Watanzania tunanyanyasika sana na watawala: Umeme ni mfano halisi

Watanzania tunanyanyasika sana na watawala: Umeme ni mfano halisi

Tutanyanyaswa hadi akili itukae.

Tutanyanyaswa hadi tujitambue.

Tutanynyaswa hadi Elimu itakapotusaidia.

Nchi iko gizani tuko kimya.

Kazi maofisini zinafanyika kwa kudra ya Tanesco, wakiamua wanakata, au wakupe umeme kwa muda wao.

Tuna Rais ambaye hakemei huu ujinga, hachukui hatua za dharura.

Rais alipswa:

Aachane na ziara nje ya nchi kwa hali ya dharura iliyopo nchini.

Tatizo la umeme linapaswa kuchukuliwa kama vile taifa limevamiwa tuko vitani.

Taifa lingeweza hata kusitisha SGR na miradi mingine kwa muda tupate umeme thabiti.

Wauze hata ndege nusu au zote tuondokane na aibu ya umeme.

Wasitishe hata ziara za hovyo za vyama vyote ruzuku ya vyama vyote iingizwe kwa umeme kama mkopo wa ndani.

NANI ATALETA MTAJI WAKE KUFANYA UWWKEZAJI MKUBWA NCHI YA GIZA?

Rais anashauriwa na nani?
Hata kama hakuna mshauri yeye haoni?

Kwanini ccm msimtoe huyu rais mtuletee mtu mzalendo wa kweli?

INauma sana
Inaudhi sana
Inakera sana
Inasikitisha sana
Inachefua sana.

Halafu badala ya kuchapa kazi uache legacy unatufuta chawa wakusifie hata ukichecheua na unawalipa aah.

Kwanini Tanzania tu?

Kwanini aibu hii?

Kwanini mateso haya?

Lini Mungu ataamua ugomvi?
..................
Note: wewe unayesoma na husemi neno likupate jambo
Mnalalamika umeme wakati mpo kwenye chombo cha kutumia umeme mnapoandika ujumbe wenu, au mpo nje ya Tanzania?
 
Hilo la kuchukulia hili JANGA la Umeme kama VITA na kusitisha miradi mingine nilishawahi shauri..

Mama,
Sitisha SGR,hasa kule ambapo bado ujenzi kuanza,hela peleka kwenye UMEME
Sitishe ununuzi wa MaV8 ,peleka kwenye UMEME

Tafuta majenereta ya kukodi,ila MIKATABA iwe wazi na kuzuia upigaji

Umeme ni MAISHA
Umeme ni UHAI
Umeme ni KODI
Umemaliza
 
Tutanyanyaswa hadi akili itukae.

Tutanyanyaswa hadi tujitambue.

Tutanynyaswa hadi Elimu itakapotusaidia.

Nchi iko gizani tuko kimya.

Kazi maofisini zinafanyika kwa kudra ya Tanesco, wakiamua wanakata, au wakupe umeme kwa muda wao.

Tuna Rais ambaye hakemei huu ujinga, hachukui hatua za dharura.

Rais alipswa:

Aachane na ziara nje ya nchi kwa hali ya dharura iliyopo nchini.

Tatizo la umeme linapaswa kuchukuliwa kama vile taifa limevamiwa tuko vitani.

Taifa lingeweza hata kusitisha SGR na miradi mingine kwa muda tupate umeme thabiti.

Wauze hata ndege nusu au zote tuondokane na aibu ya umeme.

Wasitishe hata ziara za hovyo za vyama vyote ruzuku ya vyama vyote iingizwe kwa umeme kama mkopo wa ndani.

NANI ATALETA MTAJI WAKE KUFANYA UWWKEZAJI MKUBWA NCHI YA GIZA?

Rais anashauriwa na nani?
Hata kama hakuna mshauri yeye haoni?

Kwanini ccm msimtoe huyu rais mtuletee mtu mzalendo wa kweli?

INauma sana
Inaudhi sana
Inakera sana
Inasikitisha sana
Inachefua sana.

