Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Dah... Imeniuma sana.
Miaka 70 ya uhuru hata kuweza kuwa na umeme Jiji la Daresalam Bado hatujaweza.
Sisi Ngozi mchanganyiko tulitakiwa kutawaliwa na Ngozi nyeupe japo miaka 500 ndio kidogo tungestarabika.
Sasa watu wanalilia Madaraka ili kufanya nini tena?
Ikiwezekana tuwakodi watu weupe waje kutuweka sawa kwanza.
Kuna mihimili ya Madaraka inatakiwa ikodishwe kwanza ili tujifunze kwao.
Miaka 70 ya uhuru hata kuweza kuwa na umeme Jiji la Daresalam Bado hatujaweza.
Sisi Ngozi mchanganyiko tulitakiwa kutawaliwa na Ngozi nyeupe japo miaka 500 ndio kidogo tungestarabika.
Sasa watu wanalilia Madaraka ili kufanya nini tena?
Ikiwezekana tuwakodi watu weupe waje kutuweka sawa kwanza.
Kuna mihimili ya Madaraka inatakiwa ikodishwe kwanza ili tujifunze kwao.