Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Hasira za ugonjwa wa big ego Syndrome
 
Nagombea jimbo la kawe kupitia CCM.
Me ni zao la uvCCM nimetokea uvccm hadi now I'm matured ndani ya chama.
Need u'r support (material & moral support).
Kwa jimbo la Kawe, usipoteze muda wako na fedha zako, unless wewe ni inside man you have za inside kuwa aliyepo anatoswa!, na akitokea akatoswa the next is dogo Furaha Dominic. Mwakani Gwaji Boy atafanya makubwa Kawe hadi kumchinjia baharini itashindikana, jipime msuli kama unaweza kumkabili Furaha, then kwako Kawe njia nyeupe!. Will support you!
P
 
Kwa maoni yangu, uchaguzi hutegemea wagombea waliojitokeza kugombea nafasi fulani na kati ya hao wagombea, mwenye sifa zaidi kuliko wengine ndiye anayepaswa kuchaguliwa.
That is how it should be, ila CCM tuna utaratibu wetu wa mserereko midway, hivyo mgombea wa 2025 ni mserereko, inachapishwa fomu moja tuu, hakuna ushindani, hakuna upinzani.
Lakini kwa sasa kusema tumchague mwanamke as if tuna list ya wagombea tayari naona ni kwenda nje kabisa!
Hapana!, lengo la kusema tumchague mwanamke ni kwasababu aliyepo ameingia kwa kudra tuu ya Mwenyezi Mungu, CCM haina
Utaratibu na mgombea urais mwanamke, hivyo kwasababu tumepata mgombea mwanamke
By default only, then 2025 twende na mwanamke ili sasa awe ni amechaguliwa.
Hatumchagui tu mtu kwa vile ni mwanaume au mwanamke, bali yule mwenye sifa zaidi kati ya wagombea wenzake.
Yes ni kweli sexual orientation ya gender ya mtu sio miongoni mwa vigezo, bali zinaangaliwa sifa tuu, ila ukweli unabaki kuwa gender imetumika miaka mingi kuwabagua wanawake na kuwakandamiza, hata humu tuna ma male chouvenists wanaoamini mwanamke hawezi.

Ukishindanisha watu mwenye sifa zaidi akawa mwanamke, hapewi, atapewa mwanaume anaye fuata, na hivyo ndivyo nilivyoelekezwa kuhusu 2025 kwenye HII sauti!。

P
 
Hili fundisho gumu kulielewa, maana linatetewa na mtu mmoja tuu.🤣🤣🤣
 
hapana"BIG NO!", mpango amekemea sana hii tabia naona watu hamjamuelewa vizuri. Hii tabia ya wanaume kutaka kutawaliwa na wanawake ni hatari sana kwa ukuaji wa taifa...jamani eleweni basi...hata Quran na Biblia haitaki hayo mambo 😎
 
Unakuwa fooled na mashindano ya rede???
Gwaji ameshindwa ku-deliver. Anzia na barabara DMDP kawe tumepata km chache sana.
Na hapo kawe haijawahi guswa kwenye DMDP.
 
Unakuwa fooled na mashindano ya rede???
Gwaji ameshindwa ku-deliver. Anzia na barabara DMDP kawe tumepata km chache sana.
Na hapo kawe haijawahi guswa kwenye DMDP.
Gwaji, aliahidi, atanunua tinga tinga 10, za kuchonga mabarabara kila kata, tinga tinga moja na lori mbili. Utekelezaji ndio 2025, hahitaji DMDP, yeye mwenyewe ata i DMDP Kawe!.
P
 
Hii tabia ya wanaume kutaka kutawaliwa na wanawake ni hatari sana kwa ukuaji wa taifa...jamani eleweni basi...hata Quran na Biblia haitaki hayo mambo 😎
Kuna tofauti kati ya kutawaliwa na mwanamke na kuongozwa na mwanamke, Mtume Muhammad (SAW), mwenyewe, kuna mambo kibao aliongozwa na mwanamke Bi. Hadija. Tanzania haitawaliwi na mwanamke, inatawaliwa na CCM, inayoongozwa na mwanamke. Kuna mambo kibao, mwanamke ni mzuri kuliko mwanaume.
P
 
hapana"BIG NO!", mpango amekemea sana hii tabia naona watu hamjamuelewa vizuri. Hii tabia ya wanaume kutaka kutawaliwa na wanawake ni hatari sana kwa ukuaji wa taifa...jamani eleweni basi...hata Quran na Biblia haitaki hayo mambo 😎
Hivi kwa nini mwanamke akitunga mimba (akakaa nayo miezi 9), akakuzaa, akakutunza na kukulea hata ukakakua na kupata mafanikio uliyonayo, bado unamwona mtu dhaifu, asiyefaa mbele ya mwanaume, nk? Kama kuna makosa yanatendeka na wanawake, hakuna yanayotendeka na wanaume? Kuna mama mmoja alinisimulia kwamba alivyokuwa msichana siku moja alitumwa sokoni jioni, wakati wa kurudi nyumbani wakati giza limeshaingia alipofika karibu na kichaka fulani alishtukia mtu anamshika kwa nyuma na kumziba mdomo, huku akimvutia kichakani alikokwenda kumbaka. Alipofika nyumbani akamwambia mama yake kilichomtokea. Kwa vile kubakwa kunaambatana na stigma, mama yake alimwambia atoke pale kijijini, akaishi kwa ndugu yake mbali na kijijini kwao na kisha huyo msichana aliamua aende kukaa mjini ili kubakwa kwake kusije kukafahamika kwa watu. Akiwa huko mjini, kumbe mimba ilishika na alishtukia imeshakuwa, na akaamua asiitoe. Kwa hiyo, first born wake (ambaye yupo hadi sasa, na ambaye pia alishakuwa mtu mzima na kuolewa na kuzaa watoto) ndiye anayemsaidia akiyumba kiuchumi, maana aliolewa na mume mwenye uwezo. Nilishabahatika kukutana naye huyo binti, ni mtu wa miaka kama 35 hivi, na anaonekana usoni mwenye furaha. Nilimuuliza mama yake kama alimwambia binti yake kama ni product ya kubakwa, akasema ndiyo, maana ilibidi amwambie ukweli. Kila nikimwona huyo binti yake, nakumbuka hicho kisa. Sasa hii roho yetu ya kukosa shukurani inatoka wapi?
 
