Watanzania tumuombee Dkt. Tulia Ackson ashinde Urais wa IPU

Watanzania tumuombee Dkt. Tulia Ackson ashinde Urais wa IPU

Ule uamuzi alioufanya kuhusu DP World kwangu mimi bado sina amani na sitamuombea. Ajiombee mwenyewe.
Kazi iliyofanywa na bunge letu ndio ilitoa nafasi kwa serikali yetu kuja na mkataba mzuri wenye kujali na kuzingatia maslahi na usalama wa Taifa letu pamoja na uhuru wetu kama Taifa.
 
Kwani lini nilienda kanisani? Kuiba kura unalijua wewe, mimi nasema Tulia ni speaker makini that's not even up for debate anything else ni chuki binafsi and your fully entitled kubeba chuki. Ushindi ni lazima na huko mtasema kaiba kura.
Unajua hakushinda mbeya na sio mbunge wa mioyo yetu .mbunge sugu alipata 90% kuzidi wabunge wote uchaguzi ulofata akashinda huyu mbwa
 
Huko hamna poliCCM wala tume ya uchaguzi ya kuiba kura, apambane na hali yake [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kwa wewe maombi yako hayahitaji maana wewe tu hapo ulipo tupo kwenye maombi ya kukuombea ili upone ukichaa wako na kurejea katika akili yako ya kawaida.maana hali uliyofikia kwa sasa ni mbaya sana inayohitaji matibabu ya dharula sana kabla kichaa chako hakijawa kikubwa kama cha SAGAI GALGANO.
Ngoja wakutibie kwanza ukipona natuma posa nikuoe naona ile kufiwa na mumeo imekusababishia hii sonona.
 
Unashindwa kuwaomba wazazi wako waliokuleta Duniani unajifanya xhizi bila aibu
 
Unajua hakushinda mbeya na sio mbunge wa mioyo yetu .mbunge sugu alipata 90% kuzidi wabunge wote uchaguzi ulofata akashinda huyu mbwa
Kwa kipimo cha aina yoyote ile,kwa mlinganisho wowote ule na kwa vigezo vya aina yoyote ile Sugu hana ubavu wala uwezo wala nguvu ya kuweza kumshinda au kumsumbua au kumpa upinzani Dr Tulia Acksoni katika Sanduku la kura.kwa sasa Mbeya imekabidhiwa Rasimi mikononi mwa Dr Tulia baada ya kazi kubwa aliyoifanya ndani ya muda mfupi wa uongozi wake. Kazi ya sugu ilikuwaga ni kuzurula tu kama mchunga ng'ombe anayetafuta malisho mazuri.

Katika miaka kumi ya sugu pale Mbeya mjini ni kama jimbo lilikuwa wazi maana hakuna kitu chochote kile alichokifanya sugu pale Mbeya,hakuna alama ya maendeleo yoyote ile aliyoweka sugu pale Mbeya mjini.hii ni kutokana na uwezo mdogo alionao sugu na kukosa upeo wa kiuongozi.

Lakini leo Mbeya mjini chini ya uongozi wa Dr Tulia inapendeza na kuchipuka kwa maendeleo kila kona ya jiji.kila sehemu utakakokwenda lazima ukutane na alama za Dr Tulia. ni kupitia Dr Tulia Mbeya sasa inakwenda kujengwa Barabara za njia nne kutoka igawa Mbeya hadi Tunduma mkoani Songwe kwa urefu wa km 237.9.

Hakuna mwana Mbeya aliye na akili Timamu anayeweza kumuunga mkono tena sugu.hata vichaa tu hawawezi kumpa kura sugu.
 
Huko hamna poliCCM wala tume ya uchaguzi ya kuiba kura, apambane na hali yake [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mungu yupo upande wa Dr Tulia mpaka muda huu na ndio maana Anaendelea kupata uungwaji mkono kutoka kila kona ya Dunia.
 
Kwa kipimo cha aina yoyote ile,kwa mlinganisho wowote ule na kwa vigezo vya aina yoyote ile Sugu hana ubavu wala uwezo wala nguvu ya kuweza kumshinda au kumsumbua au kumpa upinzani Dr Tulia Acksoni katika Sanduku la kura.kwa sasa Mbeya imekabidhiwa Rasimi mikononi mwa Dr Tulia baada ya kazi kubwa aliyoifanya ndani ya muda mfupi wa uongozi wake. Kazi ya sugu ilikuwaga ni kuzurula tu kama mchunga ng'ombe anayetafuta malisho mazuri.

Katika miaka kumi ya sugu pale Mbeya mjini ni kama jimbo lilikuwa wazi maana hakuna kitu chochote kile alichokifanya sugu pale Mbeya,hakuna alama ya maendeleo yoyote ile aliyoweka sugu pale Mbeya mjini.hii ni kutokana na uwezo mdogo alionao sugu na kukosa upeo wa kiuongozi.

Lakini leo Mbeya mjini chini ya uongozi wa Dr Tulia inapendeza na kuchipuka kwa maendeleo kila kona ya jiji.kila sehemu utakakokwenda lazima ukutane na alama za Dr Tulia. ni kupitia Dr Tulia Mbeya sasa inakwenda kujengwa Barabara za njia nne kutoka igawa Mbeya hadi Tunduma mkoani Songwe kwa urefu wa km 237.9.