Halafu badala ya kuchapa kazi uache legacy unatufuta chawa wakusifie hata ukichecheua na unawalipa aah.

Kwanini Tanzania tu?

Kwanini aibu hii?

Kwanini mateso haya?

Lini Mungu ataamua ugomvi?
..................
Note: wewe unayesoma na husemi neno likupate jambo

Kwa kweli
 
CCM wanaamini Bei ya juu ya sukari inawaadhiri Wana chadema tu lkn pia wanaamini wakikata umeme Ni nyumba za Wana chadema tu ndio Zina kisa furaha. Miccm yenyewe ilishazowea shida, tabu na karaha.
 
Tutanyanyaswa hadi akili itukae.

Tutanyanyaswa hadi tujitambue.

Tutanynyaswa hadi Elimu itakapotusaidia.

Nchi iko gizani tuko kimya.

Kazi maofisini zinafanyika kwa kudra ya Tanesco, wakiamua wanakata, au wakupe umeme kwa muda wao.

Tuna Rais ambaye hakemei huu ujinga, hachukui hatua za dharura.

Rais alipswa:

Aachane na ziara nje ya nchi kwa hali ya dharura iliyopo nchini.

Tatizo la umeme linapaswa kuchukuliwa kama vile taifa limevamiwa tuko vitani.

Taifa lingeweza hata kusitisha SGR na miradi mingine kwa muda tupate umeme thabiti.

Wauze hata ndege nusu au zote tuondokane na aibu ya umeme.

Wasitishe hata ziara za hovyo za vyama vyote ruzuku ya vyama vyote iingizwe kwa umeme kama mkopo wa ndani.

NANI ATALETA MTAJI WAKE KUFANYA UWWKEZAJI MKUBWA NCHI YA GIZA?

Rais anashauriwa na nani?
Hata kama hakuna mshauri yeye haoni?

Kwanini ccm msimtoe huyu rais mtuletee mtu mzalendo wa kweli?

INauma sana
Inaudhi sana
Inakera sana
Inasikitisha sana
Inachefua sana.

Halafu badala ya kuchapa kazi uache legacy unatufuta chawa wakusifie hata ukichecheua na unawalipa aah.

Kwanini Tanzania tu?

Kwanini aibu hii?

Kwanini mateso haya?

Lini Mungu ataamua ugomvi?
..................
Note: wewe unayesoma na husemi neno likupate jambo
Umeongea kwa uchungu sana!
Tanesco ni dhahiri wameamua kuwadhihaki watz .
Leo watakuja na sababu ya maji kesho matengenezo.
Kweli 2024 bado tunaendelea kusumbuliwa na umeme? Tatizo ni nini hasa? Viongozi wanaingia na kutoka hakuna anayetitoa muhanga kumaliza tatizo kisha inakua tatizo endelevu.
Kusema kweli ni jambo linalokera na kuumiza unapolijadili ..nini Kina miss kumaliza tatizo hili sugu katika nchi ya watu Mil 60?
 
Umeongea kwa uchungu sana!
Tanesco ni dhahiri wameamua kuwadhihaki watz .
Leo watakuja na sababu ya maji kesho matengenezo.
Kweli 2024 bado tunaendelea kusumbuliwa na umeme? Tatizo ni nini hasa? Viongozi wanaingia na kutoka hakuna anayetitoa muhanga kumaliza tatizo kisha inakua tatizo endelevu.
Kusema kweli ni jambo linalokera na kuumiza unapolijadili ..nini Kina miss kumaliza tatizo hili sugu katika nchi ya watu Mil 60?
Wanatudharau wanaona hatuwezi kuwafanya lolote.

Tanesco ni ahamba la bibi wanajipigia tu
 
Mkuu umenigusa, Mimi Nina butcher la samaki na kuku mzigo umeingia saa 18:13 pm umeme haukuwepo na Hadi Sasa hivi saa 21:17pm umeme haujarudi.

