Chikenpox
JF-Expert Member
- Oct 15, 2022
- 784
- 1,246
Imagine Lissu alipigwa lisasi tena 32 na Mungu akamkingia kifua yule mwovu akaaibika akafa yeye lakini hakuna mtanzania hata mmoja ambaye alionesha kukerwa na jambo lilo kwa angalau kuonesha demonstration barabarani au kulaani tu.
Eti Leo Lissu anapambana na maisha yake wanashangaa kwamba awatetee wakati wenyewe hawajui hata haki Yao IPO wapi na wataipataje.
Yaani mi ningekuwa Lissu ningekuwa kupigania maslahi yangu tu kama kiinua mgongo, gari lilohalibiwa nk then nikasepa mazima mana mitanzania haijielewi.
Eti Leo Lissu anapambana na maisha yake wanashangaa kwamba awatetee wakati wenyewe hawajui hata haki Yao IPO wapi na wataipataje.
Yaani mi ningekuwa Lissu ningekuwa kupigania maslahi yangu tu kama kiinua mgongo, gari lilohalibiwa nk then nikasepa mazima mana mitanzania haijielewi.