga mpaka kufa, hawakukaa bure, angalau angalau walitimiza wajibu wao.
- Kipindi cha Mkapa kiukweli sijui.
- Kipindi cha JK, pia alikuwa ni mtu mwenye huruma na moyo mkubwa sana wa kusamehe, aliyasamehe hadi yale majizi ya EPA!.
- Naomba nisiizungumzie awamu ya JPM for obvious reasons, yaliyopita sii ndwele, tugange haya yaliyopo ya Mama mwenye roho ya kusamehe na yajayo ya kujenga Tanzania njema ya kuameheana.
Wanabodi, mnalionaje hili?. DPP afute kesi kwa Nolle, Mbowe aachiwe bila masharti yoyote, Asamehewa tuu bila kuomba msamaha, aachiwe kwa dhamana kesi iendelee, au aendelee kukomaa kama Mandela, no retreat no surrender, akamae nao mpaka kieleweke?
- Kunamsemo wa kizungu, usemao, "you can't eat your cake and have it", you either eat your cake na iishe, its gone, au usiile, uingalie tuu iendelee kuwepo, ila hapa natoa ushauri, unaweza kuila keki yako na ikaendelea kuwepo kwa kuimega kidogo kido na sio kuibugia. Maadam sheria ni zetu na tumezitunga wenyewe, ili kuziridhisha pande zote.
- Japo kwa baadhi ya makosa hayana dhamana, ili mtuhumiwa asitutoroke, tuambiane ukweli, hivi Mbowe anaweza kweli kutoroka nchi na kukimbilia uhamishoni aende kuwa mkimbizi wa kisiasa kama wale waoga wawili?. Kama kwenye kesi za mauaji hakuna dhamana, lakini kesi ya Ditopile aliyekuwa anatetewa na wakili Nimrodi Mkono, Wakili Mkono, alijenga hoja maridhawa, Ditopile akaachiwa kwa dhamana hadi pale Mungu alipoamua kumalizana nae. Hivyo Mbowe anaweza kuachiwa kwa dhamana hata bila dhamana hiyo kuombwa, akawa anakuja kuhudhuria kesi akitokea nyumbani kwake.
- Kumbe DPP kutenda haki kunawezekana! Hongera sana, kazi umeianza vizuri. Sasa haki sio tu inatendeka, inaonekana! Kazi Iendelee…View attachment 2050632
- Kwa kufanya hivi, tutakuwa tumejibu ombi la 'Askofu Makarios' wetu na wale wote wenye nia njema na mapenzi mema kwa Mbowe kuwa jela ni mbaya, hivyo atakuwa huru uraiani kuungana na familia yake, ndugu jamaa na marafiki, na hata kusafiri kwenda kuhiji Moshi kwenye ile hija maarufu ya Wachagga ya Mwezi Desemba, na hata akiamua kusafiri kidogo hadi Arusha, kupitia Kisongo, kumsalimu yule 'jamaa yetu'.
- Huku kesi ikiendelea ili ama mahakama ithibitishe huyu ni malaika alikuwa anasingiziwa tuu, na akikutwa na hatia, hapo ndipo sheria ichukue mkondo wake kwa kula mvua kadhaa, na hapa sasa ndipo mahali Mama Samia mwenye uwezo napo kwa kutoa msamaha kwa wafungwa.
Nawatakia Krismasi Njema.
Paskali.
View attachment 2050551
Wanabodi,
Hii ni makala yangu ya Wiki hii ya Christmas.
Kunapotokea kosa lolote, mkosaji ana wajibu wa kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria, hivyo kinachoendelea sasa ni kwa sheria kuachwa kufuata mkondo wake, ila sasa kuna kelele nyingi, hivyo hili ni bandiko la swali.
"Watanzania tumshukuru sana Mungu kumpata kiongozi Mkuu mwenye moyo wa kusamehe, na roho ya samaha!. Jee tumuombe asamehe tuu hata bila ya kuombwa msamaha, au au tumwache shujaa wetu aendelee kukomaa nao kwa kusota gerezani hadi kieleweke?
Kuna wahusika wakuu watatu katika issue hii.
My Take.
