Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Chari angu wamekuvuga Bavicha wanamkutano wa ndani Hapo KWAKOBavicha wamevurugwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chari angu wamekuvuga Bavicha wanamkutano wa ndani Hapo KWAKOBavicha wamevurugwa!
Kwakweli, hawa ndio walipaswa kukutana na shujaa HamzaHawa ndio Hamza alikuwa anawatafuta.
RIP Shujaa Hamza.
Ndo mnavyowadanganya wenzenu wafe halafu mmejificha nyuma ya meyboard kuchochea uhalifu vurugu.Shujaa Hamza alale mahali pema peponi
Nenda kamuhukumu kaburin bacNdo mnavyowadanganya wenzenu wafe halafu mmejificha nyuma ya meyboard kuchochea uhalifu vurugu.
Hamza haha hatakagi ujingaJapo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police.
Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?
Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
Mkuu kizazi cha kiccm kimejaa ugali kichwaniThis is a stupid statement!
Vilevile ni muhanga wa ujambazi wa ccmTunamtetea kwakuwa ni binadamu kama wewe na cha msingi zaidi ni mwana ccm
Kama Mungu hataki kututetea Watanzania basi atuongezee akina Hamza 100 tu wakuuShujaa Hamza alale mahali pema peponi
Ubarikiwe sana kiongozi kwa kuongezea nyama.Vilevile ni muhanga wa ujambazi wa ccm
Itapendeza sanaKama Mungu hataki kututetea Watanzania basi atuongezee akina Hamza 100 tu wakuu
Hakika Hamza ni shujaaUbarikiwe sana kiongozi kwa kuongezea nyama.
Nimejikuta tu nina roho ya chukiItapendeza sana
Shujaa sana na imekuwa ni pigo kubwa sana kwa wana ccm kuondokewa na kada wao mtiifuHakika Hamza ni shujaa
Mkuu hata kule Afghanistan watu hawakuzaliwa na roho za kuchukiana .Nimejikuta tu nina roho ya chuki
Ccm ni kubwa watupatie hata 20 aina ya HamzaShujaa sana na imekuwa ni pigo kubwa sana kwa wana ccm kuondokewa na kada wao mtiifu
Utakuwa ni mwanzo wa ukombozi kwa taifa letuCcm ni kubwa watupatie hata 20 aina ya Hamza
Hata hivyo wamejua vyema kuwa hatuwapendiUtakuwa ni mwanzo wa ukombozi kwa taifa letu
kuna gaini anaweza kumshinda gaini ccm na vyombo vya dolawanaomtetea huyu gaidi ni mafala kabisa
View attachment 1913203