๐๐ป๐ฎ๐๐ฎ๐ธ๐ฎ ๐๐๐๐ฒ๐บ๐ฏ๐ฒ๐น๐ฒ๐ฒ ๐บ๐ฎ๐ด๐ผ๐๐ถIn the near future Rais SSH ni vizuri akimwalika rais Putin kuitembelea Tanzania hata kwa muda mfupi. We are tired of the imperialist the mabeberus. Kazi yao kuhamasisha vita tu ili wapate masoko ya kuuza silaha zao. To hell with the imperialists ๐๐
Nasikia hata kwenye matope haijamKumbe put-in hapendi vita?!!!
Na Kwa taarifa yako AK-47, yaani 'Avtomat Kalashnikova 1947' au kwa Kimalkia, 'Automatic Kalashnikov 1947', ni silaha ya Warusi iliyoasisiwa mwaka huo, na ambayo iMEUZWA sana duniani kote na kusababisha mauaji ya mamilioni ya binadamu!!
Warusi ni mabeberu kama mabeberu wengine na ni wababe kwny biashara ya silaha[emoji849]
Tz wenye mfumo wa ujamas mbona wamekuja wengi kwauchache Mao, Hu Jintao, Xi Jinpin na Fidel Castro.Afadhali hakumualika huyo mshenzi. Angetuletea gundu tu.
Kuukaribisha ujamaa ni Sawa na kupalilia umasikini tu
Ni ukweli mtuPUTIN: AFRIKA HAITOKAA IWE HURU
"Afrika haitokaa iwe HURU. Waafrika wanawaamini Wazungu, Wamarekani na Wachina zaidi kuliko wanavyojiamini wao wenyewe....hawajiamini wao wenyewe hata kidogo.
Mzungu au mtu mweupe anafanya makosa Afrika tena makosa ya jinai ila hakuna hatua za kisheria zitakazochukuliwa dhidi yake kwa sababu mamlaka za Afrika zinatutazama sisi weupe kama miungu, jambo ambalo liko mbali sana na ukweli.
Mtu mweusi (Mwafrika) anaweza kuteswa, kunyanyaswa na hata kuuawa kinyama Ulaya lakini hakuna mamlaka yoyote ya Afrika inayoweza kuuliza wala kuhoji.
Waafrika wamejikubali na kuamini kuwa wao ni watu DHAIFU wasio na tumaini haswa linapokuja suala la kupambana na Wazungu, Wamarekani na Wachina. Mzungu, Mmarekani au Mchina anaweza kumdhalilisha, kumtukana, kumpiga na hata kumuua Mwafrika katika ardhi ya Afrika tena kwenye nchi yake au nje ya Afrika na Viongozi wa Afrika wataliona hilo na kila mmoja atajiweka kana kwamba hakuona wala kusikia.
Adui wa Mwafrika ni Mwafrika. Mwafrika mpe silaha, pesa au ahadi ya madaraka madogo tu kwa sharti moja tu la kumuua Mwafrika mwenzake, atamuua kinyama kuliko ulivyotarajia. Adui wa Mwafrika sio mzungu, sio Mmarekani wala sio mchina. Adui wa Mwafrika ni AKILI na fikra zake na ndio maana leo Wazungu, Wamarekani, Waarabu na Wachina wameitawala tena Afrika kwa kutumia dini, Elimu, uchumi, teknolojia, siasa na utamaduni.
Waafrika ni watu wanaochukiana na wasioaminiana na ndio maana Afrika haiwezi kuungana na haitokaa iungane kuwa na dola imara. Chuki ya wenyewe kwa wenyewe na utengano ndio inayowapa wakoloni wao nguvu ya kuendelea kunyonya rasilimali za Afrika."
Je unakubaliana na Rais Vladmir Putin?
Je ni kipi unaweza kuongeza kuhusu Afrika?
