Watanzania tususie biashara za Pauline Gekul mpaka aombe msamaha

Watanzania tususie biashara za Pauline Gekul mpaka aombe msamaha

Una uhakika gani kama ni kweli?. Wacha tusubiri vyombo vya kutoa haki vifanye kazi yake ndipo tuweze kupanua midomo yetu. Unajua wakati mwingine uongo huwa unapanda lift na ukweli huwa unapanda ngazi. Lakini taratibu utafika roof top. Tumeambiwa hawa wamama wana bifu tangu zamani. Na inasemekana wako na bifu za kiitikadi pia. So lolote linaweza kuwa kweli kwa maana ya kumzushia gekul au gekul kufanya unyama. Njia pekee ni kusubiri court watu wapeleke ushahidi na haki itatolewa.
Wewe unaamini hivi vyombo vyetu vya uchunguzi na kutoa haki vinaweza kutenda haki kwa wakati kwa mtu mkubwa mwandamizi bila kushinikiwa au kusukumwa?

Kama wewe unaamini Gekul huenda anaonewa au kusingiziwa basi bakia na mtizamo huo. Yaani mpaka leo, hujaona ufedhuli wa Gekul?

Lakini kwa sisi wananchi kupitia mahakama zetu za kijamii tayari tumeshamtia hatiani Gekul kwa tuhuma zote zinazomkabili, na sasa tunakwenda kutoa hukumu ya kijamii, na kama anahisi ameonewa basi aje kukata rufaa kwenye jamii ili tumsikilize upya.
 
WanaJF,
Nashauri kuanzia leo tususie biashara zote anazofanya huyu mbunge wa Babati kwa kitendo chake cha unyanyasaji. Naomba anayezifahamu aweke majina yake hapa.

Tuanze na hiyo hoteli inaitwa Palii sijui nini.

Hakuna kufanya biashara na muuaji au wanaomsapoti mpaka akili iwakae sawa.
Nimemalize
Bisshara ni bisshara na maisha binafsi ni tofauti na biashara
 
Msimamizi wa sheria anafanya unyama kwa mpiga kura? Haijawahi tokea. Sasa anasimamia nini? Lazima tususe. Hatutaki kumwongezea nguvu mtu mwenye roho ya uuaji?
Kama unadhani huyu ndo Mbunge wa Kwanza kufanya unyama utakuwa uko nyuma Sana Kwa Taarifa. Ninewahi kushuhudia Mpiga Kura amechomwa vidole na mgombea Ubunge wa CCM na hakufanywa chochote zaidi ya Mhanga kuwa mtuhumiwa kaiba bendera za Chama. Kama huwajui hawa waliojimilikisha nchi unaweza kudhani wema.
 
WanaJF,
Nashauri kuanzia leo tususie biashara zote anazofanya huyu mbunge wa Babati kwa kitendo chake cha unyanyasaji. Naomba anayezifahamu aweke majina yake hapa.

Tuanze na hiyo hoteli inaitwa Palii sijui nini.

Hakuna kufanya biashara na muuaji au wanaomsapoti mpaka akili iwakae sawa.
Nimemalize
Umechunguza kwa kina na ukabaini sababu ya mh huyo kuwapa adhabu watumishi wake hao au unashauri tu kwa Sababu uns uwezo wa kuandika?
 
Umechunguza kwa kina na ukabaini sababu ya mh huyo kuwapa adhabu watumishi wake hao au unashauri tu kwa Sababu uns uwezo wa kuandika?
Hakuna mtu mwenye mamlaka ya kutoa adhabu ya kupiga au kumwingizia mfanyakazi wake chupa hata kama ameiba. Mahakama tu ndio inatoa adhabu. Na hili ndio maana kuna wizara ya sheria na katiba ambayo Gekul anaisimamia.
 
Kama unadhani huyu ndo Mbunge wa Kwanza kufanya unyama utakuwa uko nyuma Sana Kwa Taarifa. Ninewahi kushuhudia Mpiga Kura amechomwa vidole na mgombea Ubunge wa CCM na hakufanywa chochote zaidi ya Mhanga kuwa mtuhumiwa kaiba bendera za Chama. Kama huwajui hawa waliojimilikisha nchi unaweza kudhani wema.
Kwa hiyo unashauri tuwe tunaacha haya mambo yaendelee tu?
 
WanaJF,
Nashauri kuanzia leo tususie biashara zote anazofanya huyu mbunge wa Babati kwa kitendo chake cha unyanyasaji. Naomba anayezifahamu aweke majina yake hapa.

Tuanze na hiyo hoteli inaitwa Palii sijui nini.

