Watanzania tunapaswa kuambiwa na kujua ukweli kwamba Gesi inayochimbwa Mtwara si yetu

Watanzania tunapaswa kuambiwa na kujua ukweli kwamba Gesi inayochimbwa Mtwara si yetu

Na kazi inaendelea au ni maneno tu!

Mkuu 'Hakimu Mfawidhi', mada yako ni muhimu sana, na maswali uliyouliza yanahitaji majibu.

Hivi kuna njia zipi zinazotambuliwa na serikali ambazo zikitumiwa inalazimu wahusika watoe majibu?

Kwani serikali kuwajibika kwa wananchi maana yake ni nini, si ni pamoja na kuwapa wananchi taarifa sahihi mara wanapotaka taarifa hizo?

Haya maswali uliyouliza humu yameulizwa mara kwa mara na watu mbalimbali lakini hayapati majibu sahihi kutoka kwa wahusika. Kwa hiyo inabaki kurudiarudia tu maswali hayo hayo, na kila anayekuja kuchangia kwenye mada kama hii yako anakuja na majibu kivyake anavyojisikia mwenyewe.

Kwa mfano: juzi hapa Zitoo katoa maoni yake juu ya swala kama hili hili, likihusiana na mgodi wa Kabanga Nickel kule Ngara, kwamba mgodi huo ni wa Barrick kupitia mgongoni.
Kaeleza kwamba hiyo sheria inayozungumzia umiliki wa serikali, ile asilimia 16, kwamba hiyo ni gheresha tu, kwa maana asili mia hiyo ni umiliki wa kampuni, na kwamba siyo umiliki wa mgodi! Hakuna aliyekanusha au kusahihisha taarifa hiyo kama ni kweli ama sio kweli.

Haya unayoyaweka hapa yanaumiza roho sana kwa watu wanaoyafuatilia. Inaumiza sana kama kweli mali asili zetu zinageuzwa na kuwa mali za watu wengine na sisi kubaki tukiambulia masalia, eti tunafaidika kwa kodi, mrahaba na ajira ambazo hata haziwanufaishi watu wengi. Inaumiza sana.

Sasa angalia, hii mada umeiweka hapa, na hutapata jibu lolote la maana. Inasikitisha sana.
 
Sisiyemu ni adui wa taifa hili. Ata tuhesabu miaka 30 mingine bado mateso kwa wananchi yatabaki pale pale.
Swali ni kwa nini raia wanchi hii ni kama hayawahusu kabisa yanayofanywa na chama hiki? Ni kama wameridhika kabisa na yote yanayotokea!

Kuna kitu gani hasa kinachowalaza akili wananchi wa nchi hii hadi wasione ubaya wa chama hiki?
 
Sasa unataka mabilioni yao waliyowekeza kwenye kutafuta na hatimaye kuchimba warudishe vipi? Kama vipi si serikali ingefanya yenyewe!
Kwa hiyo, kwa maoni yako, kuwekeza huku ndiko kunawapa umiliki wa chochote watakachokikuta huko chini, na wenye nchi hawana lao hapo?

Hili ni jambo muhimu kwetu sote, tusiparurane bure, nieleze nielewe vizuri maoni yako haya.

Yaani mwekezaji akija hapa kutafuta madini, akayapata madini hayo yapo, inakuwa ni mali yake moja kwa moja, kwa vile kaingia gharama ya kuyatafuta? Ndivyo ilivyo hivi katika nchi zote duniani?
 
Kuna mambo bado hayajawekwa sawa na yakaeleweka vyema.

Gesi inayochimbwa mtwara sio ya watanzania, ile gesi ni ya makampuni ya kigeni na sio ya Watanzania.

Ieleweke pia kwamba Gesi ile iko 18% nchi kavu na 82% majini ama baharini kwenye kina kirefu.

Ieleweke zaidi kwamba shirika la mafuta na petroli la Taifa ama TPDC wao ni watu wa kati kati ama middle man wa gesi inayozalisha umeme Tanzania.

TPDC wao wananunua gesi kutoka kwa makampuni ya kigeni yanayochimba gesi na kisha kuiuzia TANESCO, yaani makampuni yanachimba, yanapiga gharama za uchimbaji na faida yake, yanaiuzia TPDC, kisha TPDC anaweka cha juu na yeye anaiuzia TANESCO halafu TANESCO anazalisha umeme anauzia wananchi.