- Kuna Serikali imesema ina ushahidi wa uhusika wa mtuhumiwa fulani kupanga kutenda jinai ya ugaidi, ikaamua kutumia sheria kufuata mkondo wake, kuuthibitisha huo ugaidi, na ndicho kitu kinachoendelea mahakamani.
- Wakati kesi ikiendelea, kukajitokeza 'Askofu Makarios' wetu (Zitto Kabwe), akaomba nafuu za kisheria zitumike kumwachia mwenzao ili kuendelea na harakati za kisiasa na kidemokrasia kwa mustakabali mwema wa siasa za nchi yetu. Jibu lililopatikana ni "Kusamehe Kupo". Hili ni neno kubwa sana lenye maana kubwa, na thamani kubwa sana, na kitu kikubwa zaidi kuhusu neno hilo sio kutamkwa kwa matamshi ya neno hilo, bali ni moyo wa kusamehe alionao mtamkaji. Hili ni jambo la kushukuru sana, na kiukweli Watanzania, tumshukuru sana Mungu, kumpata mtu mwenye moyo wa kusamehe.
- Kuna Mtuhumiwa ni mtu mkubwa sana na mwenye heshima sana katika jamii, ni Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Tanzania, alikamatwa baada ya kuanza harakati za kudai Katiba mpya, hivyo wanachama wake, wafuasi wake, washabiki wake, wanaamini kabisa kuwa kiongozi wao sio gaidi, hiyo ya kesi ya kubambikiwa hivyo wanamchagiza asikubali suluhu yoyote au msamaha wa aina yoyote, kesi iendelee kusikilizwa hadi mwisho, ili mahakama ndio ithibitishe kuwa kiongozi wao ni gaidi au sii gaidi.
- Sote tunafahamu sisi binadamu ni viumbe dhaifu, hakuna mkamilifu, na kuna wakati, umdhanie ndie siye, na usiye mdhania kabisa, ukakuta ndie. Jee tumuombe tuu Mama asamehe tuu, hata kama mtuhumiwa hajaitambua jinai yake, na kuomba kusamehewa?. Kwa mujibu wa katiba yetu, sheria zetu, taratibu na kanuni, nchi yetu inaendeshwa kwa mihimili mitatu ya serikali, Bunge na Mahakama ambayo haipaswi kuingiliwa. Hivyo hapo kesi ilipofikia, hata kama Mama ana moyo wa kusamehe na yuko tayari kusamehe, akisamehe tuu kama ule msamaha wa Mwalimu Nyerere kumsamehe yule mshenzi aliyesema serikali yote ya Tanzania iko mfukoni kwangu, baada ya kuombwa na Askofu Makarios wa Cyprus, Mama atakuwa ameingilia uhuru wa mahakama.
- Mtu pekee mwenye nguvu hizo, uwezo huo na mamlaka hiyo kwa mujibu wa katiba yetu na sheria zetu, taratibu na kanuni ni DPP, ila nae anatakiwa kufanya kazi independently bila kuingiliwa na yeyote, ila Mama akiamua, DPP atafanya kinachopaswa kufanyika!.
- Mwalimu Nyerere alikuwa ni mtu mwenye moyo wa msamaha, ila alikuwa ni mtu mkali sana kwenye mambo ya kijinga jinga. Katika utawala wake wa miaka 22, alisweka watu wengi tuu kizuizini, ila katika utekelezwaji wa hukumu ya kifo kwa kunyongwa hadi kufa, Mwalimu Nyerere alisaini death warrant mbili tuu, ile ya Mwamwindi, na yule mhindi aliyeua mke na kuteketeza familia ili alipwe bima!.
- Kwenye hili la moyo wa kusamehe, naomba nisilizungumze kipindi cha Mwinyi, wale waliojiriwa kwa kazi kunyonga mpaka kufa, hawakukaa bure, angalau angalau walitimiza wajibu wao.
- Kipindi cha Mkapa kiukweli sijui.
- Kipindi cha JK, pia alikuwa ni mtu mwenye huruma na moyo mkubwa sana wa kusamehe, aliyasamehe hadi yale majizi ya EPA!.
- Naomba nisiizungumzie awamu ya JPM for obvious reasons, yaliyopita sii ndwele, tugange haya yaliyopo ya Mama mwenye roho ya kusamehe na yajayo ya kujenga Tanzania njema ya kuameheana.