Gwaji, aliahidi, atanunua tinga tinga 10, za kuchonga mabarabara kila kata, tinga tinga moja na lori mbili. Utekelezaji ndio 2025, hahitaji DMDP, yeye mwenyewe ata i DMDP Kawe!.
P
Sasa Advocate ushaanza kuwa mchekeshaji.
Hivi kwa elimu yako+umri wako hadi leo unamuamini Gwajima????
Jamaa ni muongo kuwashinda hata bongo movie.
 
Sasa Advocate ushaanza kuwa mchekeshaji.
Hivi kwa elimu yako+umri wako hadi leo unamuamini Gwajima????
Jamaa ni muongo kuwashinda hata bongo movie.
Pale mwanzo hata mimi sikumuamini, na niliwahi kuuliza humu, Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais na nikawashangaa Watanzania wanamwamini Gwajima kuliko hata rais wao! Watanzania ni watu wa ajabu sana!, Wanamwaminije Gwajima kuliko Rais wao?
Lakini baada ya Kuaminiwa na JPM..., who 'm I nisimuamini?. Tinga Tinga kumi , moja kila kata zitakuja, malari mawili ya mchanga kila kita yatakuja, zile boti 100 za kuvulia samaki zitaletwa, wale wavuvi 100 watapelekwa Marekani.

Hata hii treni ya umeme,
View: https://youtu.be/JTs_mLe9KLw?si=CO3C5sz2dt3t2dUw itakuja, bado tunasubiria uzinduzi siku chache zijazo.

Hata hii private jet Gulf Stream
View: https://youtu.be/xyTATLaaNOU?si=lOXPKf0suMQ1UaafItakuja.

Vuta tuu subra!.
P
 
Mimi nimeshavuta tuu subira nikachoka na nilichoka zaidi niliona siku moja "anafufua mfu" kanisani kwake! Nikaona hii imani tunaipeleka mbali au yenyewe ndiyo inayotupeleka mbali tuu. 🤣🤣🤣
 
sasa ndugu yangu sijauliza maana ya kutawaliwa au kuongozwa!, haya yote ni "nonsense"...mambo ya ccm kuongoza au mwanamke yote ya nini...??

Mwanamke kuwa TOP katika namna yoyote ile iwe kifamilia, kitaasisi au kiinchi..ni hatari sana kwa ustawi ...kiimani ama kikawaida yaani si kikristo ama kiislam. Huku tulikofikia sisi kama nchi..ni kwamba miaka minne hii "tumebeti" tumeshikilia roho mkononi kama taifa hatuna furaha kwasababu juu kabisa kuna mwanamke anaongoza/anatawala. Tumezoea na tutaendelea kuzoea nafasi za juu kabisa za kimaamuzi anakaa MWANAMUME hizo zingine za chini yake hamna shida akikaa mwanamke au mlemavu au yeyote asiyejiweza hakuna shida sana. Kwahiyo tuendelee kuelewa tu kwamba sisi wanaume wa taifa hili kwasasa tunaendelea kutawaliwa/kuongozwa na MSHANGAZI TU wala hakuna lingine 😎
 
Mwanamume atakula kwa jasho na mambo mengine atayapata kwa jasho, ila mwanamke atazaa kwa uchungu....chunga familia nk kwa uchungu tu. Under "ceteris paribus"...yaani hayo mengine yote uko sahihi..na anayetakiwa kuyafanya ni mwanamke wala hakuna mjadala ila kichwa cha nchi ni Mwanamume..ukijikwaa kidogo usije ukasahau ukataka uhalalishe kwamba aendelee kukaa pale HAPANA
 
H
Hapo mwanaume "kichwa cha nchi" inategemea ni jamii gani - patrilineal au matrilinear . Ukienda kwenye matrilineal societies, hicho "kichwa cha nchi hakionekani". Nimekaa kwenye matrilinear society miaka 8, angalau nina uzoefu huo. Mwanaume, mfano, among the Chewa ni 'ceremonial' hana mamlaka kwa watoto, hata kwa mkewe. Hata mtoto akitaka kuolewa au kuoa si yeye anayetoa idhini. Na pia anayeamua nani atoke nyumbani akaishi anakotaka (kati ya mwanaume na mwanamke) ni mwanamke, na si mwanaume. In fact, mwanamke ndiye anayemfulumusha mwanaume kwa kumwambia "Toka hapa nyumbani, rudi kwenu" au "katafute sehemu nyingine ya kuishi. Sikutaki." Sasa hapo kichwa cha nchi ni nani, anayefulumushwa (asiye na mamlaka) au anayebaki nyumbani (mwenye mamlaka)?
 
Duh。。。!, hii male chauvinism ya kiwango hiki! kaz kwelkwel!。
P
 
Sasa hapa ndo nimekuelewa.
Kumbe unatumia "fasihi" kufikisha ujumbe.
 
Huyu aliyepo analikomboa vipi Taifa wezi anafanya nini, Deni la taifa kupaa zaidi, utekaji anachukua hatua gani kwa sasa mwanamke hapana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…