Kwa kiswahili chepesi ni kwamba, kwenye gesi ya mtwara TPDC ni dalali ama machinga wa gesi, yeye mwenyewe hana gesi ila kutokana na sheria za nchi, ana umiliki kidogo wa hisa kwenye hayo makampuni yanayochimba gesi. Serikali ama TPDC hawana kisima hata kimoja cha gesi, wao pia wananunua.

Hivyo basi ifahamike kwamba umeme wa gesi hautakuja kua bei Rahisi Tanzania kwa sababu gesi ina madalali ama inapitia mikono mingi na kila wakala ama dalali anaweka cha juu hadi kumfikia TANESCO na tanesco kuwafikishia walaji ambao ni wanachi.

Hivyo ifahamike kwamba gesi iliyoko kusini 90% ilishauzwa na wamakonde wakae wakijua hawana gesi pale, sio yao ni ya makampuni ya kigeni.

Habari ndio hiyo.
Mkuu 'Hakimu Mfawidhi', nimejikuta nikichangia mfululizo kwenye mada yako hii, kwa sababu ni mada inayogusa roho na kutia uchungu mkubwa sana juu ya mambo yanayofanyika ndani ya nchi yetu hii.

Na hadi hapa, bado sijaona jibu la kusaidia kujibu baadhi ya maswali uliyouliza hapa.

Lakini labda katika kuchangia mada yako hii, nijaribu kukuelekeza mahali kwingine, nchi nyingine jirani kama mfano. Mafuta ya Uganda, M7 kayakalia na kuzozana na haya makampuni kiasi kwamba imechukua muda mrefu sana kabla mradi huo haujatekelezwa. Sina 'details' hasa za ndani sana juu ya makubaliano ya serikali ya Uganda na makampuni ya mafuta, lakini ninachojua ni kwamba M7 aliweka ngumu ili Uganda wafaidike na mafuta hayo, hadi hata kulazimisha kujengwa refinery Uganda.

Huenda tukifuatilia mfano huo tunaweza angalao kuona wenzetu wanachofanya ambacho sisi tumekitelekeza na kupoteza.

La pili ni kwamba, Magufuli aliepa kutumia gesi kwa kusema gesi siyo yetu. Samia yeye anakuja na hatua ya kufungua majadiliano.

Je, haya ni majadiliano kuhusu nini? 'Hst Government Agreement (HGA), inahusu mambo gani? Namna ya kuchimba gesi wenye mali bila kubuhgudhiwa?
 
Kuna mambo bado hayajawekwa sawa na yakaeleweka vyema.

Gesi inayochimbwa mtwara sio ya watanzania, ile gesi ni ya makampuni ya kigeni na sio ya Watanzania.

Ieleweke pia kwamba Gesi ile iko 18% nchi kavu na 82% majini ama baharini kwenye kina kirefu.

Ieleweke zaidi kwamba shirika la mafuta na petroli la Taifa ama TPDC wao ni watu wa kati kati ama middle man wa gesi inayozalisha umeme Tanzania.

TPDC wao wananunua gesi kutoka kwa makampuni ya kigeni yanayochimba gesi na kisha kuiuzia TANESCO, yaani makampuni yanachimba, yanapiga gharama za uchimbaji na faida yake, yanaiuzia TPDC, kisha TPDC anaweka cha juu na yeye anaiuzia TANESCO halafu TANESCO anazalisha umeme anauzia wananchi.

Kwa kiswahili chepesi ni kwamba, kwenye gesi ya mtwara TPDC ni dalali ama machinga wa gesi, yeye mwenyewe hana gesi ila kutokana na sheria za nchi, ana umiliki kidogo wa hisa kwenye hayo makampuni yanayochimba gesi. Serikali ama TPDC hawana kisima hata kimoja cha gesi, wao pia wananunua.

Hivyo basi ifahamike kwamba umeme wa gesi hautakuja kua bei Rahisi Tanzania kwa sababu gesi ina madalali ama inapitia mikono mingi na kila wakala ama dalali anaweka cha juu hadi kumfikia TANESCO na tanesco kuwafikishia walaji ambao ni wanachi.

IHivyo ifahamike kwamba gesi iliyoko kusini 90% ilishauzwa na wamakonde wakae wakijua hawana gesi pale, sio yao ni ya makampuni ya kigeni.

