Ndengaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,831
- 14,259
Aisee kuna kukosea na kuna kumtia mtu chupa Takoni, hiyo ni Gross Misconduct atalaaniwa mpaka Motoni huyu mama.Mwacheni dada wa watu, ni nani ambae hajawahi kufanya makosa hapa duniani? Hakuna binadamu aliekamilika