Watanzania tunakosa imani na CHADEMA

Watanzania tunakosa imani na CHADEMA

Wanaukumbi.

Hapa ndiyo makao makuu ya CHADEMA, chama kilichofanya siasa miaka zaidi ya 30, kweli jamani?

Hebu angalia mali wanazomiliki viongozi wa chama hicho, wengine wametoka ‘University of Dar es salaam’ miaka ya juzi juzi tu.

Chama masikini viongozi wa juu matajiri.

Tena hapo mtaa wa Ufipa wamepangisha.

Yaaani Chama cha kwenye Briefcase 💼 ndiyo wanataka tuwape dhamana ya kuongoza nchi yetu.

Over our dead bodies.
Kosa lao ni kutokuiba mali za umma kama wafanyavyo CCM!
 
Wanaukumbi.

Hapa ndiyo makao makuu ya CHADEMA, chama kilichofanya siasa miaka zaidi ya 30, kweli jamani?

Hebu angalia mali wanazomiliki viongozi wa chama hicho, wengine wametoka ‘University of Dar es salaam’ miaka ya juzi juzi tu.

Chama masikini viongozi wa juu matajiri.

Tena hapo mtaa wa Ufipa wamepangisha.

Yaaani Chama cha kwenye Briefcase 💼 ndiyo wanataka tuwape dhamana ya kuongoza nchi yetu.

Over our dead bodies.
Sema wewe c waTZ
 
Wanaukumbi.

Hapa ndiyo makao makuu ya CHADEMA, chama kilichofanya siasa miaka zaidi ya 30, kweli jamani?

Hebu angalia mali wanazomiliki viongozi wa chama hicho, wengine wametoka ‘University of Dar es salaam’ miaka ya juzi juzi tu.

Chama masikini viongozi wa juu matajiri.

Tena hapo mtaa wa Ufipa wamepangisha.

Yaaani Chama cha kwenye Briefcase 💼 ndiyo wanataka tuwape dhamana ya kuongoza nchi yetu.

Over our dead bodies.
Hawa wanaopanga kwenye jengo hawajawahi kudai mali iliyozalishwa na wananchi wote wa nchi hii kuwa mali yao kama wanavyofanya CCM.

Utaeleweka kama ukishauri mali za wananchi zirudishwe kwa wananchi au zigawanywe kati ya vyama vyote vya siasa vilivyopo.
 
Wanaukumbi.

Hapa ndiyo makao makuu ya CHADEMA, chama kilichofanya siasa miaka zaidi ya 30, kweli jamani?

Hebu angalia mali wanazomiliki viongozi wa chama hicho, wengine wametoka ‘University of Dar es salaam’ miaka ya juzi juzi tu.

Chama masikini viongozi wa juu matajiri.

Tena hapo mtaa wa Ufipa wamepangisha.

Yaaani Chama cha kwenye Briefcase 💼 ndiyo wanataka tuwape dhamana ya kuongoza nchi yetu.

Over our dead bodies.
Watanzania wa lumumba
 
CHADEMA maridhiano ni kukubali matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 ili mpewe RUZUKU?
Watanzania sio wajinga, hili tamko hatujasahau.
 
Wanaukumbi.

Hapa ndiyo makao makuu ya CHADEMA, chama kilichofanya siasa miaka zaidi ya 30, kweli jamani?

Hebu angalia mali wanazomiliki viongozi wa chama hicho, wengine wametoka ‘University of Dar es salaam’ miaka ya juzi juzi tu.

Chama masikini viongozi wa juu matajiri.

Tena hapo mtaa wa Ufipa wamepangisha.

Yaaani Chama cha kwenye Briefcase [emoji161] ndiyo wanataka tuwape dhamana ya kuongoza nchi yetu.

Over our dead bodies.
Nenda pale Bukoba uangalie gofu la ccm lililoshindikana kujengwa kwa zaidi ya miaka 35 alafu utuambie pesa ya chama wanaipeleka wapi?
Majengo waliyonayo ni urithi wa Watanzania uliopokwa.
 
CHANGIA CHADEMA
MPESA KWENDA CRDB
1. BONYEZA *150*00#
2. TUMA PESA
3. KWENDA BENKI
4. CHAGUA CRDB
5. BONYEZA 1, WEKA NAMBA YA AKAUNTI
6. INGIZA NAMBA YA MALIPO 0111080100600
7. INGIZA NAMBA YA SIRI

NB.
JINA LA AKAUNTI- CHADEMA M4C
AKAUNTI NAMBA 0111080100600

Hizi pesa zinaenda wapi????
Huwezi kuziona Lumumba. Endeleeni kuibia watz
 
Wanaukumbi.