Habari ndio hiyo.


Inabidi iwekwe kisheria Serikali kujibu maswali muhimu ya Mtanzania yoyote, mikataba yote iwekwe na makubaliano yote muhimu iwe wazi kwa wananchi wote kuipitia.
 
Mkuu Hakimu Mfawidhi , hili la gesi wewe ndio umelijua leo?.
Hali hiyo ilikuwa zamani, lakini sasa tuna sheria mpya ya madini na extractive industry yoyote, kila kinachopatikana, asilimia 16% ni mali ya Watanzania. Yaani serikali yetu ina own 16% ya migodi yote, hivyo japo ni kweli kila kinachovunwa ni mali ya mmiliki, hivyo Watanzania ni wamiliki wa hiyo 16% ya free carried shares kwenue rasilimali zote za extractive industry.
P
Mkuu nakumbuka hii imetokana na sheria mpya ya madini kama ulivyosema ingawa sina hakika kama tulifikia majadiliano na makampuni ya gesi, naona nguvu nyingi zilielekezwa kwenye madini mengine kama dhahabu na Almasi.

Jambo la pili ni kwamba hizo 16% free carried shares ni class B shares ambazo kimsingi hazina uzito mkubwa sana kwenye kampuni.

Tuendelee kujipa matumaini ila ukweli ni kwamba we are fucked up big time.
 
Kuna mambo bado hayajawekwa sawa na yakaeleweka vyema.

Gesi inayochimbwa mtwara sio ya watanzania, ile gesi ni ya makampuni ya kigeni na sio ya Watanzania.

Ieleweke pia kwamba Gesi ile iko 18% nchi kavu na 82% majini ama baharini kwenye kina kirefu.

Ieleweke zaidi kwamba shirika la mafuta na petroli la Taifa ama TPDC wao ni watu wa kati kati ama middle man wa gesi inayozalisha umeme Tanzania.

TPDC wao wananunua gesi kutoka kwa makampuni ya kigeni yanayochimba gesi na kisha kuiuzia TANESCO, yaani makampuni yanachimba, yanapiga gharama za uchimbaji na faida yake, yanaiuzia TPDC, kisha TPDC anaweka cha juu na yeye anaiuzia TANESCO halafu TANESCO anazalisha umeme anauzia wananchi.

Kwa kiswahili chepesi ni kwamba, kwenye gesi ya mtwara TPDC ni dalali ama machinga wa gesi, yeye mwenyewe hana gesi ila kutokana na sheria za nchi, ana umiliki kidogo wa hisa kwenye hayo makampuni yanayochimba gesi. Serikali ama TPDC hawana kisima hata kimoja cha gesi, wao pia wananunua.

Hivyo basi ifahamike kwamba umeme wa gesi hautakuja kua bei Rahisi Tanzania kwa sababu gesi ina madalali ama inapitia mikono mingi na kila wakala ama dalali anaweka cha juu hadi kumfikia TANESCO na tanesco kuwafikishia walaji ambao ni wanachi.

Hivyo ifahamike kwamba gesi iliyoko kusini 90% ilishauzwa na wamakonde wakae wakijua hawana gesi pale, sio yao ni ya makampuni ya kigeni.

Na hao unaosikia wanasema uanzishwaji wa kiwanda cha kuchakata gesi utabadili maisha ya watanzania ama wanaita game changer huo ni uongo wa wazi kwani kiwanda hicho faida pekee ambayo tutaipata kwa Tanzania ni ajira, kodi na vitu vidogo vidogo lakini sio hasa keki ama nyama yenyewe ya gesi kwani gesi sio yetu.

Ukitaka kujua kitakachotokea kwenye gesi kwa kujenga mtambo wa LNG ni kuangalia faida tunayopata kwenye viwanda vya sukari, je tunafaidi uwepo wa bei ndogo ya sukari ama tunafaidi vitu vidogo vidogo kama ajira ya watu wachache, kodi na vitu vingine vidogo vidogo ila bei ya sukari iko juu.

Tunapeana matumaini ila ukweli ni kwamba we are fucked up.

