Watanzania tusijiaibishe. Tunamtetea anayejichukulia sheria mkononi kuua polisi?

Watanzania tusijiaibishe. Tunamtetea anayejichukulia sheria mkononi kuua polisi?

Japo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police.

Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?

Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
Hivi hawa polisi walipomuua Aquilina Aquiline ilikuwaje eti...?

Walikana kumuua, wakawatwisha mzigo wa mauaji CHADEMA, wakatumia hila mpaka wakawafunga jela miezi kadhaa kwa kosa ambalo lilifanywa na polisi...

Raia kwa kutambua kuwa hawa wameshitakiwa na kufungwa jela kwa oenevu tu kwa kosa ambalo hawakutenda, wakachanga fedha ili kuwatoa jela na ikawa hivyo...

Ni tatizo ambalo polisi wenyewe wamelitengeneza kwa muda mrefu na sasa wanavuna matunda take...

Kwa hiyo ishu siyo watu kuwachukia polisi...

Ishu hapa ni wao [polisi] kukubali na kukiri kuwa baadhi yao wameathiriwa na rushwa na kiasi cha kuwafanya dhaifu katika kusimamia haki na sheria kwa ajili ya watu...

Polisi wakubali kuwa baadhi yao ni waonevu na wauaji dhidi ya raia. Wakubali kuwa wanatumia madaraka yao u - polisi vibaya kunyanyasa watu...

Na hii ndiyo dawa chungu sana ya polisi kutengeneza uhusiano mwema na raia...!
 
Japo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police.

Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?

Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
mkuu kwa kauli hii ya igp.nchi yetu inashida ya elimu kuanzia juu...

tuna laumu maafsa vijana kwa baadhi ya matenda wanayofanya tunasema kua wanaajiliwa na wajomba zao ila kichwani hamna.
sasa kama mkuu mwenyewe anaongea kauli kama sio kiongozi mkuu unategemea nini...?

wenzetu nchi zenye askari walioenda shule wakizibiti hata jambaz aweje kitu cha kwanza wanaita watu wa huduma ya kwanza na anakimbizwa hospital akiwa chini ya ulinzi.

alichofanya hamza ilikua hakuna jinsi kwa kilichomtoke ila kama igp ndio mkuu wa kitengo hakipaswa kusema sliyoyasema.
hapo ndio utaona mtu mweusi bado ana chembechembe za unyani akipata ukubwa anaona waliobaki ote ni kama kuku tu.
 
Hamza alikuwa na ma stress yake, hasira hasara, ndio hii.
we unafikili alikua hajui nn kingemtokea.....
mtu mwenye uwezo wa kushika bunduki nyuzi 90 anaangalia mbele na anapiga mojamoja.
alijua kabisa nakufa lakini inaonekana kunakitu hakikua sawa na hao watu.
 
Tunamtetea kwakuwa ni binadamu kama wewe na cha msingi zaidi ni mwana ccm
Hii issue ya Uanaccm sio mashiko. Kwa kuwa anajezi za kijani na kuwa kada kwa michango na kampeni? Big NO
1. Silinde alikuwa anavaa kikamanda kumbe ccm kwa ndani

2. Nyarandu alivaa kijani na kampeni ,tena kada na waziri lkn cdm kwa ndani
Huyu nani anajua kwa ndani ni cfm , cdm au cuf? Anajua mwenyewe

Tuache ushabiki wa ajabu sometime ukimya ni busara

Upinzani mnatuchanganya sana mnataka UTAWALA WA SHERIA huku mnaita wanachukya sheria mkononi ni MASHUJAA

Halafu kifo cha Hamza kisiwe kick ya kisiasa. Hakuna anayefurahia kifo cha huyo kijana wala kufurahia vifo vya askari au raia kwa tukio.