Hakuna kufanya biashara na muuaji au wanaomsapoti mpaka akili iwakae sawa.
Nimemalize
Ni mshirikina haswa hizi mambo zitaisha tu
 
Mwacheni dada wa watu, ni nani ambae hajawahi kufanya makosa hapa duniani? Hakuna binadamu aliekamilika
Ungewekewa chupa hiyo wewe au kijana wako, mtu wako wa karibu nina uhakika maoni yako yangebadilika.

Ila sababu ni mtoto wa maskini, hujali unatetea maslahi ya chama zaidi kuliko ubinadamu.

Jamii iliyostarabika inapimwa jinsi inavyotenda haki hata, hasa kwa maskini, watoto, wajane, watu wa chini.
 
WanaJF,
Nashauri kuanzia leo tususie biashara zote anazofanya huyu mbunge wa Babati kwa kitendo chake cha unyanyasaji. Naomba anayezifahamu aweke majina yake hapa.

Tuanze na hiyo hoteli inaitwa Palii sijui nini.

Hakuna kufanya biashara na muuaji au wanaomsapoti mpaka akili iwakae sawa.
Nimemalize
Sasa atakuomba Msamaha akiwa kizuizini ,Mahabusu
 
Wananchi ndio walio sababisha Jambo hilo kufikia hapo... Kina Martin Maria na wengine kule twitter (x) walipambana sana... Jana ni hao hao wananchi waligundua kuwa alikuwa na mpango wa kutorokea kenya kupitia holili... akakamatwa na polisi kwa msaada wa raia.

Watu wakivichoka vitendo vibaya automatically cha moto utakipata.
 
Tuhuma hazijathibitishwa mbona mnamhukumu kwa maneno? Kama tukio limekuwa staged unajuaje?
 
Wewe unaamini hivi vyombo vyetu vya uchunguzi na kutoa haki vinaweza kutenda haki kwa wakati kwa mtu mkubwa mwandamizi bila kushinikiwa au kusukumwa?

Kama wewe unaamini Gekul huenda anaonewa au kusingiziwa basi bakia na mtizamo huo. Yaani mpaka leo, hujaona ufedhuli wa Gekul?

Lakini kwa sisi wananchi kupitia mahakama zetu za kijamii tayari tumeshamtia hatiani Gekul kwa tuhuma zote zinazomkabili, na sasa tunakwenda kutoa hukumu ya kijamii, na kama anahisi ameonewa basi aje kukata rufaa kwenye jamii ili tumsikilize upya.
🤣 chezea waswahili wewe. Huwa wanaapa viapo vyote kumbe wanasingizia. Huko mahakamani kila kitu kitaeleweka. Siasa zina mambo mengi sana. Ukitaka kujua basi mfuatilie mzee Trump wa USA anavyofanyiwa vitimbi lkn yupo imara na jamii yake inamwamini. Tofauti kabisa na jamii zetu unazozisema ambazo huwa haitumii muda kujiridhisha na tuhuma au uzushi kabla ya kuhukumu. We've a long way to get to the real civilization. Hali kadhalika kama ilivyo ktk safari ya elimu ya uraia. Kama jamii lazima tutambue na kuachia nafasi mamlaka zinazohusika na upelelezi , uandaaji wa mashitaka na hatimaye usikilizwaji wa mashauri na hukumu.
Tusiwe kama nyumbu
 
Msimamizi wa sheria anafanya unyama kwa mpiga kura? Haijawahi tokea. Sasa anasimamia nini? Lazima tususe. Hatutaki kumwongezea nguvu mtu mwenye roho ya uuaji?
Wewe utakuwa na matatizo ya kiakili,tunavyombo vinavyotakiwa kudhibitisha kosa la mtuhumiwa,sio kukurupuka tu na mibangi yako kichwani na kutoa hukumu.kama tutaanza kila mtu amhukumu mwingine kwa hisia,hii itakuwa nchi ya wapumbavu. Pauline gekul yupo hapo kwa sababu ya kuruhusu mawazo ya kipumbavu kama uliyo nayo wewe.
 
Waziri mwenye dhamana na Sheria na katiba,mbunge alafu unafanya vitu kama mnyama na kuamini ushirikina,huyo mwananchi wa porini huko inakuaje? Kwani mamlaka za Sheria hazipo angempeleka huyo kijana. Hiv waafrika Nani katuroga? Sasa mzungu akiona haya katika Karne hii ataacha kuliita bara hili dark Continent linalokaliwa na wanyama Tu cz matendo YETU anashindwa kututofautisha na wanyama.
Video akifanyiwa ukatili ipo wapi
 
Back
Top Bottom