datz
JF-Expert Member
- Nov 17, 2015
- 858
- 972
Polisi wa Tanzania ni magaidi wenye vibali.Ni ujinga kudhani Polisi wa nchi hii anaweza akakusaidia.
Polisi sio rafiki ako hata kama ni wa damu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polisi wa Tanzania ni magaidi wenye vibali.Ni ujinga kudhani Polisi wa nchi hii anaweza akakusaidia.
Polisi sio rafiki ako hata kama ni wa damu.
Yaani ukashitaki kwa aliyekudhulumu..!?Japo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police.
Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?
Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
Wewe ndio tukushangae, sasa wanasiasa wa upinzani unawalaumu badala ya kuwalaumu wanasiasa wa ccm kuua polisi, tamko la chadema kama chama cha siasa ulilisikia?Japo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police.
Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?
Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
Yaan ,kama siasa za kina Heche zimekuwa za matukio na tena za kulazimisha uongo uwe ukweli.Basi hivi vyama vimeshakufaJapo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police.
Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?
Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
Duuuu! Raia mmepindaMke wangu amejifungua mtoto wa kiume jana usiku.Mimi ni Mkristo ila mtoto nitamwita Hamza.
Ilo gaidi kumbe lilikuwa linantumia simu aina ya Tecno 😁😁😁😁😁😁 jinga kabisaaawanaomtetea huyu gaidi ni mafala kabisa
View attachment 1913203
Nope...he won..look at the ratio 1:4... somebody needed to teach them a lesson but that comes with a price... R.I.P HAMZAMission failed
yan nlishasema siji kuwa rafik wa police...ni masnitch wa viwango vya hatari sana...Ni ujinga kudhani Polisi wa nchi hii anaweza akakusaidia.
Polisi sio rafiki ako hata kama ni wa damu.
ni Greenguard lakiniwanaomtetea huyu gaidi ni mafala kabisa
View attachment 1913203
Kumbe CCM pia ni chama cha kigaidiwanaomtetea huyu gaidi ni mafala kabisa
View attachment 1913203
hiyo habari hata haikuvuma maana watanzania hawana habari nao kabisa. Yaani ndio kusema " acha wafe"Haki na usawa ni mapacha daima hivi vitu vikikosekana hakuna amani wala furaha kwa Watanzania wengi Hamza amekuwa shujaa kwani jeshi letu la polisi mara nyingi hutimiza wajibu kwa maslahi ya viongozi na hasa wanasiasa na kuacha kundi kubwa ambalo ni wananchi na sio police tu
Leo nilikua Tunduma nadhani mlisikia kuwa maafisa kadhaa wa mamlaka ya mapato walifariki kwenye ajali siku kadhaa sasa kule wananchi ni furaha tu wanasimulia wanacheka wanaona mungu kasikia kilio chao mnakumbuka Kigoma wananchi waligoma kutoa ushirikiano wakishinikiza maafisa kadhaa wahamishwe hawawataki je unadhani ilikuwa kwa bahati mbaya?
Naona wanamkana Gaidi waoni mwana ccm mwenzenu
Hawa ndio Hamza alikuwa anawatafuta.Hizi lugha za watu, kwanini hukutumia lugha ya taifa?
Unajidhalilisha kwa kujifanya mjuaji
Mkuu siyo polisi pekee, bali taasisi zote za umma hazina urafiki na raia, wanaelekezwa cha kufanya na watawala.Ni ujinga kudhani Polisi wa nchi hii anaweza akakusaidia.
Polisi sio rafiki ako hata kama ni wa damu.
Bwashee mbona una hasira?Bavicha wamevurugwa!