Mapigo ya moyo yanadunda, nimemaliza chuo nikachichanga kufungua biashara afu serikali inashindwa hata kutupa huduma ya umeme? Wanataka tukajiunge na Alshabab? Ndo maana yake sasa kama ajira hawatupi na umeme wanatukatia na kutupa harasa lengo lao ni nini?

Nina uchungu sana na hawa watawala, utulivu wetu unawapa amani, napata hasira mpaka nafika mbali. Kama hawezi kuongoza nchi si apishe? Mbona JPM aliweza kutupa umeme 24hrs

IMG_20240127_212001_138.jpg
 

Attachments

  • IMG-20240124-WA0003.jpg
    IMG-20240124-WA0003.jpg
    51.4 KB · Views: 2
CCM wanaamini Bei ya juu ya sukari inawaadhiri Wana chadema tu lkn pia wanaamini wakikata umeme Ni nyumba za Wana chadema tu ndio Zina kisa furaha. Miccm yenyewe ilishazowea shida, tabu na karaha.
Tunatukanwa kwa vitendo
 
Mkuu umenigusa, Mimi Nina butcher la samaki na kuku mzigo umeingia saa 18:13 pm umeme haukuwepo na Hadi Sasa hivi saa 21:17pm umeme haujarudi.

Mapigo ya moyo yanadunda, nimemaliza chuo nikachichanga kufungua biashara afu serikali inashindwa hata kutupa huduma ya umeme? Wanataka tukajiunge na Alshabab? Ndo maana yake sasa kama ajira hawatupi na umeme wanatukatia na kutupa harasa lengo lao ni nini?

Nina uchungu sana na hawa watawala, utulivu wetu unawapa amani, napata hasira mpaka nafika mbali. Kama hawezi kuongoza nchi si apishe? Mbona JPM aliweza kutupa umeme 24hrs

View attachment 2884952
Pole mkuu hatuna viongozi tuna vibaka tu wanabaka hazina
 
Tutanyanyaswa hadi akili itukae.

Tutanyanyaswa hadi tujitambue.

Tutanynyaswa hadi Elimu itakapotusaidia.

Nchi iko gizani tuko kimya.

Kazi maofisini zinafanyika kwa kudra ya Tanesco, wakiamua wanakata, au wakupe umeme kwa muda wao.

Tuna Rais ambaye hakemei huu ujinga, hachukui hatua za dharura.

Rais alipswa:

Aachane na ziara nje ya nchi kwa hali ya dharura iliyopo nchini.

Tatizo la umeme linapaswa kuchukuliwa kama vile taifa limevamiwa tuko vitani.

Taifa lingeweza hata kusitisha SGR na miradi mingine kwa muda tupate umeme thabiti.

Wauze hata ndege nusu au zote tuondokane na aibu ya umeme.

Wasitishe hata ziara za hovyo za vyama vyote ruzuku ya vyama vyote iingizwe kwa umeme kama mkopo wa ndani.

NANI ATALETA MTAJI WAKE KUFANYA UWWKEZAJI MKUBWA NCHI YA GIZA?

Rais anashauriwa na nani?
Hata kama hakuna mshauri yeye haoni?

Kwanini ccm msimtoe huyu rais mtuletee mtu mzalendo wa kweli?

INauma sana
Inaudhi sana
Inakera sana
Inasikitisha sana
Inachefua sana.

Halafu badala ya kuchapa kazi uache legacy unatufuta chawa wakusifie hata ukichecheua na unawalipa aah.

Kwanini Tanzania tu?

Kwanini aibu hii?

Kwanini mateso haya?

Lini Mungu ataamua ugomvi?
..................
Note: wewe unayesoma na husemi neno likupate jambo
Kalemani nitumie namba yako, nikurushie wekundu wawili!
 
Tutanyanyaswa hadi akili itukae.

Tutanyanyaswa hadi tujitambue.

Tutanynyaswa hadi Elimu itakapotusaidia.

Nchi iko gizani tuko kimya.

Kazi maofisini zinafanyika kwa kudra ya Tanesco, wakiamua wanakata, au wakupe umeme kwa muda wao.