Habari ndio hiyo.
You have a point! Mfano mzuri ni ulioutoa wa viwanda vya sukari! Mwekezaji lazima arudishe investment ya hela aliyoifanya. How do you monitor how much cash one has invested? Kwangu huwa naiona ni ngumu! Suppose akikwambia bei ya juu na hali hes invested a bit low?
SOLUTION : Ni kama alivyosema Nyeree kuwa subiri hata miaka 1000 tutakapo kuwa na uwezo wa kuchimba wenyewe. WE can then ascertain and control production costs
 
Hivyo ifahamike kwamba gesi iliyoko kusini 90% ilishauzwa na wamakonde wakae wakijua hawana gesi pale, sio yao ni ya makampuni ya kigeni.

Na hao unaosikia wanasema uanzishwaji wa kiwanda cha kuchakata gesi utabadili maisha ya watanzania ama wanaita game changer huo ni uongo wa wazi kwani kiwanda hicho faida pekee ambayo tutaipata kwa Tanzania ni ajira, kodi na vitu vidogo vidogo lakini sio hasa keki ama nyama yenyewe ya gesi kwani gesi sio yetu.
Mchezo mchafu ulichezwa na hangaya wa kiume enzi zake kwa kupeleka hati ya dharura bungeni
 
Kuna mambo bado hayajawekwa sawa na yakaeleweka vyema.

Gesi inayochimbwa mtwara sio ya watanzania, ile gesi ni ya makampuni ya kigeni na sio ya Watanzania.

Ieleweke pia kwamba Gesi ile iko 18% nchi kavu na 82% majini ama baharini kwenye kina kirefu.

Ieleweke zaidi kwamba shirika la mafuta na petroli la Taifa ama TPDC wao ni watu wa kati kati ama middle man wa gesi inayozalisha umeme Tanzania.

TPDC wao wananunua gesi kutoka kwa makampuni ya kigeni yanayochimba gesi na kisha kuiuzia TANESCO, yaani makampuni yanachimba, yanapiga gharama za uchimbaji na faida yake, yanaiuzia TPDC, kisha TPDC anaweka cha juu na yeye anaiuzia TANESCO halafu TANESCO anazalisha umeme anauzia wananchi.

Kwa kiswahili chepesi ni kwamba, kwenye gesi ya mtwara TPDC ni dalali ama machinga wa gesi, yeye mwenyewe hana gesi ila kutokana na sheria za nchi, ana umiliki kidogo wa hisa kwenye hayo makampuni yanayochimba gesi. Serikali ama TPDC hawana kisima hata kimoja cha gesi, wao pia wananunua.

Hivyo basi ifahamike kwamba umeme wa gesi hautakuja kua bei Rahisi Tanzania kwa sababu gesi ina madalali ama inapitia mikono mingi na kila wakala ama dalali anaweka cha juu hadi kumfikia TANESCO na tanesco kuwafikishia walaji ambao ni wanachi.

Hivyo ifahamike kwamba gesi iliyoko kusini 90% ilishauzwa na wamakonde wakae wakijua hawana gesi pale, sio yao ni ya makampuni ya kigeni.

Na hao unaosikia wanasema uanzishwaji wa kiwanda cha kuchakata gesi utabadili maisha ya watanzania ama wanaita game changer huo ni uongo wa wazi kwani kiwanda hicho faida pekee ambayo tutaipata kwa Tanzania ni ajira, kodi na vitu vidogo vidogo lakini sio hasa keki ama nyama yenyewe ya gesi kwani gesi sio yetu.

Ukitaka kujua kitakachotokea kwenye gesi kwa kujenga mtambo wa LNG ni kuangalia faida tunayopata kwenye viwanda vya sukari, je tunafaidi uwepo wa bei ndogo ya sukari ama tunafaidi vitu vidogo vidogo kama ajira ya watu wachache, kodi na vitu vingine vidogo vidogo ila bei ya sukari iko juu.

Tunapeana matumaini ila ukweli ni kwamba we are fucked up.

Habari ndio hiyo.
Kikwete hili linamuhusu. Aliyekabidhiwa nchi, ameiuza.
 
Swali ni kwa nini raia wanchi hii ni kama hayawahusu kabisa yanayofanywa na chama hiki? Ni kama wameridhika kabisa na yote yanayotokea!

