This is a stupid statement!Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?
Tunamtetea kwakuwa ni binadamu kama wewe na cha msingi zaidi ni mwana ccmJapo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police.
Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?
Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
The statement may me stupid like youThis is a stupid statement!
Mission failedTunamtetea kwakuwa ni binadamu kama wewe na cha msingi zaidi ni mwana ccm
Mwana ccm kindakindakiMission failed
Mimi Niko naye,anatetea anachokiamini Kama IGPwanaomtetea huyu gaidi ni mafala kabisa
View attachment 1913203
Shujaa Hamza alale mahali pema peponi
Ameacha history mbaya au nzuri?Shujaa kwa vipi?
Mtu ambaye pamoja na kusoma kwake dini lakini ameshindwa kuwa na nguvu ya kustahamili mambo!
Bora kuwa Pagan!
Shujaa kwa vipi?
Mtu ambae amejifupisha maisha yake na kuacha historia mbaya itakayokuwa inakumbukwa kwa vizazi na vizazi!
Shujaa kwa vipi ambaye badala ya kufanyika baraka kwenye jamii amekuwa kinyume chake ?
Shujaa kwa vipi?
Acheni polisi wachunguze mnazidi kujenga fitna tu.Japo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police.
Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?
Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
Naona kama wewe ni chizi!Japo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police.
Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?
Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
Mimi namwongezea jina aitwe mwana mapinduziShujaa kwa vipi?
Mtu ambaye pamoja na kusoma kwake dini lakini ameshindwa kuwa na nguvu ya kustahamili mambo!
Bora kuwa Pagan!
Shujaa kwa vipi?
Mtu ambae amejifupisha maisha yake na kuacha historia mbaya itakayokuwa inakumbukwa kwa vizazi na vizazi!
Shujaa kwa vipi ambaye badala ya kufanyika baraka kwenye jamii amekuwa kinyume chake ?
Shujaa kwa vipi?