Watanzania tunapaswa kuambiwa na kujua ukweli kwamba Gesi inayochimbwa Mtwara si yetu

Watanzania tunapaswa kuambiwa na kujua ukweli kwamba Gesi inayochimbwa Mtwara si yetu

Huu ndio ukweli mchungu watanzania wanapaswa kuufahamu,bahati mbaya wengi hawaujui na wanashabkia kwelikweli,
Hili hayati Magufuli aliliona ndio maana akataka iwekwe mipango thabiti kuhakikisha gesi hii inanufaisha taifa kwa kiasi flani

Na kuchagua umeme wa maji alikuwa anakwepa dhahama hii
Kuweka kumbukumbu sawa hapa JF.
1. Mikataba yote ya wizi wa gesi ya Mtwara ilifanywa na serikali ya awamu ya Tano chini ya CCM huku Magufuli akiwa mjumbe wa vikao vyote vya juu vya CCM, mbunge na waziri mwandamizi katika baraza la mawaziri katika serikali. Magufuli hakuwahi kukosoa wala kupinga popote kuhusu suala la gesi la Mtwara.

2. Kwa kipindi chote cha miaka mitano ya Magufuli hakuwahi hata mara moja kugusia kuhusu wizi huu wa gesi ya Mtwara uliofanywa na CCM. Alikaa kimya kama jambo lisilomhusu na kuibuka na mradi wake wa bwawa la Nyerere kutoka mfukoni mwake, bwawa ambalo ujenzi wake unasemwa kuwa na athari mbaya sana za kimazingira kwa vizazi vyote vitakavyofuata.
 
Impossible kwa vipi? Ni suala la kuweka "IF you get oil...", the rest inabakia jinsi inavyotakiwa kuwa kwenye mkataba wa pili. Kwani huwezi kutengeneza mkataba wenye options kuwa kitu kimoja kikitimilika, then mkataba unafuata option hiyo? Huoni kuwa tunakuwa kwenye disadvantage position unapo negotiate na mgundua mafuta baada ya yeye kuyagundua na technically ni yake yote kwani hakuna mkataba ?
Ndio maana kila mara nakwambia sheria zilizopita na hati ya dharura zilitengeneza hizo PSA frameworks of negotiations based on reserves amount.

Ata kama kuna frameworks you would still need to negotiate kwa sababu kuna economic benefit ambazo variables change mfano kuna kipindi production ya gas inashuka na kuna kipindi inapanda based on demand during those periods mapato pia yanakuwa affected.

So kiasi gani kinalipwa kwenye investment kwanza in those periods, mwekezaji anachukua nini kama faida na wewe unapata nini, similarly bei inapanda na kushuka so similar arrangements are needed.

Biodiversity ya nchi moja sio sawa na nyingine tumeshaingia mikataba mibovu kwenye madini mara watu wakachafua maji na kuwapa madhara wenyeji tungekuwa na sheria makini au tume negotiate vizuri aspects za mazingira fines zake huwa in $1 billion+ ukiaribu biodiversity.

Mwekezaji anataka better deal so quality of negotiation team ya host country matters, akikutana na wajinga wajinga anapiga, kwa upande wa serikali inataka kujua source ya hizo hela ijue ni kiasi gani cha interest inabidi walipe kama interest nikubwa mwekezaji inabidi apate share ndogo kwenye profit.

Ni hivi even with a framework inayotumika dunia nzima hakuna mkataba unaofanana matter of fact kuna aina ya mikataba kama hiyo PSA, Services contract etc; zote hizo ni frameworks which sets out areas of negotiations in a contract, sio kwamba watu wakienda kwenye majadiliano awajui kabisa wanaenda discuss vitu gani.
 
Kuna mambo bado hayajawekwa sawa na yakaeleweka vyema.

Gesi inayochimbwa Mtwara sio ya watanzania, ile gesi ni ya makampuni ya kigeni na sio ya Watanzania.

Ieleweke pia kwamba Gesi ile iko 18% nchi kavu na 82% majini ama baharini kwenye kina kirefu.

