Watanzania tusiwe wanafiki, Tozo ni muhimu kwa upana wake

Watanzania tusiwe wanafiki, Tozo ni muhimu kwa upana wake

Ukweli mchungu ila wote tunapaswa kulipa kodi. Tukishalipa tuwabane viongozi waache kuchezea kodi zetu kwa kufanya mambo ya anasa. Haya mambo ya kuendesha V8 kila upande na bila sababu za msingi yakomeshwe. Mbona mikutano mingine inaweza kufanyika virtually? Kwanini wanaenda na kutoka Dodoma kama wanaenda sinza mjini kila week?
Tubadilike ili tujenge nchi yetu kwa hiki kipato kidogo kilichopo
Hilo neno mkuu.
Wanaolalamikia sana tozo ni wale walikuwa hawalipi chochote kwa maana ya kodi.
Sasa mzigo wa maendeleo ya jami8 ni wetu sote.
 
Unafiki unatumaliza Watanzania.

Kodi zilizokuwa zikitozwa na serikali ya Awamu ya Tano kwa wafanyabiashara na wajasiria mali, wengi waliitikia wakisema mafisadi hao au wahujumu uchumi.

Kipindi cha Awamu ya Tano uonezi mwingi wa kupora, kunyang'anya, kubambika kodi na hata watu kuwekwa ndani na kufunguliwa kesi za uongo za uhujumu uchumi zilikuwepo tena nyingi sana.

Lengo lake kupata fedha kwa udi na uvuma kwa miradi ya SGR na Stiglaz Umeme na mingine mingi.

Kuna wananchi walishangilia sana uonezi uliofanywa.

Wapo viongozi walio kundi hili, Waziri Mpango wakati huo hakosekani humo.

Sasa Awamu ya Sita imerekebisha hilo ili KODI IWE KWA WATANZANIA WOTE.

Na hili linatekelezwa kwa kupitia TOZO za miamala ambazo zinamgusa kila mtu.

Hapo ndio unaona unafiki wa watu.

Hawapendi kuchangia kodi kwa maendeleo, wao wanafikiri kundi fulani tu ndio litoe kodi ili wao waneemeke.

Mshindwe, lipeni kodi Watanzania.
Tatizo hakuna limits

tutapewa tozo hadi za kulala Rangi nyumba zetu
 
Hilo neno mkuu.
Wanaolalamikia sana tozo ni wale walikuwa hawalipi chochote kwa maana ya kodi.
Sasa mzigo wa maendeleo ya jami8 ni wetu sote.
Kodi lazima tulipe hakuna jinsi. Baada ya kulipa tusiwaonee haya hawa watumishi na viongozi wa umma wanaochezea hela zetu za kodi. katika miaka sita ya JPM Dar imebadilika. Inafanana na ncho za nje kwa barabara na unadhifu wake. Hawa wengine wasithubutu kuchukua kodi zetu ili wasafiri na kujilipa per diem. Wananchi watawachukia. Huo ndio ukweli
 
Unafiki unatumaliza Watanzania.

Kodi zilizokuwa zikitozwa na serikali ya Awamu ya Tano kwa wafanyabiashara na wajasiria mali, wengi waliitikia wakisema mafisadi hao au wahujumu uchumi.

Kipindi cha Awamu ya Tano uonezi mwingi wa kupora, kunyang'anya, kubambika kodi na hata watu kuwekwa ndani na kufunguliwa kesi za uongo za uhujumu uchumi zilikuwepo tena nyingi sana.

Lengo lake kupata fedha kwa udi na uvuma kwa miradi ya SGR na Stiglaz Umeme na mingine mingi.

Kuna wananchi walishangilia sana uonezi uliofanywa.

Wapo viongozi walio kundi hili, Waziri Mpango wakati huo hakosekani humo.

Sasa Awamu ya Sita imerekebisha hilo ili KODI IWE KWA WATANZANIA WOTE.

Na hili linatekelezwa kwa kupitia TOZO za miamala ambazo zinamgusa kila mtu.

Hapo ndio unaona unafiki wa watu.

Hawapendi kuchangia kodi kwa maendeleo, wao wanafikiri kundi fulani tu ndio litoe kodi ili wao waneemeke.