Hapa ndiyo makao makuu ya CHADEMA, chama kilichofanya siasa miaka zaidi ya 30, kweli jamani?

Hebu angalia mali wanazomiliki viongozi wa chama hicho, wengine wametoka ‘University of Dar es salaam’ miaka ya juzi juzi tu.

Chama masikini viongozi wa juu matajiri.

Tena hapo mtaa wa Ufipa wamepangisha.

Yaaani Chama cha kwenye Briefcase [emoji161] ndiyo wanataka tuwape dhamana ya kuongoza nchi yetu.

Over our dead bodies.
Mkuu Pep hii imekaaje?[emoji23]

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Halafu eti ACT ndo inajilinganisha na CHADEMA hahahaha!

Sio mbaya kwa sasa mnakula tende na Pilau ya bure kwenu ni kitu kikubwa sana.
Mlipoenda Ikulu mlieleza watanzania ajenda/maoni mliyowasilisha kwa Rais Samia na CCM?

- kwa mujibu wa viongozi wa CCM wanasema mlienda kwa Rais Samia kuomba mpewe RUZUKU hali mbaya.

Pia mmekubali hakuna Katiba Mpya hadi Uchaguzi Mkuu 2025 uishe.
 
CHADEMA mna mwenyekiti miaka 22 anajichagua alafu mnatuea Porojo za Katiba Mpya.

Anzeni kwanza na Katiba Mpya ya CHADEMA ili kwenye Ukoo Saccos yenu muwe na demokrasia ya kweli, haki na Usawa kisha mtushauri tudai Katiba Mpya.

- watu wenye akili hatuwezi support wahuni. 😁
- Mwenyekiti wa CCM- Taifa huwa anagombea na nani?
-
 
Wanaukumbi.

Hapa ndiyo makao makuu ya CHADEMA, chama kilichofanya siasa miaka zaidi ya 30, kweli jamani?

Hebu angalia mali wanazomiliki viongozi wa chama hicho, wengine wametoka ‘University of Dar es salaam’ miaka ya juzi juzi tu.

Chama masikini viongozi wa juu matajiri.

Tena hapo mtaa wa Ufipa wamepangisha.

Yaaani Chama cha kwenye Briefcase 💼 ndiyo wanataka tuwape dhamana ya kuongoza nchi yetu.

Over our dead bodies.

Lini ulikuwa na imani na CHADEMA!.CCM yenyewe haukuwa na imani nayo hadi alipoingia Mama na tunajua sababu ni nini ?.
 
CHADEMA mna mwenyekiti miaka 22 anajichagua alafu mnatuea Porojo za Katiba Mpya.

Anzeni kwanza na Katiba Mpya ya CHADEMA ili kwenye Ukoo Saccos yenu muwe na demokrasia ya kweli, haki na Usawa kisha mtushauri tudai Katiba Mpya.

- watu wenye akili hatuwezi support wahuni. [emoji16]
Uvccm bana
 
Watu mna roho ngumu, mpaka sasa ulikuwa bado una imani na chadema tu? Wengine tulikosa hiyo imani tangu wakati wa sakata la lowassa!
 
Wanaukumbi.

Hapa ndiyo makao makuu ya CHADEMA, chama kilichofanya siasa miaka zaidi ya 30, kweli jamani?

Hebu angalia mali wanazomiliki viongozi wa chama hicho, wengine wametoka ‘University of Dar es salaam’ miaka ya juzi juzi tu.

Chama masikini viongozi wa juu matajiri.

Tena hapo mtaa wa Ufipa wamepangisha.

Yaaani Chama cha kwenye Briefcase [emoji161] ndiyo wanataka tuwape dhamana ya kuongoza nchi yetu.

Over our dead bodies.
Una minyoo kwenye ubongo. Sema wewe Ritz huna Imani na Chadema . Stop Rubbish sweeping statements
 
Weka na mali za CCM bila kugusa Mali za TANU
Usicheze na hili Lichama lina mambo.
images (2).jpeg
images.jpeg
download (3).jpeg
images (1).jpeg
 
Una minyoo kwenye ubongo. Sema wewe Ritz huna Imani na Chadema . Stop Rubbish sweeping statements
Matusi ndiyo si silaha kubwa ya Bavicha Mfalme wenu Mbowe kaishawakataza kutukana Au unapingana na kauli ya Mfalme?
 
Nenda pale Bukoba uangalie gofu la ccm lililoshindikana kujengwa kwa zaidi ya miaka 35 alafu utuambie pesa ya chama wanaipeleka wapi?
Majengo waliyonayo ni urithi wa Watanzania uliopokwa.
Kuna mhindi mmoja alilalamika CCM kumnyang'anya nyumba ya urithi.
 
Back
Top Bottom