Wanabodi, mnalionaje hili?. DPP afute kesi kwa Nolle, Mbowe aachiwe bila masharti yoyote, Asamehewa tuu bila kuomba msamaha, aachiwe kwa dhamana kesi iendelee, au aendelee kukomaa kama Mandela, no retreat no surrender, akamae nao mpaka kieleweke?
- Kunamsemo wa kizungu, usemao, "you can't eat your cake and have it", you either eat your cake na iishe, its gone, au usiile, uingalie tuu iendelee kuwepo, ila hapa natoa ushauri, unaweza kuila keki yako na ikaendelea kuwepo kwa kuimega kidogo kido na sio kuibugia. Maadam sheria ni zetu na tumezitunga wenyewe, ili kuziridhisha pande zote.
- Japo kwa baadhi ya makosa hayana dhamana, ili mtuhumiwa asitutoroke, tuambiane ukweli, hivi Mbowe anaweza kweli kutoroka nchi na kukimbilia uhamishoni aende kuwa mkimbizi wa kisiasa kama wale waoga wawili?. Kama kwenye kesi za mauaji hakuna dhamana, lakini kesi ya Ditopile aliyekuwa anatetewa na wakili Nimrodi Mkono, Wakili Mkono, alijenga hoja maridhawa, Ditopile akaachiwa kwa dhamana hadi pale Mungu alipoamua kumalizana nae. Hivyo Mbowe anaweza kuachiwa kwa dhamana hata bila dhamana hiyo kuombwa, akawa anakuja kuhudhuria kesi akitokea nyumbani kwake.
- Kumbe DPP kutenda haki kunawezekana! Hongera sana, kazi umeianza vizuri. Sasa haki sio tu inatendeka, inaonekana! Kazi Iendelee…View attachment 2050632
- Kwa kufanya hivi, tutakuwa tumejibu ombi la 'Askofu Makarios' wetu na wale wote wenye nia njema na mapenzi mema kwa Mbowe kuwa jela ni mbaya, hivyo atakuwa huru uraiani kuungana na familia yake, ndugu jamaa na marafiki, na hata kusafiri kwenda kuhiji Moshi kwenye ile hija maarufu ya Wachagga ya Mwezi Desemba, na hata akiamua kusafiri kidogo hadi Arusha, kupitia Kisongo, kumsalimu yule 'jamaa yetu'.
- Huku kesi ikiendelea ili ama mahakama ithibitishe huyu ni malaika alikuwa anasingiziwa tuu, na akikutwa na hatia, hapo ndipo sheria ichukue mkondo wake kwa kula mvua kadhaa, na hapa sasa ndipo mahali Mama Samia mwenye uwezo napo kwa kutoa msamaha kwa wafungwa.
Nawatakia Krismasi Njema.
Paskali.
Usinilishe maneno soma vizuri, unajua maana ya neno kilikukuwa? Siyo huu upuuzi wenu wa wanaharakati.Kwa mara ya kwanza umekiri kwa kinywa chako kama CHADEMA ni chama kinachotazamwa na watanzania wengi kama chama mbadala, HONGERA KWA KUJITAMBUA.
Siku utayojitambua rasmi ni siku utayokubali kwa kinywa chako pia kuwa CHADEMA hawajawahi endekeza visasi na chuki bali wamekuwa wakihubiri amani miaka yote.
CHUKI ZINAPANDIKIZWA NA KULAZIMISHWA NA CCM.
Kiongozi, umeandika vizuri. Kwa upande wangu na kwa vile na mimi ni mdau wa sheria, naungana na wale wanaotaka 'haki ionekane kitendeka'. Kama Mbowe ni gaidi, ionekane hivyo na hapo akitaka aombe msamaha na je wengine ambao wamefungwa ambao nao wanaomba msamaha au wangetaka kuomba msamaha utakuwaje? Kwa upande mwingine, kama Mbowe siyo gaidi napo ushahidi uonekane hivyo. Hapa ndipo tutakapokuwa tukutenda haki. Hivyo basi, kesi iendelee hadi mwisho na hukumu iwe ya haki.View attachment 2050551
Wanabodi,
Hii ni makala yangu ya Wiki hii ya Christmas.