Mshindwe, lipeni kodi Watanzania.
Ww n kima
 
Huu ndio ujinga mliopandikizwa na wajinga wenzenu.
Sasa hao unaona ndio matajiri wako wangspi nchini dhidi ya nyie mliokubali kuitwa kijinga ati "wanyinge"?
Ukitawaliwa kiakili utabaki nyuma dsima.
Lipa tozo bana!
we jamaa ni kilaza, unadhani kila anaetoa maoni kuuelezea uhalisia wa mambo ni maskini? jamaa kaelezea vile walimu, madaktari wanavyotegemea mishahara yao kujikimu akati kuna watumishi wengine wanahudumiwa na serikali kila kitu nje ya mishahara yao
 
we jamaa ni kilaza, unadhani kila anaetoa maoni kuuelezea uhalisia wa mambo ni maskini? jamaa kaelezea vile walimu, madaktari wanavyotegemea mishahara yao kujikimu akati kuna watumishi wengine wanahudumiwa na serikali kila kitu nje ya mishahara yao
Mkuu ukikubali kuitwa mnyonge, nawe ukakubali kwa furaha basi ujue umeikubali dharau.
 
Wewe hujakaa nchi za
Hayo ndo mawazo ya mtu ambaye si mvivu tu bali mjinga pia.
Hizo natural resuorces unazozisema si unaziona?
Kazivune ulipe tozo!
sasa mi na wewe pamoja na serikali yako mjinga nani, wakati watu mliowapa leseni wavune hizo rasilimali halafu hawalipi kodi unategemea nini. acha tozo tu hata kodi ya kichwa itakuwepo pia.
 
sasa mi na wewe pamoja na serikali yako mjinga nani, wakati watu mliowapa leseni wavune hizo rasilimali halafu hawalipi kodi unategemea nini. acha tozo tu hata kodi ya kichwa itakuwepo pia.
Mkuu ukikaa na kulakamika tu, tozo nyingine tena zitakuja na zitakuzingua.
Fanya kazi uishi na lipa kodi.
 
Unafiki unatumaliza Watanzania.

Kodi zilizokuwa zikitozwa na serikali ya Awamu ya Tano kwa wafanyabiashara na wajasiria mali, wengi waliitikia wakisema mafisadi hao au wahujumu uchumi.

Kipindi cha Awamu ya Tano uonezi mwingi wa kupora, kunyang'anya, kubambika kodi na hata watu kuwekwa ndani na kufunguliwa kesi za uongo za uhujumu uchumi zilikuwepo tena nyingi sana.

Lengo lake kupata fedha kwa udi na uvuma kwa miradi ya SGR na Stiglaz Umeme na mingine mingi.

Kuna wananchi walishangilia sana uonezi uliofanywa.

Wapo viongozi walio kundi hili, Waziri Mpango wakati huo hakosekani humo.

Sasa Awamu ya Sita imerekebisha hilo ili KODI IWE KWA WATANZANIA WOTE.

Na hili linatekelezwa kwa kupitia TOZO za miamala ambazo zinamgusa kila mtu.

Hapo ndio unaona unafiki wa watu.

Hawapendi kuchangia kodi kwa maendeleo, wao wanafikiri kundi fulani tu ndio litoe kodi ili wao waneemeke.

Mshindwe, lipeni kodi Watanzania.
Nskubaliana kabisa.
Kuna watu wanaishi kimkanda mkanda, wanamiliki magari lakini hata kugharimia ujenzi wa barabara hawataki.
Mapededjee wana simu tatu tatu na funguo kuning'innia kiunoni lakini kodi hawataki kulipa.
Mtu ana Samsung latest au Iphine12, ila kulipia tozo ni balaa.
Watanzania lipeni tozo na jenga SGR.
 
Huu ndio ujinga mliopandikizwa na wajinga wenzenu.
Sasa hao unaona ndio matajiri wako wangspi nchini dhidi ya nyie mliokubali kuitwa kijinga ati "wanyinge"?
Ukitawaliwa kiakili utabaki nyuma dsima.
Lipa tozo bana!
Huna unalojua
 
Unafiki unatumaliza Watanzania.

Kodi zilizokuwa zikitozwa na serikali ya Awamu ya Tano kwa wafanyabiashara na wajasiria mali, wengi waliitikia wakisema mafisadi hao au wahujumu uchumi.

Kipindi cha Awamu ya Tano uonezi mwingi wa kupora, kunyang'anya, kubambika kodi na hata watu kuwekwa ndani na kufunguliwa kesi za uongo za uhujumu uchumi zilikuwepo tena nyingi sana.

Lengo lake kupata fedha kwa udi na uvuma kwa miradi ya SGR na Stiglaz Umeme na mingine mingi.

Kuna wananchi walishangilia sana uonezi uliofanywa.

Wapo viongozi walio kundi hili, Waziri Mpango wakati huo hakosekani humo.

Sasa Awamu ya Sita imerekebisha hilo ili KODI IWE KWA WATANZANIA WOTE.

Na hili linatekelezwa kwa kupitia TOZO za miamala ambazo zinamgusa kila mtu.

Hapo ndio unaona unafiki wa watu.