Quote
Tatizo la Kenya nikutaka kuipiku Tanzania kidiplomasia na nguvu ya ushawishi huko UN! Russia yuko sahihi kufukuza maadui mbali na nyumbani kwake! Ile speech ina vocabulary nzuri ila haina mantiki kama speech za legendary Mugabe![emoji23] [emoji23] [emoji23] Kenya kaambiwa apambane na njaa kwanza
Ni ya kibepari sioPutin na serikali yake siyo wajamaa. Jaribu kujielimisha kila wakati
Amkaribishe muuaji mwingine?In the near future Rais SSH ni vizuri akimwalika rais Putin kuitembelea Tanzania hata kwa muda mfupi. We are tired of the imperialist the mabeberus. Kazi yao kuhamasisha vita tu ili wapate masoko ya kuuza silaha zao. To hell with the imperialists [emoji107][emoji107]
Hata akihoji wewe itakusaidia nini kwanza pigania tumbo lako achakujipendekeza uonekane unajua siasa
NdiyoNi ya kibepari sio
Hii iwafikie viongozi wetu,
Tusije kubali kujiingiza kwenye issue za akina Putin kwani Putin huyu ni ndugu yetu kabisa.
Tumeishi naye Bagamoyo, alitufundishia ma freedom fighters.
Hivyo sisi tuwe silence tu wakati mtu ananyodolewa huko.
Kapicha haka hapa.
View attachment 2130250
Mzungu kamwe siyo ndugu yako. Mzungu siku zote ni adui yako. Pamoja na vizazi vyako vyote mtakuwa mmelaaniwa kama umezaa na Mzungu. Mzungu ni Shetani. Mjinga wewe.Hii iwafikie viongozi wetu,
Tusije kubali kujiingiza kwenye issue za akina Putin kwani Putin huyu ni ndugu yetu kabisa.
Tumeishi naye Bagamoyo, alitufundishia ma freedom fighters.
Hivyo sisi tuwe silence tu wakati mtu ananyodolewa huko.
Kapicha haka hapa.
View attachment 2130250
Hii iwafikie viongozi wetu,
Tusije kubali kujiingiza kwenye issue za akina Putin kwani Putin huyu ni ndugu yetu kabisa.
Tumeishi naye Bagamoyo, alitufundishia ma freedom fighters.
Hivyo sisi tuwe silence tu wakati mtu ananyodolewa huko.
Kapicha haka hapa.
View attachment 2130250
Putin ni ndugu wa watu wa MATAGA
Umeanza kichaa chako!Hii iwafikie viongozi wetu,
Tusije kubali kujiingiza kwenye issue za akina Putin kwani Putin huyu ni ndugu yetu kabisa.
Tumeishi naye Bagamoyo, alitufundishia ma freedom fighters.
Hivyo sisi tuwe silence tu wakati mtu ananyodolewa huko.
Kapicha haka hapa.
View attachment 2130250
๐๐๐๐๐๐๐Jitokeze basi mzungumze chochote, watuwashie moto. tutatumiwa ndege moja, tu hapa bongo. Huyo mwamba ni balaa. Tutulie tuUmeanza kichaa chako!
Hana lolote huyo Putin wako.Ufupi wa kimo unalingana na akili yake.Anafanya mambo ya kale sana.Kuteka makoloni?๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐Jitokeze basi mzungumze chochote, watuwashie moto. tutatumiwa ndege moja, tu hapa bongo. Huyo mwamba ni balaa. Tutulie tu
Uingilie una ubavu? Ubavu wetu NI kuwadhibiti kina Mbowe tu siyo zaidi ya hapo.Hii iwafikie viongozi wetu,
Tusije kubali kujiingiza kwenye issue za akina Putin kwani Putin huyu ni ndugu yetu kabisa.
Tumeishi naye Bagamoyo, alitufundishia ma freedom fighters.
Hivyo sisi tuwe silence tu wakati mtu ananyodolewa huko.
Kapicha haka hapa.
View attachment 2130250
Hana lolote huyo Putin wako.Ufupi wa kimo unalingana na akili yake.Anafanya mambo ya kale sana.Kuteka makoloni?๐๐๐๐