Watanzania tususie biashara za Pauline Gekul mpaka aombe msamaha

Watanzania tususie biashara za Pauline Gekul mpaka aombe msamaha

WanaJF,

Nashauri kuanzia leo tususie biashara zote anazofanya huyu mbunge wa Babati kwa kitendo chake cha unyanyasaji. Naomba anayezifahamu aweke majina yake hapa.

Tuanze na hiyo hoteli inaitwa Palii sijui nini.

Hakuna kufanya biashara na muuaji au wanaomsapoti mpaka akili iwakae sawa.

Nimemaliza
Kwani muuaji ni yeye peke yake? Au tutasusia kwa wote?
 
Unaweza kuta ni Jungu tu lililopikwa kwa ustadi mkubwa! nampa pole Gekul akae kwa kumtumaini Mungu hili litapita! Maisha ya Kisiasa yana Fitna Kubwa!
 
Sidhani kama kususia ni wivu... Ususiaji pia huwa tunausisitiza kwenye mambo mengine mfano kampuni inanyanyasa watoto etc. kwa mazingira hayo sisi walaji tuna boycott huduma zinazotolewa ili kuonyesha solidarity na waathirika. Wewe ni mmoja wa beneficiaries wa biashara za Gekul kwa hiyo ndio maana umechanganyikiwa. Sasa unafikiri tunawezaje kuonyesha hasira zetu bila kususia biashara za muhusika tena ambazo zimemsababishia mwananchi matatizo?
Kwani kafanya nini?
 
Sikia, Hakuna mahakama ya kumhukumu Waziri Bongo. Mahakama ziko pale kuprotect interest zao.
Naam mkuu nakusikiliza, Hebu jichukulie sheria mkononi halafu uje utufahamishe kama hakuna mahakama.
 
Naam mkuu nakusikiliza, Hebu jichukulie sheria mkononi halafu uje utufahamishe kama hakuna mahakama.
As Long as ni hoehae hakuna Kila rangi utaacha kuona, Ila Ukiwa Top Tier ndani ya CCM unaweza kubeba silaha na kuvamiaa sehemu kama Clouds, bila kufanywa chochote ...Muulize makonda akufundishe.
 
Kwa kuanzia tu, tuambie kila biashara yake, mahali ilipo na huduma inazozitoa, ikiwemo picha za hizo biashara, halafu watu tutashare kupitia social media mbalimbali ili kila mtu ajue na kuzikwepa.

Kwa pamoja tuukatae uovu na shughuli za waovu.
Unaweza kujikuta ukifanya hivyo utajikuta umetangaza miashara yake
 
WanaJF,

Nashauri kuanzia leo tususie biashara zote anazofanya huyu mbunge wa Babati kwa kitendo chake cha unyanyasaji. Naomba anayezifahamu aweke majina yake hapa.

Tuanze na hiyo hoteli inaitwa Palii sijui nini.

Hakuna kufanya biashara na muuaji au wanaomsapoti mpaka akili iwakae sawa.

Nimemaliza
Kwani swala la kwenda mahakamani imeshindikana[emoji45][emoji45][emoji45][emoji45][emoji45][emoji45]
 
Tusiwe wepesi wa kuhukumu.mbona habari yenyewe imepata umaarufu kupita kiasi.fikiria watu wanatoka walikotoka na kuwa watetezi wa familia
UKARIMU WA AJABU. tupate upande wapili wa shilingi.subra subra teaches mihemuko
 
Back
Top Bottom