Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Kwani muuaji ni yeye peke yake? Au tutasusia kwa wote?WanaJF,
Nashauri kuanzia leo tususie biashara zote anazofanya huyu mbunge wa Babati kwa kitendo chake cha unyanyasaji. Naomba anayezifahamu aweke majina yake hapa.
Tuanze na hiyo hoteli inaitwa Palii sijui nini.
Hakuna kufanya biashara na muuaji au wanaomsapoti mpaka akili iwakae sawa.
Nimemaliza