Kuna kitu gani hasa kinachowalaza akili wananchi wa nchi hii hadi wasione ubaya wa chama hiki?
kuna mdau mmoja alishawahi sema watanganyika wamelala kama mazombie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].....Daaah

pia akasema tubadili jina tusiitwe watanganyika bali wadanganyika

[emoji23][emoji23]

kuna asilimia kubwa ya wananchi wa bongo hawajielewi , hawana uchungu na nchii hii na sisiemu haitoki n'goooo

#kazi iendeleee
 
Kwa hiyo, kwa maoni yako, kuwekeza huku ndiko kunawapa umiliki wa chochote watakachokikuta huko chini, na wenye nchi hawana lao hapo?

Hili ni jambo muhimu kwetu sote, tusiparurane bure, nieleze nielewe vizuri maoni yako haya.

Yaani mwekezaji akija hapa kutafuta madini, akayapata madini hayo yapo, inakuwa ni mali yake moja kwa moja, kwa vile kaingia gharama ya kuyatafuta? Ndivyo ilivyo hivi katika nchi zote duniani?
hapana

miradi ya uchimbaji wa MAFUTA,GESI ,& URANIUM ni ya gharama sana hivyo nchi zingine huwa zinachimbia zenyewe kutokana na unene wa bajeti zao na constructive and strategic plans toka kwa viongozi wanaojielewa

kuna mchezo unaochezwa ,wachache wanaofahamu ila mm naishiaa hapa
sitaki kuongea sana

ila wadanganyika Kazi tunayo
 
Kuna mambo bado hayajawekwa sawa na yakaeleweka vyema.

Gesi inayochimbwa mtwara sio ya watanzania, ile gesi ni ya makampuni ya kigeni na sio ya Watanzania.

Ieleweke pia kwamba Gesi ile iko 18% nchi kavu na 82% majini ama baharini kwenye kina kirefu.

Ieleweke zaidi kwamba shirika la mafuta na petroli la Taifa ama TPDC wao ni watu wa kati kati ama middle man wa gesi inayozalisha umeme Tanzania.

TPDC wao wananunua gesi kutoka kwa makampuni ya kigeni yanayochimba gesi na kisha kuiuzia TANESCO, yaani makampuni yanachimba, yanapiga gharama za uchimbaji na faida yake, yanaiuzia TPDC, kisha TPDC anaweka cha juu na yeye anaiuzia TANESCO halafu TANESCO anazalisha umeme anauzia wananchi.

Kwa kiswahili chepesi ni kwamba, kwenye gesi ya mtwara TPDC ni dalali ama machinga wa gesi, yeye mwenyewe hana gesi ila kutokana na sheria za nchi, ana umiliki kidogo wa hisa kwenye hayo makampuni yanayochimba gesi. Serikali ama TPDC hawana kisima hata kimoja cha gesi, wao pia wananunua.

Hivyo basi ifahamike kwamba umeme wa gesi hautakuja kua bei Rahisi Tanzania kwa sababu gesi ina madalali ama inapitia mikono mingi na kila wakala ama dalali anaweka cha juu hadi kumfikia TANESCO na tanesco kuwafikishia walaji ambao ni wanachi.

Hivyo ifahamike kwamba gesi iliyoko kusini 90% ilishauzwa na wamakonde wakae wakijua hawana gesi pale, sio yao ni ya makampuni ya kigeni.

Na hao unaosikia wanasema uanzishwaji wa kiwanda cha kuchakata gesi utabadili maisha ya watanzania ama wanaita game changer huo ni uongo wa wazi kwani kiwanda hicho faida pekee ambayo tutaipata kwa Tanzania ni ajira, kodi na vitu vidogo vidogo lakini sio hasa keki ama nyama yenyewe ya gesi kwani gesi sio yetu.

Ukitaka kujua kitakachotok....
Kama itakupendeza mheshimiwa,. Naomba nikupongeze kwa kututoa tongotongo kwenye macho yetu
 
Mkuu 'Hakimu Mfawidhi', nimejikuta nikichangia mfululizo kwenye mada yako hii, kwa sababu ni mada inayogusa roho na kutia uchungu mkubwa sana juu ya mambo yanayofanyika ndani ya nchi yetu hii.

Na hadi hapa, bado sijaona jibu la kusaidia kujibu baadhi ya maswali uliyouliza hapa.


Zingatia paragraph yako ya mwisho in your statement.

By the way; Museveni Hana bahari ya Hindi ako na Victorian water sources only....
 
Back
Top Bottom