Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Kosa lao ni kutokuiba mali za umma kama wafanyavyo CCM!Wanaukumbi.
Hapa ndiyo makao makuu ya CHADEMA, chama kilichofanya siasa miaka zaidi ya 30, kweli jamani?
Hebu angalia mali wanazomiliki viongozi wa chama hicho, wengine wametoka ‘University of Dar es salaam’ miaka ya juzi juzi tu.
Chama masikini viongozi wa juu matajiri.
Tena hapo mtaa wa Ufipa wamepangisha.
Yaaani Chama cha kwenye Briefcase 💼 ndiyo wanataka tuwape dhamana ya kuongoza nchi yetu.
Over our dead bodies.
Sema wewe c waTZWanaukumbi.
Hapa ndiyo makao makuu ya CHADEMA, chama kilichofanya siasa miaka zaidi ya 30, kweli jamani?
Hebu angalia mali wanazomiliki viongozi wa chama hicho, wengine wametoka ‘University of Dar es salaam’ miaka ya juzi juzi tu.
Chama masikini viongozi wa juu matajiri.
Tena hapo mtaa wa Ufipa wamepangisha.
Yaaani Chama cha kwenye Briefcase 💼 ndiyo wanataka tuwape dhamana ya kuongoza nchi yetu.
Over our dead bodies.
Hawa wanaopanga kwenye jengo hawajawahi kudai mali iliyozalishwa na wananchi wote wa nchi hii kuwa mali yao kama wanavyofanya CCM.Wanaukumbi.
Hapa ndiyo makao makuu ya CHADEMA, chama kilichofanya siasa miaka zaidi ya 30, kweli jamani?
Hebu angalia mali wanazomiliki viongozi wa chama hicho, wengine wametoka ‘University of Dar es salaam’ miaka ya juzi juzi tu.
Chama masikini viongozi wa juu matajiri.
Tena hapo mtaa wa Ufipa wamepangisha.
Yaaani Chama cha kwenye Briefcase 💼 ndiyo wanataka tuwape dhamana ya kuongoza nchi yetu.
Over our dead bodies.
Watanzania wa lumumbaWanaukumbi.
Hapa ndiyo makao makuu ya CHADEMA, chama kilichofanya siasa miaka zaidi ya 30, kweli jamani?
Hebu angalia mali wanazomiliki viongozi wa chama hicho, wengine wametoka ‘University of Dar es salaam’ miaka ya juzi juzi tu.
Chama masikini viongozi wa juu matajiri.
Tena hapo mtaa wa Ufipa wamepangisha.
Yaaani Chama cha kwenye Briefcase 💼 ndiyo wanataka tuwape dhamana ya kuongoza nchi yetu.
Over our dead bodies.
Nenda pale Bukoba uangalie gofu la ccm lililoshindikana kujengwa kwa zaidi ya miaka 35 alafu utuambie pesa ya chama wanaipeleka wapi?Wanaukumbi.
Hapa ndiyo makao makuu ya CHADEMA, chama kilichofanya siasa miaka zaidi ya 30, kweli jamani?
Hebu angalia mali wanazomiliki viongozi wa chama hicho, wengine wametoka ‘University of Dar es salaam’ miaka ya juzi juzi tu.
Chama masikini viongozi wa juu matajiri.
Tena hapo mtaa wa Ufipa wamepangisha.
Yaaani Chama cha kwenye Briefcase [emoji161] ndiyo wanataka tuwape dhamana ya kuongoza nchi yetu.
Over our dead bodies.
Huwezi kuziona Lumumba. Endeleeni kuibia watzCHANGIA CHADEMA
MPESA KWENDA CRDB
1. BONYEZA *150*00#
2. TUMA PESA
3. KWENDA BENKI
4. CHAGUA CRDB
5. BONYEZA 1, WEKA NAMBA YA AKAUNTI
6. INGIZA NAMBA YA MALIPO 0111080100600
7. INGIZA NAMBA YA SIRI
NB.
JINA LA AKAUNTI- CHADEMA M4C
AKAUNTI NAMBA 0111080100600
Hizi pesa zinaenda wapi????
Mkuu Pep hii imekaaje?[emoji23]Wanaukumbi.