Nilifurahi kuona barua ya chama cha cdm kwa POLE hiyo ndio Utz.
Lkn member wengine wa chama tena viongozi wako n furaha kwa kufa Hamza eti kishujaa na kubeza polisi wanaowalipa kwa kodi zao tena waTz wenzao
 
Hii issue ya Uanaccm sio mashiko. Kwa kuwa anajezi za kijani na kuwa kada kwa michango na kampeni? Big NO
1. Silinde alikuwa anavaa kikamanda kumbe ccm kwa ndani

2. Nyarandu alivaa kijani na kampeni ,tena kada na waziri lkn cdm kwa ndani
Huyu nani anajua kwa ndani ni cfm , cdm au cuf? Anajua mwenyewe

Tuache ushabiki wa ajabu sometime ukimya ni busara

Upinzani mnatuchanganya sana mnataka UTAWALA WA SHERIA huku mnaita wanachukya sheria mkononi ni MASHUJAA

Halafu kifo cha Hamza kisiwe kick ya kisiasa. Hakuna anayefurahia kifo cha huyo kijana wala kufurahia vifo vya askari au raia kwa tukio.

Nilifurahi kuona barua ya chama cha cdm kwa POLE hiyo ndio Utz.
Lkn member wengine wa chama tena viongozi wako n furaha kwa kufa Hamza eti kishujaa na kubeza polisi wanaowalipa kwa kodi zao tena waTz wenzao
Huyo mpaka anzikwa alikuwa ni kada wachama yaani mwana ccm.
 
Hivi wewe mtoa bandiko unafikiria kwa kutumia kiungo gani[emoji34][emoji34]
Umedhulumiwa na polisi halafu unaenda shitaki polisi,unadhani utapata msaaada[emoji15]
Natumia ubongo kifikiri.lakini wewe sijui unatumiaga nini.swali: aliyowapiga lisasi ndiyo walikuwa wamemdhulumu? Kukosa elimu nayo ni umaskini mbaya sana.
 
Japo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police.

Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?

Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
Wao kwa nini hawakumpekeka huko police kama ana makosa??
 
Japo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police.

Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?

Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
Mshenzi wewe, hapo wapinzani wanahusika nini wakati hamza alikuwa mwanaccm kindakinda
 
Masoksi wanapomuingilia mama ako mbele ya macho yako ,wanapoingilia dada zako watoto wako pamoja na kuwalawiti watoto wako wa kiume mbele ya macho yako na wewe uko chini mkuku wa bunduki je utaelekea polisi au utakuwa Hamza wa pili .Kuna hamza wengi tu hayo mambo ndio wanayowafanyia visiwani , nielekeze kituo gani cha polisi ende akapige repoti ,wkt masoksi ni polisi .Wacha ujinga wako zugumza haki na wacha kuleta udini hapa.
 
Hata kule pemba polisi wanajichukulia sheria mikononi mwao wanawauwa wapemba kila nyakati za uchaguzi wacha watu wabalance satuation ,ili kujenga heshima kwa jamii ya watanzania raisi amuheshimu mbeba taka na kumsalimia,isiwe sheria hazifuatwi ,mkuki huo huo ukielekezwa kwa binadamu unakuwa sio sahihi.
 
Japo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police.

Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?

Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
kesi ya nyani unapeleka kwa ngedere?
 
Shujaa kwa vipi?

Mtu ambaye pamoja na kusoma kwake dini lakini ameshindwa kuwa na nguvu ya kustahamili mambo!

Bora kuwa Pagan!

Shujaa kwa vipi?

Mtu ambae amejifupisha maisha yake na kuacha historia mbaya itakayokuwa inakumbukwa kwa vizazi na vizazi!

Shujaa kwa vipi ambaye badala ya kufanyika baraka kwenye jamii amekuwa kinyume chake ?

Shujaa kwa vipi?
Mkuu umesahau Mkapa kuna kuna watu aliwafananisha na nyumbu?
Hem vuta kumbukumbu
 
Back
Top Bottom