Hawapendi kuchangia kodi kwa maendeleo, wao wanafikiri kundi fulani tu ndio litoe kodi ili wao waneemeke.

Mshindwe, lipeni kodi Watanzania.
Kwani mbona kuna jamaa alisema hata kama watanzania mtakula majani lakini lazima ndege inunuliwe, Sasa yuko wapi? lakini nchi siinaendelea je? ndege hiyo iko wapi?
 
Unafiki unatumaliza Watanzania.

Kodi zilizokuwa zikitozwa na serikali ya Awamu ya Tano kwa wafanyabiashara na wajasiria mali, wengi waliitikia wakisema mafisadi hao au wahujumu uchumi.

Kipindi cha Awamu ya Tano uonezi mwingi wa kupora, kunyang'anya, kubambika kodi na hata watu kuwekwa ndani na kufunguliwa kesi za uongo za uhujumu uchumi zilikuwepo tena nyingi sana.

Lengo lake kupata fedha kwa udi na uvuma kwa miradi ya SGR na Stiglaz Umeme na mingine mingi.

Kuna wananchi walishangilia sana uonezi uliofanywa.

Wapo viongozi walio kundi hili, Waziri Mpango wakati huo hakosekani humo.

Sasa Awamu ya Sita imerekebisha hilo ili KODI IWE KWA WATANZANIA WOTE.

Na hili linatekelezwa kwa kupitia TOZO za miamala ambazo zinamgusa kila mtu.

Hapo ndio unaona unafiki wa watu.

Hawapendi kuchangia kodi kwa maendeleo, wao wanafikiri kundi fulani tu ndio litoe kodi ili wao waneemeke.

Mshindwe, lipeni kodi Watanzania.
Kwa nini tutumie fedha za rambi rambi, za wagonjwa? Badala ya kupunguza matumizi ya wakuu wa mikoa, wilaya, viongozi wa ccm wanaotembea na magari ya millions mia nne?
 
achana na Watanzania watakupasua kichwa...watanzania ni moja ya jamii ya watu wanafiki sana duniani aka jamii ya watu tusiojua nini tunataka mpaka sasa..

Kifupi ukitaka kuongoza watanzania usisikilize miluzi yao wewe nyoosha kwenye uelekeo unaona unafaa wengi ni walalamishi, wavivu ambao hautaweza kukidhi mahitaji yao hata siku moja....

Kifupi hatuna jema..
 
Ukiwa na kipato kikubwa unahisi kila mtu yupo kama wewe, dogo mtaani maisha magumu serikali itengeze raia kuwa na uwezo ndo ichukue tozo unafuga ng'ombe aumpi malisho halafu unataka maziwa nchi yetu ina vingozi mazwazwa sana
 
Walalamishi, wavivu, watu wa sababu kila siku, wezi, waoga, wabinafsi, wachawi, wanafiki, wambea nk hizi ndio sifa zetu kwa sasa..
 
Hamkulalamika hivyo wakati wa Magufuli, kuwa fedha wanazonyang'anya wafanya biashara zinaenda wapi?

Arusha Beureu De Change zimeporwa na vyombo vya serikali, hela ilienda wapi?

Ndio maana nasema tusiwe wanafiki.
Wewe huwezi jenga hoja bila kulinganisha na Magufuli,tozo ni ujinga mtupu,na huyo mtu wenu mwenye mwili kama Tembo
 
Unafiki unatumaliza Watanzania.

Kodi zilizokuwa zikitozwa na serikali ya Awamu ya Tano kwa wafanyabiashara na wajasiria mali, wengi waliitikia wakisema mafisadi hao au wahujumu uchumi.

Kipindi cha Awamu ya Tano uonezi mwingi wa kupora, kunyang'anya, kubambika kodi na hata watu kuwekwa ndani na kufunguliwa kesi za uongo za uhujumu uchumi zilikuwepo tena nyingi sana.

Lengo lake kupata fedha kwa udi na uvuma kwa miradi ya SGR na Stiglaz Umeme na mingine mingi.

Kuna wananchi walishangilia sana uonezi uliofanywa.

Wapo viongozi walio kundi hili, Waziri Mpango wakati huo hakosekani humo.

Sasa Awamu ya Sita imerekebisha hilo ili KODI IWE KWA WATANZANIA WOTE.

Na hili linatekelezwa kwa kupitia TOZO za miamala ambazo zinamgusa kila mtu.

Hapo ndio unaona unafiki wa watu.

Hawapendi kuchangia kodi kwa maendeleo, wao wanafikiri kundi fulani tu ndio litoe kodi ili wao waneemeke.

Mshindwe, lipeni kodi Watanzania.
😍👍
 
Back
Top Bottom