Ieleweke zaidi kwamba shirika la mafuta na petroli la Taifa ama TPDC wao ni watu wa kati kati ama middle man wa gesi inayozalisha umeme Tanzania.

TPDC wao wananunua gesi kutoka kwa makampuni ya kigeni yanayochimba gesi na kisha kuiuzia TANESCO, yaani makampuni yanachimba, yanapiga gharama za uchimbaji na faida yake, yanaiuzia TPDC, kisha TPDC anaweka cha juu na yeye anaiuzia TANESCO halafu TANESCO anazalisha umeme anauzia wananchi.

Kwa kiswahili chepesi ni kwamba, kwenye gesi ya mtwara TPDC ni dalali ama machinga wa gesi, yeye mwenyewe hana gesi ila kutokana na sheria za nchi, ana umiliki kidogo wa hisa kwenye hayo makampuni yanayochimba gesi. Serikali ama TPDC hawana kisima hata kimoja cha gesi, wao pia wananunua.

Hivyo basi ifahamike kwamba umeme wa gesi hautakuja kua bei Rahisi Tanzania kwa sababu gesi ina madalali ama inapitia mikono mingi na kila wakala ama dalali anaweka cha juu hadi kumfikia TANESCO na tanesco kuwafikishia walaji ambao ni wanachi.

Hivyo ifahamike zaidi kwamba gesi iliyoko kusini 90% ilishauzwa na wamakonde wakae wakijua hawana gesi pale, sio yao ni ya makampuni ya kigeni.

Na hao unaosikia wanasema uanzishwaji wa kiwanda cha kuchakata gesi utabadili maisha ya watanzania ama wanaita game changer huo ni uongo wa wazi kwani kiwanda hicho faida pekee ambayo tutaipata kwa Tanzania ni ajira, kodi na vitu vidogo vidogo lakini sio hasa keki ama nyama yenyewe ya gesi kwani gesi sio yetu.

Ukitaka kujua kitakachotokea kwenye gesi kwa kujenga mtambo wa LNG ni kuangalia faida tunayopata kwenye viwanda vya sukari, je tunafaidi uwepo wa bei ndogo ya sukari ama tunafaidi vitu vidogo vidogo kama ajira ya watu wachache, kodi na vitu vingine vidogo vidogo ila bei ya sukari iko juu.

Tunapeana matumaini ila ukweli ni kwamba we are fucked up.

Habari ndio hiyo.
Wakati mwingine huwa natamani jeshi lichukue nchi na kuwanyonga wote walituibia kiasi hiki na bado wako mitaani wanatamba
 
Ukweli mchungu , ukweli inasikitisha ila chakushangaza tukiambiwa ooh gesi italeta ajira kwa watu takribani kiasi Fulani hapo ndio tunapodata kwamba gesi inafaida kumbe wizi mtupuuu
 
Toka alivyokufa Nyerere alituachia majanga kwenye nchi hii
 
Kuna mambo bado hayajawekwa sawa na yakaeleweka vyema.

Gesi inayochimbwa Mtwara sio ya watanzania, ile gesi ni ya makampuni ya kigeni na sio ya Watanzania.

Ieleweke pia kwamba Gesi ile iko 18% nchi kavu na 82% majini ama baharini kwenye kina kirefu.

Ieleweke zaidi kwamba shirika la mafuta na petroli la Taifa ama TPDC wao ni watu wa kati kati ama middle man wa gesi inayozalisha umeme Tanzania.

TPDC wao wananunua gesi kutoka kwa makampuni ya kigeni yanayochimba gesi na kisha kuiuzia TANESCO, yaani makampuni yanachimba, yanapiga gharama za uchimbaji na faida yake, yanaiuzia TPDC, kisha TPDC anaweka cha juu na yeye anaiuzia TANESCO halafu TANESCO anazalisha umeme anauzia wananchi.

Kwa kiswahili chepesi ni kwamba, kwenye gesi ya mtwara TPDC ni dalali ama machinga wa gesi, yeye mwenyewe hana gesi ila kutokana na sheria za nchi, ana umiliki kidogo wa hisa kwenye hayo makampuni yanayochimba gesi. Serikali ama TPDC hawana kisima hata kimoja cha gesi, wao pia wananunua.

