KabisaAcha kuingilia Mambo ya kike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaAcha kuingilia Mambo ya kike
Kwa akili yako ya ngwandumbe unadhani huyo mama anaweza fanya hayo?Aisee kuna kukosea na kuna kumtia mtu chupa Takoni, hiyo ni Gross Misconduct atalaaniwa mpaka Motoni huyu mama.
WanaJF,
Nashauri kuanzia leo tususie biashara zote anazofanya huyu mbunge wa Babati kwa kitendo chake cha unyanyasaji. Naomba anayezifahamu aweke majina yake hapa.
Tuanze na hiyo hoteli inaitwa Palii sijui nini.
Hakuna kufanya biashara na muuaji au wanaomsapoti mpaka akili iwakae sawa.
Nimemaliza
Ungeleta similar post kwa lake oil na home shopping centre ingependeza
Basi mmefeli.Agenda ndio hii... Hakuna kufanya biashara na mnyanyasaji na muuaji wa vijana
Kama wewe ungepelekwa kingi na chupa ungeweza kusema aliyekuingiza Ni kosa lake la kwanza hivyo unamsamehe?Mwacheni dada wa watu, ni nani ambae hajawahi kufanya makosa hapa duniani? Hakuna binadamu aliekamilika
Hii hoja ni ya kipumbavu sana. Wewe ulishawahi fanya kosa kama hilo?Mwacheni dada wa watu, ni nani ambae hajawahi kufanya makosa hapa duniani? Hakuna binadamu aliekamilika
Angalia mauzo Yako ya Jana na Leo ndio usemeBasi mmefeli.
Mkuu kamuua nani? Kamnyanyasa nani kwa ushahidi upi? Tulia, tafakari halafu ndio uandike.WanaJF,
Nashauri kuanzia leo tususie biashara zote anazofanya huyu mbunge wa Babati kwa kitendo chake cha unyanyasaji. Naomba anayezifahamu aweke majina yake hapa.
Tuanze na hiyo hoteli inaitwa Palii sijui nini.
Hakuna kufanya biashara na muuaji au wanaomsapoti mpaka akili iwakae sawa.
Nimemaliza
Mkuu huko ni kujifurahisha kama kichaa anatembea njiani akicheka cheka.Wewe unaamini hivi vyombo vyetu vya uchunguzi na kutoa haki vinaweza kutenda haki kwa wakati kwa mtu mkubwa mwandamizi bila kushinikiwa au kusukumwa?
Kama wewe unaamini Gekul huenda anaonewa au kusingiziwa basi bakia na mtizamo huo. Yaani mpaka leo, hujaona ufedhuli wa Gekul?
Lakini kwa sisi wananchi kupitia mahakama zetu za kijamii tayari tumeshamtia hatiani Gekul kwa tuhuma zote zinazomkabili, na sasa tunakwenda kutoa hukumu ya kijamii, na kama anahisi ameonewa basi aje kukata rufaa kwenye jamii ili tumsikilize upya.
Watanzania tumejaa ujamaa mpaka kwenye mambo ya msingi yenye kuhitaji maamuzi ni ujamaa tu.Uko sawa. Ila, tangu utoto nimefunzwa kuwa kila kosa lina wajibu wake, kuanzia kuangaliwa jicho, kuonyeshwa kidole, kufinywa shavu, kwenda kujikatia kiboko n.k. Na yeye, kama kweli ametenda kosa basi anastahili awajibishwe kulingana na sheria zilizopo.
Ccm imemtuma? Huyu si alikuwa chadema pia, sasa hapa nani ni Mwl wake?
Kwa sauti ya mdogo wake inayosambaa mtandaoni inasema chadema walikuwa wanaendesha kwa mapanga na marungu. Sasa hapo tuchukue kipi?
Kuna wana cdm na ccm waaminifu na kuna wana cdm na ccm walikokiwa wananunuliwa. Hapa ni roho ya mtu mwenyewe
Mkuu imethibitika wapi kuwa kafanya mbona unakamia kama Ulikuwepo! Tusubiri vyombo vya uchunguzi vifanye kazi na makahama itoe uamuzi wake ndio tuzungumze.Sidhani kama kususia ni wivu... Ususiaji pia huwa tunausisitiza kwenye mambo mengine mfano kampuni inanyanyasa watoto etc. kwa mazingira hayo sisi walaji tuna boycott huduma zinazotolewa ili kuonyesha solidarity na waathirika. Wewe ni mmoja wa beneficiaries wa biashara za Gekul kwa hiyo ndio maana umechanganyikiwa. Sasa unafikiri tunawezaje kuonyesha hasira zetu bila kususia biashara za muhusika tena ambazo zimemsababishia mwananchi matatizo?
Mkuu inakuwa gross misconduct ikithibitika mahakamani. Until then bado ni tuhuma tu like any other.Aisee kuna kukosea na kuna kumtia mtu chupa Takoni, hiyo ni Gross Misconduct atalaaniwa mpaka Motoni huyu mama.
Hakuna kitu kama hikiBusiness entity, the owner of the business and the business are independent, owner anaweza akawa mchawi ila biashara ikawa ni takatifu, au mwenye biashara anaweza kuwa mtu safi toka moyoni ila biashara ni ya kuzimu
Mkuu hiyo ni assumptions yako of which uko entitled nayo. Kwa taarifa yako Rais kamtumbua kupisha uchunguzi.Hivi Mpka raisi wa Nchi, inamfikia na kuamua kumtumbua unafikiri bado Ni Tuhuma??? Unaijua Intelligensia Ya office ya Raisi ?? Raisi hakulupuki kashapewa data kuwa ni kweli....
Then kusingiziana huku ni kwetu kajamba Nani, ww unaweza msingizia Naibu waziri wa Sheria??
Mkuu hivi kwa mfano ikibainika kuwa ni uongo utakuja kumsafisha mtuhumiwa huku jukwaani?Ndio amuingize mtu chupa mkundun(I)
Hebu akuingoze wewe au mtoto wako then ndio umsameheme.
Yaani vaa viatu vya dogo ya kwamba "Kuna mwanao Leo umemuacha mzima ila kurudi umemkuta kaingizwa chupa au wewe umeingizwa chupa"
THEN SAMEHE...
#YNWA
Sikia, Hakuna mahakama ya kumhukumu Waziri Bongo. Mahakama ziko pale kuprotect interest zao.Mkuu inakuwa gross misconduct ikithibitika mahakamani. Until then bado ni tuhuma tu like any other.
Huyo Mama Hana mkono au Huyo jamaa Hana Tundu ? Tuanzie hapo.Kwa akili yako ya ngwandumbe unadhani huyo mama anaweza fanya hayo?
Haki anatakiwa atendewe yoyote pasipo kipaumbele kwa mtu yeyote.Ungewekewa chupa hiyo wewe au kijana wako, mtu wako wa karibu nina uhakika maoni yako yangebadilika.
Ila sababu ni mtoto wa maskini, hujali unatetea maslahi ya chama zaidi kuliko ubinadamu.
Jamii iliyostaabika inapimwa jinsi inavyotenda haki hata, hasa kwa maskini, watoto, wajane, watu wa chini.