Hakuna mwana Mbeya aliye na akili Timamu anayeweza kumuunga mkono tena sugu.hata vichaa tu hawawezi kumpa kura sugu.
Unaishi mbeya kweli???
 
pamoja na kuwa na elimu yake kubwa, lakini Mungu anabaki kuwa Mungu tu. Mungu anabaki kuwa ndiye muamuzi wa mwisho, ndiye mtoa uongozi na ndiye muonyesha njia.
Mungu ni mkubwa

Kama maamuzi huwa ni ya Mwenyezi Mungu, kwanini uwe na mashaka nayo.

'Eh Mwenyezi tuepushie'

"Mtegemee Bwana kwa moyo wako wote, wala usitegemee ufahamu wako mwenyewe"

~Mithali
 
Ndugu zangu Watanzania,

Pamoja na kwamba Dr Tulia ni mgombea mwenye sifa kubwa kuliko wagombea wenzake, anayeungwa mkono na jumuiya mbalimbali, anayepewa nafasi ya kuibuka mshindi kwa kishindo, pamoja na kuwa na elimu yake kubwa, lakini Mungu anabaki kuwa Mungu tu. Mungu anabaki kuwa ndiye muamuzi wa mwisho, ndiye mtoa uongozi na ndiye muonyesha njia.

Ndiye mchora ramani ya ushindi, ndiye anayeweza kufanya watu wakamchagua yeye na kuwaacha wengine, ndiye anayeweza kukupa kibali cha kukubalika na kupendwa mbele za watu, ndiye anayeweza kukupa ushindi, ndiye anayeweza kukushindia vita yako ambayo unaiona ni ngumu mbele zako na ikawa nyepesi na ndiye anayeweza kugeuza mioyo ya watu ikakukubali wewe tu.

Ndio maana mimi binafsi kwa kutambua uwezo wa Mwenyezi Mungu katika kila jambo, nimeona na kuwiwa moyo wangu kwa unyenyekevu mkubwa sana kuwaombeni Watanzania wenzangu kwa umoja wetu tupige magoti Tumuombee Dr Tulia Ashinde vita hii ambayo ipo mbele yake ya kuwania nafasi ya Urais wa umoja wa mabunge Duniani. Inawezekana kwa namna moja au nyingine kuna watu Ambao wangekataa kumuombea Dr Tulia kwa sababu za kisiasa au kupishana kwa hali ya kawaida tu ya kibinadamu.

Lakini ningependa kusema neno moja kuwa Dr Tulia ni mwanadamu kama sisi, kama mimi na wewe au wewe na yule. Hajakamilika na hakuna mwanadamu aliyekamilika chini ya jua, hakuna aliye mtakatifu, hakuna asiye kosea, hakuna ambaye hajawahi kosea, hakuna ambaye hakosei. Kwa hali hiyo hata Dr Tulia kuna uwezekano kuna watu amewakosea, amewakwaza, amewaudhi na kuwaumiza kwa namna moja au nyingine kwa maamuzi, matendo, au kauli. Hayo ni mambo ya kawaida kwa mwanadamu na hatuna budi kusameheana.

Jiulize wewe ulipo hapo umewakosea wangapi? Umewakwaza wangapi? Umewaliza machozi wangapi kwa bahati mbaya? Umesamehewa na Mungu wako mara ngapi? Vipi kama kila kosa ungehukumiwa na kupunguziwa hazina ya miaka yako ya kuishi hapa Duniani au pumzi yako katika mtungi wako binafsi? Nani angesalimika? Nani hazina yake ya miaka ingekuwa palepale? Je Dr Tulia siyo mwanadamu? Hakosei? Kwanini tusimsamehe alipotukosea? Kwanini tusizike tofauti zetu na kuungana kama Taifa kimaombi kumuombea kwa Mungu ushindi Dr Tulia ili Mungu amshindie vita hii na kumpa kibali cha Ushindi?

Akishinda Dr Tulia Taifa limeshinda, Watanzania tunakuwa tumeshinda na sote tutakuwa ni washindi. Binafsi namuombea sana huyu Dada yangu. Nitafurahi sana Taifa letu likishinda nafasi hii kupitia Dr Tulia. Kila mmoja kwa imani yake tuendelee kumuombea sana Dr Tulia. Tuweke pembeni tofauti zetu za kisiasa na kusimama pamoja na Dr Tulia kwa kuwa anawakilisha Taifa letu na siyo chama.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Itakuwa Laana kubwa sana kwa huyo Mama kushinda .

Mimi simuombei
 
Ndugu zangu Watanzania,

Pamoja na kwamba Dr Tulia ni mgombea mwenye sifa kubwa kuliko wagombea wenzake, anayeungwa mkono na jumuiya mbalimbali, anayepewa nafasi ya kuibuka mshindi kwa kishindo, pamoja na kuwa na elimu yake kubwa, lakini Mungu a mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Jiombee na wewe uteuliwe, kazi kuombea wenzako tu!
 
Back
Top Bottom