Kunapotokea kosa lolote, mkosaji ana wajibu wa kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria, hivyo kinachoendelea sasa ni kwa sheria kuachwa kufuata mkondo wake, ila sasa kuna kelele nyingi, hivyo hili ni bandiko la swali.
"Watanzania tumshukuru sana Mungu kumpata kiongozi Mkuu mwenye moyo wa kusamehe, na roho ya samaha!. Jee tumuombe asamehe tuu hata bila ya kuombwa msamaha, au au tumwache shujaa wetu aendelee kukomaa nao kwa kusota gerezani hadi kieleweke?
Kuna wahusika wakuu watatu katika issue hii.
My Take.
- Kuna Serikali imesema ina ushahidi wa uhusika wa mtuhumiwa fulani kupanga kutenda jinai ya ugaidi, ikaamua kutumia sheria kufuata mkondo wake, kuuthibitisha huo ugaidi, na ndicho kitu kinachoendelea mahakamani.
- Wakati kesi ikiendelea, kukajitokeza 'Askofu Makarios' wetu (Zitto Kabwe), akaomba nafuu za kisheria zitumike kumwachia mwenzao ili kuendelea na harakati za kisiasa na kidemokrasia kwa mustakabali mwema wa siasa za nchi yetu. Jibu lililopatikana ni "Kusamehe Kupo". Hili ni neno kubwa sana lenye maana kubwa, na thamani kubwa sana, na kitu kikubwa zaidi kuhusu neno hilo sio kutamkwa kwa matamshi ya neno hilo, bali ni moyo wa kusamehe alionao mtamkaji. Hili ni jambo la kushukuru sana, na kiukweli Watanzania, tumshukuru sana Mungu, kumpata mtu mwenye moyo wa kusamehe.
- Kuna Mtuhumiwa ni mtu mkubwa sana na mwenye heshima sana katika jamii, ni Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Tanzania, alikamatwa baada ya kuanza harakati za kudai Katiba mpya, hivyo wanachama wake, wafuasi wake, washabiki wake, wanaamini kabisa kuwa kiongozi wao sio gaidi, hiyo ya kesi ya kubambikiwa hivyo wanamchagiza asikubali suluhu yoyote au msamaha wa aina yoyote, kesi iendelee kusikilizwa hadi mwisho, ili mahakama ndio ithibitishe kuwa kiongozi wao ni gaidi au sii gaidi.
- Sote tunafahamu sisi binadamu ni viumbe dhaifu, hakuna mkamilifu, na kuna wakati, umdhanie ndie siye, na usiye mdhania kabisa, ukakuta ndie. Jee tumuombe tuu Mama asamehe tuu, hata kama mtuhumiwa hajaitambua jinai yake, na kuomba kusamehewa?. Kwa mujibu wa katiba yetu, sheria zetu, taratibu na kanuni, nchi yetu inaendeshwa kwa mihimili mitatu ya serikali, Bunge na Mahakama ambayo haipaswi kuingiliwa. Hivyo hapo kesi ilipofikia, hata kama Mama ana moyo wa kusamehe na yuko tayari kusamehe, akisamehe tuu kama ule msamaha wa Mwalimu Nyerere kumsamehe yule mshenzi aliyesema serikali yote ya Tanzania iko mfukoni kwangu, baada ya kuombwa na Askofu Makarios wa Cyprus, Mama atakuwa ameingilia uhuru wa mahakama.
- Mtu pekee mwenye nguvu hizo, uwezo huo na mamlaka hiyo kwa mujibu wa katiba yetu na sheria zetu, taratibu na kanuni ni DPP, ila nae anatakiwa kufanya kazi independently bila kuingiliwa na yeyote, ila Mama akiamua, DPP atafanya kinachopaswa kufanyika!.
- Mwalimu Nyerere alikuwa ni mtu mwenye moyo wa msamaha, ila alikuwa ni mtu mkali sana kwenye mambo ya kijinga jinga. Katika utawala wake wa miaka 22, alisweka watu wengi tuu kizuizini, ila katika utekelezwaji wa hukumu ya kifo kwa kunyongwa hadi kufa, Mwalimu Nyerere alisaini death warrant mbili tuu, ile ya Mwamwindi, na yule mhindi aliyeua mke na kuteketeza familia ili alipwe bima!.
