Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Kosa lao ni kutokuiba mali za umma kama wafanyavyo CCM!Wanaukumbi.
Hapa ndiyo makao makuu ya CHADEMA, chama kilichofanya siasa miaka zaidi ya 30, kweli jamani?
Hebu angalia mali wanazomiliki viongozi wa chama hicho, wengine wametoka ‘University of Dar es salaam’ miaka ya juzi juzi tu.
Chama masikini viongozi wa juu matajiri.
Tena hapo mtaa wa Ufipa wamepangisha.
Yaaani Chama cha kwenye Briefcase 💼 ndiyo wanataka tuwape dhamana ya kuongoza nchi yetu.
Over our dead bodies.