Hivyo basi ifahamike kwamba umeme wa gesi hautakuja kua bei Rahisi Tanzania kwa sababu gesi ina madalali ama inapitia mikono mingi na kila wakala ama dalali anaweka cha juu hadi kumfikia TANESCO na tanesco kuwafikishia walaji ambao ni wanachi.

Hivyo ifahamike zaidi kwamba gesi iliyoko kusini 90% ilishauzwa na wamakonde wakae wakijua hawana gesi pale, sio yao ni ya makampuni ya kigeni.

Na hao unaosikia wanasema uanzishwaji wa kiwanda cha kuchakata gesi utabadili maisha ya watanzania ama wanaita game changer huo ni uongo wa wazi kwani kiwanda hicho faida pekee ambayo tutaipata kwa Tanzania ni ajira, kodi na vitu vidogo vidogo lakini sio hasa keki ama nyama yenyewe ya gesi kwani gesi sio yetu.

Ukitaka kujua kitakachotokea kwenye gesi kwa kujenga mtambo wa LNG ni kuangalia faida tunayopata kwenye viwanda vya sukari, je tunafaidi uwepo wa bei ndogo ya sukari ama tunafaidi vitu vidogo vidogo kama ajira ya watu wachache, kodi na vitu vingine vidogo vidogo ila bei ya sukari iko juu.

Tunapeana matumaini ila ukweli ni kwamba we are fucked up.

Habari ndio hiyo.
Umejaribu kuwadadavulia vizuri sema tu dhahabu na Almasi havizalishi umeme akina Ngosha wa kanda ya ziwa wangeelewa zaidi kwanini bei ya dhahabu haishuki ukinunilia huko na wangeelewa Zaidi ya kule ukanda wa Oklo Gabon na Uranium ambayo ilijenga umeme wa Ufaransa na Ulaya na Oklo ikabaki giza na mashimo

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Sio tuu hatua hayana hata solution ila domo Domo tuu ndio maana huwa natukana mengine na kuyapuuza.
We kahaba tulia, wenye akili wanajadili mambo mazito ya taifa.

Hii waachie wenye ujuzi kama akina Pasco Mayala. Wewe endelea kucheza na watoto wenzio.
 
kuna mdau mmoja alishawahi sema watanganyika wamelala kama mazombie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].....Daaah

pia akasema tubadili jina tusiitwe watanganyika bali wadanganyika

[emoji23][emoji23]

kuna asilimia kubwa ya wananchi wa bongo hawajielewi , hawana uchungu na nchii hii na sisiemu haitoki n'goooo

#kazi iendeleee
Kenyatta wa kwanza alimwambia Nyerere anaongoza maiti.

Niliipata hii kutoka kwa mzee mmoja.

Ila CCM ni janga kiukweli. Kana kwamba sisi siyo binadamu kabisa. Ama sisi siyo raia wenzao kabisa.
 
Kenyatta wa kwanza alimwambia Nyerere anaongoza maiti.

Niliipata hii kutoka kwa mzee mmoja.

Ila CCM ni janga kiukweli. Kana kwamba sisi siyo binadamu kabisa. Ama sisi siyo raia wenzao kabisa.
ila kuna ukweli hapa
 
Ndio maana kila mara nakwambia sheria zilizopita na hati ya dharura zilitengeneza hizo PSA frameworks of negotiations based on reserves amount.

Ata kama kuna frameworks you would still need to negotiate kwa sababu kuna economic benefit ambazo variables change mfano kuna kipindi production ya gas inashuka na kuna kipindi inapanda based on demand during those periods mapato pia yanakuwa affected.

So kiasi gani kinalipwa kwenye investment kwanza in those periods, mwekezaji anachukua nini kama faida na wewe unapata nini, similarly bei inapanda na kushuka so similar arrangements are needed.

Biodiversity ya nchi moja sio sawa na nyingine tumeshaingia mikataba mibovu kwenye madini mara watu wakachafua maji na kuwapa madhara wenyeji tungekuwa na sheria makini au tume negotiate vizuri aspects za mazingira fines zake huwa in $1 billion+ ukiaribu biodiversity.