Tuna Rais ambaye hakemei huu ujinga, hachukui hatua za dharura.

Rais alipswa:

Aachane na ziara nje ya nchi kwa hali ya dharura iliyopo nchini.

Tatizo la umeme linapaswa kuchukuliwa kama vile taifa limevamiwa tuko vitani.

Taifa lingeweza hata kusitisha SGR na miradi mingine kwa muda tupate umeme thabiti.

Wauze hata ndege nusu au zote tuondokane na aibu ya umeme.

Wasitishe hata ziara za hovyo za vyama vyote ruzuku ya vyama vyote iingizwe kwa umeme kama mkopo wa ndani.

NANI ATALETA MTAJI WAKE KUFANYA UWWKEZAJI MKUBWA NCHI YA GIZA?

Rais anashauriwa na nani?
Hata kama hakuna mshauri yeye haoni?

Kwanini ccm msimtoe huyu rais mtuletee mtu mzalendo wa kweli?

INauma sana
Inaudhi sana
Inakera sana
Inasikitisha sana
Inachefua sana.

Halafu badala ya kuchapa kazi uache legacy unatufuta chawa wakusifie hata ukichecheua na unawalipa aah.

Kwanini Tanzania tu?

Kwanini aibu hii?

Kwanini mateso haya?

Lini Mungu ataamua ugomvi?
..................
Note: wewe unayesoma na husemi neno likupate jambo
Shangingi LA kizimkazi lipo bize na Mambo ya yanga na Simba, nchi Ina watu wa hovyo,akili kichwani hakuna, wezi, kuendesha kivuko na mwendokasi, tumeshindwa kabisa, vyuo vyote tulivyonavyo! Tumeshindwa kuweka watu wa kuendesha mradi wa mwendokasi!
Ilisemwa tangu karne,serikaki haitakiwi ifanye biashsra! Maana kutakuwa na wizi! Serikali zenye akili kubwa ndio zinaweza kufanya biashsra,
South Africa MTN, sie li TTCL letu limebski mifupa, Ila bado kuna kenge wanakula salio!TOTAL ni ya serikali ya ufaransa,
Hii mwendokasi, apewe mwekezaji, kama tulivyoachana na maduka ya ushirika, na NMC(national milling corporation), kwa wale wadogo, mjue ya kwamba miaka ya 90! Tulikuwa tunanunua sukari, unga kwa foleni kutoka maduka ya serikali! Ilikuwa marufuku duka binafsi kuuza hizo bidhaa,kwa Dar, tulikuwa tuna subiri gari itoke ubungo mataa, tunakuwa tumekusanyika Riverside!
 
Shangingi LA kizimkazi lipo bize na Mambo ya yanga na Simba, nchi Ina watu wa hovyo,akili kichwani hakuna, wezi, kuendesha kivuko na mwendokasi, tumeshindwa kabisa, vyuo vyote tulivyonavyo! Tumeshindwa kuweka watu wa kuendesha mradi wa mwendokasi!
Ilisemwa tangu karne,serikaki haitakiwi ifanye biashsra! Maana kutakuwa na wizi! Serikali zenye akili kubwa ndio zinaweza kufanya biashsra,
South Africa MTN, sie li TTCL letu limebski mifupa, Ila bado kuna kenge wanakula salio!TOTAL ni ya serikali ya ufaransa,
Hii mwendokasi, apewe mwekezaji, kama tulivyoachana na maduka ya ushirika, na NMC(national milling corporation), kwa wale wadogo, mjue ya kwamba miaka ya 90! Tulikuwa tunanunua sukari, unga kwa foleni kutoka maduka ya serikali! Ilikuwa marufuku duka binafsi kuuza hizo bidhaa,kwa Dar, tulikuwa tuna subiri gari itoke ubungo mataa, tunakuwa tumekusanyika Riverside!
Hiyo ni picha ya jiongozi yupo anayeendesha nchi nyuma yake
 
Nchi inaongozwa na majitu yenye mtindo wa ubongo mnategemea nini ?
 
Back
Top Bottom