- Kwenye hili la moyo wa kusamehe, naomba nisilizungumze kipindi cha Mwinyi, wale waliojiriwa kwa kazi kunyonga mpaka kufa, hawakukaa bure, angalau angalau walitimiza wajibu wao.
- Kipindi cha Mkapa kiukweli sijui.
- Kipindi cha JK, pia alikuwa ni mtu mwenye huruma na moyo mkubwa sana wa kusamehe, aliyasamehe hadi yale majizi ya EPA!.
- Naomba nisiizungumzie awamu ya JPM for obvious reasons, yaliyopita sii ndwele, tugange haya yaliyopo ya Mama mwenye roho ya kusamehe na yajayo ya kujenga Tanzania njema ya kuameheana.
Wanabodi, mnalionaje hili?. DPP afute kesi kwa Nolle, Mbowe aachiwe bila masharti yoyote, Asamehewa tuu bila kuomba msamaha, aachiwe kwa dhamana kesi iendelee, au aendelee kukomaa kama Mandela, no retreat no surrender, akamae nao mpaka kieleweke?
- Kunamsemo wa kizungu, usemao, "you can't eat your cake and have it", you either eat your cake na iishe, its gone, au usiile, uingalie tuu iendelee kuwepo, ila hapa natoa ushauri, unaweza kuila keki yako na ikaendelea kuwepo kwa kuimega kidogo kido na sio kuibugia. Maadam sheria ni zetu na tumezitunga wenyewe, ili kuziridhisha pande zote.
- Japo kwa baadhi ya makosa hayana dhamana, ili mtuhumiwa asitutoroke, tuambiane ukweli, hivi Mbowe anaweza kweli kutoroka nchi na kukimbilia uhamishoni aende kuwa mkimbizi wa kisiasa kama wale waoga wawili?. Kama kwenye kesi za mauaji hakuna dhamana, lakini kesi ya Ditopile aliyekuwa anatetewa na wakili Nimrodi Mkono, Wakili Mkono, alijenga hoja maridhawa, Ditopile akaachiwa kwa dhamana hadi pale Mungu alipoamua kumalizana nae. Hivyo Mbowe anaweza kuachiwa kwa dhamana hata bila dhamana hiyo kuombwa, akawa anakuja kuhudhuria kesi akitokea nyumbani kwake.
- Kumbe DPP kutenda haki kunawezekana! Hongera sana, kazi umeianza vizuri. Sasa haki sio tu inatendeka, inaonekana! Kazi Iendelee…View attachment 2050632
- Kwa kufanya hivi, tutakuwa tumejibu ombi la 'Askofu Makarios' wetu na wale wote wenye nia njema na mapenzi mema kwa Mbowe kuwa jela ni mbaya, hivyo atakuwa huru uraiani kuungana na familia yake, ndugu jamaa na marafiki, na hata kusafiri kwenda kuhiji Moshi kwenye ile hija maarufu ya Wachagga ya Mwezi Desemba, na hata akiamua kusafiri kidogo hadi Arusha, kupitia Kisongo, kumsalimu yule 'jamaa yetu'.
- Huku kesi ikiendelea ili ama mahakama ithibitishe huyu ni malaika alikuwa anasingiziwa tuu, na akikutwa na hatia, hapo ndipo sheria ichukue mkondo wake kwa kula mvua kadhaa, na hapa sasa ndipo mahali Mama Samia mwenye uwezo napo kwa kutoa msamaha kwa wafungwa.
Nawatakia Krismasi Njema.
Paskali.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tena apewe uwaziri mkuu, kama kifuta jasho!
Sasa anataka unyumba,maana teuzi ilishabuma toka enzi za mwendazake.Huyu Jamaa Ni mnafiki, msamaha utanguliwa na kosa, wewe ndo umethibitisha kosa? Anasamehewa nini? Mbona wewe Jamaa umekuwa mtu wa hovyo Sana?
Anayeumia Ni Mbowe, Kama anajua Ana kosa si angeomba msamaha? Pascal hata Kama una njaa, please upgrade njaa yako, maana njaa yako Kama Ni window basi Ni XP.
Akiachiwa Mbowe ndiyo mwisho wa kesi hivyo lazima makomandoo nao wataachiwa!Jamani tusiwasahau makomandoo! Watolewe na sio atolewe!