Mwekezaji anataka better deal so quality of negotiation team ya host country matters, akikutana na wajinga wajinga anapiga, kwa upande wa serikali inataka kujua source ya hizo hela ijue ni kiasi gani cha interest inabidi walipe kama interest nikubwa mwekezaji inabidi apate share ndogo kwenye profit.

Ni hivi even with a framework inayotumika dunia nzima hakuna mkataba unaofanana matter of fact kuna aina ya mikataba kama hiyo PSA, Services contract etc; zote hizo ni frameworks which sets out areas of negotiations in a contract, sio kwamba watu wakienda kwenye majadiliano awajui kabisa wanaenda discuss vitu gani.
Nilitaka kusema kwa nini hizo sheria zisibadilishwe kumbe tuna Bunge CCM.
 
Na wavimbe wapasuke ndii ndiiii
kwahiyo 16% ndiyo umiliki wa kampuni ,Leo hii Rasimali za nchi hii tungemiliki wenyewe tungefika mbali mno , tunafeli wapi>hiyo sawa na ngombe wako mzima kuliwa na mgeni halafu anakutupia utumbo ule halafu unajisifu .....
 
Kuna mambo bado hayajawekwa sawa na yakaeleweka vyema.

Gesi inayochimbwa Mtwara sio ya watanzania, ile gesi ni ya makampuni ya kigeni na sio ya Watanzania.

Ieleweke pia kwamba Gesi ile iko 18% nchi kavu na 82% majini ama baharini kwenye kina kirefu.

Ieleweke zaidi kwamba shirika la mafuta na petroli la Taifa ama TPDC wao ni watu wa kati kati ama middle man wa gesi inayozalisha umeme Tanzania.

TPDC wao wananunua gesi kutoka kwa makampuni ya kigeni yanayochimba gesi na kisha kuiuzia TANESCO, yaani makampuni yanachimba, yanapiga gharama za uchimbaji na faida yake, yanaiuzia TPDC, kisha TPDC anaweka cha juu na yeye anaiuzia TANESCO halafu TANESCO anazalisha umeme anauzia wananchi.

Kwa kiswahili chepesi ni kwamba, kwenye gesi ya mtwara TPDC ni dalali ama machinga wa gesi, yeye mwenyewe hana gesi ila kutokana na sheria za nchi, ana umiliki kidogo wa hisa kwenye hayo makampuni yanayochimba gesi. Serikali ama TPDC hawana kisima hata kimoja cha gesi, wao pia wananunua.

Hivyo basi ifahamike kwamba umeme wa gesi hautakuja kua bei Rahisi Tanzania kwa sababu gesi ina madalali ama inapitia mikono mingi na kila wakala ama dalali anaweka cha juu hadi kumfikia TANESCO na tanesco kuwafikishia walaji ambao ni wanachi.

Hivyo ifahamike zaidi kwamba gesi iliyoko kusini 90% ilishauzwa na wamakonde wakae wakijua hawana gesi pale, sio yao ni ya makampuni ya kigeni.

Na hao unaosikia wanasema uanzishwaji wa kiwanda cha kuchakata gesi utabadili maisha ya watanzania ama wanaita game changer huo ni uongo wa wazi kwani kiwanda hicho faida pekee ambayo tutaipata kwa Tanzania ni ajira, kodi na vitu vidogo vidogo lakini sio hasa keki ama nyama yenyewe ya gesi kwani gesi sio yetu.

Ukitaka kujua kitakachotokea kwenye gesi kwa kujenga mtambo wa LNG ni kuangalia faida tunayopata kwenye viwanda vya sukari, je tunafaidi uwepo wa bei ndogo ya sukari ama tunafaidi vitu vidogo vidogo kama ajira ya watu wachache, kodi na vitu vingine vidogo vidogo ila bei ya sukari iko juu.

Tunapeana matumaini ila ukweli ni kwamba we are fucked up.

Habari ndio hiyo.

Tuwekewe wazi hayo makubaliano au mikataba.

Katiba mpya itasaidia kuweka makubaliano yote muhimu wazi, hata kupigiwa kura.
 
