Watanzania tumuombee Dkt. Tulia Ackson ashinde Urais wa IPU

Kati ya watu wasiojielewa huyo ni wakwanza.... Kama ana ID humu mtag tuuu ajue ukweli wake

Hatuwezi kuwa na mwanasiasa au mwalimu asiye na msimamo akajulikana yuko mrengo gani?

Wakati wa magu alikuwa kushoto sasa yupo kulia kesho kutwa yupo kati
Msimamo wa Dr Tulia ni mmoja tu siku zote ambao ni kutanguliza mbele maslahi ya Taifa na kuwatumikia watanzania wote kwa usawa na haki. Amedhihirisha hayo kwa matendo na kauli zake.katika hilo hayumbi wala kuyumbishwa hata kidogo.
 
Uzalendo kwako ni kuunga mkono wauaji, wanyonya damu, wasaliti na wauzaji wa raslimali za nchi??
 
Ila JF imekuwa kituko. Ndio maana inapoteza hadhi yake. Machawa wamejaa humu wanaandika ujinga. Tumewahi kuwa na Naibu Karibu Mkuu wa UN Asha Rose Migiro alitusaidia Nini?. Hicho cheo ni kuajili ya yeye kula na sio kwa manufaa ya wananchi.
 
Uzalendo kwako ni kuunga mkono wauaji, wanyonya damu, wasaliti na wauzaji wa raslimali za nchi??
Usipende kuongea vitu usivyokuwa na ushahidi navyo. Unaweza ukaniambia na kueleza kwa ushahidi ni nani muuwaji na alimuuwa nani?
 
Ila JF imekuwa kituko. Ndio maana inapoteza hadhi yake. Machawa wamejaa humu wanaandika ujinga. Tumewahi kuwa na Naibu Karibu Mkuu wa UN Asha Rose Migiro alitusaidia Nini?. Hicho cheo ni kuajili ya yeye kula na sio kwa manufaa ya wananchi.
Wewe huwezi kuelewa kitu chochote kile kwa kuwa tayari ulishajipatia upofu wa akili na macho. Ndio maana hata ukielezwa faida zake hutaelewa bado. Ili uelewe ni mpaka upewe kwanza matibabu ya upofu wako wa akili na macho.
 
Wewe SAGAI GALGANO ndiye unatakiwa kuendelea kupimwa akili mara kwa mara ili kuangalia ni dawa gani itakuponya matatizo yako ya akili na kurejea katika hali yako ya kawaida.
Nimeshawasiliana na ndugu zako wakupeleke mirembe,na wamekubaliana na mimi,wewe hujijui tu lakini umesharukwa akili. Ni kama vile mtu ukilaaniwa huwezi kujijua ila watu wa karibu yako ndiyo wanajua kuwa tayari umeshaharibikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…