Watanzania wengi walikuwa wanakitazama CHADEMA kama chama mbadala kinachoweza kupambana na CCM lakini CDM kushirikiana na wanaharakati kupandikiza CHUKI na kugawa watanzania kimepoteza ushawishi. Wananchi wanataka mabadiliko sio visasi na Chuki.
Wewe unaishi dunia gani, hujui kuwa mikutano ya vyama vya siasa imepigwa marufuku na ni CCM tu ndiyo wanaruhusiwa kufanya mikutano.
Kama hutaki mikutano ya Space na Club House, uliwakaribisha sebuleni kwako na walikataa?
View attachment 2050551
Wanabodi,
Hii ni makala yangu ya Wiki hii ya Christmas.
Kunapotokea kosa lolote, mkosaji ana wajibu wa kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria, hivyo kinachoendelea sasa ni kwa sheria kuachwa kufuata mkondo wake, ila sasa kuna kelele nyingi, hivyo hili ni bandiko la swali.
"Watanzania tumshukuru sana Mungu kumpata kiongozi Mkuu mwenye moyo wa kusamehe, na roho ya samaha!. Jee tumuombe asamehe tuu hata bila ya kuombwa msamaha, au au tumwache shujaa wetu aendelee kukomaa nao kwa kusota gerezani hadi kieleweke?
Kuna wahusika wakuu watatu katika issue hii.
My Take.
- Kuna Serikali imesema ina ushahidi wa uhusika wa mtuhumiwa fulani kupanga kutenda jinai ya ugaidi, ikaamua kutumia sheria kufuata mkondo wake, kuuthibitisha huo ugaidi, na ndicho kitu kinachoendelea mahakamani.
- Wakati kesi ikiendelea, kukajitokeza 'Askofu Makarios' wetu (Zitto Kabwe), akaomba nafuu za kisheria zitumike kumwachia mwenzao ili kuendelea na harakati za kisiasa na kidemokrasia kwa mustakabali mwema wa siasa za nchi yetu. Jibu lililopatikana ni "Kusamehe Kupo". Hili ni neno kubwa sana lenye maana kubwa, na thamani kubwa sana, na kitu kikubwa zaidi kuhusu neno hilo sio kutamkwa kwa matamshi ya neno hilo, bali ni moyo wa kusamehe alionao mtamkaji. Hili ni jambo la kushukuru sana, na kiukweli Watanzania, tumshukuru sana Mungu, kumpata mtu mwenye moyo wa kusamehe.
- Kuna Mtuhumiwa ni mtu mkubwa sana na mwenye heshima sana katika jamii, ni Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Tanzania, alikamatwa baada ya kuanza harakati za kudai Katiba mpya, hivyo wanachama wake, wafuasi wake, washabiki wake, wanaamini kabisa kuwa kiongozi wao sio gaidi, hiyo ya kesi ya kubambikiwa hivyo wanamchagiza asikubali suluhu yoyote au msamaha wa aina yoyote, kesi iendelee kusikilizwa hadi mwisho, ili mahakama ndio ithibitishe kuwa kiongozi wao ni gaidi au sii gaidi.
- Sote tunafahamu sisi binadamu ni viumbe dhaifu, hakuna mkamilifu, na kuna wakati, umdhanie ndie siye, na usiye mdhania kabisa, ukakuta ndie. Jee tumuombe tuu Mama asamehe tuu, hata kama mtuhumiwa hajaitambua jinai yake, na kuomba kusamehewa?. Kwa mujibu wa katiba yetu, sheria zetu, taratibu na kanuni, nchi yetu inaendeshwa kwa mihimili mitatu ya serikali, Bunge na Mahakama ambayo haipaswi kuingiliwa. Hivyo hapo kesi ilipofikia, hata kama Mama ana moyo wa kusamehe na yuko tayari kusamehe, akisamehe tuu kama ule msamaha wa Mwalimu Nyerere kumsamehe yule mshenzi aliyesema serikali yote ya Tanzania iko mfukoni kwangu, baada ya kuombwa na Askofu Makarios wa Cyprus, Mama atakuwa ameingilia uhuru wa mahakama.