Nilitaka kusema kwa nini hizo sheria zisibadilishwe kumbe tuna Bunge CCM.


Unaweza pitia hiyo report ya TPDC inaelezea mchakato wote wa kutoa leseni na frameworks za mikataba kama ulivyotaka at the walikuwa wanafikiria aina tatu; PSA, Concessional na Service contacts

Sheria pia azikuwa na shida zililenga kwenye PSA frameworks. Sema sizioni mtandaoni nikipata nitaweka extracts ni upotoshaji tu uliofanywa watu wazione mbovu: you know what the say ‘if you want kill a cat give it a bad name’.

Contrary sheria za mafuta na Gas zilizopita kwa hati ya dharura lengo ilikuwa ni safeguarding on parameters of negotiations on what percentage Tanzania should get depending on the reserve amount. Kibao akageuziwa JK ameshauza mafuta.
 
Mi nikisikia msoga huwa nashikwa na tumbo la kuhara hawa ni FUTUNGO wa uhakika. Ni clear laana ya watanzania itawatafuna hadi kizazi chake choke . Magu alikuwa hafichi kuwa hii has makampuni yamegawana. Approach yake ilikuwa kupambana kumkomboa mtanzania sasa Mama kashika approach ya msoga kukumbatia mabeberu. Mbaya zaidi tumepiga mayowe na bahari anataka kugawa bure. Ccm ikae mguu sawa maana 2015 ilikuwa cha mtoto. Short term memory mboga mboga nadhani wamesahau.
 
Ok, hao wageni walitupa nini hadi tukawapa hiyo gesi wachimbe? Bila shaka kuna makubaliano na sisi tumefaidika.
Nakumbuka sana wakati msoga anpeleka mswaada kwa njia ya dharura .mikataba iliingiwa mbele ya kamera. Kwamba makampuni yachimbe na kuchukua gharama zao then baada ya gharama tuanze kugawana faida ,sasa mtoto wa msoga ,makamba anatakiwa aje atutoe wasiwasi .ikibidi na mkataba awoke kweupe
 
Nakumbuka sana wakati msoga anpeleka mswaada kwa njia ya dharura .mikataba iliingiwa mbele ya kamera. Kwamba makampuni yachimbe na kuchukua gharama zao then baada ya gharama tuanze kugawana faida ,sasa mtoto wa msoga ,makamba anatakiwa aje atutoe wasiwasi .ikibidi na mkataba awoke kweupe
This is not true ‘mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni’.

Ata mimi inanikera kuona uongozi wa ‘bi tozo’ kama vile unamkono wa mzee wa msoga mahala fulani fulani.

Lakini zile sheria zilikuwa na nia njema, makuwadi wa mabeberu ndio walipotosha; kama ilivyokuwa Kwa Rugemalila na sakata la IPTL.
 
Mkuu Hakimu Mfawidhi , hili la gesi wewe ndio umelijua leo?.
Hali hiyo ilikuwa zamani, lakini sasa tuna sheria mpya ya madini na extractive industry yoyote, kila kinachopatikana, asilimia 16% ni mali ya Watanzania. Yaani serikali yetu ina own 16% ya migodi yote, hivyo japo ni kweli kila kinachovunwa ni mali ya mmiliki, hivyo Watanzania ni wamiliki wa hiyo 16% ya free carried shares kwenue rasilimali zote za extractive industry.
P
Mkuu mayalla nasikia jina lako kule linamaanisha something amazing .naomba tusifike huko. Nikuelimishe sheria ikitungwa mpya haiathiri mikataba ambayo ilishaingiwa kabla ya sheria kutungwa naamini kwa kazi yako unakumbukumbu mkwere kabla ya kumaliza muda wake hili jambo alikifanya faster tena wakati wa hafla aliwatania wa kariba yako kuwa baada ya shughuli man tabia ya kumfata na kuuliza kuwa hivi pale ulikuwa umesemaje Kwan sababu alikuwa anaongea lugha ya kibeberu kwa faida ya mabeberu. RIP JPM Mzee baba tutakukumbuka daima
 
Back
Top Bottom