Watanzania tuna matatizo mengi zaidi ya kebehi kwa Hayati Magufuli, Wanasiasa wanaotumia kichaka hichi Tuwakatae hadharani

Watanzania tuna matatizo mengi zaidi ya kebehi kwa Hayati Magufuli, Wanasiasa wanaotumia kichaka hichi Tuwakatae hadharani

Mnatumia nguvu nyingi lakini hakuna ushahidi wowote wa hizo tuhuma
 
Wewe hofu au shida yako ni nini "maliyemu" akisimangwa? Huwezi jua. Labda wakimsimanga wanapata afua ya maisha na kuongeza siku za kuishi. Kwani marehemu amelalamika? Kwa nini umsemee?
taaratibu mtaelewa
 
Hakika nchi yetu imegubikwa na ujinga na upuuzi mwingi sana na kinachouma zaidi wananchi tupo kama mazombi, tunapelekwa tu.

Embu angalia nchi haina umeme, maji shida, hali ya maisha ni ngumu kwenye maofisi ya serikali ukiritimba umejaa alafu kuna wapumbavu wananyanyua midomo yao na kumkashifu marehemu....!!

Nchi ina wapuuzi wengi sana hii, Mungu pekee ndio wakutusaidia!!
Asiposemwa ndio tutakuwa tumemaliza hayo matatizo?
 
Hivi mbona watanzania tunakuwa wajinga kiasi hiki? Maisha mtaani magumu ,ufisadi na Huduma bado duni za kijamii lakini bado mtu badala waje watusemee matatizo yetu, kila siku kumsema mtu ambae hayupo.
Na w ewe pia unachangia kumsema kama ulivyoandika hapa. Kwa hivyo usiwaseme wenzako
 
Habari JF,

Hivi mbona watanzania tunakuwa wajinga kiasi hiki? Maisha mtaani magumu ,ufisadi na Huduma bado duni za kijamii lakini bado mtu badala waje watusemee matatizo yetu, kila siku kumsema mtu ambae hayupo.

Kibaya zaidi huyo mtu hawezi jibu hizo tuhuma na hawezi shitakiwa na hakuna hata Mmoja Mwenye ushahidi ni kelele na tuhuma tu.

Nadhani imefika mahali mwanasiasi yoyote ataejificha kwenye kichaka hichi tumkatae kwa nguvu tena hadharani, tuna matatizo mengi kuliko huo mjadala wa MTU ambae hayupo.
ustushawishi ujinga! Wacha tumseme huyo mtu wenu ili isitokee kichaa mwingine kupenya had ikulu yetu
 
Habari JF,

Hivi mbona watanzania tunakuwa wajinga kiasi hiki? Maisha mtaani magumu ,ufisadi na Huduma bado duni za kijamii lakini bado mtu badala waje watusemee matatizo yetu, kila siku kumsema mtu ambae hayupo.

Kibaya zaidi huyo mtu hawezi jibu hizo tuhuma na hawezi shitakiwa na hakuna hata Mmoja Mwenye ushahidi ni kelele na tuhuma tu.

Nadhani imefika mahali mwanasiasi yoyote ataejificha kwenye kichaka hichi tumkatae kwa nguvu tena hadharani, tuna matatizo mengi kuliko huo mjadala wa MTU ambae hayupo.
Umejiunga Mach 27 kazi maalumu unahangaika mzee magufuli alishafariki kubaliana na matokeo mzee.ni Bora kupoteza hirizi lakini sio kufiwa na mganga aisee
 
Uchunguzi muhimu hata ikipita miaka mia ya uongozi isiwe sisi tunachagua aliye bora wao wanatuhujumu kwa kutuletea wa sub.
 
Habari JF,

Hivi mbona watanzania tunakuwa wajinga kiasi hiki? Maisha mtaani magumu ,ufisadi na Huduma bado duni za kijamii lakini bado mtu badala waje watusemee matatizo yetu, kila siku kumsema mtu ambae hayupo.

Kibaya zaidi huyo mtu hawezi jibu hizo tuhuma na hawezi shitakiwa na hakuna hata Mmoja Mwenye ushahidi ni kelele na tuhuma tu.

Nadhani imefika mahali mwanasiasi yoyote ataejificha kwenye kichaka hichi tumkatae kwa nguvu tena hadharani, tuna matatizo mengi kuliko huo mjadala wa MTU ambae hayupo.
Kwa namna alivyoumiza watu hatuwezi kuacha kumkumbuka kwa unyama ule.
 
Ni wajinga tu, na tumeuchoka huo ujinga wao.
Tuna matatizo mengi sana katika nchi hii, haiwezekani watu mpande majukwaani kumuongelea mtu ambaye hawezi kusema wa kujibu. Ni upumbavu.
wapumbavu ni wale mnaomtetea tena tutamfukua tuchome mifupa yake yote.
 
Back
Top Bottom