- Mtu pekee mwenye nguvu hizo, uwezo huo na mamlaka hiyo kwa mujibu wa katiba yetu na sheria zetu, taratibu na kanuni ni DPP, ila nae anatakiwa kufanya kazi independently bila kuingiliwa na yeyote, ila Mama akiamua, DPP atafanya kinachopaswa kufanyika!.
- Mwalimu Nyerere alikuwa ni mtu mwenye moyo wa msamaha, ila alikuwa ni mtu mkali sana kwenye mambo ya kijinga jinga. Katika utawala wake wa miaka 22, alisweka watu wengi tuu kizuizini, ila katika utekelezwaji wa hukumu ya kifo kwa kunyongwa hadi kufa, Mwalimu Nyerere alisaini death warrant mbili tuu, ile ya Mwamwindi, na yule mhindi aliyeua mke na kuteketeza familia ili alipwe bima!.
- Kwenye hili la moyo wa kusamehe, naomba nisilizungumze kipindi cha Mwinyi, wale waliojiriwa kwa kazi kunyonga mpaka kufa, hawakukaa bure, angalau angalau walitimiza wajibu wao.
- Kipindi cha Mkapa kiukweli sijui.
- Kipindi cha JK, pia alikuwa ni mtu mwenye huruma na moyo mkubwa sana wa kusamehe, aliyasamehe hadi yale majizi ya EPA!.
- Naomba nisiizungumzie awamu ya JPM for obvious reasons, yaliyopita sii ndwele, tugange haya yaliyopo ya Mama mwenye roho ya kusamehe na yajayo ya kujenga Tanzania njema ya kuameheana.
Wanabodi, mnalionaje hili?. DPP afute kesi kwa Nolle, Mbowe aachiwe bila masharti yoyote, Asamehewa tuu bila kuomba msamaha, aachiwe kwa dhamana kesi iendelee, au aendelee kukomaa kama Mandela, no retreat no surrender, akamae nao mpaka kieleweke?
- Kunamsemo wa kizungu, usemao, "you can't eat your cake and have it", you either eat your cake na iishe, its gone, au usiile, uingalie tuu iendelee kuwepo, ila hapa natoa ushauri, unaweza kuila keki yako na ikaendelea kuwepo kwa kuimega kidogo kido na sio kuibugia. Maadam sheria ni zetu na tumezitunga wenyewe, ili kuziridhisha pande zote.
- Japo kwa baadhi ya makosa hayana dhamana, ili mtuhumiwa asitutoroke, tuambiane ukweli, hivi Mbowe anaweza kweli kutoroka nchi na kukimbilia uhamishoni aende kuwa mkimbizi wa kisiasa kama wale waoga wawili?. Kama kwenye kesi za mauaji hakuna dhamana, lakini kesi ya Ditopile aliyekuwa anatetewa na wakili Nimrodi Mkono, Wakili Mkono, alijenga hoja maridhawa, Ditopile akaachiwa kwa dhamana hadi pale Mungu alipoamua kumalizana nae. Hivyo Mbowe anaweza kuachiwa kwa dhamana hata bila dhamana hiyo kuombwa, akawa anakuja kuhudhuria kesi akitokea nyumbani kwake.
- Kumbe DPP kutenda haki kunawezekana! Hongera sana, kazi umeianza vizuri. Sasa haki sio tu inatendeka, inaonekana! Kazi Iendelee…View attachment 2050632
- Kwa kufanya hivi, tutakuwa tumejibu ombi la 'Askofu Makarios' wetu na wale wote wenye nia njema na mapenzi mema kwa Mbowe kuwa jela ni mbaya, hivyo atakuwa huru uraiani kuungana na familia yake, ndugu jamaa na marafiki, na hata kusafiri kwenda kuhiji Moshi kwenye ile hija maarufu ya Wachagga ya Mwezi Desemba, na hata akiamua kusafiri kidogo hadi Arusha, kupitia Kisongo, kumsalimu yule 'jamaa yetu'.
- Huku kesi ikiendelea ili ama mahakama ithibitishe huyu ni malaika alikuwa anasingiziwa tuu, na akikutwa na hatia, hapo ndipo sheria ichukue mkondo wake kwa kula mvua kadhaa, na hapa sasa ndipo mahali Mama Samia mwenye uwezo napo kwa kutoa msamaha kwa wafungwa.
Nawatakia Krismasi Njema.
Paskali.