Muwa mtamu
JF-Expert Member
- Jun 13, 2020
- 847
- 1,599
- Thread starter
- #21
Stationary wanalia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi haturidhishwi na hali ilivyo ila kuwa na heshima kidogo.Kuna msukuma mmoja siku kadhaa aliniamnia Sa100 wanakazana na mkwere angani kwenye ndege nilimkemea lkn leo angesema ningempa zawadi
Utamheshimuje anayekudharau?Wengi haturidhishwi na hali ilivyo ila kuwa na heshima kidogo.
Amina dua naomba ikubaliwe mkuuSamia nakutakia ushindwe usiwe rais kipindi cha pili, unakera sana
Umekatwa mara tatu mkuuJiwe gizan bila shaka wamekata huko, haupo pekee ako mi ile nafungua mlango wa gheto taa za mji mzima zimezima mana nyumba yangu ipo juu ya mlima naona mji wote
afu we bwana hiyi too much na haya ni matatizo ya akili haiwezekan post nzima ucoment mwenyewe shd nin? Unauchungu sana au?Utamheshimuje anayekudharau?
Ongeza na machozi kabisaamina dua naomba ikubaliwe mkuu
Pipa hujui madhara yanayoikumba nchi?afu we bwana hiyi too much na haya ni matatizo ya akili haiwezekan post nzima ucoment mwenyewe shd nin? Unauchungu sana au?
mkuu ni kwel ila punguza jazb bado tunakupenda usije ukafikiwa na wasio julikanaUmekatwa mara tatu mkuu
kabsa acha nilieeee😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😢😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🥲🥲🥲🥲😿🥲😿🥲😿🥲😿🥲😿🥲😿🥲😿🥲😿🥲🥲Ongeza na machozi kabisa
Kabla hawajanifikia watakuwa wamekufa wotemkuu ni kwel ila punguza jazb bado tunakupenda usije ukafikiwa na wasio julikana