Watanzania tunapenda kulalamika sana wakati ni waoga wa kupindukia kuingia barabarani

Watanzania tunapenda kulalamika sana wakati ni waoga wa kupindukia kuingia barabarani

Chikenpox

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2022
Posts
784
Reaction score
1,246
Imagine Lissu alipigwa lisasi tena 32 na Mungu akamkingia kifua yule mwovu akaaibika akafa yeye lakini hakuna mtanzania hata mmoja ambaye alionesha kukerwa na jambo lilo kwa angalau kuonesha demonstration barabarani au kulaani tu.

Eti Leo Lissu anapambana na maisha yake wanashangaa kwamba awatetee wakati wenyewe hawajui hata haki Yao IPO wapi na wataipataje.

Yaani mi ningekuwa Lissu ningekuwa kupigania maslahi yangu tu kama kiinua mgongo, gari lilohalibiwa nk then nikasepa mazima mana mitanzania haijielewi.
 
Kibaya hauwezi kuwa Lissu unabaki kuwa mtanzania wa kawaida tu mchele 3500
 
Kibaya hauwezi kuwa lissu unabaki kuwa mtanzania wa kawaida tu mchele 3500
Sasa wewe tu unajificha huwezi hata kuonesha jina lako halisi eti unaweza kudai haki yako kweli! Bora tu mchele ufike hata 5000
 
Cha kushangaza na wewe mwenyewe kwenye huu uzi wako, unalalamika! Mbaya zaidi na wewe unatumia ID fake ya Chikenpox!

Mimi ninachofahamu huyo Tundu Lissu hajalalamikiwa au kulazimishwa kumtetea mtu yeyote yule nchini! Isipokuwa hayo yote anayafanya kwa utashi wake mwenyewe.
 
Sasa wewe tu unajificha huwezi hata kuonesha jina lako halisi eti unaweza kudai haki yako kweli! Bora tu mchele ufike hata 5000
Mkuu anza we kuonesha mfano

Tumia majina yako halisi humu

Na weka mawasiliano yako

Ova
 
Back
Top Bottom