Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Hizi lugha za watu, kwanini hukutumia lugha ya taifa?The statement may me stupid like you
Unajidhalilisha kwa kujifanya mjuaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi lugha za watu, kwanini hukutumia lugha ya taifa?The statement may me stupid like you
Mimi namwongezea jina aitwe mwana mapinduzi
Tatizo kwann aue polisi na si raia!?Japo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police.
Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?
Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
Sio kwa raia hakuwa na ugomvi na raiaJinsi Alivyokuwa Anaukamata 'mjegeja' ....! Polisi Wasingefanya Vile angeweza kuleta Maafa zaidi. Pongezi kwao polisi
Mkuu akina akwilina joji na wale jamaa wenzetu wanavyouliwa kule zenji iyo sio kuwa ugaidi Bali wapo kazini kuua kweli.wanaomtetea huyu gaidi ni mafala kabisa
View attachment 1913203
Waliomuua nao wamejichukulia sheria mkononi. Kisheria, mhalifu anakamatwa na kufikishwa mahakamani. Mahakama pekee ndiyo ingesema kama Hamza aliwaua polisi kwa bahati mbaya au kwa kukusudia, kama ni yeye kweli au ni mwingine au walijiua wenyewe au walipitiwa tu na vitu vyenye ncha kali. Sasa ameuawa kinyama na sidhani kana aliyemuua atapandishwa kizimbani kwa kumuua jada wa CCM, mchana kweupe, sehemu ya wazi kabisa.Japo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police.
Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?
Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
Kuua polisi si jambo jema hata kidogo, kwasababu yoyote ile. Vilevile polisi kuua raia si sawa, kwasababu yoyote ile. Kama walihitimu mafunzo, wamefundwa namna ya kukamata watuhumiwa kama Hamza. Sasa mtuhumiwa ameuawa, nani wa kuthibitosha kosa lake kisheria? Waliojichukulia sheria mkononi na kumpa hukumu ya kifo Hamza je hawastahili kushitakiwa kwa mauaji ya raia na kada wa ccm?Japo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police.
Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?
Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
Ukashitaki waliokukosea kwa hao hao waliokukosea!Japo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police.
Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?
Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
I wish angeangusha kama 10 hivi.Jinsi Alivyokuwa Anaukamata 'mjegeja' ....! Polisi Wasingefanya Vile angeweza kuleta Maafa zaidi. Pongezi kwao polisi
MashaAllah Ya-habibiMke wangu amejifungua mtoto wa kiume jana usiku.Mimi ni Mkristo ila mtoto nitamwita Hamza.