Watanzania tusipomshukuru Nyerere kwa hili tutapata laana

Watanzania tusipomshukuru Nyerere kwa hili tutapata laana

Kama taifa lina umoja kwa nini Nyerere alipeleka jeshi Zanzibar na mpaka leo limebaki? Umoja wa kulazimishana na mtutu wa bunduki na vifaru.
Mkuu Bepari2020 , Nyerere alipeleka wanajeshi Zanzibar ili kulinda mipaka yetu dhidi ya maadui wa nchi yetu. Ikumbuke kuwa Zanzibar ni sehem ya Tanzania. Na kwa upande wa Zanzibar tunapakana na nchi kama Kenya, ambayo sometimes imekuwa ikisema kwamba Pemba ni sehemu ya nchi yao, so ili kulinda uvamizi wowote katika ardhi yetu ilikuwa ni lazima Nyerere apele jeshi kule ili kulinda mipaka yetu. Wewe unahoji Nyerere kupeleka jeshi Zanzibar lakini mbona hauhoji wanzanzibar kumiliki ardhi, maliasili na uongozi mbali mbali kama vile ubunge, uwaziri nk huku bara?
 
Mkuu Bepari2020 , Nyerere alipeleka wanajeshi Zanzibar ili kulinda mipaka yetu dhidi ya maadui wa nchi yetu. Ikumbuke kuwa Zanzibar ni sehem ya Tanzania. Na kwa upande wa Zanzibar tunapakana na nchi kama Kenya, ambayo sometimes imekuwa ikisema kwamba Pemba ni sehemu ya nchi yao, so ili kulinda uvamizi wowote katika ardhi yetu ilikuwa ni lazima Nyerere apele jeshi kule ili kulinda mipaka yetu. Wewe unahoji Nyerere kupeleka jeshi Zanzibar lakini mbona hauhoji wanzanzibar kumiliki ardhi, maliasili na uongozi mbali mbali kama vile ubunge, uwaziri nk huku bara?

Kama linalinda mipaka kwa nini linamwaga damu za Wazanzibari kila uchaguzi? Umoja gani huo wa kulazimishana na kumwaga damu?
 
Kama linalinda mipaka kwa nini linamwaga damu za Wazanzibari kila uchaguzi? Umoja gani huo wa kulazimishana na kumwaga damu?
Mkuu Bepari2020 , kumwaga damu hakuangalii eneo au kanda uliyopo. Hata bara ni mara ngapi jeshi la polisi nimekuwa likitembeza kipigo na kumwaga damu kwa wale wote linalodhani kuwa wanaharibu usalama na utulivu wa nchi. Na ukumbe pia katika jeshi linalomwaga damu Tz bara au zanzibar iwe la polisi, magereza, jwtz nk kuna watanganyika na wazanzibar. Sasa mbona watanganyika hawalalamiki kwa hilo?
 
Mkuu Bepari2020 , kumwaga damu hakuangalii eneo au kanda uliyopo. Hata bara ni mara ngapi jeshi la polisi nimekuwa likitembeza kipigo na kumwaga damu kwa wale wote linalodhani kuwa wanaharibu usalama na utulivu wa nchi. Na ukumbe pia katika jeshi linalomwaga damu Tz bara au zanzibar iwe la polisi, magereza, jwtz nk kuna watanganyika na wazanzibar. Sasa mbona watanganyika hawalalamiki kwa hilo?

Kulinda usalama wenu ndiyo mkatuulia wazee Na ndugu zaidi ya 13000 kwa siku moja 1964 ? Na mkawapeleka ndugu zetu uhamishoniu Na wengineu kuwauwar 2001 Na Pia kila uchaguzir mnatuletea majeshiu Na vifaru ? Hivi vikosi vyenu kila mtaar Na Tanganyika mumeweka Pia kulinda usalama wenu ?
 
Kulinda usalama wenu ndiyo mkatuulia wazee Na ndugu zaidi ya 13000 kwa siku moja 1964 ? Na mkawapeleka ndugu zetu uhamishoniu Na wengineu kuwauwar 2001 Na Pia kila uchaguzir mnatuletea majeshiu Na vifaru ? Hivi vikosi vyenu kila mtaar Na Tanganyika mumeweka Pia kulinda usalama wenu ?
Bila shaka wewe ni mpemba mwenye asili ya kiarabu, ambao mlikuwa mnafaidika na utawala wa sultani wenu wa kiarabu. Sasa leo unamnung'unikia Nyerere kwa sababu alizuia nchi hiyo isirudi kuhukumiwa na genge la sultani lililovaa ngozi ya upinzani wa vyama, wakishirikiana na wanasiasa uchwara wa kipemba wenye asili ya kiarabu. Pole ndugu, kama hali ni mbaya kwako, nakushauri urudi Oman mlipotokea.
 
Bila shaka wewe ni mpemba mwenye asili ya kiarabu, ambao mlikuwa mnafaidika na utawala wa sultani wenu wa kiarabu. Sasa leo unamnung'unikia Nyerere kwa sababu alizuia nchi hiyo isirudi kuhukumiwa na genge la sultani lililovaa ngozi ya upinzani wa vyama, wakishirikiana na wanasiasa uchwara wa kipemba wenye asili ya kiarabu. Pole ndugu, kama hali ni mbaya kwako, nakushauri urudi Oman mlipotokea.

Nani alikuambia asili yangu ni Oman? Serikaliu iliyoondoshwa madarakani kwa uvamizi ni ya Muhammed Shamte mpemba wa Ole
 
Back
Top Bottom