Watanzania tumuombee Dkt. Tulia Ackson ashinde Urais wa IPU

Bora nimuombee mbwa wangu kuliko kumuombea shetani na kazi zake
Kwa wewe maombi yako hayahitaji maana wewe tu hapo ulipo tupo kwenye maombi ya kukuombea ili upone ukichaa wako na kurejea katika akili yako ya kawaida.maana hali uliyofikia kwa sasa ni mbaya sana inayohitaji matibabu ya dharula sana kabla kichaa chako hakijawa kikubwa kama cha SAGAI GALGANO.
 
Akina mama wa UWT mtajifunza lini kiswahili?
 
Mimi nakuomba wewe (wala sikuombei) uanze kutumia muda wako constructive; nina uhakika kuliko kutumia muda wako kwenye hizi ngonjera, ungetumia sekunde kadhaa kila siku kwa hii dedication yako huenda ungevumbua Viuatilifu vya kuwasaidia ndugu zetu wakulima na mazao yao (As hao unaowasifia kila siku wameshindwa kufanya lolote la maana)
 
Ikishinda umeme hakuna mgao eti wewe pimbi
 
Alieiba kura .naomba usiende tena kanisan kwa neno hilo

Kwani lini nilienda kanisani? Kuiba kura unalijua wewe, mimi nasema Tulia ni speaker makini that's not even up for debate anything else ni chuki binafsi and your fully entitled kubeba chuki. Ushindi ni lazima na huko mtasema kaiba kura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…