Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Kwani muuaji ni yeye peke yake? Au tutasusia kwa wote?WanaJF,
Nashauri kuanzia leo tususie biashara zote anazofanya huyu mbunge wa Babati kwa kitendo chake cha unyanyasaji. Naomba anayezifahamu aweke majina yake hapa.
Tuanze na hiyo hoteli inaitwa Palii sijui nini.
Hakuna kufanya biashara na muuaji au wanaomsapoti mpaka akili iwakae sawa.
Nimemaliza
Kwani kafanya nini?Sidhani kama kususia ni wivu... Ususiaji pia huwa tunausisitiza kwenye mambo mengine mfano kampuni inanyanyasa watoto etc. kwa mazingira hayo sisi walaji tuna boycott huduma zinazotolewa ili kuonyesha solidarity na waathirika. Wewe ni mmoja wa beneficiaries wa biashara za Gekul kwa hiyo ndio maana umechanganyikiwa. Sasa unafikiri tunawezaje kuonyesha hasira zetu bila kususia biashara za muhusika tena ambazo zimemsababishia mwananchi matatizo?
Mkuu kwani kafanyiwa nini? Mimi hii habari ni ngeni, kama hutojali naomba unijuze hata kama ni pmKitendo alichofanyiwa yule kijana ungefanyiwa wewe ungetoa hii kauli???
Ditopile RIP alimpiga mtu risasi laivu....Msimamizi wa sheria anafanya unyama kwa mpiga kura? Haijawahi tokea. Sasa anasimamia nini? Lazima tususe. Hatutaki kumwongezea nguvu mtu mwenye roho ya uuaji?
Ditopile alikuwa naibu Waziri wa sheria na katiba?Ditopile RIP alimpiga mtu risasi laivu....
Naam mkuu nakusikiliza, Hebu jichukulie sheria mkononi halafu uje utufahamishe kama hakuna mahakama.Sikia, Hakuna mahakama ya kumhukumu Waziri Bongo. Mahakama ziko pale kuprotect interest zao.
As Long as ni hoehae hakuna Kila rangi utaacha kuona, Ila Ukiwa Top Tier ndani ya CCM unaweza kubeba silaha na kuvamiaa sehemu kama Clouds, bila kufanywa chochote ...Muulize makonda akufundishe.Naam mkuu nakusikiliza, Hebu jichukulie sheria mkononi halafu uje utufahamishe kama hakuna mahakama.
Unaweza kujikuta ukifanya hivyo utajikuta umetangaza miashara yakeKwa kuanzia tu, tuambie kila biashara yake, mahali ilipo na huduma inazozitoa, ikiwemo picha za hizo biashara, halafu watu tutashare kupitia social media mbalimbali ili kila mtu ajue na kuzikwepa.
Kwa pamoja tuukatae uovu na shughuli za waovu.
Kwani swala la kwenda mahakamani imeshindikana[emoji45][emoji45][emoji45][emoji45][emoji45][emoji45]WanaJF,
Nashauri kuanzia leo tususie biashara zote anazofanya huyu mbunge wa Babati kwa kitendo chake cha unyanyasaji. Naomba anayezifahamu aweke majina yake hapa.
Tuanze na hiyo hoteli inaitwa Palii sijui nini.
Hakuna kufanya biashara na muuaji au wanaomsapoti mpaka akili iwakae sawa.
Nimemaliza