Watanzania tusijiaibishe. Tunamtetea anayejichukulia sheria mkononi kuua polisi?

Watanzania tusijiaibishe. Tunamtetea anayejichukulia sheria mkononi kuua polisi?

Japo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police.

Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police?

Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
Hamza haha hatakagi ujinga
 
ila na mm ili hapa wale wanaspace wa twitter wamenipa mashaka ..kwamba alichofanya ni sahihi au ?
 
Kwanini chama tawala kilikaa na muuaji miaka yote tena na pistol mkamiikisha hauoni nyie mtakua ni sehemu ya lawamaizi na mpaka Leo hamjatoa tamko la kulaani! au mmeridhika?
 
Back
Top Bottom