Muwa mtamu
JF-Expert Member
- Jun 13, 2020
- 847
- 1,599
- Thread starter
- #61
Nchi inaongozwa na mtendaji wa kijiji, maajabu sanalucas mwashambwa waite watendaji wa mama yako paho tanesco tuna jambo letu.......``
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi inaongozwa na mtendaji wa kijiji, maajabu sanalucas mwashambwa waite watendaji wa mama yako paho tanesco tuna jambo letu.......``
Lucas mwashambwa anahongwa sukari ili amsifie mtendaji wa kijiji aliye jumba jeupelucas mwashambwa waite watendaji wa mama yako paho tanesco tuna jambo letu.......``
kijumbe wa shina namba3 kizmkaziNchi inaongozwa na mtendaji wa kijiji, maajabu sana
kijumbe wa shina namba3
Luca nimeona anapita kimya kimya fara yulehalafu umeme wa awamu ya 6 unaogopa mvua, ikinyesha tena wakati mwingine upepo tu; umeme unakimbia, unakula kona kama luca anavyokula kona sa hv mimacho kimya kimya
Nimeandaa rungu wajitokezechawa wa tanesco wa mama,mpo wapi
maumivuu🥲Hatari sana
ushawai mweshimu mwizi ? mjifunze kutumia neno HESHIMA sehem sahihiWengi haturidhishwi na hali ilivyo ila kuwa na heshima kidogo.
kwan ww unanunua sukar kilo kwa tsh ngap ? tuambiane nije huko nipunguze uchungu huu wa Tanescoafu we bwana hiyi too much na haya ni matatizo ya akili haiwezekan post nzima ucoment mwenyewe shd nin? Unauchungu sana au?
kwahiyo ww huna la kufanya zaid ya kuwakatisha tamaa wengine ? muda utakufungua akilimkuu ni kwel ila punguza jazb bado tunakupenda usije ukafikiwa na wasio julikana
hahahaaaa[emoji24][emoji24] hapana mkuu mtanicheka sana badala ya kulia maana nipo kama ripota wa mchongo
now nipo kenyakwan ww unanunua sukar kilo kwa tsh ngap ? tuambiane nije huko nipunguze uchungu huu wa Tanesco
wee mdusi94 kuwa na adabukwahiyo ww huna la kufanya zaid ya kuwakatisha tamaa wengine ? muda utakufungua akili
😂😂😂😂😂Tunaongozwa na mtendaji wa kijiji ndio yupo ikulu
SuperMkiambiwa WANAWAKE hawawezi hamuelewi.Ipo siku Mungu ataamua huu ugomvi wa Wananchi na huyo aliyeweka pamba masikioni asisikie kelele za umeme.
Bahati nzuri machawa nayo tuko nayo gizanichawa wa tanesco wa mama,mpo wapi