Hapa ndiyo makao makuu ya CHADEMA, chama kilichofanya siasa miaka zaidi ya 30, kweli jamani?
Hebu angalia mali wanazomiliki viongozi wa chama hicho, wengine wametoka ‘University of Dar es salaam’ miaka ya juzi juzi tu.
Chama masikini viongozi wa juu matajiri.
Tena hapo mtaa wa Ufipa wamepangisha.
Yaaani Chama cha kwenye Briefcase [emoji161] ndiyo wanataka tuwape dhamana ya kuongoza nchi yetu.
Over our dead bodies.
Ana wewesekaRitz wewe huyu Leo huna Imani na Chadema mliyosema imekufa?? Au Kuna CHADEMA nyingine??
Mlipoenda Ikulu mlieleza watanzania ajenda/maoni mliyowasilisha kwa Rais Samia na CCM?Halafu eti ACT ndo inajilinganisha na CHADEMA hahahaha!
Sio mbaya kwa sasa mnakula tende na Pilau ya bure kwenu ni kitu kikubwa sana.
- Mwenyekiti wa CCM- Taifa huwa anagombea na nani?CHADEMA mna mwenyekiti miaka 22 anajichagua alafu mnatuea Porojo za Katiba Mpya.
Anzeni kwanza na Katiba Mpya ya CHADEMA ili kwenye Ukoo Saccos yenu muwe na demokrasia ya kweli, haki na Usawa kisha mtushauri tudai Katiba Mpya.
- watu wenye akili hatuwezi support wahuni. 😁
Wanaukumbi.
Hapa ndiyo makao makuu ya CHADEMA, chama kilichofanya siasa miaka zaidi ya 30, kweli jamani?
Hebu angalia mali wanazomiliki viongozi wa chama hicho, wengine wametoka ‘University of Dar es salaam’ miaka ya juzi juzi tu.
Chama masikini viongozi wa juu matajiri.
Tena hapo mtaa wa Ufipa wamepangisha.
Yaaani Chama cha kwenye Briefcase 💼 ndiyo wanataka tuwape dhamana ya kuongoza nchi yetu.
Over our dead bodies.
Uvccm banaCHADEMA mna mwenyekiti miaka 22 anajichagua alafu mnatuea Porojo za Katiba Mpya.
Anzeni kwanza na Katiba Mpya ya CHADEMA ili kwenye Ukoo Saccos yenu muwe na demokrasia ya kweli, haki na Usawa kisha mtushauri tudai Katiba Mpya.
- watu wenye akili hatuwezi support wahuni. [emoji16]
Na za TANU NI ZETU MAANA TANU ILICHANGIWA HELA KUTOKA WANANCHI WOTE KWA KULAZIMISHWA NA BAADAYE HAZINAWeka na mali za CCM bila kugusa Mali za TANU
Una minyoo kwenye ubongo. Sema wewe Ritz huna Imani na Chadema . Stop Rubbish sweeping statementsWanaukumbi.
Hapa ndiyo makao makuu ya CHADEMA, chama kilichofanya siasa miaka zaidi ya 30, kweli jamani?
Hebu angalia mali wanazomiliki viongozi wa chama hicho, wengine wametoka ‘University of Dar es salaam’ miaka ya juzi juzi tu.
Chama masikini viongozi wa juu matajiri.
Tena hapo mtaa wa Ufipa wamepangisha.
Yaaani Chama cha kwenye Briefcase [emoji161] ndiyo wanataka tuwape dhamana ya kuongoza nchi yetu.
Over our dead bodies.
Na Hilo linakuja hata iwe miaka 1000. Ni Mali ya UmmaHawana chochote. Majengo, shule, viwanja vya michezo vilivyokuwa vya TANU na baadaye CCM vilitakiwa kuwa mali ya serikali then VYAMA VYOTE vianze A.
Kuna mhindi mmoja alilalamika CCM kumnyang'anya nyumba ya urithi.Nenda pale Bukoba uangalie gofu la ccm lililoshindikana kujengwa kwa zaidi ya miaka 35 alafu utuambie pesa ya chama wanaipeleka wapi?
Majengo waliyonayo ni urithi wa Watanzania uliopokwa.